medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,446
- 1,533
Hata huyo King James mengine alikuwa anayaruka.Neno kama halina huwa linakopwa
Hata huyo King James mengine alikuwa anayaruka.Neno kama halina huwa linakopwa
Wenzako wakitambua shin (ugoko) wa Allah wewe utakuwa unadai translation imekosewa 😂 😂Haujui ni kilaza. Sio kila neno lina tafsiri kutoka lugha moja kwenda nyingine.
Wenzako wakitambua shin (ugoko) wa Allah wewe utakuwa unadai translation imekosewa 😂 😂
Koran 68:42. Siku utakapo wekwa wazi ugoko, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza
Wenzako wakitambua shin (ugoko) wa Allah wewe utakuwa unadai translation imekosewa 😂 😂
Koran 68:42. Siku utakapo wekwa wazi ugoko, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza
Nipe reference ulipogoogle nikukamate vizuri.Wenzako wakitambua shin (ugoko) wa Allah wewe utakuwa unadai translation imekosewa 😂 😂
Koran 68:42. Siku utakapo wekwa wazi ugoko, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza
Kijana mundi ni ugoko , Yani sehemu ya mguu mbele chini ya goti , kwani unashida gani na neno ugoko?View attachment 1855004
Na hiyo itafutie tafsir tukuone unafiki wako hapa.
Lete reference kama mundi ni ugoko tu. Kwa nini ubadilishe? Wapi wametaja mundi ni ugoko tu.Kijana mundi ni ugoko , Yani sehemu ya mguu mbele chini ya goti , kwani unashida gani na neno ugoko?
Gusa hapa , hivi nitakufundisha mpaka lini , kumbuka Mimi sio mwalimu wako wa madrasa.Lete reference kama mundi ni ugoko tu. Kwa nini ubadilishe? Wapi wametaja mundi ni ugoko tu.
Kwa hiyo usilazimishe. Thibitisha neno mundi kama ugoko. Si zipo kamusi za kidwWenzako wakitambua shin (ugoko) wa Allah wewe utakuwa unadai translation imekosewa 😂 😂
Koran 68:42. Siku utakapo wekwa wazi ugoko, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza
Tunazungumzia mundi na sio muundi. Na Kwa kingereza mbona imeandikwa tibia kama ndiyo chanzo chako.Gusa hapa , hivi nitakufundisha mpaka lini , kumbuka Mimi sio mwalimu wako wa madrasa.
![]()
Muundi - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.m.wikipedia.org
Sasa tibia ni nini , nina mashaka kama Una akili timamu , uwezo wako wa kufikiri upo chini SanaKwa hiyo usilazimishe. Thibitisha neno mundi kama ugoko. Si zipo kamusi za kidw
Tunazungumzia mundi na sio muundi. Na Kwa kingereza mbona imeandikwa tibia kama ndiyo chanzo chako.
Embu toa maelezo Yako Mundi ni nini maana naona unapoteza mda na vitu vidogoKwa hiyo usilazimishe. Thibitisha neno mundi kama ugoko. Si zipo kamusi za kidw
Tunazungumzia mundi na sio muundi. Na Kwa kingereza mbona imeandikwa tibia kama ndiyo chanzo chako.
Wenzako wakitambua shin (ugoko) wa Allah wewe utakuwa unadai translation imekosewa 😂 😂
Koran 68:42. Siku utakapo wekwa wazi ugoko, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza
Kama we ilivyo chini. Kasome biology.Sasa tibia ni nini , nina mashaka kama Una akili timamu , uwezo wako wa kufikiri upo chini Sana
Tafuta hapo kwenye aya utapataEmbu toa maelezo Yako Mundi ni nini maana naona unapoteza mda na vitu vidogo
Nimekwambia Leta maana ya Mundi unaanza kusema nikatafute , rudi madrasa huu ni ushahuri wangu kwako ,Tafuta hapo kwenye aya utapataView attachment 1855044
Nimekwambia Leta maana ya Mundi unaanza kusema nikatafute , rudi madrasa huu ni ushahuri wangu kwako ,
Mundi - weka maana au toa maelezo Mundi ni nini
Nenda kagoogle. Kingereza fanya translation. Kama umeshindwa omba nikusaidie.Nimekwambia Leta maana ya Mundi unaanza kusema nikatafute , rudi madrasa huu ni ushahuri wangu kwako ,
Mundi - weka maana au toa maelezo Mundi ni nini
Saidia Leta maana ya neno mundiNenda kagoogle. Kingereza fanya translation. Kama umeshindwa omba nikusaidie.
Kishindo dhahiriSaidia Leta maana ya neno mundi
😆😆😆😆😆😆😆😆😆 Basi tumemaliza , stupidity is amazingKishindo dhahiri
Nimecheka sana , kwa hiyo waislamu wenzako walikosa neno hili ambayo wewe umeliwekwa wao wakaandika shin au Mundi, hongera Sana nakushauri toa translation Yako ya koran kwa English na swahiliKishindo dhahiri
Hivi Ibada ipi ni afadhali, kati ya hizi hapa.
1. Ile ambayo waumini wamechanganyika na vinyago vya miti ya mpingo na simenti.
2. Ile ambayo waumini wanachanganyika na Majini, yaani Jini Makata, Belzeburi, Popobawa, Legioni, Lewiathani, Jini Mahaba,
Jini Afrit, Jin Marid, Jinn Ghoul, Jinn Si'lat, Jinn Nasnas, Jin Hatif, Jinn Hinn, Jinn Malak. Nk
(to mention few Islamic Jinns)
Wakimwabudu Allah ?
Ipi Ibada nafuu hapo ?
Bosi Gavana,
Utacheka sana mgalatia. Ibn Abbas umtumii akufafanulie na hiyo. Mbona hii translation unaikataa? Au unachaguaNimecheka sana , kwa hiyo waislamu wenzako walikosa neno hili ambayo wewe umeliwekwa wao wakaandika shin au Mundi, hongera Sana nakushauri toa translation Yako ya koran kwa English na swahili