Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Unajua kuna issue ndogo sana unashindwa kuelewa
Mfano Mimi naweza sema mfano; waislamu wanasema Issa hakusulubiwa bali bali aliwekwa Issa bandia msalabani,
Nachotakiwa kufanya ni kuweka maandiko ya waislamu yanayosema hivyo basi nitaweka
koran 4:157. Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu.

fanya hivi weka maandiko ya kiyahudi yakisema uzeri ni mwana wa mungu

Nimekuwekea ushahidi unakuwa unarusha vichwa.
Kwani biblia imesema nini kuhusu mwana wa mungu ??
 
Hili nimelimaliza pambana na shahidi nilizo weka.

Pili,sharti lako nimelibatilisha kwa ku kuuliza maswali ambayo hujayajibu unayakimbia.

Nipo ...
Rejea Yetu ni VITABU IMANI Ambavyo vipo mikononi Mwetu! Hata mungu wako Amekusisitiza vya Kuamini ili usipotelee mbali!
[emoji116][emoji116]
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا آمِنُوا بِاللَّهِ وَرَسُولِهِ وَالْكِتَابِ الَّذِي نَزَّلَ عَلَىٰ رَسُولِهِ وَالْكِتَابِ الَّذِي أَنزَلَ مِن قَبْلُ ۚ وَمَن يَكْفُرْ بِاللَّهِ وَمَلَائِكَتِهِ وَكُتُبِهِ وَرُسُلِهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ فَقَدْ ضَلَّ ضَلَالًا بَعِيدًا

[ AN-NISAAI - 136 ]
Enyi mlio amini! Muaminini Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha juu ya Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha kabla yake. Na anaye mkataa Mwenyezi Mungu, na Malaika wake, na Vitabu vyake, na Mitume wake, na Siku ya Akhera, basi huyo amekwisha potelea mbali.

ww unaleta porojo za vijiweni na vya walevi wa pombe na ngada [emoji13]

Mkubwa akifumaniwa akiwa uchi huchutama bro! Sasa ww bado umesimama duu! On a sasa watoto wameona utupu wako[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Rejea Yetu ni VITABU IMANI Ambavyo vipo mikononi Mwetu! Hata mungu wako Amekusisitiza vya Kuamini ili usipotelee mbali!
[emoji116][emoji116]
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا آمِنُوا بِاللَّهِ وَرَسُولِهِ وَالْكِتَابِ الَّذِي نَزَّلَ عَلَىٰ رَسُولِهِ وَالْكِتَابِ الَّذِي أَنزَلَ مِن قَبْلُ ۚ وَمَن يَكْفُرْ بِاللَّهِ وَمَلَائِكَتِهِ وَكُتُبِهِ وَرُسُلِهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ فَقَدْ ضَلَّ ضَلَالًا بَعِيدًا

[ AN-NISAAI - 136 ]
Enyi mlio amini! Muaminini Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha juu ya Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha kabla yake. Na anaye mkataa Mwenyezi Mungu, na Malaika wake, na Vitabu vyake, na Mitume wake, na Siku ya Akhera, basi huyo amekwisha potelea mbali.

ww unaleta porojo za vijiweni na vya walevi wa pombe na ngada [emoji13]

Mkubwa akifumaniwa akiwa uchi huchutama bro! Sasa ww bado umesimama duu! On a sasa watoto wameona utupu wako[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Poa.
 
ww nilikushauri mgeze allah na muhammad uje na hii singo
Kashindwa muhammad na allah tena kwa kuwaahidi watu kungonoka na mahulu.72 wenye makalio uji uji, mito ya gongo, ku-update dhakar isisinyae...mbele ya allah! [emoji2301]

hadi akatumia jambia na kumuomba Mwenyezi Mungu Awaangamize Wakristo na Wayahudi
Akashindwa [emoji56][emoji13]
Itakuwa ww[emoji15][emoji2957]

Ukristo Hadi Leo Unadunda [emoji123][emoji106]

Alipo zidiwa akaja na singo hii
[emoji1370][emoji1370]

قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ
1.
Sema: Enyi makafiri!
لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ
2.
Siabudu mnacho kiabudu;
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ
3.
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ
4.
Wala sitaabudu mnacho abudu.
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ
5.
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ
6.
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.

Ninaamini muhammad na allah ni kigezo chako chema hivyo wageze!

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
ww nilikushauri mgeze allah na muhammad uje na hii singo
Kashindwa muhammad na allah tena kwa kuwaahidi watu kungonoka na mahulu.72 wenye makalio uji uji, mito ya gongo, ku-update dhakar isisinyae...mbele ya allah! [emoji2301]

hadi akatumia jambia na kumuomba Mwenyezi Mungu Awaangamize Wakristo na Wayahudi
Akashindwa [emoji56][emoji13]
Itakuwa ww[emoji15][emoji2957]

Ukristo Hadi Leo Unadunda [emoji123][emoji106]

Alipo zidiwa akaja na singo hii
[emoji1370][emoji1370]

قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ
1.
Sema: Enyi makafiri!
لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ
2.
Siabudu mnacho kiabudu;
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ
3.
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ
4.
Wala sitaabudu mnacho abudu.
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ
5.
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ
6.
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.

