Je, Dunia ilianzia Mashariki ya Kati?

Je, Dunia ilianzia Mashariki ya Kati?

Mkuu sina cha kuuliza mimi naulizwa tu. Uzushi wewe ndio unakopia. Leo ngoja nikupe shule hio bustani na hio mito uliokariri iko wapi na kwa nini walibadilisha ili wawamislead wahusika wa hio bustani baada ya kushinda kwa mauwaji makubwa sana.

Naomba anza na huu ukweli kwanza kama ushahidi wangu wa kukana porojo unazoziwasilisha humu:

, ,

Nakusihi download na uangalie ushahidi katika clips zote ambazo ramani hizo ndizo walizotumia wazungu na waarabu fake na wakabadilisha majina ya kila kitu katika africa na kupelekwa sehemu nyingine nje ya Afrika.

Angalia hii pia:

halafu tuonge vyema sasa.

Bahati mbaya sana unaenda kule kule kwenye mitandao kudownload mambo yale yale yanayokinzana kama reply zetu...bila kutaka kusimama kwenye uhalisia na kuegemea Google kama the only reliable source
Nilitegemea una argument tofauti kuhusiana na nilichoandika, yaani your personal experience na understanding halafu hayo mavideo yawe tu ni kama additional lakini pia umeshindwa
please try to have a better argument on this..ukisimama kwenye reasoning argument rather than scording one
 
Huwa nawachukulia wazungu kama nusu watu nusu binadamu wana mambo ya ajabu sana hawa viumbe

Ni kweli kabisa kaka hawa ni amalgamated beings (Half Human half beast). Ni hybrid beings ambao waliumbwa maabara kwenye milima ya CAUCAS kule Georgia , ukraine na romania. na ndio chanzo cha kuhamisha BUSTANI YA EDEN kutoka Afrika kwenda Huko ulikokueleza kwenye thread hii.
Kama kwenye bustani ndiko mtu wa kwanza alipokuwapo ndipo ilipokuwa hio Bustani: Ushahidi ni huu hapa:

Advanced DNA testing combined with recently unearthed discoveries are bolstering the belief that if you look back far enough, all living human beings are the descendents of a small, innovative and ambitious set of people on the African continent.

With the mapping of the human genome in 2003, combined with thousands of people around the world submitting their DNA for testing, there's now mounting physical proof we all started in Africa before migrating around the world.

Geneticists are able to identify certain genetic sequences or "markers" in each of us and cross-reference it with a number of ever-growing international databases. Where there's a match, there's likely a common ancestor and genetically speaking, all markers point to Africa.
People take comfort in having their DNA tested, says Dr. Himla Soodyall. "It gives them some sense of grounding, some homing and some essence of understanding who they are," she says. Soodyall is the founder and director of the Human Genetics laboratory in South Africa's National Health Laboratory Services. She says she dedicated her life to this field of study because it reveals a much more fascinating story than most people realize.

I recently sat down with Soodyall to have my own DNA tested and its accuracy was astounding.

She explained all of us carry our mother's DNA signature within our mitochondria, so it houses "markers" only from our mother's lineage. My maternal marker turned out to be "H" which can be traced to a woman living in the Dordogne region of France 20,000 years ago.

But this isn't reserved for my British mother and me -- 47% of all Europeans are descendants from this haplogroup, which itself is an offshoot of humans who migrated out of Africa and into Europe.

Similarly, on my Jamaican father's side I expected an African connection due to the trans-Atlantic slave trade, in which the Caribbean was involved. Soodyall isolated DNA housed in my Y-chromosome, which only males carry. It revealed an "E3a" genetic marker common in 96% of people from Central West Africa.

What's more amazing was the discovery that certain sequences of my DNA matched up perfectly with a man from Zanzibar, Tanzania, and another from the Democratic Republic of Congo, who also had their DNA tested recently.

