Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Wewe unadhani kila kitu kiko written?

Kwenye Qur'an wametajwa Mitume 25 tu

Tukiacha hilo, unaposikia neno nation, kwa mujibu wa scriptures hilo ni kundi la watu regardless wanaishi wapi!

Kwa mfano Hujui kuwa baba yetu NUHU alikuwa ni mtume kwa vizazi vyake vyote(yaani mataifa yote) ? hii ni kabla ya Abraham

(Au hujui kuwa kwa Nuhu yanatoka mataifa yote)
  • Haya ni maelezo yako , Koran inaposema kitu lazima kithibitishwe , Swali lipo pale pale weka ata Mtume mmoja wa Allah alie tumwa Africa, kama umeshindwa Kila nchi Africa
  • Tunaaminije usemi wa Allah kwamba Kila kundi alituma mitume wakati ata historia haineshi hivyo
  • Koran inasema kila community lazima ipate mtume ndio mwisho ufike sasa unaposema ilikuwa zamani huoni unapingana na Allah?
    • Koran 10:47 And for every community there is a messenger. After their messenger has come,1 judgment is passed on them in all fairness, and they are not wronged.
    • Koran 16:36 And We certainly sent into every nation a messenger,...................
  • Leta Jina la mtume alie tumwa na Allah kwa community yoyote africa ata kwa kutumia Historia kama Koran ime fail kutaja
 
Umesimuliwa mapema leo ??
Abdool unatumia mawe kwenda nayo mawaliwatoni kama Muhammad 🤣 🤣 🤣 alafu unajifanya unaweka video kwamba unatumia maji, kwa nini unampinga mtume
 
Wewe unadhani kila kitu kiko written?

Kwenye Qur'an wametajwa Mitume 25 tu

Tukiacha hilo, unaposikia neno nation, kwa mujibu wa scriptures hilo ni kundi la watu regardless wanaishi wapi!

Kwa mfano Hujui kuwa baba yetu NUHU alikuwa ni mtume kwa vizazi vyake vyote(yaani mataifa yote) ? hii ni kabla ya Abraham

(Au hujui kuwa kwa Nuhu yanatoka mataifa yote)
Swali lingine kwa nini Allah hakuandika vitu vikaeleweka anataja vitu anaacha maswali yasiojibika, mpaka unakutesa mfuasi wake kuelewa
 
Abdool unatumia mawe kwenda nayo mawaliwatoni kama Muhammad 🤣 🤣 🤣 alafu unajifanya unaweka video kwamba unatumia maji, kwa nini unampinga mtume


Unaendelea kusimuliwa na Askofu wako ??
 
  • Haya ni maelezo yako , Koran inaposema kitu lazima kithibitishwe , Swali lipo pale pale weka ata Mtume mmoja wa Allah alie tumwa Africa, kama umeshindwa Kila nchi Africa
  • Tunaaminije usemi wa Allah kwamba Kila kundi alituma mitume wakati ata historia haineshi hivyo
  • Koran inasema kila community lazima ipate mtume ndio mwisho ufike sasa unaposema ilikuwa zamani huoni unapingana na Allah?
    • Koran 10:47 And for every community there is a messenger. After their messenger has come,1 judgment is passed on them in all fairness, and they are not wronged.
    • Koran 16:36 And We certainly sent into every nation a messenger,...................
  • Leta Jina la mtume alie tumwa na Allah kwa community yoyote africa ata kwa kutumia Historia kama Koran ime fail kutaja
Africa ni continent au "a nation" ?

Kwa mfano ukiambiwa a nation of israelites" unajua maana yake?
 
Swali lingine kwa nini Allah hakuandika vitu vikaeleweka anataja vitu anaacha maswali yasiojibika, mpaka unakutesa mfuasi wake kuelewa
Huelewi wa sababu hujaeleweshwa, tupo hapa kukusaidia kuondoa doubts taratibu mpaka utaona kuwa doubts zako si za msingi
 
Swali lingine kwa nini Allah hakuandika vitu vikaeleweka anataja vitu anaacha maswali yasiojibika, mpaka unakutesa mfuasi wake kuelewa


Zawadi yako hii


All versions are not saying the same thing!
This chart is by no means complete.​


Most Christians recognize the New World Translation (NWT - Jehovah's Witness Bible) for the corrupt work it is. What most Christians don't recognize is the same corruption in their own "Christian" bibles!






