Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Achana na kuandika isha , weka ushahidi wa wayahudi , mbona nikikwambia weka ushahidi wa wakristo utaweka kutoka biblia haraka Sana kwamba messiah ni mwana Mungu , nasubiria ushahidi wa wayahudi maelezo yako
Sharti lako batili na linakiuka adabu za utafiti na mjadala. Kuna maswali nimekuuliza humo yajibu.

Usiruke ruke.
 
Ushahidi nimeshauweka.

Hivi Talmud ya kwanza ilitoka mwaka gani mpaka una muhusisha Mtume ?

Pili,Mtume alikuwa hajui kusoma wala kuandika,hili aliliweza vipi ? Muwe mna fikiri vijana.
Kwani alikuwa kiziwi? Kumbuka Muhammad alikuwa anaandikiwa koran anatamka mtu anandika na pia walikuwa wanamsomea walicho andika , mpaka kuna jamaa mkristo alikuwa anamuandika akasema Muhammad hajui chochote kilicho andikwa ila sio mada leo,


Huna ushaidi wayahudi wanasema uzer ni mwana wa Mungu
 
Kwani alikuwa kiziwi? Kumbuka Muhammad alikuwa anaandikiwa koran anatamka mtu anandika na pia walikuwa wanamsomea walicho andika , mpaka kuna jamaa mkristo alikuwa anamuandika akasema Muhammad hajui chochote kilicho andikwa ila sio mada leo,


Huna ushaidi wayahudi wanasema uzer ni mwana wa Mungu
Safi kabisa,tuthinotishie ya kuwa alinakili hayo kwa kuyasikia na aliyanakili toka kwa nani...?

Kijana naona umeshindwa kupambana na shahidi zangu.

Ikiwa wewe ni upepo hapa umekutana na Kimbunga.

Jibu maswali niliyo kuuliza,ushahidi wa mtu mmoja unakubalika au haukubaliki ?
 
Sharti lako batili na linakiuka adabu za utafiti na mjadala. Kuna maswali nimekuuliza humo yajibu.

Usiruke ruke.
Unajua kuna issue ndogo sana unashindwa kuelewa
Mfano Mimi naweza sema mfano; waislamu wanasema Issa hakusulubiwa bali bali aliwekwa Issa bandia msalabani,
Nachotakiwa kufanya ni kuweka maandiko ya waislamu yanayosema hivyo basi nitaweka
koran 4:157. Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu.

fanya hivi weka maandiko ya kiyahudi yakisema uzeri ni mwana wa mungu
 
Safi kabisa,tuthinotishie ya kuwa alinakili hayo kwa kuyasikia na aliyanakili toka kwa nani...?

Kijana naona umeshindwa kupambana na shahidi zangu.

Ikiwa wewe ni upepo hapa umekutana na Kimbunga.

Jibu maswali niliyo kuuliza,ushahidi wa mtu mmoja unakubalika au haukubaliki ?
Hakuna maswali nachotaka kwako weka andiko la wayahudi wanasema uzer ni mwana wa Mungu kwa nini tunachukua mda , kama huna andiko sema tu handiko halipo tuendelee na mada zingine
 
Unajua kuna issue ndogo sana unashindwa kuelewa
Mfano Mimi naweza sema mfano; waislamu wanasema Issa hakusulubiwa bali bali aliwekwa Issa bandia msalabani,
Nachotakiwa kufanya ni kuweka maandiko ya waislamu yanayosema hivyo basi nitaweka
koran 4:157. Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu.

fanya hivi weka maandiko ya kiyahudi yakisema uzeri ni mwana wa mungu
Hili nimelimaliza pambana na shahidi nilizo weka.

Pili,sharti lako nimelibatilisha kwa ku kuuliza maswali ambayo hujayajibu unayakimbia.

Nipo ...
 
Hakuna maswali nachotaka kwako weka andiko la wayahudi wanasema uzer ni mwana wa Mungu kwa nini tunachukua mda , kama huna andiko sema tu handiko halipo tuendelee na mada zingine
Maswali yangu ndiyo yanabatilisha hoja yako ya kutaka nikuletee maandiko ya Mayahudi Allah awalaani.
 
Hili nimelimaliza pambana na shahidi nilizo weka.

Pili,sharti lako nimelibatilisha kwa ku kuuliza maswali ambayo hujayajibu unayakimbia.

Nipo ...
Kijana acha kukimbia mada kizembe weka andiko la wayahudi , mbona la wakristo lipo!!
 
Maswali yangu ndiyo yanabatilisha hoja yako ya kutaka nikuletee maandiko ya Mayahudi Allah awalaani.
Weka ushahidi wa wayahudi tafadhal , allah hawezi zusha vitu tumkalie kimya, kuna wayahudi walikuwa wanamfanya Muhammad toy kwa kumuingiza chaka na story za ajabu alafu walikuwa wanamcheka,

Kama alivyo changanya Imran Musa harun na Mary na kuwaweka na Issa , mpaka kuna mama wa kiyahudi alimfuata Aisha akamwambia mbona jamaa ako anachanganya historia na majina!! Sio mada leo

Nacho subiri ni andiko la wayahudi
 
Weka ushahidi wa wayahudi tafadhal , allah hawezi zusha vitu tumkalie kimya, kuna wayahudi walikuwa wanamfanya Muhammad toy kwa kumuingiza chaka na story za ajabu alafu walikuwa wanamcheka,

Kama alivyo changanya Imran Musa harun na Mary na kuwaweka na Issa , mpaka kuna mama wa kiyahudi alimfuata Aisha akamwambia mbona jamaa ako anachanganya historia na majina!! Sio mada leo

Nacho subiri ni andiko la wayahudi
Unapenda kupoteza muda sana kijana.
 
Maswali yangu ndiyo yanabatilisha hoja yako ya kutaka nikuletee maandiko ya Mayahudi Allah awalaani.
Laana za Allah hazina nguvu
Ona kaomba miaka 1400 iliyopita na hakuna chochote mpaka leo.

Koran 4:47. Enyi mlio pewa Kitabu! Aminini tuliyo yateremsha yenye kusadikisha yale mliyo nayo, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni, au tukawalaani kama tulivyo walaani watu wa Sabato........
 
Sheikh Dr Sulle na Ustaadh Mazinge watakupa majibu yote.
Wanafaham hizo Biblia zote kuanzia Impemanto, Revised Version! Unaweza ku google kuona darsa zao hasa Sheikh Dr Sulle! Mimi humsikiliza akichambua mada za dini zote yaani Uislam na Ukristo na vitabu vyote! Ni mkweli na habagui dini.
Sheikh Mazinge anajua Lateral language ila figurative language haifahamu. So sio source nzuri sana unless upate Maalim ambaye aliwahi kuwa Mchungaji.
 
Laana za Allah hazina nguvu
Ona kaomba miaka 1400 iliyopita na hakuna chochote mpaka leo.

Koran 4:47. Enyi mlio pewa Kitabu! Aminini tuliyo yateremsha yenye kusadikisha yale mliyo nayo, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni, au tukawalaani kama tulivyo walaani watu wa Sabato........
Poa.
 
Back
Top Bottom