 
Bahati mbaya sana unaenda kule kule kwenye mitandao kudownload mambo yale yale yanayokinzana kama reply zetu...bila kutaka kusimama kwenye uhalisia na kuegemea Google kama the only reliable source
Nilitegemea una argument tofauti kuhusiana na nilichoandika, yaani your personal experience na understanding halafu hayo mavideo yawe tu ni kama additional lakini pia umeshindwa
please try to have a better argument on this..ukisimama kwenye reasoning argument rather than scording one

Ninazoweka mimi ni ushahidi na watu bado wapo site wakifanya utafiti juu yetu na wanaendelea kutusoma. ndio maana nakuonyesha ukweli kwa ramani ya mwaka 1742. Naomba angalia kwanza hizo Clips ndipo tufanye arguments. Siweki picha ya kuchora.

ANGALIA LIVE RESERACH YA DNA (GENETICIST) SPECIALISTS AKIFANYA TAFITI.
 
Ni kweli kabisa kaka hawa ni amalgamated beings (Half Human half beast). Ni hybrid beings ambao waliumbwa maabara kwenye milima ya CAUCAS kule Georgia , ukraine na romania. na ndio chanzo cha kuhamisha BUSTANI YA EDEN kutoka Afrika kwenda Huko ulikokueleza kwenye thread hii.
Kama kwenye bustani ndiko mtu wa kwanza alipokuwapo ndipo ilipokuwa hio Bustani: Ushahidi ni huu hapa:

Advanced DNA testing combined with recently unearthed discoveries are bolstering the belief that if you look back far enough, all living human beings are the descendents of a small, innovative and ambitious set of people on the African continent.

With the mapping of the human genome in 2003, combined with thousands of people around the world submitting their DNA for testing, there's now mounting physical proof we all started in Africa before migrating around the world.

Geneticists are able to identify certain genetic sequences or "markers" in each of us and cross-reference it with a number of ever-growing international databases. Where there's a match, there's likely a common ancestor and genetically speaking, all markers point to Africa.
People take comfort in having their DNA tested, says Dr. Himla Soodyall. "It gives them some sense of grounding, some homing and some essence of understanding who they are," she says. Soodyall is the founder and director of the Human Genetics laboratory in South Africa's National Health Laboratory Services. She says she dedicated her life to this field of study because it reveals a much more fascinating story than most people realize.

I recently sat down with Soodyall to have my own DNA tested and its accuracy was astounding.

She explained all of us carry our mother's DNA signature within our mitochondria, so it houses "markers" only from our mother's lineage. My maternal marker turned out to be "H" which can be traced to a woman living in the Dordogne region of France 20,000 years ago.

But this isn't reserved for my British mother and me -- 47% of all Europeans are descendants from this haplogroup, which itself is an offshoot of humans who migrated out of Africa and into Europe.

Similarly, on my Jamaican father's side I expected an African connection due to the trans-Atlantic slave trade, in which the Caribbean was involved. Soodyall isolated DNA housed in my Y-chromosome, which only males carry. It revealed an "E3a" genetic marker common in 96% of people from Central West Africa.

What's more amazing was the discovery that certain sequences of my DNA matched up perfectly with a man from Zanzibar, Tanzania, and another from the Democratic Republic of Congo, who also had their DNA tested recently.


Naona kuna sehemu hapa tunaenda sawa na kwa namna fulani kuna hoja sasa unajaribu kwenda na mimi...kuhusu hizo origins sina hakika sana japo kwangu mimi nawaona ni viumbe tofauti
 
Ninazoweka mimi ni ushahidi na watu bado wapo site wakifanya utafiti juu yetu na wanaendelea kutusoma. ndio maana nakuonyesha ukweli kwa ramani ya mwaka 1742. Naomba angalia kwanza hizo Clips ndipo tufanye arguments.
Shida imekuja pale uliponiita mzushi na mtoa porojo wakati source yetu ni moja wote tunachota toka Google
 
Shida imekuja pale uliponiita mzushi na mtoa porojo wakati source yetu ni moja wote tunachota toka Google

Kaka mimi ninachojaribu kukuelewa ni kwamba UNAELEWA mambo mengi kiuhalisia wake. Lakini maada nyingi nikikufwatilia, unaweka kinyume ili ujifunze na uwafundishe wanaokopia.
Sasa kwa sisi tunaokufwatilia na tunaojua ukweli wa siri ya maarifa ya dunia hii ilivyogeuzwa, ndio maana tunakueleza kuwa usikopie porojo na uzushi.

