Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?


_Embu tuambie waisrael walifanya nini mpaka leo Nyama zinaoza , ila binadamu wametengeza ma freezer wanazizui zisioze
_Anasema pia kama sio eve wanawake wasinge kuwa wasaliti kwenye ndoa zao, eve amehusikaje tueleze

He reported God’s Messenger as saying, “Had it not been for the B. Isra’il meat would not have gone bad, and had it not been for Eve a woman would never have acted unfaithfully towards her husband.’’ (Bukhari and Muslim.)
 
Nimecheka sana,wapi Allah ameyasema haya ? Wapi Allah amesema kama si Muhammad asinge umba Ulimwengu ?

Sijui hujaleewa wapi kijana ? Chain iko hivi "Allah-Lawhul Mahfudh-Jibril-Muhammad". Mpaka Qur'aan ikaitwa maneno ya Allah maana yake yanatoka kwake.

Ni nabii Musa pekee aliongoleshwa na Allah moja kwa moja. Weka akilini hili. Nimekutolea mfano wa aya ya karibu tu hapo,aya ya kwanza sura 66. Nikakuuliza hujajiuliza swali hapo ? Sasa jitahidi usome huku unatafakari.


Ndiyo maana tunaposoma au kuandika aya tunasema hivi "Anasema Allah mtukufu" maana ni Allah amesema. Sasa hoja yako iko wapi ? Jenga hoja usilalame.

Allah hashindwi na chochote na huo ndiyo ufasaha wa Qur'aan na hapangiwi.

Nacheka sana,inaonekana Qur'aan huijui kabisa. Ukitaka uone maajabu ya Qur'aan soma namna ya usimuliaji wa visa mule ndani,unakuta kisa kimesimuliwa zaidi ya sehemu tatu,lakini hukuti utofauti hata chembe.

Nasema tena hivi huwezi kulinganisha Qur'aan na kitabu chochote hapa ulimwenguni kwa ufasaha na usahihi,baada ya Qur'aan kinafata Sahihi al Bukhari kwa usahihi,kisha sahihi Muslimu.
_Kati ya vitabu vya mashairi vilivyo andikwa na kuacha utata ni hicho
_ alafu Kama hujui wapi Allah alisema kama sio Muhammad asinge umba ulimwengu nenda kasome hiyo ni home work ninekupa , kasome pia kwenye kiti chake kaandika Jina la Muhammad, kasome pia Adam alivyopiga chafya akatamka jina la Muhammad
_kuandika stori mara tatu au nne sio tija maana muhandishi alikuwa anakopi tu kutoka surah moja anapeleka kwingine , muhandishi ni mmoja unategemea akosee vipi , pili alikuwa anajaribu kujaza kitabu

_ nijibu leo scholar unaemuamini ni yupi Kati ya scholar wenu ILI usiwe unanipoteza muda
 
_Kati ya vitabu vya mashairi vilivyo andikwa na kuacha utata ni hicho
Bora ungeachana na huu mjadala kijana. Nakupa mpaka miaka mia,uthibitishe ya kuwa Qur'aan ni kitabu cha mashairi.

Waarabu wenyewe na ubingwa wao wa lugha hii,hawakuthibitisha ya kuwa Qur'aan ni mashairi. Wasome washairi wa kale wa Kiarabu kama vile Imru al Qaysi au al 'Antara bin Shaddaad.

Inaonekana huijui elimu ya Arudhi na Kawafi ya ushairi wa Kiarabu.
_ alafu Kama hujui wapi Allah alisema kama sio Muhammad asinge umba ulimwengu nenda kasome hiyo ni home work ninekupa , kasome pia kwenye kiti chake kaandika Jina la Muhammad, kasome pia Adam
Hii siyo kazi yangu kijana,hili unatakiwa useme wewe,na usipo sema wewe ni muongo,hakuna kazi za kipuuzi kama hizi mwenye akili timamu kama mimi nifanye.

Hili deni lingine,najua nyinyi si wasomaji ni watu wa kusikia sikia,sasa ama ulete ushahidi wa kitabu au uniambie umesikia kwa nani.
_kuandika stori mara tatu au nne sio tija maana muhandishi alikuwa anakopi tu kutoka surah moja anapeleka kwingine , muhandishi ni mmoja unategemea akosee vipi , pili alikuwa anajaribu kujaza kitabu
Kama siyo tija,andika wewe. Thibitisha hilo kama alikuwa ana copy. Nakuuliza kwani muandishi wa Qur'aan ni nani ?

