Je, George Floyd ni mtume?

Je, George Floyd ni mtume?

Maana hii inahitaji maelezo, unaweza kutuambia Mwenyeenzi Mungu anatumiaje Mitume kupeleka ujumbe wake kwa jamii ? Yaani utajuaje kama huu ni ujumbe toka kwa Mwenyeenzi Mungu na huu siyo ?
Waangalie Mitume mengine iliyopita imefanya nini...utapata jibu lako

Mwangalie Yesu,Musa nk
 
... Cha kushangaza, wengi wa waandamanaji ni watu weupe; cha kushangaza zaidi, nchi za Kiafrika ambazo ni chimbuko la watu weusi hamna hata nchi moja watu wameandamana kupinga uonevu huo.
Achana na maandamano ya Wamarekani, hayana msaada kwako. Akwilina alivyouawa hapa na hao hao jamaa, Wamarekani weusi waliandamana?
 
Jamaa ni MCHEZA PORN MAARUFU NDO MAANA WATU WAMEMIND
 
Alaf tuheshimiane. YESU siyo Issa.

Hawana uhusiano hata kidogo
Huyu jamaa ana Majina Mengi inategemea unataka jina lake kwa lugha gani

Yesu hili jina limetokana na lugha ya Kigiriki
Jesus limetokana na lugha ya Kirumi
Isa limetokana na lugha ya Kiarabu
Iso, Joshua limetokana na lugha ya Kiyahudi
Jina alilopewa na mama yake ni Joshua


You see
 
Achana na maandamano ya Wamarekani, hayana msaada kwako. Akwilina alivyouawa hapa na hao hao jamaa, Wamarekani weusi waliandamana?
Sasa imeanza kufahamu hoja yangu,Akwilina na wengine wengi hapana aliyeandamana

Kwanini iwe kwa huyu jamaa???Marekani inawaka Moto,Europe wanaandamana
 
Sasa huyo aliyefariki amepewa ujumbe gani na Mwenyeenzi Mungu ?
Ujumbe kwa Dunia kuwa ubaguzi sio kitu kuzuri,na sio kila mzungu mbaguzi

Wazungu wamejumuika wengi katika haya maandamano kuliko watu weusi
 
Kwani hadithi ya Yesu ilikuwaje?kwani Yesu hakutolewa kafara na MUNGU,Mungu anaweza kufanya chochote

Hivi sasa media hazizungumzi tena kuhusu Corona,watu wanaandamna bila kujali Covid19

Dunia imebadilika George Floyd kabadilisha Dunia kuliko Corona..

George Flyod ni Mtume,.. Mtume mwingine alikuwa Bob Marley yeye alikuja na Style nyengine..

"Burning and looting tonight, burning all pollution tonight,burning all illusion tonight"

Hayo ni maneno ya Bob Marley hayo ndio yanayotokea..
nakuelewa sana. .lakini hawa wafia dini hawa wezi kukuelewa hata kidogo maaana. wame karilishwa tu kuwa mitume ni wazungu na waarabu. .halafu sasa waaarabu walivyokuwa washenzi wakajiwekea defense mechanism. ili kumlinda so called mtume wao kuwa hatokuja kutokea mtume mwingine badala yake ili kuwafunga watu kifikira wasiweze kuachana. nazaomafundisho ya tamaduni
 
Sasa imeanza kufahamu hoja yangu,Akwilina na wengine wengi hapana aliyeandamana
Kwanini iwe kwa huyu jamaa???Marekani inawaka Moto,Europe wanaandamana
Wamarekani walianzisha maandamano wao kwanza, halafu wakaungwa mkono na wengine. Wewe kwa Akwilina, ulianzisha maandamano kabla ya kuwaona wengine wakikuunga mkono?
 