Kwa maana ukikopia ili watu waanze mdahalo, kisha wanaokupinga ki ukweli bado unaendelea kusimamia upotoshaji huo, ndio maana unaambiwa kuwa nawe ni mpotoshaji. Period

Mimi nina source zote, online na offline (Site Visit, Books and Journals). Nimebahatika kwenda India nazurura kwa utafiti tu, nimeenda Thailand kwa utafiti na Ethiopia, Soudan na Misri. Niliojionea kaka hayafai hata kumuona mtu anaimba bwana bwana, ama mtume muhammad. Ninachoweza kusema WE HAVE A CONSCIOUSNESS CRISIS AND WE ARE DEAD AND OUR BONES ARE DRY. INACTUAL FACT, WE NEED TO MILITARIZE OUR PRIDE AND OUR DESTINY. WE ARE SPECIAL PEOPLE WHO DESIGNED AND CIVILIZED THE ENTIRE WORLD. PEOPLE ARE WORSHIPING US LIKE GODS UNDERGROUND.
 
Kaka mimi ninachojaribu kukuelewa ni kwamba UNAELEWA mambo mengi kiuhalisia wake. Lakini maada nyingi nikikufwatilia, unaweka kinyume ili ujifunze na uwafundishe wanaokopia.
Sasa kwa sisi tunaokufwatilia na tunaojua ukweli wa siri ya maarifa ya dunia hii ilivyogeuzwa, ndio maana tunakueleza kuwa usikopie porojo na uzushi.

Kwa maana ukikopia ili watu waanze mdahalo, kisha wanaokupinga ki ukweli bado unaendelea kusimamia upotoshaji huo, ndio maana unaambiwa kuwa nawe ni mpotoshaji. Period

Mimi nina source zote, online na offline (Site Visit, Books and Journals). Nimebahatika kwenda India nazurura kwa utafiti tu, nimeenda Thailand kwa utafiti na Ethiopia, Soudan na Misri. Niliojionea kaka hayafai hata kumuona mtu anaimba bwana bwana, ama mtume muhammad. Ninachoweza kusema WE HAVE A CONSCIOUSNESS CRISIS AND WE ARE DEAD AND OUR BONES ARE DRY. INACTUAL FACT, WE NEED TO MILITARIZE OUR PRIDE AND OUR DESTINY. WE ARE SPECIAL PEOPLE WHO DESIGNED AND CIVILIZED THE ENTIRE WORLD. PEOPLE ARE WORSHIPING US LIKE GODS UNDERGROUND.

Mmh kama tukiamua kujinasibu na tafiti sidhani kama patatosha hapa au ni nchi ngapi tumetembea
Iko hivi hizo tafiti zinafanywa na binadamu hawahawa au nyie nyie wa hapa hapa duniani hizo mashine ni man made machines zenye kutoa majibu kulingana na matakwa ya mtengenezaji... .kwahiyo kama ni stucking point bado iko pale pale...utafiti wa Dr.Leakey na huu wenu wa leo basics ni zile zile tofauti ni muda mahali na zana zilizoboreshwa zaidi
Kwenye hii post nimechanganya vitu vitatu kiroho kihistoria kisayansi na mwishowe nikahoji uhalisia wa haya yote...huo ndio mtiririko uliopo lakini wewe unakuja na hizi tafiti za kihistoria maybe na kisayansi maybe....lakini ukiwa huna basement za kiroho na kiuhalisia...jaribu kuhit kila engo ili uweze kuwa na product nzuri
Ziada; hii siri mnayoielewa ninyi ni ipi? Halafu mnepha uandishi wako haitofautiani na mtu mmoja humu jamvini mwenye mzio na post zangu! Hivi hii ni coincidence au ni multiple IDs? Jus curious...!!!
 
ngoja nkacheck sources mbalimbali then ntarudi.
 