Qur'aan mpaka inakamilika ilichuku miaka 23,angekuwa ana jaza kitabu angejaza zamani sana.
nijibu leo scholar unaemuamini ni yupi Kati ya scholar wenu ILI usiwe unanipoteza
Mimi nina waamini wanazuoni wote ambao wanafata Qur'aan na Sunnah kwa ufahamu wa wema walio tangulia.

Usichokijua ni kuwa Imamu Suyuti ni katika Wanazuoni wakubwa na wanao heshimika sana na tuna warejea,na amefanya kazi kubwa sana katika kuihudumia dini,hakuna fani inayo husu Uislamu hajaiandikia kitabu,ni mbobezi wa lugha,mbobezi wa sheria,mbobezi wa tafsiri,mbobezi wa hadithi,na uzuri alikuwa anajijua kama yeye kweli ana elimu,na alikuwa anawaambia watu mimi Mola wangu amenipa elimu nyingi sana(au kama alivyosema). Ameandika mpaka kwenye mambo ya fani ya Mantiki(logic) ana vitabu kama vitatu kwenye fani hii. Kitabu kimoja ambacho nilikuwa nakisoma hivi karibuni kinaitwa "Jahd al Qariha fi tajrid an Nasiha" akifanya ufupisho wa kitabu cha Shaykhul Islaam Ibn Taymiiyyah kiitwacho "Nasiha ahlul imaan fi raddi al mantiq al Yunani" akikosoa misingi ya fani ya logic ya Wagiriko kina Aristoto na Plato. Kwahiyo ni wanazuoni wakubwa na tuna waamini,na pindi wanapo enda kinyume na hadithi au aya,tunafata hadithi na aya.
 
Kijana kwanza umeelewa nilicho kiandika ?

Pili,niliyo yaweka nimeyatoa kwenye Tafsiri ya mwanachuoni mkubwa wa Historia na Tafsiri aitwaye Ibn Kathir,kama nimezua sema,lakini Ibn Kathir amenukuu hadithi yaani athari toka kwa swahaba Ubayd ni 'Umayr sasa niambie kati ya Waandishi wa Tafsiri ya Jalalayn na Swahaba nani yuko sahihi ?

Tatu,imamu Ibn Kathir na imamu Suyuti wamepishana takribani karne moja au mbili,imamu Suyuti alifariki mwaka 911H kama sikosei au alizaliwa mwaka huo,na imamu Ibn Kathir ni miaka ya mia 7 huko Hijiriya.

Sasa usiwe mjinga kiasi hiki katika mijadala ya kielimu.

Ninacho kuusia kwa sasa hakikini Biblia yenu,sababu mwenzako nimemuuliza maswali amekimbia.
Nina swali nakuuliza tena maana nilishwa wahi kuuliza hukujibu.
Kwa hoja zako za kumpinga Al jalalayn ni wazi kama unasema kadanganya, kwa nini waislamu hamna authentic source za maelezo ya Koran na ukifahamu kwamba Koran ni mashairi na huwezi elewa mpaka ukasome tafsir

Wewe unampinga Al jalalayn na Kuna mwingine alimpinga Ib Kathir wazi kabisa
 
Hujajibu maswali niliyo kuuliza.

Hakuna dhambi ulilo onyesha. Kwamba una kataa Mayahudi hawakusema ya kuwa Uzeir ni mwana Mungu ?

Unajua kuna muda naona wewe una matatizo ya akili kabisa. Kwamba Wakristo hamsemi ya kuwa Masihi ni mwana wa Mungu ? Dhambi liko wapi ?

Ungekuwa na akili timamu tu,kwa aya hiyo ungeamini ukweli wa Mtume,sababu hakuna la uongo alilosema wala dhambi hiyo hana. Niambie Wakristo hamsemi Yesu ni mwana wa Mungu ?
Nakubaliana na ww kwa Mujibu wa ilimu isilamu na kisilamu silamu Hiyo sio dhambi ilaha ni UTAKATIFU![emoji106]

Mwenye matatizo ya akili ni baba kasimu!!
ameokota stori vijiwe vya ghahawa pale makka na madina mazungumzo ya wayahudi na Wakristo akawapelekea warabu na kudai mafunuo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndipo hata Wayahudi wakamuita Mzushi mpotovu!

