ivunya
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 2,290
- 2,230
Tutumie neno inawezekana kuwa Adam na Eva waliishi mashariki ya kati, kuna vitu vingi sana vimepita dunian kuna continent drift, gharika na vingike vingi hivi vyote vimebadili sura ya dunia. kuna mito aionekan uliyokuwa inapeleka maji kwenye bustan, hata hii mito iliyopewa majini ya mito iliyokuwa inapeleka maji katika bustani ya Eden ina ulakini mkubwa sana