Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Embu weka ushaidi wayahudi walisema Ezra ni mwana wa Mungu, kwa wakristo ushaidi upo wazi , embu weka wa Ezra hapa timalize kazi
Kasome

Encyclopedia Judaica, Vol. 6, Encyclopedia Judaica Jerusalem, page 1108
 
Embu weka ushaidi wayahudi walisema Ezra ni mwana wa Mungu, kwa wakristo ushaidi upo wazi , embu weka wa Ezra hapa timalize kazi
Ina maana hujasoma nilicho kiweka hapa ? Acha utani kijana,huu ni mjadala wa kielimu mzee.

Aya imeanza kusema hilo kisha ufafanuzi nimekuwekea na ajabu Mayahudi wa leo ambao ni feki wakana hilo,ila ithibati ndiyo hizo.

Jenga hoja mpya kijana.
 
Rejea Yako haina ushaidi wowote ,ni maneno matupu,
Allah aliposema wakristo wanamuita messiah mwana wa Mungu ni kweli ukifungua biblia unakuta
Akasema na wayahudi wanamuita ezra ni mwana wa Mungu
Ndio tunataka ushaidi kutoka kitabu Cha wayahudi kinasema ezra ni mwana wa Mungu, usimuangushe Allah jitaidi tafuta
Kijana utakuwa hujui maana ya ushahidi nimekuwekea ushahidi wa Mayahudi hao walikuwepo zama za Mtume na walimuendelea Mtume wakiwa na itikadi hiyo na historia ya Uzair ina julikana na wengine walikuwepo al Isfahani ila Mayahudi wa leo wanapinga hilo lakino kupinga kwao hakufanyi au hakukanushi ya kuwa Mayahudi hawakudai hili.
 
Kijana utakuwa hujui maana ya ushahidi nimekuwekea ushahidi wa Mayahudi hao walikuwepo zama za Mtume na walimuendelea Mtume wakiwa na itikadi hiyo na historia ya Uzair ina julikana na wengine walikuwepo al Isfahani ila Mayahudi wa leo wanapinga hilo lakino kupinga kwao hakufanyi au hakukanushi ya kuwa Mayahudi hawakudai hili.
Hilo sio ushahidi kijana , unachotakiwa kuleta kama ushaidi ni kutoka kwa maandiko ya wayahudi wenyewe , huwezi Leta ushaidi kutoka maandiko ya waislamu yakidai wayahudi walikuwa wanadai , Kati ya watu wanaotunza maandiko ni wayahudi nenda katafute Leta hapa,

Kinyume Cha hapo ni porojo tu za Muhammad aliingizwa chaka ,
 
Kasome

Encyclopedia Judaica, Vol. 6, Encyclopedia Judaica Jerusalem, page 1108
Nimeshakwambia hapa unatakiwa uweke ushahidi mambo ya kasome muachie mubarridi , ambae anaweka kubabaisha watu
 
Kwa hivyo Marko 16:15 ni uongo au vipi?
Tatizo unasoma mada nusu nusu. mada ya kutangaza Injri ina chukua
Marko 16: 15-18.

Ila kwakuwa nia yako ni kuyatetea Majini unaanza na kuishia Aya ya 15.

Sasa mimi nakuambia hivi
endelea kuwasalimia Majini Msikitini, Siku utakayoshtuka itakuwa too late.
 
Tatizo unasoma mada nusu nusu. mada ya kutangaza Injri ina chukua
Marko 16: 15-18.

Ila kwakuwa nia yako ni kuyatetea Majini unaanza na kuishia Aya ya 15.

Sasa mimi nakuambia hivi
endelea kuwasalimia Majini Msikitini, Siku utakayoshtuka itakuwa too late.
Majini ni ndugu zake katika Imani , kuna Aya imenitoka kidogo Allah anasema huwa anatuma mapepo kwenda kwa wasio waislamu

Yani ukimsoma Allah na ukimsoma Lucifer una connect Dots
 
Tatizo unasoma mada nusu nusu. mada ya kutangaza Injri ina chukua
Marko 16: 15-18.

Ila kwakuwa nia yako ni kuyatetea Majini unaanza na kuishia Aya ya 15.

Sasa mimi nakuambia hivi
endelea kuwasalimia Majini Msikitini, Siku utakayoshtuka itakuwa too late.
Jibu swali

Sasa Marko 16:15 ni uongo?
 
allah ni baba kasimu, wajanja wamesha gundua janja ya nyani kula Hindi bichi[emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Jamaa alitengeneza imaginary god, ndio maana ukimsoma unaona kuna mda anaongea anashindwa ku switch kutoka yeye kwenda god na kutoka God kwenda yeye
 
Hilo sio ushahidi kijana , unachotakiwa kuleta kama ushaidi ni kutoka kwa maandiko ya wayahudi wenyewe , huwezi Leta ushaidi kutoka maandiko ya waislamu yakidai wayahudi walikuwa wanadai , Kati ya watu wanaotunza maandiko ni wayahudi nenda katafute Leta hapa,

Kinyume Cha hapo ni porojo tu za Muhammad aliingizwa chaka ,
Nimecheka sana kijana. Ushahidi ni ule unao toka kwa wakweli na wenye uhakika na habari husika.

Mayahudi mengi katika habari waliziharibu ndiyo maana aya zimekuja kuwakemea sana.

Wangekuwa wana sifa hiyo wangetunza nasaba zao zifike mpaka kwa Yakubu,mnyonge mnyongeni ila hako yake mpeni katika watu wenye kutunza maandiko yao ni Waarabu kuanzia wale wa kale mpaka sasa. Hili hupingi mpaka mna kufa.

Mfano mzuri leo hii Mayahudi wanajinasibisha kwa nabii Musa (Japo ukweli ulivyo ni kinyume) ila hawana chain inayo fika mpaka kwa Musa. Sasa vipi wao wawe ni wenye sifa ya kutunza maandiko yao kuzidi wengine.

Sasa ili uwe mkweli,wewe pinga kwa elimu ya kuwa Uzeir hakuwahi kuwepo.
 
ww ilimu ya roho hukupewa [emoji13][emoji13]
Ungekuwa nayo usinge nunua jiwe kwa dola kisha kuvua nguo zote ikiwemo chupi kisha kuvaa vipande viwili vya vitambaa bila chupi, na ukiwa nusu uchi eti unampiga shetani kwa mawe [emoji13][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Roho wenu itakuwa ndiyo yule njiwa aliyemshukia Brian Deacon begani. Nyie makafiri mnashida sana. Mnaabudu njiwa mara yule mcheza movie.
 
Back
Top Bottom