AV (King James)New InternationalNew American StandardNew World Translation
Hos 11:12…but Judah yet ruleth with God, and is faithful with the saints.Judah is unruly against God, even against the faithful Holy One.Judah is also unruly against God, even against the Holy One who is faithful.Judah is yet roaming with God, and with the Most Holy One he is trustworthy.
Mt 9:13for I am not come to call the righteous, but sinners to repentance.For I have not come to call the righteous, but sinners.For I did not come to call the righteous, but sinners.For I came to call, not righteous people, but sinners.
Mt 18:11​
For the Son of man is come to save that which was lost.​
OMITTED​
footnote casts doubt​
OMITTED​
Mt 19:17Why callest thou me good? "Why do you ask me about what is good?" "Why are you asking me about what is good?" "Wny do you ask me about what is good?"
Mt 25:13Ye know neither the day nor the hour wherein the Son of man cometh.You do not know the day or the hour.You do not know the day nor the hour.You know neither the day nor the hour,
Mk 10:24…how hard it is for them that trust in riches to enter into the kingdom of God!…how hard it is to enter the kingdom of God!…how hard it is to enter the kingdom of God!…how difficult a thing it is to enter into the kingdom of God!
Lk 2:33And Joseph and his mother,,,The child's father and mother…His father and mother…its father and mother…
Lk 4:4Man shall not live by bread alone, but by every word of God.Man does not live on bread alone.Man shall not live on bread alone.Man must not live by bread alone.
Lh 4:8​
Get thee behind me, Satan.​
OMITTED​
OMITTED​
OMITTED​
Jn 6:47He that believeth on me hath everlasting life.He who believes has everlasting life.He who believes has eternal life.He that believes has everlasting life.
Jn 8:9​
And when they heard it, being convicted by their own conscience, went out…​
…those who heard began to go away…​
…when they heard it, they began to go out one by one…​
OMITTED​
Jn 9:4I must work the works of him that sent me.We must do the work of him who sent me.We must work the works of Him who sent Me.We must work the works of him that sent me.
Jn 10:30I and my Father are oneI and the Father are one.I and the Father are one.I and the Father are one.
Ac 2:30that of the fruit of his loins, according to the flesh, he would raise up Christ to sit on his throne;…he would place one of his descendants on his throne.…to seat one of his descendants upon his throne.…he would seat one from the fruitage of his loins upon his throne.
Ac 8:37​
If thou believest with all thine heart, thou mayest. And he answered and said, I believe that Jesus Christ is the Son of God.
OMITTED​
footnote casts doubt (some editions just omit it)​
OMITTED​
Ac 23:9​
Let us not fight against God.​
OMITTED​
OMITTED​
OMITTED​
Rom 13:9​
Thou shalt not bear false witness.
OMITTED​
OMITTED​
OMITTED​
Co 1:14In whom we have redemption through his blood, even the forgiveness of sins.In whom we have redemption, the forgiveness of sins.In whom we have redemption, the forgiveness of sins.By means of whom we have our release by ransom, the forgiveness of our sins.
1Ti 3:16God was manifest in the flesh.He appeared in a body.He who was revealed in the flesh.He was made manifest in the flesh.
1Ti 6:5Perverse disputings of men of corrupt minds, and destitute of the truth, supposing that gain is godliness: from such withdraw thyself."from such withdraw thyself" is omitted"from such withdraw thyself" is omitted"from such withdraw thyself" is omitted
1Pe 1:22Ye have purified your souls in obeying the truth through the Spirityou have purified yourselves by obeying the truth…Since you have in obedience to the truth purified your souls…Now that you have purified your souls by your obedience to the truth…
1Jo 4:3And every spirit that confesseth not that Jesus Christ is come in the flesh is not of God.But every spirit that does not acknowledge Jesus is not from God.And every spirit that does not confess Jesus is not from God.But every inspired expression that does not confess Jesus does not originate with God.
Re 5:14Four and twenty elders fell down and worshipped him that liveth for ever and ever.…the elders fell down and worshipped.…the elders fell down and worshipped.…the elders fell down and worshipped.
Re 20:9Fire came down from God out of heaven…Fire came down from heaven…Fire came down from heaven…Fire came down out of heaven…
Re 21:24And the nations of them which are saved shall walk in the light of it.The nations will walk by its light.And the nations shall walk by its light.And the nations will walk by means of its light.
 