Hebu weka ushahidi Wayahudi walipo sema uzeir ni mwana wa mungu kama sio Uzushi! ni Ushahidi kwamba ni pale alipo logwa na Yahud laabid na kuanza kuweweseka mkadhani ni mafunuo na mkaanza kupiga takbir badala ya kumtibu[emoji24][emoji24][emoji24]

Ona Uzushi mwingine huu hapa
[emoji116][emoji116]
Allah Subhanahu Wa Ta'ala alisema:

خَتَمَ اللَّهُ عَلٰى قُلُوبِهِمْ وَعَلٰى سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلٰىٓ أَبْصٰرِهِمْ غِشٰوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَاب
"Mwenyezi Mungu ameweka muhuri juu ya nyoyo zao na masikio yao. Na juu ya maono yao kuna pazia. Nao watapata adhabu kubwa."
(Q. Al-Baqara 2:7)

Ukiangalia aya hapo juu ni nani wa kulaumiwa kwa wasio Amini wakati allah ndio alie sababisha watu wasiamini?! ambaye ameweka muhuri juu ya nyoyo zao na vizibo?

Unapo kuwa muongo uifahamu na kweli!
 
Nina swali nakuuliza tena maana nilishwa wahi kuuliza hukujibu.
Kwa hoja zako za kumpinga Al jalalayn ni wazi kama unasema kadanganya, kwa nini waislamu hamna authentic source za maelezo ya Koran na ukifahamu kwamba Koran ni mashairi na huwezi elewa mpaka ukasome tafsir

Wewe unampinga Al jalalayn na Kuna mwingine alimpinga Ib Kathir wazi kabisa
Kwanza thibibitisha ya kuwa Qur'aan ni Mashairi,kisha nikujibu swali lako,maana hili umelikimbia. Usikimbie swali.
 
Nakubaliana na ww kwa Mujibu wa ilimu isilamu na kisilamu silamu Hiyo sio dhambi ilaha ni UTAKATIFU![emoji106]

Mwenye matatizo ya akili ni baba kasimu!!
ameokota stori vijiwe vya ghahawa pale makka na madina mazungumzo ya wayahudi na Wakristo akawapelekea warabu na kudai mafunuo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndipo hata Wayahudi wakamuita Mzushi mpotovu!

Hebu weka ushahidi Wayahudi walipo sema uzeir ni mwana wa mungu kama sio Uzushi! ni Ushahidi kwamba ni pale alipo logwa na Yahud laabid na kuanza kuweweseka mkadhani ni mafunuo na mkaanza kupiga takbir badala ya kumtibu[emoji24][emoji24][emoji24]

Ona Uzushi mwingine huu hapa
[emoji116][emoji116]
Allah Subhanahu Wa Ta'ala alisema:

خَتَمَ اللَّهُ عَلٰى قُلُوبِهِمْ وَعَلٰى سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلٰىٓ أَبْصٰرِهِمْ غِشٰوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَاب
"Mwenyezi Mungu ameweka muhuri juu ya nyoyo zao na masikio yao. Na juu ya maono yao kuna pazia. Nao watapata adhabu kubwa."
(Q. Al-Baqara 2:7)

Ukiangalia aya hapo juu ni nani wa kulaumiwa kwa wasio Amini wakati allah ndio alie sababisha watu wasiamini?! ambaye ameweka muhuri juu ya nyoyo zao na vizibo?

Unapo kuwa muongo uifahamu na kweli!
Jibu maswali yangu. Ndiyo maana huwa nakupuuza kijana.
 
Wapi imesemwa alikuwa kwenye moto? Mfano, nikikupigia simu, simu ikiwa inaongea inamaana mi nipo ndani ya simu au simu ndiyo inaongea? Uliza maswali ya kiutuzima kijana.
Sio alikuwa kwenye moto ilaha allah ni moto
 
Kikafiri kafiri umepatia.
kisilamu silamu jibu lako umepata[emoji23][emoji23]
Unafanya zoezi la kujamba wakati una tumbo la uharo?![emoji13][emoji13]
Ona ulivyo jinyea!
Kama unaona huwezi kumnusuru baba kasimu mungu wako anakwambie jinyonge
مَن كَانَ يَظُنُّ أَن لَّن يَنصُرَهُ اللَّهُ فِي الدُّنْيَا وَالْآخِرَةِ فَلْيَمْدُدْ بِسَبَبٍ إِلَى السَّمَاءِ ثُمَّ لْيَقْطَعْ فَلْيَنظُرْ هَلْ يُذْهِبَنَّ كَيْدُهُ مَا يَغِيظُ

[ AL -HAJJ - 15 ]
Anaye dhani kwamba Mwenyezi Mungu hatamnusuru (Mtume) katika dunia na Akhera na afunge kamba kwenye dari kisha aikate. Atazame je hila yake itaondoa hayo yaliyo mkasirisha?

