Je, chatu anaweza kuua jamii ya paka (Simba, Chui, Duma)?

Je, chatu anaweza kuua jamii ya paka (Simba, Chui, Duma)?

Dah! Mkuu hata iwe slow vipi hakuna digest process inachukua miezi mitatu! ila ni kweli kama chakula hakuna anaweza kukaa muda mrefu bila kula...ila sio kwa sababu ya digestion
Anajiweka sehemu hamwezi kumuona, kwa miezi ka mitatu hivi ndio chakula ki digest, na during that time Chatu huwa vulnerable sana yaani kumuua ni rahisi sababu nguvu zake nyingi zinatumika kusaga yule mnyama aliyemezwa haswa akiwa ni mkubwa mno
✌️
 
iko hivi mamba Ni reptilia kwenye order crocodilia!! Imemgawa kwenye order zingine mbili Kama squamata (nyoka na mijusi)
Au chelonia makobe(turtles,terraps na tortoise)


Alligator na crocodile wako kwenye order moja kinachowatofautisha Ni shape za midomo yao,mawin ma na geographical position
Ila umesahau Order Rhynchocephalia inayowakilishwa na Tuatara....
 
... Ni kuwa chatu akitaka kula wanyama jamii ya paka anaweza..ila kwanini huwa hali wanyama hao, pamoja na ugumu wa kuwa kamata lakini pia kuna suala na physiology hasa kwenye issue za "metabolism" Chatu ni mnyama mla nyama (carnivore) hawa wanyama jamii ya paka pia ni wala nyama (carnivore) sasa ukija kwenye kitu kinaitwa "Energy Pyramid" wako kwenye level moja yaani wote ni "final Consumer"..so Chatu akila mnyama jamii ya paka..hawezi pata energy kubwa baada ya metabolism, sababu kasi cha energy kilichopo kwa wanyama hao wala nyama ni kidogo ukilinganisha na kile cha wanyama wanaokula majani (herbivore)...ndio maana chatu huwinda zaidi swala na wanyama jamii hizo....
 
Hapo nimekuekea aina mbili za nyangumi (whale) na moja ni ya fuvu la kichwa cha nyangumi. Huyo mnyama ni mkubwa aisee [emoji228] na anapatikana deep sea, akijaa Sio deep basi mawimbi yatamleta ufuoni na basi wengi hufa sasa sababu hawezi jirudisha deep sea. Nchi za Ulaya nyingi wana vifaa hutumia kuwabeba na kuwapa push hadi kwenye maji ili wasife wakati watajipatia kwenye hali hiyo ya kuja ufuoni bahati mbaya.
[emoji111]️
Shukrani sana boss
 
Tofauti kati ya Cheetah,leopard na Tiger ni hizi:
Cheetah na leopard wametofautiana katika vitu viwili,
1.Cheetah (ndo tunamuita chui na ndiye tumezoea kumuona)ana tears lines kwenye uso wake pande zote kulia na kushoto,
2. ana solid spots(yan yale madoa yake yamekaa moja moja)
But
Leopard(kwa jina lingine tumezoea kumuita paka mwitu) hana tears line na ana roselette spots(yaani yale madoa yake yamekaa kwa makundi ya madoa manne au matatu au zaidi)sio kama cheetah yamekaa moja moja

Tiger(Duma)yeye ana milia myeusi(black stripes) na amechanganyika rangi utakuta standard orange with dark stripes,white with dark/black stripes and gold with cinnamon stripes na ana manyoya mengi kuliko leopard na cheetah

Lakini wote hao tunawaweka kwenye kundi linaitwa "Big Cats"View attachment 1734101View attachment 1734102View attachment 1734103

Halafu kuna hawa HYBRIDS;

The LIGER is a hybrid offspring of a male lion (Panthera leo) and a female tiger (Panthera tigris). The liger has parents in the same genus but of different species. The liger is distinct from the similar hybrid called the TIGON, and is the largest of all known extant felines. They enjoy swimming, which is a characteristic of tigers, and are very sociable like lions. Notably, ligers typically grow larger than either parent species, unlike tigons.


