Ulicho andika ni Ushahidi kwamba quran Haina SIFA wala MAMLAKA ya Kuwa REJEA Thabiti!; labda kwa watunzi wa Mashairi!
Nakupa mfano huu
[emoji1370][emoji1370]
Allah Subhanahu Wa Ta'ala alisema:
خَتَمَ اللَّهُ عَلٰى قُلُوبِهِمْ وَعَلٰى سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلٰىٓ أَبْصٰرِهِمْ غِشٰوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَاب
"Mwenyezi Mungu ameweka muhuri juu ya nyoyo zao na masikio yao. Na juu ya maono yao kuna pazia. Nao watapata adhabu kubwa."
Al-Baqara 2:7
Kuangalia aya hapo juu ni nani wa kulaumiwa kwa wasio Amini wakati allah ndio alie sababisha watu wasiamini?! ambaye ameweka muhuri juu ya nyoyo zao na vizibo?
Kama Unasema qurani ni Rejea Thabiti basi Tuthibitishie kama Ilivyo sheria ya Ushahidi Inavyo Elekeza kwenye Torati Ambayo Unaiamini!
[emoji1370][emoji1370]
KUM. 19:15 Shahidi mmoja asimwinukie mtu awaye yote kumshuhudia kwa uovu wo wote, wala kwa dhambi yo yote, katika makosa akosayo yo yote; jambo na lithibitishwe kwa vinywa vya mashahidi wawili, au watatu.
Sent from my TECNO-W5 using
JamiiForums mobile app