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jibu maswali yangu. Ndiyo maana huwa nakupuuza kijana.
Kinacho kuzuia kuja na hii singo kama baba kasimu sikioni[emoji23][emoji23]

قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ
1.
Sema: Enyi makafiri!
لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ
2.
Siabudu mnacho kiabudu;
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ
3.
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ
4.
Wala sitaabudu mnacho abudu.
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ
5.
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ
6.
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu
 
Nimekucheka kwa sababu nyie mna mungu ambae sio muweza wa yote , kwa hiyo alivyosema amekuwa moto mnambishia maana mnajua hawezi
Tena aya Inasema bila kuuma Maneno!; "HAKIKA MIMI NI MUNGU WAKO"
 
Kinacho kuzuia kuja na hii singo kama baba kasimu sikioni[emoji23][emoji23]

قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ
1.
Sema: Enyi makafiri!
لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ
2.
Siabudu mnacho kiabudu;
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ
3.
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ
4.
Wala sitaabudu mnacho abudu.
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ
5.
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ
6.
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu
Poa.
 
_Embu tuambie waisrael walifanya nini mpaka leo Nyama zinaoza , ila binadamu wametengeza ma freezer wanazizui zisioze
_Anasema pia kama sio eve wanawake wasinge kuwa wasaliti kwenye ndoa zao, eve amehusikaje tueleze

He reported God’s Messenger as saying, “Had it not been for the B. Isra’il meat would not have gone bad, and had it not been for Eve a woman would never have acted unfaithfully towards her husband.’’ (Bukhari and Muslim.)


Yesu anakuambia


1626038437918.png
 
Tena aya Inasema bila kuuma Maneno!; "HAKIKA MIMI NI MUNGU WAKO"




1.How can satan say to jesus that bow down and worship me and i will give you everything (Matthew 4:9) when everything belongs to Jesus (if he is god) as he himself said that all power is given to him of heavens and earth (Matthew 28:18)??
(Read question 2)

2. Satan also tempts Adam and Eve in genesis and if satan is so powerful and capable of tempting Jesus the Christian god himself as stated above then why should Adam and Eve be blamed for the downfall of mankind who dint even had the knowledge of what is right or wrong .??
(Read Genesis 3:1)

3. Christians say that Jesus was the son of god. Proof is there in the bible (if it compared with in the context of psalm 82:6,Luke 3:38 and John 8:41 then everybody are sons of god) and as well as god the son. The phrase God the Son (of trinity) does not even exists in the entire bible so from where does Christians got this theory or term from.??

4. It is ridiculous that Christians to prove the superiority and divinity of Jesus boast that Moses and Muhammad (PBUT) are dead and buried but Jesus is alive and is in the heavens. If that proves the divinity than even Elijah should be considered divine as even he raised the dead (1 Kings 17:17-22 ) and was also raised to heavens in 2 kings 2:11 and also Jesus said that even he did miracles through the will of God Luke 11:20??

5.If Jesus was a Jew or if Jews are chosen sons of God then why did he said that Jews are the sons of satan. John 8:44 said “You are of your father the devil and you want to do the desires of your father. He was a murderer from the beginning”. Is God of the Bible a satan according to Jesus or is he is cursing himself if he is god. Though it should not be taken literally but this certainly proves that Jesus himself admitted that Jews were no longer the chosen people of God but still today Zionist Christians and many Christians believe that they are indeed the chosen people of God. As we can see in my question 1. That Jesus answered to the temptation of devil of worshipping him by saying “You shall worship the Lord your God” and Him only you shall serve (Matthew 4:10 and Luke 4:8). If he really is a god,he should have said that “you must worship me alone”.
 
Allah alikuwa moto , wala sio alikuwa kwenye moto na ule moto ulisema wazi Mimi ni Allah

6. If only miracles prove divinity then Moses,Joshua and Ezekiel should also be considered more divine then Jesus. Moses turned wooden staff(plant kingdom) into a snake (animal kingdom) in Exodus 7:9. Joshua stopped the sun (a global event) in Joshua 10:13. Ezekiel from dry bones raised the dead in Ezekiel 37:1-14. Again everybody must know the even Jesus said that he did miracles through the help of God Luke 11:20.

7. If not having human father proves divinity then Adam should be considered more divine than Jesus as he did not have a human father and a mother. If that is not enough then this high priest of Salem – Melchizedek mentioned in Hebrew 7:1 describes as having without father without mother and without beginning of days and end of life. Is also mentioned in Genesis 14:18 and Psalm 110:4. So Christians,why and what makes Jesus so unique that your worship him??

