Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Hapana. Brian Deacon yule kwenye movie hadi picha yake tunaweka kwenye makanisa.View attachment 1850401
Ndio sababu alibaka [emoji83][emoji83]
pmm-shy-prophet.jpg
 
Ushaidi nilisha weka nenda kasome Koran 27:
  • Kama anauwezo wa kujibadili maumbo mbalimbali nini kinakufanya useme hawezi kujibadili kuwa moto, Je unajua ana maumbo mangapi mpaka ukatae la moto,
  • Kumbuka kukataa maumbo ya allah sio tu wewe mpaka siku ya mwisho akiwajia na umbo lingine ambalo hamlijui mtamkataa kabisa,
    • Some people said, "O Allah's Messenger (ﷺ)! Shall we see our Lord on the Day of Resurrection?" He said,..................Allah will come to them in a shape other than they know and will say, 'I am your Lord.' They will say, 'We seek refuge with Allah from you..........Sahih al-Bukhari 6573
  • Atajibadili kwenye umbo mnalo lijua ndio mtamkubali
    • Then Allah will come to then in a shape they know and will say, "I am your Lord.' They will say, '(No doubt) You are our Lord,' Sahih al-Bukhari 6573
Wapi kwenye aya inasema alijigeuza moto? Uthibitishe hilo kwanza ndiyo tuhamie huku.
 
Lete uthibitisho wa Marko, Luka, Mathayo na Yohana walikuwa mashuhuda wa matukio hata kwa rejea ya kubuni.
Unataka kuniambia walikuwa wanaandika kwa kushuhudia na sio roho mtakatifu tena?
Mathayo alikuwa mmoja kati ya Wanafunzi wa Yesu Kristo.
Luka ni Msomi PHD in Medicine, Mtafiti Nguli.

Wengine tafuta walikuwa wanahusika vipi na Injiri ya Yesu Kristo.
 
Ushaidi nilisha weka nenda kasome Koran 27:
  • Kama anauwezo wa kujibadili maumbo mbalimbali nini kinakufanya useme hawezi kujibadili kuwa moto, Je unajua ana maumbo mangapi mpaka ukatae la moto,
  • Kumbuka kukataa maumbo ya allah sio tu wewe mpaka siku ya mwisho akiwajia na umbo lingine ambalo hamlijui mtamkataa kabisa,
    • Some people said, "O Allah's Messenger (ﷺ)! Shall we see our Lord on the Day of Resurrection?" He said,..................Allah will come to them in a shape other than they know and will say, 'I am your Lord.' They will say, 'We seek refuge with Allah from you..........Sahih al-Bukhari 6573
  • Atajibadili kwenye umbo mnalo lijua ndio mtamkubali
    • Then Allah will come to then in a shape they know and will say, "I am your Lord.' They will say, '(No doubt) You are our Lord,' Sahih al-Bukhari 6573
Si unaona swali nililomuuliza mwenzako kuhusu kusulubiwa hadi kumuwekea ushahidi wa video.
 
Mathayo alikuwa mmoja kati ya Wanafunzi wa Yesu Kristo.
Luka ni Msomi PHD in Medicine, Mtafiti Nguli.

Wengine tafuta walikuwa wanahusika vipi na Injiri ya Yesu Kristo.
Naona sasa umeamua kuleta uongo sasa PhD in Medicine. Mwisho utakuja kusema Marko ana PhD ya Computer Science.
 
Naona sasa umeamua kuleta uongo sasa PhD in Medicine. Mwisho utakuja kusema Marko ana PhD ya Computer Science.
Watu muhimu walioandikwa kwenye Biblia ni watu walioishi na sio wa kufikirika.
Historia zao Zipo.
Sasa wewe unakanushaje jambo ambalo hulifahamu ?
Luka ni Dactari ki Professional
Alijulikana kama
Professor Luke.

