Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Hili nalo ni swali la kuwauliza ?

Lazima nikushirikishe kwa sababu umesema Ukristo sio dini..

Swali lako ni kwamba umetumia definition ipi ya dini kujua kwamba Ukristo sio dini ?

Hilo swali ndo litamaliza mjadala wetu..
Ukishindwa kulijibu maana yake hoja yako ni ya uongo kwasababu unaongelea kitu ambacho hukijui.

Shukraan..
"Matendo ya Mitume 11:26
hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia."

Wanafunzi wa Yesu Kristo waliitwa Wakristo kwanza kabisa huko Antiokia.
Wakristo maana yake ni
Wanafunzi wa Yesu Kristo. ( na sio Dini)

Ukristo ni uwanafunzi wa Yesu Kristo,
Mkristo maana yake ni Mwanafunzi wa Yesu Kristo.

Na sio Dini.

Yesu aliwaagiza Wanafunzi wake waende kuwafanya Mataifa kuwa wanafunzi wake na wakaitwa Wakristo kwanza huko Antiokia.

[emoji117]Sasa kuna Neno Dini hapo ?

Haya endelea kuuliza nitakujibu kwa maandiko na sio kwa Google.
 
Bado hujajibu swali langu !!

Nimekuuliza umetumia definition ipi ya DINI kuhitimisha kuwa Ukristo sio dini ?

Kiufupi,, nataka unipe definition ya dini, alafu tuanze kuchambua..

Nasubiri...
Mi sifahamu mambo ya Dini kwakuwa sina Dini.
Mimi ni Mkristo niulize kuhusu Ukristo.
Dini umepewa wewe Mwislamu.
Labda nikuulize wewe mwenye Dini.
Dini ni nini ?
Mimi sijapewa Dini popote, unaniulizaje jambo ambalo mimi sijapewa.
We mwenye Dini ndio utuambie
Dini ni nini ?
Mbona unakuwa mgumu wa kuelewa ?
 
Sasa kama hujui maana ya dini, kwanini unakataa kua Ukristo sio dini ?

Lazima ujue dini ni kitu gani ili usema kwamba Ukristo ni dini au sio dini..

Kama hujui maana yake argument ni INVALID...
Mi Ukristo naujua na hakuna Nabii aliyetamka kwamba Ukristo ni Dini

Au wewe ni Nabii ?
 
Ngoja nikupe mfano wa Kihesabu..

Leo hii ukiniambia square root ya 2 ni rational number,, basi lazima nikukatalie... Kwasababu najua definition ya rational number..

Definition ya rational number ndo nitayotumia kupinga kuwa square root ya 2 sio rational numbers.

Definitions ni kitu cha msingi sana kwenye Arguments..

Sasa wewe umewezaje kupinga kuwa Ukristo sio dini, ilhali hujui maana ya dini ?

Hivi unanielewa kweli ?

Nasubiri..
Unaandiko unalosimamia hoja yako ?
Au wewe ni Nabii Mpya umekuja na Dini ya Kikristo.

Wapi imeandikwa Ukristo ni Dini.

Naona huelewi unachokizungumza
 
Suala sio nabii kutamka,,

Shida ni kwamba huwezi kupinga kitu ilhali hujui maana ya hicho kitu,,

Ukifanya hivo utaonekana una matatizo ya akili !!
We unayesema Ukristo ni Dini naomba weka Andiko.
Halafu tuone nani anajielewa
 
Dunia nzima inatambua Ukristo ni dini,, sio mm peke angu..

Bado unakimbia maswali yangu :
Dini ni nini ?
Yesu ni nani kwako ?

Kama ww kweli mkristo jibu hayo maswali...
Ndio dunia mzima imejaa wenye Dini ni
Waislamu
Wabudha
Wahindu
Warasfariani
Wamomoni
Nk
Hao ni baadhi ya watu waliokabidhiwa Dini.
Kwa maandishi ya Kinabii.

Watafute waulize nini maana ya Dini.
 
Sasa kama hujui maana ya dini kwanini ukatae kuwa Ukristo sio dini ?

Yaani unakataa kitu ambacho hukijui,, unajiona upo sawa kweli ?

Nasubiri jibu la hili swali ;
Yesu ni nani kwako ?
Kwakuwa hakuna Nabii aliye mwaagiza Watu wepewe Dini ya Kikristo.