8. In Job 25:4 said,”How then can man be justified with God OR how can he be clean that is born of a women?”. Didn’t Jesus also had his own share of original sin after all he was also born of a woman. Also read in John 8:7 Where he says the first to stone the adultress should be the one who is without sin. He could have also stonned her as even he obeyed (Read my question 17) and also commanded to obey law of Moses in Matthew 5:17-19.

9. If Jesus came to die for the sins of mankind then what about those who came before Jesus. And what about millions of gentiles to whom did not sent any prophets or gave some scriptures like the jews claim that prophets and scriptures is their monopoly. (please read my question 19)

10. The bible says in Numbers 23:19,”God is not a man that he should lie neither the son of man that he should repent”. Then why do Christians believe that Jesus (on which bible itself says that he was both man as wells as a son of man) is God??
 
Huwezi kujitete kwa hoji dhaifu Allah alituwa na Koran kabla hata ulimwengu haujaumbwa na ni maneno yake , mpaka Kuna maali alikuwa anasema kama sio Muhammad nisinge umba ulimwengu.

Allah anaongea hapa na wala sio jibril wala Muhammad

[ AT-TAWBA - 30 ]
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!


Alishindwa nini kusema nitawaangamiza

Point kubwa ni kwamba alieandika Koran alikuwa anashindwa ku switch from first person to third person, Muhammad alikuwa anashindwa kujitoa kuongea yeye na ku switch kwenda kuongea Allah
Allah kwa maswala ya kusali na kuomba huwezi kumpata.

Anamkumbuka sana Mungu wake.
Tatizo lake huwa anawaombea Maadui zake mambo mabaya.
Ile Amri ya Bwana Yesu ya mpende jirani yako, waombeeni mema maadui zenu yeye haitaki kabisa

Baada ya kumwomba Mungu wake awaangamize Wakristu na Wayahudi na kushindwa kufanikiwa.

Akageuka kumwombea Muhammadi ili Mwenyezi Mungu ampe Rehema na baraka tele.

Anasema hivi,

33:56 - Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu.

( Allah anampenda sana Muhammadi, lilcha ya kumruhusu kufanya chochote anachotaka, bado anakesha kumswalia)

Mhadhiri wa wa Kiislamu
Muhammed Hijab, alithibitisha hili kwenye mhadhara wa mdahalo na David Wood

Alisema hivi, kutokana na Aya ya 33:56,

" It is true, Allah Pray for Muhammad,
not to Muhammad"

Swali kwa Gavana, na Waislamu wanzake.

Je Allah ni nani ?
Kama mara kadha wa kadha anaonekana akisali, kwa kuwalaani maadui zake na kuwa ombea rehema marafiki zake ?

Naomba Jibu.
 
Nimekucheka kwa sababu nyie mna mungu ambae sio muweza wa yote , kwa hiyo alivyosema amekuwa moto mnambishia maana mnajua hawezi
Unavyoambiwa Mungu anaweza kila kitu, haina maana kuhusisha na kila kitu. Mfano, kupigwa na wanadamu, kujigeuza kiumbe fulani n.k. Unakufuru dhahiri.
 
Allah kwa maswala ya kusali na kuomba huwezi kumpata.

Anamkumbuka sana Mungu wake.
Tatizo lake huwa anawaombea Maadui zake mambo mabaya.
Ile Amri ya Bwana Yesu ya mpende jirani yako, waombeeni mema maadui zenu yeye haitaki kabisa

Baada ya kumwomba Mungu wake awaangamize Wakristu na Wayahudi na kushindwa kufanikiwa.

Akageuka kumwombea Muhammadi ili Mwenyezi Mungu ampe Rehema na baraka tele.

Anasema hivi,

33:56 - Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu.

( Allah anampenda sana Muhammadi, lilcha ya kumruhusu kufanya chochote anachotaka, bado anakesha kumswalia)

Mhadhiri wa wa Kiislamu
Muhammed Hijab, alithibitisha hili kwenye mhadhara wa mdahalo na David Wood

Alisema hivi, kutokana na Aya ya 33:56,

" It is true, Allah Pray for Muhammad,
not to Muhammad"

Swali kwa Gavana, na Waislamu wanzake.

Je Allah ni nani ?
Kama mara kadha wa kadha anaonekana akisali, kwa kuwalaani maadui zake na kuwa ombea rehema marafiki zake ?

Naomba Jibu.
Kumbe huwa unapenda kumsikiliza David Wood? Angalia mdahalo huu na inayofatia na wenzake wawili uone uongo wao:
 
Back
Top Bottom