Ninaamini muhammad na allah ni kigezo chako chema hivyo wageze!

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Poa.
 
Unajua kuna issue ndogo sana unashindwa kuelewa
Mfano Mimi naweza sema mfano; waislamu wanasema Issa hakusulubiwa bali bali aliwekwa Issa bandia msalabani,
Nachotakiwa kufanya ni kuweka maandiko ya waislamu yanayosema hivyo basi nitaweka
koran 4:157. Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu.

fanya hivi weka maandiko ya kiyahudi yakisema uzeri ni mwana wa mungu


Qur'an inasema kuwa wayahudi wanasema Uzeri ni mwana wa Mungu, haijasema Wayahudi wameandika kuwa Uzeri ni mwana wa Mungu, next time tofautisha kati ya kusema na kuandika

kuichalenge Qu'ran kwenye logic huwezi ndugu yangu, utajikuta logic yako inayeyuka mithili ya theluji kwenye kiangazi
 
Qur'an inasema kuwa wayahudi wanasema Uzeri ni mwana wa Mungu, haijasema Wayahudi wameandika kuwa Uzeri ni mwana wa Mungu, next time tofautisha kati ya kusema na kuandika

kuichalenge Qu'ran kwenye logic huwezi ndugu yangu, utajikuta logic yako inayeyuka mithili ya theluji kwenye kiangazi
Qur'an ni maneno ya nani??

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Qur'an inasema kuwa wayahudi wanasema Uzeri ni mwana wa Mungu, haijasema Wayahudi wameandika kuwa Uzeri ni mwana wa Mungu, next time tofautisha kati ya kusema na kuandika

kuichalenge Qu'ran kwenye logic huwezi ndugu yangu, utajikuta logic yako inayeyuka mithili ya theluji kwenye kiangazi
Nimecheka sana , kwa hiyo wakristo walisema masihi ni mwana wa Mungu na imeandikwa , ila wayahudi walikuwa wanasea uzeri ni mwana wa Mungu na hawakuandika 🤣 🤣 embu kuwa makini kijana unapoongea na watu wazima

Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........
 
Nimecheka sana , kwa hiyo wakristo walisema masihi ni mwana wa Mungu na imeandikwa , ila wayahudi walikuwa wanasea uzeri ni mwana wa Mungu na hawakuandika 🤣 🤣 embu kuwa makini kijana unapoongea na watu wazima

Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........
Utacheka sana, lakini Quran inasema "wanasema" haijasema "wameandika". Sasa kama unataka Qur'an iseme "wameandika" basi lete verse yako inayosema hivyo ili tukaibadili Quran iseme "wameandika" badala ya "wanasema". Lakini hatutoibadili kwa sababu wewe siyo Mungu

Kaka Qur'an haibahatishi
 
Utacheka sana, lakini Quran inasema "wanasema" haijasema "wameandika". Sasa kama unataka Qur'an iseme "wameandika" basi lete verse yako inayosema hivyo ili tukaibadili Quran iseme "wameandika" badala ya "wanasema". Lakini hatutoibadili kwa sababu wewe siyo Mungu

Kaka Qur'an haibahatishi
Kwa hiyo walisema alafu ,wakaacha kusema ili iweje?
Kwa nini kwa wakristo walisema na maandiko yapo ila kwa wayahudi allah anasema walisema na maandiko hayapo
Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........
 
Kwa hiyo walisema alafu ,wakaacha kusema ili iweje?
Kwa nini kwa wakristo walisema na maandiko yapo ila kwa wayahudi allah anasema walisema na maandiko hayapo
Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........
Sasa ndugu yangu unaleta ligi tu

Quran inazungumzia kusema na siyo kuandika.

Usilazimishe Quran iseme "wameandika" wakati haisemi hivyo!

Ndugu yangu, Huwezi kuishinda Qur'an kwa logic, utajikuta inakushinda tu
 
Sasa ndugu yangu unaleta ligi tu

Quran inazungumzia kusema na siyo kuandika.

Usilazimishe Quran iseme "wameandika" wakati haisemi hivyo!

Ndugu yangu, Huwezi kuishinda Qur'an kwa logic, utajikuta inakushinda tu
Embu jibu maswali haya
  • Kwa hiyo walisema alafu ,wakaacha kusema ili iweje?
  • Kwa nini kwa wakristo walisema na maandiko yapo ila kwa wayahudi allah anasema walisema na maandiko hayapo?
    • Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........
 
Embu jibu maswali haya
  • Kwa hiyo walisema alafu ,wakaacha kusema ili iweje?
  • Kwa nini kwa wakristo walisema na maandiko yapo ila kwa wayahudi allah anasema walisema na maandiko hayapo?
    • Koran 9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.........
Mwambie basi aweke Video Clip ambapo Wayahudi wanasema Uzer ni Mwana wa Mungu.
Maana qurani bado inasema, "wanasema" inamaana bado wanazungumza hadi mda huu.
Mwambie apest video ya hilo tamko.
Ukifika hapo, atakimbilia kwenye lugha ya Kiarabu cha asili.
 
Back
Top Bottom