Maagizo ya Yesu Kristo yalikuwa haya hapa chini


Mathayo 28:16
Na wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda Galilaya mpaka mlima ule aliowaagiza Yesu.
Mathayo 28:17
Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao waliona shaka.
Mathayo 28:18
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
Mathayo 28:19
Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
Mathayo 28:20
na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

[emoji117]Ukiyashika yote aliyofundisha Yesu Kristo na Kubatizwa kama alivyo agiza utakuwa Mkristo.
Yaani Mwanafunzi wake. Huo ndio Ukristo.

Hakuna Dini hapo.

Natumaini umenielewa.
 
Ndio dunia mzima imejaa wenye Dini ni
Waislamu
Wabudha
Wahindu
Warasfariani
Wamomoni
Nk
Hao ni baadhi ya watu waliokabidhiwa Dini.
Kwa maandishi ya Kinabii.

Watafute waulize nini maana ya Dini.
Uislam kwa kweli unanichanganya sana. bado ninajifunza mambo yao.
1w.anasema mtume Muhamad ndo mtu wa kwanza kuslim, wakati huohuo sehemu nyingine watakuambia hata Adam,Mussa, Daud nk nao walikuwa waislam---nabaki kushangaa
2. Wanasema Mtume Muhamad ndo aliteremshiwa maandiko yao, yaani koran ,Ok tukubali kuwa hao watu wa zamani walikuwa waislam, je walitumia kitabu gani
3.Wanasema Mtume Muhamad ndiye aliye bargain kuhusu idadi ya zile swala zao tano, kwamba zilikuwa zaidi ya hapo na mtume akamshawishi Allah zikapunguzwa. Je wale wa zamani waliswali ngapi
Mwenye kujua hayo atujuze kabla hatujasema jamaa ni matapeli tu
 
Mbona Kiarabu cha hio ayah kimeanzia kati na sio mwanzoni ?
Yaani unajitungia tafsiri za uongo alafu unaiita ayah ya Qur'an !!
Hivi kwanini mnaleta uzushi ?
Angalia usije kuaibika kama mwenzako hapo juu...

Haya Niambie hio ni surah gani , Ayah ya ngapi
Usihofu Hii hapa ayat nyingine kuthibitisha mnakariri mafundisho ya Adui wa Jibril![emoji83]
[emoji116][emoji116]
AlBaqarah (1-141)
الآية رقم (97) - قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَى قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللّهِ مُصَدِّقاً لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَى لِلْمُؤْمِنِينَ

(97) - “Say, ‘Whoever is an enemy to Jibril - it is [none but] he who has brought the Qur'an down upon your heart, [O Muhammad], by permission of Allah, confirming that which was before it and as guidance and good tidings for the believers.’”

Au na hapo kiarabu kimekatwa??
 
Sasa kwanini upinge kuwa hakuna dini ya kikristo wakati maana ya dini umesema hujui ?
Vp ikiwa hayo mafundisho ndo dini yenyewe ?

Hapa umenithibitishia kuwa Ukristo ni dini ya uongo, na sio vinginevyo

Bado nasubiri jibu la ;
Yesu ni nani kwako ?
Mi nakupa maandiko, wewe mwenzangu unatoa maoni kichwani, tutaelewana hapo ?
Haya nimekuruhusu sema unachotaka, inawezekana ndio mda huu unateremshiwa Wahayi.
 
Uislam kwa kweli unanichanganya sana. bado ninajifunza mambo yao.
1w.anasema mtume Muhamad ndo mtu wa kwanza kuslim, wakati huohuo sehemu nyingine watakuambia hata Adam,Mussa, Daud nk nao walikuwa waislam---nabaki kushangaa
2. Wanasema Mtume Muhamad ndo aliteremshiwa maandiko yao, yaani koran ,Ok tukubali kuwa hao watu wa zamani walikuwa waislam, je walitumia kitabu gani
3.Wanasema Mtume Muhamad ndiye aliye bargain kuhusu idadi ya zile swala zao tano, kwamba zilikuwa zaidi ya hapo na mtume akamshawishi Allah zikapunguzwa. Je wale wa zamani waliswali ngapi
Mwenye kujua hayo atujuze kabla hatujasema jamaa ni matapeli tu
Kwanza inabidi ujifunze Lugha ya Kiarabu na uifahamu haswa Sarufi yake yote.
Pili uanze kusomea hiyo Dini, ukianza na Qurani na Hadithi zake.
Tatu undelee na Masomo ya Qurani hadi hatua za Chuo Kikuu.

