Je Gazeti la Mwananchi litapona?

Je Gazeti la Mwananchi litapona?

Kwa hii story, Gazeti la Mwananchi halina shida yoyote,litapona kwasababu ilichoripoti ni ukweli kutoka UN
P
Hivyo mwandishi ama mhariri hata letewa shida kwa hiyo habari sio?Asije bakia na Majuto kama P.Ngoja alione Lucas Mwashamba na Genge lake.
 
Mimi walifungie wasifungie wala hainuhusu, nina miaka zaidi ya 10 sijawahi nunua gazeti kwa hiyo wakilifungia watakua wanajisumbua tu, libaki lisibaki kwangu halina athari yoyote
 
Namhurumia mmiliki wa gazeti la mwananchi maana kitakachofuata ni kutekwa na kuuliwa.Labda ajikombe awe rafiki wa karibu wa Abdul ndiyo itakuwa pona yake.
 
OKTOBA TUNA ✔️
Screenshot_20250613-122647~2.png
 
Back
Top Bottom