Oppomall
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,501
- 3,610
Duuuuh!!! Mbona hatari sana hiyoNa hawa polisi kinawamiza kweli maana kuambulia milioni 17,18 na 19 ni jambo la kawaida sana
Ila ndoivo wamekula kiapo kulinda watawala
Duuuuh!!! Mbona hatari sana hiyoNa hawa polisi kinawamiza kweli maana kuambulia milioni 17,18 na 19 ni jambo la kawaida sana
Naipenda sana hii biashara.Hii TUKINUKISHE ..na kibunda changu huko NSSF kingenisaidia hapa Ikola kuongeza mtaji wa kuvusha Balimi Congo Kalemiee...mijamaa imevimba nazo kama zao
Wafanyakazi wengine wataunga mkono isipokuwa wafanyakazi wafu, yaani walimu. CC Mpwayungu VillageNaona sasa maandamano yameshika kasi na kila mtu anayataka. Watu wa Arusha wametutamanisha.
Maandamano ni haki ya kila mtu, ikiwemo wafanyakazi wa umma na sekta binafsi.
Kuna hili la hovyo kabisa kuhusu kikokotoo cha kitapeli cha Rais Samia na CCM. Hakuna mtu anakikubali, sasa sijui kilitokea wapi. Hata wabunge wenyewe hawakikubali ndio maana wao wanavuta mpunga wote.
Na nyinyi wafanyakazi mnatafuta mtu wa kuliamsha baada ya vyana vyenu kuwasaliti. Sasa tunaweza kuongea na Mbowe na Lissu maandamano yakaelekezwa huko. Lakini swali ni Je, mnataunga mkono?