Mmh kama tukiamua kujinasibu na tafiti sidhani kama patatosha hapa au ni nchi ngapi tumetembea
Iko hivi hizo tafiti zinafanywa na binadamu hawahawa au nyie nyie wa hapa hapa duniani hizo mashine ni man made machines zenye kutoa majibu kulingana na matakwa ya mtengenezaji... .kwahiyo kama ni stucking point bado iko pale pale...utafiti wa Dr.Leakey na huu wenu wa leo basics ni zile zile tofauti ni muda mahali na zana zilizoboreshwa zaidi
Kwenye hii post nimechanganya vitu vitatu kiroho kihistoria kisayansi na mwishowe nikahoji uhalisia wa haya yote...huo ndio mtiririko uliopo lakini wewe unakuja na hizi tafiti za kihistoria maybe na kisayansi maybe....lakini ukiwa huna basement za kiroho na kiuhalisia...jaribu kuhit kila engo ili uweze kuwa na product nzuri
Ziada; hii siri mnayoielewa ninyi ni ipi? Halafu mnepha uandishi wako haitofautiani na mtu mmoja humu jamvini mwenye mzio na post zangu! Hivi hii ni coincidence au ni multiple IDs? Jus curious...!!!

Mshana, ID yangu ni hio tangu kujiunga na jamii forum. Na sina tabia ya kubadili ID kwavile sifanyi uovu ambao labda utanifanya ni HIDE IDENTITY yangu. Mimi ni MNEPHA nitabakia hivyo tu. Kwahio kuhusu hili la IDs ondoa shaka.

Pia kuhusu ushahidi wa haya tunayojaribu kukumbushana na kuelimishana ni kwamba. Humu JF nimeandika na kujibu sana Thread nyingi na hata nawe tumekutana na kuargue katika thread nyingi tu. ni mekwisha yaeleza mengi mno. Hadi wewe nakumbuka ulinicomment siku moja ukasema nakunuku "ni maneno ya kujipoza tu".

Nimeshaeleza kuhusu Ukweli wa creation account in the bible, Nikalijibu KISAYANSI, KIROHO NA KIHISTORIA na watu wengi waliLIKE sana ile Elimu. Nashangaa tena kaka unaleta mambo kinyume chake. so

First of all, it is vitally important for the us to be able to answer this question, as it relates to defending the fact that all humans are descendants of Adam and Eve; and, secondly, that it is only their descendants that can be saved. Let me go through these two aspects in some detail. Mind that our core discuss about the identity of THE GARDEN OF EDEN with respective attributes.

1. All humans are descendants of Adam and Eve. Do u buy this story?

In Genesis 4:1,2, we read, "And Adam knew Eve his wife: and she conceived, and bare Cain, and said, I have gotten a man from the LORD. and she again bare his brother Abel." And in Genesis 5:3, we read, "And Adam lived a hundred and thirty years, and begat a son in his own likeness, after his image: and called his name Seth."

In other words, we are told certain details about three sons born to Adam and Eve. It is recorded in Genesis 3:20, "And Adam called his wife's name Eve; because she was the mother of all living." Thus all human beings are descendants of the first woman, Eve. There were no other women—just one woman, Eve.

In I Corinthians 15:45, Paul tells us that "the first man Adam was made a living soul." In other words, Adam was the first man—there were no other men at the beginning. And in Acts 17:26, Paul states that the God who made the world "hath made of one blood all nations of men for to dwell on all the face of the earth."

All human beings are related, because they are all descendants of the first man, Adam, and the first woman, Eve.

As marriage in the Bible specifies one man for one woman for life, this means Christians have to be able to explain how Adam and Eve's sons could marry and have children to propagate the human race. Thus we need to be able to answer the question concerning Cain's wife.

One can actually answer this question with just a little Bible knowledge. Genesis 5:4 tells us that Adam and Eve "begat sons and daughters." Josephus, the Jewish historian, states that "The number of Adam's children, as says the old tradition, was thirty-three sons and twenty-three daughters." The point, of course, is that Adam and Eve did have many children.
My curious question is Where did CAIN get his WIFE?.... Were there PRE-ADMITES or He married his Own SISTER?
 
Kwahyo huu uzao wa watu weusi ni laana.. Ndio maana huku majanga hayakatiki, yanatirrka tu kama mvua za masika
Laana ilikwisha baada ya Yesu kufa msalabani na kuwapa wanafunzi wake go ahead ya kuwafanya mataifa mengine kuwa wanafunzi wake
 
Naona kuna sehemu hapa tunaenda sawa na kwa namna fulani kuna hoja sasa unajaribu kwenda na mimi...kuhusu hizo origins sina hakika sana japo kwangu mimi nawaona ni viumbe tofauti

Kitu cha kufahamu na kudadisi ni kwamba, kwanini Biblia ina copyright? who is printing the bible. Je hawa sio waliobadilisha maeneo na majina ya Afrika kwenye hiki kitabu? Je wana maslai gani na kuwa na hati miliki ya kuzalisha nakala ya hii biblia?