Africa ni continent au "a nation" ?

Kwa mfano ukiambiwa a nation of israelites" unajua maana yake?

Contradictions between KJV and NIV Bibles:


King James Version (KJV)​
New International Version (NIV)​
Why did Jesus come to earth?
Luke 9:56
For the Son of man is not come to destroy men's lives, but to save them. And they went to another village.​
Luke 9:56
and they went to another village.​
Matt. 18:11
For the Son of man is come to save that which was lost.​
Matt. 18:11
(missing)​
Is repentance important?

Matt. 9:13
...I am not come to call the righteous, but sinners to repentance.​
Matt. 9:13
...I have not come to call the righteous, but sinners.​
For whom did Jesus die?
I Cor. 5:7
...Christ our passover is sacrificed for us:​
I Cor. 5:7
...Christ, our Passover lamb, has been sacrificed.​
In Whom must you believe to be saved?
John 6:47
Verily, verily, I say unto you, He that believeth on me hath everlasting life.​
John 6:47
I tell you the truth, he who believes has everlasting life.​
Was Joseph really the father of Jesus?
Luke 2:33
And Joseph and his mother marvelled at those things which were spoken of him.​
Luke 2:33
The child's father and mother marveled at what was said about him.​
Did Jesus give His disciples power to heal?
Mark 3:15
...power to heal sickness, and to cast out devils.​
Mark 3:15
...authority to drive out demons.​
If it's hard to do, should we just remove it?
Mark 11:26
But if ye do not forgive, neither will your Father which is in heaven forgive your trespasses.​
Mark 11:26
(missing)​
Who is in charge?
I Cor. 10:28
...for the earth is the Lord's and the fulness thereof:​
I Cor. 10:28
(last part of verse missing)​
How must we deal with our enemies?
Matt. 5:44
...Love your enemies, bless them that curse you, do good to them that hate you, and pray for them which despitefully use you, and persecute you.​
Matt. 5:44
...Love your enemies and pray for those who persecute you.​
Where did Jesus go?
John 16:16
A little while, and ye shall not see me: and again a little while, and ye shall see me, because I go to the Father.​
John 16:16
In a little while you will see me no more, and then after a little while you will see me.​
 
Swali lingine kwa nini Allah hakuandika vitu vikaeleweka anataja vitu anaacha maswali yasiojibika, mpaka unakutesa mfuasi wake kuelewa


I am going to post a verse from the Gospel of Luke from the New International Version translation and King James Version translation...


Luke 10:1



1 After this the Lord appointed seventy-two others and sent them two by two ahead of him to every town and place where he was about to go. (NIV translation)


1 After these things the Lord appointed other seventy also, and sent them two and two before his face into every city and place, whither he himself would come. (KJV translation)


So which translation is right? Is it seventy two or seventy?
 
Africa ni continent au "a nation" ?

Kwa mfano ukiambiwa a nation of israelites" unajua maana yake?
RUDI KWENYE MASWALI , iwe continent iwe taifa iwe jamii, iwe kabila wewe leta ata mtume mmoja kutoka africa, ukishindwa Allah atakuwa katuingiza chaka

Nondo zipo pale pale , kumbuka Allah kasema judgment haitapitishwa mpaka wapate mtume
  • Haya ni maelezo yako , Koran inaposema kitu lazima kithibitishwe , Swali lipo pale pale weka ata Mtume mmoja wa Allah alie tumwa Africa, kama umeshindwa Kila nchi Africa
  • Tunaaminije usemi wa Allah kwamba Kila kundi alituma mitume wakati ata historia haineshi hivyo
  • Koran inasema kila community lazima ipate mtume ndio mwisho ufike sasa unaposema ilikuwa zamani huoni unapingana na Allah?
    • Koran 10:47 And for every community there is a messenger. After their messenger has come,1 judgment is passed on them in all fairness, and they are not wronged.
    • Koran 16:36 And We certainly sent into every nation a messenger,...................
  • Leta Jina la mtume alie tumwa na Allah kwa community yoyote africa ata kwa kutumia Historia kama Koran ime fail kutaja
 
On the past yes.

