Je Gazeti la Mwananchi litapona?

Je Gazeti la Mwananchi litapona?

Screenshot_20250615-124118~2.png
 
Unataka nifaidikeje labda? Tunafaidika wananchi kwa maendeleo yanayoletwa na viongozi wetu.
Ufaidike wewe binafsi maana umesema unatumikua chama hivyo ufaidike kwa huo utumishi wako, ukijiingiza kwa wananchi wote kuna wengine hata kula yao tu bado shida, sasa wewe unatoa muda wako kutumikia chama halafu mwisho wa siku unabaki kuwa kama shabiki wa simba na yanga huku wengine wanapata mavyeo na kutajirika.
 
Ufaidike wewe binafsi maana umesema unatumikua chama hivyo ufaidike kwa huo utumishi wako, ukijiingiza kwa wananchi wote kuna wengine hata kula yao tu bado shida, sasa wewe unatoa muda wako kutumikia chama halafu mwisho wa siku unabaki kuwa kama shabiki wa simba na yanga huku wengine wanapata mavyeo na kutajirika.
Situmikii chama ili nipate vyeo na utajiri.Natumikia chama kwa maslahi ya taifa na wala sio maslahi binafsi kama unavyofikiria.Kama wapo ambao wametajirika na kupanda vyeo kihalali sababu ya kutumikia chama sio jambo baya.
 
Back
Top Bottom