Je, George Floyd ni mtume?

Je, George Floyd ni mtume?

Uyo mtume wa xvideos.com,pornhub na wapuuz wengine
Kila Mtu ana udhaifu wake,hayupo mkamilifu hata mmoja yeye anaweza kuwa alicheza movie za porns na wewe ukaangalia, hapo "wote manganyaga".

Unaweza ukaona dhambi za mwenzako ila haimaanishi wewe ni malaika au msafi sa a kuliko yeye "no one who has immune to mistake".

Back to focus ... tunachokipinga hapa ni ubaguzi na siyo madhaifu ya marehemu aliyelala mahali tulivu. Jaribu kujenga hoja kwa kutumia uelewa mpana wa mambo ulio nao badala ya hisia.
 
Kuhamasisha ndio kunakomfanya mtu awe tafauti na wenzanke "The power conviction"

Mitume yote ni watu walikuwa na uwezo wa kuhamasisha,nguvu za ziada za kufanya watu wakubali kubadilika..

Wengi wa waandamanaji hawamjui hatà huyo George Flyod ni Nani lakini Kuna nguvu zinawasukuma wakaandamane..

Vitu vingine bwana watu sijui mkoje,unauliza na umesha jijibu humo humo,kweni kuandamana ndo kigezo cha mtu awe mtume? hizo ni ghadhabu tu za watu juu ya uonevu na ni hali ya kawaida na isiyo mpa mtu utume wowote.yani sijui hata nikuelezeje by the way unaelewa ila tu na wewe umeamua kutafuta michango ya watu kwa mada ndogo
K
 
Kwa sasa dini imekaa ipasavyo mioyoni mwa wanadamu, kutokea mtu from no where na gafla umuite mtume ni kugombana na hao ambao dini imekaa mioyoni.

Wanasahau misaafu ni historia.
Difficult nowdays.
Watume wote walikuwa from no where,Yesu baba ake alikuwa saramala,Muhamad alikuwa fukara bila baba Wala mama

Moses alitupwa na mama ake bila ya kujua mtoto Kama atakufa au kupona

Mkuu,hapa sizungumzii hawa Mitume yetu kama akina Gwajima na matapeli wengine kama yeye,Mitume ya ushuhuda..
 
Kila Mtu ana udhaifu wake,hayupo mkamilifu hata mmoja yeye anaweza kuwa alicheza movie za porns na wewe ukaangalia, hapo "wote manganyaga".
Unaweza ukaona dhambi za mwenzako ila haimaanishi wewe ni malaika au msafi sa a kuliko yeye "no one who has immune to mistake".
Back to focus ...tunachokipinga hapa ni ubaguzi na siyo madhaifu ya marehemu aliyelala mahali tulivu.Jaribu kujenga hoja kwa kutumia uelewa mpana wa mambo ulio nao badala ya hisia.
Sijakataaa kuwepo na maandamano ya kupinga racism hasa Us na some europeans countriesmkuu ninachopinga kumfananisha mtu na mtume je enzi za mitume wakweli watu walikuwa wakiandamana kwa kuchoma moto mali za wengine au kuibia watu though maandamano muhimu kudai haki kwa watu wote yeye ni mtu wa porn na mm nimetazama na wewe pia i guess im log out.
 
Naskia marehemu alikua mfiraji mzuri tu katika zile picha za wakubwa.
so kama umeona ni mtume basi atakua ni mtume mfiraji
Yesu hakuwahi kuowa, kafa ana umri wa miaka 30 bila yakuowa, Je na yeye alikuwa ...?

Acha kumkashifu Mtume, una uhakika wowote wa uliloandika
 
mi najiuliza kuna je askari mweusi angemuua nigga mwenzie kungekuwa na strike ya aina yoyote??!!
CNN walikuwa wanasema kwamba polisi wa Minneapolis wa mafunzo ya kumbana mtu na goti shingoni bila kudhuru mfumo wa upumuaji, inasemekana hata baada ya kumbana hivo polisi walimpima mapigo ya moyo kwa mkono kila kitu ilikuwa poa ila ripoti ya hospital inasema jamaa ana mfumo mbovu wa upumuaji au mgonjwa. Inawezekana pia jamaa kaja kumfia polisi, ndio maana sometimes heri usipigane na mtu atakufia bure upate kesi
 