Hii ni hatua ya Kwanza.
Hatua ya pili ujifunze Elimu Dunia ambayo inakufundisha jinsi ya kuishi na Viumbe wengine wasio Binadamu, ambao ni Waislamu pia.
Yaani Majini na Koo zake zote, na namna ya kushirikiana nao nk.

Hapo ndo utakuwa mwisho wako.
Sasa fikiria unafikaje huko ?
Na kama hujafika basi jihesabie kuwa ni Maamuma tu.
 
Lakini hili jibu lako linakinzana na maneno ya walioandika Biblia... Mfano Mtume Yohana wa ufunuo alisema msiongeze au kupunguza neno kwenye maandiko ya Mungu sababu mtatupwa KUZIMU..... sasa basi huoni makanisa mengine kuwa na vitabu pungufu au nyongeza tayari wamekinzana na maandiko hivo kufanya Biblia zao kuwa batili

Karibu
Nadhani mtume Yohana alilenga katika kitabu cha ufunuo na mkutadha wa ufunuo wenyewe maana biblia hiyo kuna mahali vitabu vingine vinasema wazi historia ya Yesu haikuandikwa yote bali yaliachwa matendo mengi yaliyo mhusu Yesu. Hivyo walipunguza maneno wa ya mwana wa Mungu.
 
Wakristo tusiyumbishwe na Dini yoyote.
Toka dunia imeumbwa Wakristo ndio tumebahatika kupata ahadi kubwa kuliko ahadi zote zilizowahi kutolewa, na zinatekelezwa hadi hii leo.
Sisi ndio wenye nguvu.
Sisi ndio wenye akili.
Sisi ndio tunayo itawala Dunia.
Sisi ndio tunaye endesha Dunia.

Tulipewa mamlaka hayo na Mungu mwenyewe, muumba Mbingu na Nchi na Ulimwengu.
Hatukuwahi kupewa Dini.
Tulipewa Mamlaka na kutawala.
Achaneni na Dini.
Achaneni na mitume.

Sisi tuliambiwa ni mfano wa Mungu.
Sio hivyo tu.
Tulikabidhiwa hadhi ya kuwa Wana wa Mungu.
Hivi ukiwa Mwana wa Mungu unahitaji nini tena ?
Wakristo msifadhaike na wenye Dini hao tutawatawala.
Milele na milele Amina.
Kama unajitambua ni Mkristo na umebatizwa.
Baki hapo hapo.
Nje kuna Adui.
Mwenye macho na Ameona

ISIS, Boko Haram, Al-Qaida, Al-Shabaab nk. Ni majeshi yanayotaka kutuangamiza, na ni Majeshi ya Dini.
Bila kupata kibali na Mungu tungechinjwa Wakristo woote.
Hao Majamaa ni Hatari kumpita Shetani.
Yesu Kristo alitukabidhi upanga wa makali miwili.
Bila huo tungechinjwa wote.
 
Mkuu nimekuuliza swali mpaka sasa kimya...

Yesu ni nani kwako ?
Yesu si ndio Issa
Ambaye yupo kwenye Qurani yako.
Au Sio ?
Au basi kasome Qurani yako itakueleza Issa ni nani.
Au basi waulize ndugu zako wa Kijini wanamtambua vizuri sana yaani.
Watakuambia Issa ni Nani.
 
Mkuu nimekuuliza swali mpaka sasa kimya...

Yesu ni nani kwako ?
Karibu kwa Yesu Kristo.
Yeye ndie pekee aliyesimama mbele za watu na kusema, "sina dhambi"
Na watu wakakubali
Ndiye pekee aliyesema.
" mimi ndiye NJIA, KWELI na UZIMA"
Na Watu wakakubali.
Mwalimu Bora anatoa Mwanafunzi Bora.
Mambo aliyoyafanya Muhammadi, siwezi hata kusema.
Ndiye Binadamu muovu zaidi toka Dunia iumbwe.
Ndio maana leo ukitoa filamu ya
Matendo ya Muhammadi unauwawa na wafuasi wake.
Lakini matendo Yesu Kristo filamu zipo, na hazina mgogoro wowote.

Ni hiari yako, kumfuata Muhammadi au Yesu Kristo.
Ila Mungu mwisho wa siku, atabaki na watu Wema.
Karibu kwa Yesu kaka.
 
Back
Top Bottom