Soma kijana.
Ndio maana Muhammadi aliambiwa
"Soma ewe Mtume"
 
Watu muhimu walioandikwa kwenye Biblia ni watu walioishi na sio wa kufikirika.
Historia zao Zipo.
Sasa wewe unakanushaje jambo ambalo hulifahamu ?
Luka ni Dactari ki Professional

Soma kijana.
Ndio maana Muhammadi aliambiwa
"Soma ewe Mtume"
Alisoma chuo gani? Uweke hiyo reference haya matango pori nani amekulisha kwamba PhD zilikuwepo enzi hizo? Hata wakristo wenzako hawakubali uongo wako huu.
 
Watu muhimu walioandikwa kwenye Biblia ni watu walioishi na sio wa kufikirika.
Historia zao Zipo.
Sasa wewe unakanushaje jambo ambalo hulifahamu ?
Luka ni Dactari ki Professional
Alijulikana kama
Professor Luke.

Soma kijana.
Ndio maana Muhammadi aliambiwa
"Soma ewe Mtume"

Again, I am utterly shocked at the logical inaccuracies located in the Bible. I mean I really expected more from the most powerful being to have ever existed. Bibelcitat, Bibelverser, Photoshop, Kristendom, Citat, Kentaurer, Citat
 
Wapi kwenye aya inasema alijigeuza moto? Uthibitishe hilo kwanza ndiyo tuhamie huku.
27:7 : Hakika nimeona moto, nitakwenda nikuleteeni khabari,............ 27:9. Ewe Musa! Hakika Mimi ndiye Allah,
unataka kusema Allah alitumia simu kama ulivyosema mwanzoni , na moto uliwezaje kusema "Hakika Mimi ndiye Allah" huu muto mbona umefanya shirk
Turudi kwenye kujibadili maumbo, je kati ya maumbo ya Allah hakuna umbo la moto
  • Kumbuka kukataa maumbo ya allah sio tu wewe mpaka siku ya mwisho akiwajia na umbo lingine ambalo hamlijui mtamkataa kabisa,
    • Some people said, "O Allah's Messenger (ﷺ)! Shall we see our Lord on the Day of Resurrection?" He said,..................Allah will come to them in a shape other than they know and will say, 'I am your Lord.' They will say, 'We seek refuge with Allah from you..........Sahih al-Bukhari 6573
  • Atajibadili kwenye umbo mnalo lijua ndio mtamkubali
    • Then Allah will come to them in a shape they know and will say, "I am your Lord.' They will say, '(No doubt) You are our Lord,' Sahih al-Bukhari 6573
 
Alisoma chuo gani? Uweke hiyo reference haya matango pori nani amekulisha kwamba PhD zilikuwepo enzi hizo? Hata wakristo wenzako hawakubali uongo wako huu.
Yaani wewe hata ku Google huwezi kabisa.
Loh...!
Ni ajabu na Kweli.
Unashindwa kuitafuta hata Historia ya Professor Luke Mtandaoni.
Mbona mliambiwa mtafute elimu hadi Uchina ?

Someni vijana wa Kiislamu.
Someni Elimu Dunia.
 
@Gavana,kama una dukuduku karibu uulize swali.
Kama siliwezi nitakuambia siliwezi mimi, wengine wanaweza.
Kama kukukujibu nitakujibu.

Huku hatufichifichi habari.
Uliza ujibiwe pale ambapo hupafahamu.
 
27:7 : Hakika nimeona moto, nitakwenda nikuleteeni khabari,............ 27:9. Ewe Musa! Hakika Mimi ndiye Allah,
unataka kusema Allah alitumia simu kama ulivyosema mwanzoni , na moto uliwezaje kusema "Hakika Mimi ndiye Allah" huu muto mbona umefanya shirk
Turudi kwenye kujibadili maumbo, je kati ya maumbo ya Allah hakuna umbo la moto
  • Kumbuka kukataa maumbo ya allah sio tu wewe mpaka siku ya mwisho akiwajia na umbo lingine ambalo hamlijui mtamkataa kabisa,
    • Some people said, "O Allah's Messenger (ﷺ)! Shall we see our Lord on the Day of Resurrection?" He said,..................Allah will come to them in a shape other than they know and will say, 'I am your Lord.' They will say, 'We seek refuge with Allah from you..........Sahih al-Bukhari 6573
  • Atajibadili kwenye umbo mnalo lijua ndio mtamkubali
    • Then Allah will come to them in a shape they know and will say, "I am your Lord.' They will say, '(No doubt) You are our Lord,' Sahih al-Bukhari 6573

