Infiniteposibilities
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 314
- 290
Kichomi kachome nyamaNO REFORMS NO ELECTION
#OKTOBA TUNA ✔️
Kichomi kachome nyamaNO REFORMS NO ELECTION
Serikali ya Tanzania haitaki kusikia habari kama hizi, hii ni kwa sababu serikali hiyo inaamini Wananchi Wake ni Wajinga kuliko Wanyama wa Mwituni, kwamba kila kitu wao wanaamini hakijulikani popote
View attachment 3368765
Hili gazeti nalo siku hizi taktaka🚮🚮🚮 tu; wacha lifungiwe kwani halina mchango wowote katika mapambano ya hakiSerikali ya Tanzania haitaki kusikia habari kama hizi, hii ni kwa sababu serikali hiyo inaamini Wananchi Wake ni Wajinga kuliko Wanyama wa Mwituni, kwamba kila kitu wao wanaamini hakijulikani popote
View attachment 3368765
Ukiambiwa upiganie hayo masilahi ya taifa nje ya hiko chama kwako unaona inawezekana? Au kwamba hicho chama ndio taifa lenye?Situmikii chama ili nipate vyeo na utajiri.Natumikia chama kwa maslahi ya taifa na wala sio maslahi binafsi kama unavyofikiria.Kama wapo ambao wametajirika na kupanda vyeo kihalali sababu ya kutumikia chama sio jambo baya.
Mtakipata tu mnachokitafuta safari hii.Ndio tunapasha.Subiri OKTOBA mtatafutana..