Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Kwa hiyo walisema alafu ,wakaacha kusema ili iweje?
Kwa nini kwa wakristo walisema na maandiko yapo ila kwa wayahudi allah anasema walisema na maandiko hayapo
Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........
Kwani biblia yako ya Queen James Version imeandikwa vipi ?
 
Mwambie basi aweke Video Clip ambapo Wayahudi wanasema Uzer ni Mwana wa Mungu.
Maana qurani bado inasema, "wanasema" inamaana bado wanazungumza hadi mda huu.
Mwambie apest video ya hilo tamko.
Ukifika hapo, atakimbilia kwenye lugha ya Kiarabu cha asili.
Amepambana mpaka akasema walisema sio imeandikwa, karata ya mwisho wanakwambia kwa kiarabu sio hivyo, yani waislamu wa humu wanajua kuliko walio translate
 
Kwani biblia yako ya Queen James Version imeandikwa vipi ?
Msaidie mwenzako , Allah kasema wayahudi wanasema uzair ni mwana wa Mungu , je unaweza leta ushaidi wayahudi wanasema hivyo?
Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........
 
Msaidie mwenzako , Allah kasema wayahudi wanasema uzair ni mwana wa Mungu , je unaweza leta ushaidi wayahudi wanasema hivyo?
Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........
Ha..ha
Washauri wafute maandishi yote ya kwenye Qurani.
Maana Allah alimwambia Mtume Aseme.
"Sema ewe Mtume"
Wao wameandika.
Hebu waulize ni nani aliyewaambia waandike Maneno ya Allah na Muhammadi kwenye Kitabu kiitwacho Qurani.
Wakati Allah hakuruhusu popote kuandikwa maneno yake. ?

Ona jinsi Mungu wa Musa anavyo mwamuru Musa aandike maneno yake

Kutoka 17:14
Bwana akamwambia Musa, Andika habari hii katika kitabu iwe ukumbusho, kisha ihubiri masikioni mwa Yoshua; ya kuwa nitaufuta ukumbusho wa Amaleki kabisa, usiwe tena chini ya mbingu.

Kutoka 34:27
Bwana akamwambia Musa, Andika maneno haya; kwa kuwa mimi nimefanya agano nawe, na pamoja na Israeli, kwa mujibu wa maneno haya.

Ni Wapi Allah aliruhusu maneno yake yaandikwe ?
 
Utacheka sana, lakini Quran inasema "wanasema" haijasema "wameandika". Sasa kama unataka Qur'an iseme "wameandika" basi lete verse yako inayosema hivyo ili tukaibadili Quran iseme "wameandika" badala ya "wanasema". Lakini hatutoibadili kwa sababu wewe siyo Mungu

Kaka Qur'an haibahatishi
Ulichoandika ni kichelesho!
allah anasema yote yaliyomo kwenye Quran yamo kwenye vitabu vilivyo tangulia
[emoji116][emoji116]
وَإِنَّهُ لَفِي زُبُرِ الْأَوَّلِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 196 ]
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.

Jee! allah muongo??[emoji101][emoji101]
Nauliza sababu ktk vitabu vya kale sioni Wayahudi waliposema uzeir ni Mwana wa Mungu!

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Msaidie mwenzako , Allah kasema wayahudi wanasema uzair ni mwana wa Mungu , je unaweza leta ushaidi wayahudi wanasema hivyo?
Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........
nilishakuwekea

Tuambie

Kwani biblia yako ya Queen James Version imeandikwa vipi ?
 
Ulichoandika ni kichelesho!
allah anasema yote yaliyomo kwenye Quran yamo kwenye vitabu vilivyo tangulia
[emoji116][emoji116]
وَإِنَّهُ لَفِي زُبُرِ الْأَوَّلِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 196 ]
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.

Jee! allah muongo??[emoji101][emoji101]
Nauliza sababu ktk vitabu vya kale sioni Wayahudi waliposema uzeir ni Mwana wa Mungu!

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hakuna Aya inayosema kuwa YOTE yaliyomo kwenye Quran yapo kwenye vitabu vya zamani. Hiyo ya "YOTE" umeitunga, siku nyingine ukinukuu Qur'an elezea kwa usahihi maana yake, usijitungie ya kwako.