A TIGON or TIGLON is the hybrid offspring of a male tiger (Panthera tigris) and a female lion (Panthera leo) thus, it has parents with the same of both parents, thus they can exhibit visible characteristics from both parents: they can have both spots from the mother (lions carry genes for spots - lion cubs are spotted and some adults retain faint markings) and stripes from the father. Any mane that a male tigon may have will appear shorter and less noticeable than a lion's mane and is closer in type to the ruff of a male tiger. It is a common misconception that tigons are smaller than lions or tigers. They do not exceed the size of their parent species because they inherit growth-inhibitory genes from both parents, but they do not exhibit any kind of dwarfism or miniaturization; they often weigh around 180 kilograms (400 lb).

Picha ya TIGON mtaipata YouTube hapa siko nayo sahi, samahani

✌️
 

Attachments

  • Screenshot_20210325_153701.jpg
    Screenshot_20210325_153701.jpg
    99.2 KB · Views: 21
Halafu kuna hawa HYBRIDS;

The LIGER is a hybrid offspring of a male lion (Panthera leo) and a female tiger (Panthera tigris). The liger has parents in the same genus but of different species. The liger is distinct from the similar hybrid called the TIGON, and is the largest of all known extant felines. They enjoy swimming, which is a characteristic of tigers, and are very sociable like lions. Notably, ligers typically grow larger than either parent species, unlike tigons.


A TIGON or TIGLON is the hybrid offspring of a male tiger (Panthera tigris) and a female lion (Panthera leo) thus, it has parents with the same of both parents, thus they can exhibit visible characteristics from both parents: they can have both spots from the mother (lions carry genes for spots - lion cubs are spotted and some adults retain faint markings) and stripes from the father. Any mane that a male tigon may have will appear shorter and less noticeable than a lion's mane and is closer in type to the ruff of a male tiger. It is a common misconception that tigons are smaller than lions or tigers. They do not exceed the size of their parent species because they inherit growth-inhibitory genes from both parents, but they do not exhibit any kind of dwarfism or miniaturization; they often weigh around 180 kilograms (400 lb).

Picha ya TIGON mtaipata YouTube hapa siko nayo sahi, samahani

[emoji3577]
Yah!thats true mkuu!
 
Dah! Mkuu hata iwe slow vipi hakuna digest process inachukua miezi mitatu! ila ni kweli kama chakula hakuna anaweza kukaa muda mrefu bila kula...ila sio kwa sababu ya digestion
Mi nachojua ni huwa anakaa mda mrefu ndio chakula kisagike chote kiwe sawa, lakini hapo kwa kukaa njaa nimefanya utafiti na kufahamu kuwa chatu hukaa hata miezi sita bila kula kitu na bado aka survive, maajabu ya hilo joka, dah
✌️
 
Tofauti kati ya Cheetah,leopard na Tiger ni hizi:
Cheetah na leopard wametofautiana katika vitu viwili,
1.Cheetah (ndo tunamuita chui na ndiye tumezoea kumuona)ana tears lines kwenye uso wake pande zote kulia na kushoto,
2. ana solid spots(yan yale madoa yake yamekaa moja moja)
But
Leopard(kwa jina lingine tumezoea kumuita paka mwitu) hana tears line na ana roselette spots(yaani yale madoa yake yamekaa kwa makundi ya madoa manne au matatu au zaidi)sio kama cheetah yamekaa moja moja

Tiger(Duma)yeye ana milia myeusi(black stripes) na amechanganyika rangi utakuta standard orange with dark stripes,white with dark/black stripes and gold with cinnamon stripes na ana manyoya mengi kuliko leopard na cheetah

Lakini wote hao tunawaweka kwenye kundi linaitwa "Big Cats"View attachment 1734101View attachment 1734102View attachment 1734103
Mkuu umepatia kwenye rangi na muonekano wao! Ila umechanganya hapo kwenye tafsiri ya Majina tu!

