JAKUGOTE
JF-Expert Member
- Nov 19, 2013
- 871
- 1,219
Wa kwetu ni wakubwa kuliko wale unaowaona wanakamatwa na jaguar, wale ni caiman(wadogo kiumbo) kwahiyo ni wepesi kuwatoa kwenye maji ila crocodile mwenyewe anayepatikana kwenye bara letu hili sio wa mchezomchezo ukimzamia kwenye maji anazama na wewe mazimaSio hawa wakubwa yunaowajua sisi ama sio hawa wadogo tunaowajua sisi? [emoji849] [emoji849] [emoji849]
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app