Kila Mtu ana udhaifu wake,hayupo mkamilifu hata mmoja yeye anaweza kuwa alicheza movie za porns na wewe ukaangalia, hapo "wote manganyaga".
Unaweza ukaona dhambi za mwenzako ila haimaanishi wewe ni malaika au msafi sa a kuliko yeye "no one who has immune to mistake".
Back to focus ...tunachokipinga hapa ni ubaguzi na siyo madhaifu ya marehemu aliyelala mahali tulivu.Jaribu kujenga hoja kwa kutumia uelewa mpana wa mambo ulio nao badala ya hisia.
Mada inauliza kama ni mtume, na wewe ukitetea hili kua aonekane ni mtume utakua ni punguani mkubwa
 
Sijakataaa kuwepo na maandamano ya kupinga racism hasa Us na some europeans countriesmkuu ninachopinga kumfananisha mtu na mtume je enzi za mitume wakweli watu walikuwa wakiandamana kwa kuchoma moto mali za wengine au kuibia watu though maandamano muhimu kudai haki kwa watu wote yeye ni mtu wa porn na mm nimetazama na wewe pia i guess im log out.
Hapa Tanzania Kuna Mitume kibao, wanawatapeli Watanzania mbona hushangai Mkuu
 
Vitu vingine bwana watu sijui mkoje,unauliza na umesha jijibu humo humo,kweni kuandamana ndo kigezo cha mtu awe mtume? hizo ni ghadhabu tu za watu juu ya uonevu na ni hali ya kawaida na isiyo mpa mtu utume wowote.yani sijui hata nikuelezeje by the way unaelewa ila tu na wewe umeamua kutafuta michango ya watu kwa mada ndogo
Mkuu nimeuliza suali, Je George Flyod Mtume asiejulikana? Jibu swali
 
Hapa Tanzania Kuna Mitume kibao,wanawatapeli Watanzania mbona hushangai,Mkuu
Hao mitume ni kwa wapuuzi wasiojitambua na kwa kweli nimewazarau hao mitume na wafuasi wao mpaka wanakanyagana kwa ajili ya damn it oil.
 
Sijakataaa kuwepo na maandamano ya kupinga racism hasa Us na some europeans countriesmkuu ninachopinga kumfananisha mtu na mtume je enzi za mitume wakweli watu walikuwa wakiandamana kwa kuchoma moto mali za wengine au kuibia watu though maandamano muhimu kudai haki kwa watu wote yeye ni mtu wa porn na mm nimetazama na wewe pia i guess im log out.
Haha
 
CNN walikuwa wanasema kwamba polisi wa Minneapolis wa mafunzo ya kumbana mtu na goti shingoni bila kudhuru mfumo wa upumuaji,inasemekana hata baada ya kumbana hivo polisi walimpima mapigo ya moyo kwa mkono kila kitu ilikuwa poa ila ripoti ya hospital inasema jamaa ana mfumo mbovu wa upumuaji au mgonjwa .Inawezekana pia jamaa kaja kumfia polisi,ndo maana sometimes heri usipigane na mtu atakufia bure upate kesi
Mfumo huo alitakiwa ambane na ugoko na sio goti.
 
Despite the disparity there is a point of intersection in human species. I think " humanity is our intersection whether black, white or red"
 
Rodney King hakuleta mpasuka Kama wa George, George kawafanya Polisi wapige magoti,

National gurd wamepelekwa mitaani sio Jimbo moja

Watu weusi wameshirikiana na weupe,vurugu za Rodeny king, weupe walipigana na weusi Sasa hivi ni tafauti

Kikubwa zaidi Raisi wa Taifa kubwa kaingia handakini kwa kuogopa raia wake

Ni vurugu kubwa hii ambalo wanaoumia ni wao kwa kuvamia mali na kuchoma kila mahali
Maandamano ya amani yamekuwa Fujo na weusi wamechoka uonezi wa kila wakati

Weupe hawana jinsi bali kukubali ukweli na sio wote ni wabaguzi
Police brutality inajirudia kila wakati
 
Ni vurugu kubwa hii ambalo wanaoumia ni wao kwa kuvamia mali na kuchoma kila mahali
Maandamano ya amani yamekuwa Fujo na weusi wamechoka uonezi wa kila wakati
Weupe hawana jinsi bali kukubali ukweli na sio wote ni wabaguzi
Police brutality inajirudia kila wakati
Awamu hii wanakaza
 
mi najiuliza kuna je askari mweusi angemuua nigga mwenzie kungekuwa na strike ya aina yoyote??!!
Mwaka jana black walimuua black mwenzao Nipsey Husle lakini mablack wakala ganzi kama hawajui kilichotokea
 
Back
Top Bottom