Cheetah - Duma
Leopard - Chui Madoa
Tiger - Chui Milia

Ukisema Paka Mwitu unamaanisha Wild Cats ambapo unajumuisha wote hao! Na ndiyo hao hao Big Cats au Panthers kwa majina mengine!
 
Mkuu umepatia kwenye rangi na muonekano wao! Ila umechanganya hapo kwenye tafsiri ya Majina tu!

Cheetah - Duma
Leopard - Chui Madoa
Tiger - Chui Milia

Ukisema Paka Mwitu unamaanisha Wild Cats ambapo unajumuisha wote hao! Na ndiyo hao hao Big Cats au Panthers kwa majina mengine!
Ahaa!!ni kwel mkuu,,asante kwa correction
 
Tofauti kati ya Cheetah,leopard na Tiger ni hizi:
Cheetah na leopard wametofautiana katika vitu viwili,
1.Cheetah (ndo tunamuita chui na ndiye tumezoea kumuona)ana tears lines kwenye uso wake pande zote kulia na kushoto,
2. ana solid spots(yan yale madoa yake yamekaa moja moja)
But
Leopard(kwa jina lingine tumezoea kumuita paka mwitu) hana tears line na ana roselette spots(yaani yale madoa yake yamekaa kwa makundi ya madoa manne au matatu au zaidi)sio kama cheetah yamekaa moja moja

Tiger(Duma)yeye ana milia myeusi(black stripes) na amechanganyika rangi utakuta standard orange with dark stripes,white with dark/black stripes and gold with cinnamon stripes na ana manyoya mengi kuliko leopard na cheetah

Lakini wote hao tunawaweka kwenye kundi linaitwa "Big Cats"View attachment 1734101View attachment 1734102View attachment 1734103
Mmh!
 
Chatu Ni hatari Sana, akikunasa ukaanza kubabaika badala ya kupambana Basi ujue umekwenda na maji.

Pia unashauriwa ukiona anataka kujizungusha mwilini mwako lala chini ili akose namna ya kujiviringisha, roll down then sepa kwa Kasi ya 4G
Hii mbinu ni kawaida unapoona shambulizibhata la risasi lala chini, bana punzi, ujiandae ama kuruka na kusepa mboo ama kujiandaa na pambano akikuwahi. Kumbuka kila Michezo una mbinu zake..chatu kimbia, simba, big cats usikimbie angalianeni

Chatu kawaida yake mkiwa watatu humdaka wa mwisho. Na humdaka miguu na kukumwaga, is as if ukiwa na demu unaanza kumpelekea uno lenge msheshede na chatu ndivyo afanyavyo kukuletea mwili ujae na kujikunja....kikubwa ambacho bina adam anacho ana hatujijui ni hisia.. huwa kuna hisia ya hatar tunazo lkn Changamoto za maisha hupoteza halo hizo..ukitaka unauwezo wa kutambua..hapa pana kitu kibaya ama laa ..kwa mfano mwili kusisimka, vinyelea kusimamia, mpasuko wa moto nk
 
Chatu Ni hatari Sana, akikunasa ukaanza kubabaika badala ya kupambana Basi ujue umekwenda na maji.

Pia unashauriwa ukiona anataka kujizungusha mwilini mwako lala chini ili akose namna ya kujiviringisha, roll down then sepa kwa Kasi ya 4G
Hahahaha nimekukubali chief! Japo tuko kwenye majonzi ya kuondokewa na mpendwa! Lakini imebidi nicheke tu, vuta picha utakavyokuwa ukiroll kwa kasi ya 4G kwenye chaka la chatu uku chatu akiwa ameduwaa ajui Nini kinatokea! Hahahahaha!
 
Back
Top Bottom