27:7 : Hakika nimeona moto, nitakwenda nikuleteeni khabari,............ 27:9. Ewe Musa! Hakika Mimi ndiye Allah,
unataka kusema Allah alitumia simu kama ulivyosema mwanzoni , na moto uliwezaje kusema "Hakika Mimi ndiye Allah" huu muto mbona umefanya shirk
Turudi kwenye kujibadili maumbo, je kati ya maumbo ya Allah hakuna umbo la moto
  • Kumbuka kukataa maumbo ya allah sio tu wewe mpaka siku ya mwisho akiwajia na umbo lingine ambalo hamlijui mtamkataa kabisa,
    • Some people said, "O Allah's Messenger (ﷺ)! Shall we see our Lord on the Day of Resurrection?" He said,..................Allah will come to them in a shape other than they know and will say, 'I am your Lord.' They will say, 'We seek refuge with Allah from you..........Sahih al-Bukhari 6573
  • Atajibadili kwenye umbo mnalo lijua ndio mtamkubali
    • Then Allah will come to them in a shape they know and will say, "I am your Lord.' They will say, '(No doubt) You are our Lord,' Sahih al-Bukhari 6573
We unaona Mussa ameona moto alipokuwa na wenzake. Akawapa taarifa ya kwenda kwamba anaweza kuleta habari au kuwaletea kijinga cha moto. Alipofika ndiyo akasikia sauti ikinadiwa na wala haijasema akasikia moto unasema au Mungu mfano wa moto.
Nakupa mfano wa aya. Ulete andiko dhahiri kama hili:

Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu.(19:17)

Masuala ya ujanja hatutaki. We hauoni mi nikiuliza swali hakuna tafsiri za ujanja ujanja.
 
Yaani wewe hata ku Google huwezi kabisa.
Loh...!
Ni ajabu na Kweli.
Unashindwa kuitafuta hata Historia ya Professor Luke Mtandaoni.
Mbona mliambiwa mtafute elimu hadi Uchina ?

Someni vijana wa Kiislamu.
Someni Elimu Dunia.
Sasa hivi amepanda kuwa Professor sio Dr tena.
 
We unaona Mussa ameona moto alipokuwa na wenzake. Akawapa taarifa ya kwenda kwamba anaweza kuleta habari au kuwaletea kijinga cha moto. Alipofika ndiyo akasikia sauti ikinadiwa na wala haijasema akasikia moto unasema au Mungu mfano wa moto.
Nakupa mfano wa aya. Ulete andiko dhahiri kama hili:

Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu.(19:17)

Masuala ya ujanja hatutaki. We hauoni mi nikiuliza swali hakuna tafsiri za ujanja ujanja.
Nimeshamaliza wewe endelea kubisha , endelea kuelemika 28:30.....aliitwa........kutoka kwenye mti: Ewe Musa! Hakika Mimi ni Allah
  • Turudi kwenye hili la Allah kubadili maumbo ,
  1. Je waislamu mshaona maumbo yake mangapi?
  2. kwa nini mtakataa umbo lake jipya?
  3. je akibadili umbo lile la kwanza linakuwa wapi?
  4. je allah anakuwa ndani ya hilo umbo au anakuwa kwa nje? , ukiwa unajibu weka akilini allah sio roho na wala hana roho ni physical stracture
    • Some people said, "O Allah's Messenger (ﷺ)! Shall we see our Lord on the Day of Resurrection?" He said,..................Allah will come to them in a shape other than they know and will say, 'I am your Lord.' They will say, 'We seek refuge with Allah from you..........Sahih al-Bukhari 6573
  5. Atajibadili kwenye umbo mnalo lijua ndio mtamkubali
    • Then Allah will come to them in a shape they know and will say, "I am your Lord.' They will say, '(No doubt) You are our Lord,' Sahih al-Bukhari 6573
 
Back
Top Bottom