Na ili tujue uhalisia wa Bustani ya EDEN, lazima tumfahamu NUHU na Watoto wake walivyomilikishwa ARDHI katika ulimwengu huo kwa mahusiano na huu wa kwetu ili tuende sawa, na tukumbuke KULIKUWA NA GHARIKA KUU: Nitaendelea ........
 
Bahati mbaya sana unaenda kule kule kwenye mitandao kudownload mambo yale yale yanayokinzana kama reply zetu...bila kutaka kusimama kwenye uhalisia na kuegemea Google kama the only reliable source
Nilitegemea una argument tofauti kuhusiana na nilichoandika, yaani your personal experience na understanding halafu hayo mavideo yawe tu ni kama additional lakini pia umeshindwa
please try to have a better argument on this..ukisimama kwenye reasoning argument rather than scording one

Kaka NIKO TOFAUTI SANA NA WEWE kwa kuwa sipendi kurely kwa "GOOGLE" napenda kurely na :YOUTUBE". Kwanini nimechagua "YOUTUBE" badala ya Google ni kwa sababu, "GOOGLE" IS OFFLINE LIKE SCHOOL OF THOUGHT and "YOUTUBE" IS ONLINE (LIVE) SCHOOL OF THOUGHT.

Ndio maana kwangu nakuonyesha watu wanavyodiscuss na kuchallenge mamlaka. Halafu nakuonyesha kuwa WAZUNGU waliodanganya ndio leo wanajuta kuwahadaa wenye maarifa na wameanza kujitoa mhanga kueleza yaliokafichika. hiki ndicho tunachokitaka na sio kutuwekea DEAD INFORMATION za michoro ya mapambo.

NOAMBA NIHITINISHE LEO KWA HII CLIP KWA FAIDA YA WENGI NAOMBA SIKILIZENI NA MUANGALIE MPAKA MWISHO. nDIO INAELEZA NINI WAZUNGU WALIKIFANYA KATIKA ULIMWENGU HUU KUMSHUSHA MTU MWEUSI CHINI KIMAARIFA, KIUFAHAMU NA UTAMBUZI, NA KIUDADISI: BUSTANI IMETOLEWA AFRIKA KWA KUBADILISHA MAJINA YA MAENEO NA MITO



WHY NOW?
 
Kaka NIKO TOFAUTI SANA NA WEWE kwa kuwa sipendi kurely kwa "GOOGLE" napenda kurely na :YOUTUBE". Kwanini nimechagua "YOUTUBE" badala ya Google ni kwa sababu, "GOOGLE" IS OFFLINE LIKE SCHOOL OF THOUGHT and "YOUTUBE" IS ONLINE (LIVE) SCHOOL OF THOUGHT.

Ndio maana kwangu nakuonyesha watu wanavyodiscuss na kuchallenge mamlaka. Halafu nakuonyesha kuwa WAZUNGU waliodanganya ndio leo wanajuta kuwahadaa wenye maarifa na wameanza kujitoa mhanga kueleza yaliokafichika. hiki ndicho tunachokitaka na sio kutuwekea DEAD INFORMATION za michoro ya mapambo.
Zote ni hizo hizo lakini kulinganisha Google na youtube hiki ni kitu kingine cha kushangaza sana
Tuna tofauti ya time frame kubwa sana kati yetu...hiki unachoita mapicha ya kuchora hiki ni kipindi cha pre-historic ambapo technology ya picha haikuwepo kabisa...hii youtube ni kitu cha karibuni kabisa na ni advanced tech ya hayo mapicha ya kuchora
 
Mkuu sina cha kuuliza mimi naulizwa tu. Uzushi wewe ndio unakopia. Leo ngoja nikupe shule hio bustani na hio mito uliokariri iko wapi na kwa nini walibadilisha ili wawamislead wahusika wa hio bustani baada ya kushinda kwa mauwaji makubwa sana.