Sijakataaa kuwepo na maandamano ya kupinga racism hasa Us na some europeans countriesmkuu ninachopinga kumfananisha mtu na mtume je enzi za mitume wakweli watu walikuwa wakiandamana kwa kuchoma moto mali za wengine au kuibia watu though maandamano muhimu kudai haki kwa watu wote yeye ni mtu wa porn na mm nimetazama na wewe pia i guess im log out.
mbona unapinga sana kuhusu hoja ya floyd kuwa mtume...kwani kwa wenye imani ya kikristo paulo wana mtambua kama nani. .je wajua kabla ya kuongoka. kwake history inaonyesha kuwa alikuwa ni mtu mwenye tabia chafu chafu
 
Wamarekani walianzisha maandamano wao kwanza, halafu wakaungwa mkono na wengine. Wewe kwa Akwilina, ulianzisha maandamano kabla ya kuwaona wengine wakikuunga mkono?
Akwilina hakuwa na vigezo vya Utume na ndio maana hamna aliyeandamana
 
mbona unapinga sana kuhusu hoja ya floyd kuwa mtume...kwani kwa wenye imani ya kikristo paulo wana mtambua kama nani. .je wajua kabla ya kuongoka. kwake history inaonyesha kuwa alikuwa ni mtu mwenye tabia chafu chafu
Paul aka Saul aliwasaka na kuwauwa wafuasi wa Yesu Kama wanyama,kabla ya kunipa u Saint...

Wengi hawayajui haya
 
G. Floyd, Mtume wa Mungu aliyetolewa "kafara na Mungu" ili kubadilisha mtazamo wa watu (weupe) kuhusu mtu mweusi nchini Marekani?

Hii haiingii akilini hata kidogo, kama yeye ni kafara kutoka kwa Mungu, je wale askari waliomuua hawana makosa?
Mtume muhuni anayetumia noti feki.
Adhabu ya kifo haikuwa stahili Yake hata kidogo
 
Mtume muhuni anayetumia noti feki.
Adhabu ya kifo haikuwa stahili Yake hata kidogo
George hajawahi kujiita Mtume,ujumbe wake kwa wanadamu ndio uliomfanya awe Mtume

Yesu kwa baadhi ya watu wanasema kuwa katolewa muhanga na Mungu ili kufuta madhambi ya Binaadabu

Wanasema Yesu kafa kwa madhambi yetu
 
George hajawahi kujiita Mtume,ujumbe wake kwa wanadamu ndio uliomfanya awe Mtume

Yesu kwa baadhi ya watu wanasema kuwa katolewa muhanga na Mungu ili kufuta madhambi ya Binaadabu

Wanasema Yesu kafa kwa madhambi yetu
Hamna mtume ambaye hajitambui kuwa yeye ni mtume.
MTUME NI NANI?
Mtume ni mjumbe wa Mungu (messenger) ambaye anakuja duniani kwa special purpose.
 
Kwani hadithi ya Yesu ilikuwaje?kwani Yesu hakutolewa kafara na MUNGU,Mungu anaweza kufanya chochote



1---Nani kakudanganya kwamba Mungu anaweza kufanya KITU CHOCHOTE hata cha kijinga ???

2--Nani kakudanganya kwamba Mungu anahitaji kutoa maisha ya Mtu (kafara) ili jambo fulani litimie??

3---Kama ni kafara je kwanini Mungu hakuwaambia mapema Yesu na Floyd kwamba angewatoa kafara kwa sababu fulani???

4---Mbona hao wote Yesu na Floyd walipokuwa wanatokewa hiyo unayoiita "kafara" walikuwa Wakilia kwa uchungu wa maumivu ya "kafara', Yesu alilia; Eloi Eloi lamasabachtan, na Floyd alilia; nashindwa kupumua.

5---Je ukiambiwa "kafara" hiyo unayoisifu ni ukatili dhidi ya binadamu utakataa??

6---Je, Kama ni kweli ni kafara kutoka kwa Mungu, watu wakisema Munguu ni katili watakuwa wamekosea ??? (Mungu hawezi kuwa katili aslan).

7---Je ungekuwa ni wewe, ungependa utolewe kafara kama huyo G, Floyd au Yesu???

8--- Je wale wanaotoa kafara kwa kuua watu kama Albino ili wapate dhahabu machimboni na utajiri wapo sahihi???

9--- Je watoto na ndugu na jamaa wa G. Floyd watakubaliana na wewe unaposema huyo mpendwa wao ni Mungu aliyemtoa kafara???

10---- Nabii Ibrahimu aliota anamchinja mwanaye wa pekee, na alipoamka asubuhi akataka kumchinja huyo mwanae kidhahiri lakini Mungu akamkataza na kumwambia achinje kondoo, kwa nini alimkataza na wakati huohuo, kwa mujibu wako, Yeye Mungu kamtoa kafara G. Floyd na Yesu "kafara" ??
 
Back
Top Bottom