Wapi kwenye hiyo aya wanasema "YOTE" yaliyomo kwenye Quran yapo kwenye vitabu vilivyopita?
 
Ulichoandika ni kichelesho!
allah anasema yote yaliyomo kwenye Quran yamo kwenye vitabu vilivyo tangulia
[emoji116][emoji116]
وَإِنَّهُ لَفِي زُبُرِ الْأَوَّلِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 196 ]
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.

Jee! allah muongo??[emoji101][emoji101]
Nauliza sababu ktk vitabu vya kale sioni Wayahudi waliposema uzeir ni Mwana wa Mungu!

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app


Hivi tuambie

Kwani biblia yako ya Queen James Version imeandikwa vipi ?
 
Ha..ha
Washauri wafute maandishi yote ya kwenye Qurani.
Maana Allah alimwambia Mtume Aseme.
"Sema ewe Mtume"
Wao wameandika.
Hebu waulize ni nani aliyewaambia waandike Maneno ya Allah na Muhammadi kwenye Kitabu kiitwacho Qurani.
Wakati Allah hakuruhusu popote kuandikwa maneno yake. ?

Ona jinsi Mungu wa Musa anavyo mwamuru Musa aandike maneno yake

Kutoka 17:14
Bwana akamwambia Musa, Andika habari hii katika kitabu iwe ukumbusho, kisha ihubiri masikioni mwa Yoshua; ya kuwa nitaufuta ukumbusho wa Amaleki kabisa, usiwe tena chini ya mbingu.

Kutoka 34:27
Bwana akamwambia Musa, Andika maneno haya; kwa kuwa mimi nimefanya agano nawe, na pamoja na Israeli, kwa mujibu wa maneno haya.

Ni Wapi Allah aliruhusu maneno yake yaandikwe ?
Tuanze na Injili, nani aliwaambia akina Marko na Luka ambao hata siyo wanafunzi wa Yesu waandike Injili?
 
nilishakuwekea

Tuambie

Kwani biblia yako ya Queen James Version imeandikwa vipi ?


1626695008642.png
 
Duh biblia mbili kwenye Luka 9:56 zinazungumza vitu tofauti!

Sijui biblia gani ya kweli hapo!
Embu rudi ujibu swali , Allah anasema wayahudi wanasema uzair ni mwana wa mungu je unaweza leta ushahidi wayahudi wanasema uzair ni mwana wa Mungu
Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........

Kumbuka neno wanasema - ni neno endelevu
 
Embu rudi ujibu swali , Allah anasema wayahudi wanasema uzair ni mwana wa mungu je unaweza leta ushahidi wayahudi wanasema uzair ni mwana wa Mungu
Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........

Kumbuka neno wanasema - ni neno endelevu
Uwekewe ushahidi mara ngapi ?
 
Embu rudi ujibu swali , Allah anasema wayahudi wanasema uzair ni mwana wa mungu je unaweza leta ushahidi wayahudi wanasema uzair ni mwana wa Mungu
Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........

Kumbuka neno wanasema - ni neno endelevu
Uwekewe ushahidi mara ngapi ?

Pata ushahidi huu


1626697130619.png
 
Msaidie mwenzako , Allah kasema wayahudi wanasema uzair ni mwana wa Mungu , je unaweza leta ushaidi wayahudi wanasema hivyo?
Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........
Naona sasa umebadili swali, angalau umeimprove kidogo, mwanzo ulikuwa unauliza wapi wameandika, nilivyokuelewesha kuwa quran haijasema wameandika bali wanasema, naona na wewe sasa unauliza swali kuwa ni wapi wanasema?. Sasa angalau kidogo hapa umeuliza kilichomo kwenye Quran.

Jibu lako ni kuwa Wayahudi waliokuwa wakiishi Madina kipindi cha Mtume walikuwa na kawaida ya kumtukuza Uzeri(Ezra) kama Mwana wa Mungu. Hapa Quran. inawaonya waache mambo hayo.
 
Back
Top Bottom