Naomba anza na huu ukweli kwanza kama ushahidi wangu wa kukana porojo unazoziwasilisha humu:

, ,

Nakusihi download na uangalie ushahidi katika clips zote ambazo ramani hizo ndizo walizotumia wazungu na waarabu fake na wakabadilisha majina ya kila kitu katika africa na kupelekwa sehemu nyingine nje ya Afrika.

Angalia hii pia:

halafu tuonge vyema sasa.

Kaka mnepha huyo huyo jamaa mbishi sana afu afu inaonekana anataka kujifunza lkn bado upande mwingine anaonekana ni mbishi sana . Mwache tu !
 
Sa mi nna schizophenia nikiiongea yangu humu kwa huu ubishi nnaouona itakuwa haina mahana yoyote . Lkn kwakutaka kujuwa na kufahamu watu wenye ufahamu naomba kuuliza swali hili .. kwenu nyinyi mnaoufahamu neno hili schozophenia uwa mnawatambuaje watu wanaosemekana wanaschizophenia , tafadhari naomba mnifahamishe ?
 
Zote ni hizo hizo lakini kulinganisha Google na youtube hiki ni kitu kingine cha kushangaza sana
Tuna tofauti ya time frame kubwa sana kati yetu...hiki unachoita mapicha ya kuchora hiki ni kipindi cha pre-historic ambapo technology ya picha haikuwepo kabisa...hii youtube ni kitu cha karibuni kabisa na ni advanced tech ya hayo mapicha ya kuchora

Nimetoa elimu kwa faida ya jamii yangu. Na sii kuendeleza ubishano usio na tija katika jamii. AFRICA IS CRADLE OF CIVILIZATION. HIO SANAA YA KUCHORA DUNIA IMEJUA KUPITIA AFRIKA. CHA AJABU KATIKA MICHORO HIO WENYE MAENEO HAWAONEKANI. MZUNGU, MWAARABU FAKE HAWEZI KUWA KWENYE BUSTANI YA EDEN KWA KUWA HAWANA UMRI WA UWEPO WAO KATIKA DUNIA HII KWA MIAKA ZAIDI YA 6000 KUTOKA SASA. SASA HIO MICHORO YA BUSTANI YAKO WAMEJIWEKAJE WAO?
 
Kaka mnepha huyo huyo jamaa mbishi sana afu afu inaonekana anataka kujifunza lkn bado upande mwingine anaonekana ni mbishi sana . Mwache tu !
Jaribu kutofautisha ubishi wa kimantiki ubishi wa ujenzi wa hoja , ubishi wa kuelimishana na ubishi unaowaza wewe ubishi wa kubishana tu bila mwelekeo wala basement yoyote
Hivi kwa akili ya kawaida kabisa unaweza kulinganisha Google na youtube? Kwahiyo hapo ukihoji itakuwa ni ubishi au ni kutaka kueleweshana?
ID yako ni mpya sina hakika sana kama ni zile multiple au ni mpya kweli chukua muda kusoma forum utaelewa mengi
 
Nimetoa elimu kwa faida ya jamii yangu. Na sii kuendeleza ubishano usio na tija katika jamii. AFRICA IS CRADLE OF CIVILIZATION. HIO SANAA YA KUCHORA DUNIA IMEJUA KUPITIA AFRIKA. CHA AJABU KATIKA MICHORO HIO WENYE MAENEO HAWAONEKANI. MZUNGU, MWAARABU FAKE HAWEZI KUWA KWENYE BUSTANI YA EDEN KWA KUWA HAWANA UMRI WA UWEPO WAO KATIKA DUNIA HII KWA MIAKA ZAIDI YA 6000 KUTOKA SASA. SASA HIO MICHORO YA BUSTANI YAKO WAMEJIWEKAJE WAO?
Sasa mnepha unatoa elimu au unaniuliza swali? Mimi nimeweka picha ila hakuna niliposema hizo picha alichora nani kwakuwa hilo kwangu si muhimu kwa leo kwakuwa kuna ubunifu mwingi tu ulibuniwa na wengine lakini wakauza hakimiliki zao kwa wengine
Mfano rahisi kabisa ni traffic lights huu ni ubunifu wa mwafrika lakini leo hii ni nani analijua hili? Ni kwa vile tu hakimiliki iliuzwa
 
Back
Top Bottom