Muhammad ni mmojawapo tu katika kundi kibwa la mitume waliokuja kabla yake.

Au unafikiri mitume ni wayahudi peke yao?
Allah ndivyo anavyo fundisha
[emoji116][emoji116]
وَوَهَبْنَا لَهُ إِسْحَقَ وَيَعْقُوبَ وَجَعَلْنَا فِي ذُرِّيَّتِهِ النُّبُوَّةَ وَالْكِتَابَ وَآتَيْنَاهُ أَجْرَهُ فِي الدُّنْيَا وَإِنَّهُ فِي الْآخِرَةِ لَمِنَ الصَّالِحِينَ ﴿٢٧﴾
29/Al-Ankabut-27: Va vahabnea lahoo isheakaa va yaa’kooba va caaalnea fee zurriyyatihin nubuvvata val kiteaba, va eatayneahu acrahu feed dunyea, va innahu feel eahırati la minas sealiheen(sealiheena).

And We bestowed on him Isaac Ishaq and Jacob Yaqub, and gave the Prophet-hood and the Book to his offspring. We gave him his wage in this world. In the Hereafter he verily will be of the Righteous Ones.
 
Huelewi wa sababu hujaeleweshwa, tupo hapa kukusaidia kuondoa doubts taratibu mpaka utaona kuwa doubts zako si za msingi
kwa mujibu wa maelekezo ya Allah ww ni wakueleweshwa tu huna ubavu wa kuelimisha
[emoji116][emoji116]
فَإِن كُنتَ فِي شَكٍّ مِّمَّا أَنزَلْنَا إِلَيْكَ فَاسْأَلِ الَّذِينَ يَقْرَءُونَ الْكِتَابَ مِن قَبْلِكَ ۚ لَقَدْ جَاءَكَ الْحَقُّ مِن رَّبِّكَ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُمْتَرِينَ ( 94 )
Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.
 
The Bible's claims.


(a)- GOD swore by the Pride of Jacob.


(i)- Contradiction between Amos 8:7 and Hebrews 6:12-14.


Let us look at the following verses from the Bible's Old Testament:


Amos 8:7 (KJV)
7 The Lord hath sworn by the excellency of Jacob, Surely I will never forget any of their works.


Amos 8:7 (RSV)
7 The Lord has sworn by the pride of Jacob: “Surely I will never forget any of their deeds.


Amos 8:7 (ESV)
7 The Lord has sworn by the pride of Jacob: “Surely I will never forget any of their deeds.


Amos 8:7 (AMP)
7 The Lord has sworn [an oath] by the pride of Jacob, “Surely I shall never forget [nor leave unpunished] any of their [rebellious] acts.


Amos 8:7 (GNV)
7 The Lord hath sworn by the excellency of Jacob, Surely, I will never forget any of their works.


Amos 8:7 (NLV)
7 The Lord has promised by the pride of Jacob, “For sure I will never forget anything they have done.


Amos 8:7 (NRSV)
7 The Lord has sworn by the pride of Jacob: Surely I will never forget any of their deeds.


Amos 8:7 (YLT)
7 Sworn hath Jehovah by the excellency of Jacob: `I forget not for ever any of their works.



Yet, in Hebrews 6:12-14 above, we're told that GOD Almighty wouldn't swear on anything other than Himself, because there is none Greater than Him:


Hebrews 6:12-14

12 We do not want you to become lazy, but to imitate those who through faith and patience inherit what has been promised.

13 When God made his promise to Abraham, since there was no one greater for him to swear by, he swore by himself,

14 saying, "I will surely bless you and give you many descendants."


Clear contradiction, which proves that the Bible is corrupt, and those who spoke were not inspired by GOD Almighty. Ironically, we even find fights among the disciples in the New Testament!
Umejichanganya mwenyewe dogo[emoji56][emoji56]
 
Allah ndivyo anavyo fundisha
[emoji116][emoji116]
وَوَهَبْنَا لَهُ إِسْحَقَ وَيَعْقُوبَ وَجَعَلْنَا فِي ذُرِّيَّتِهِ النُّبُوَّةَ وَالْكِتَابَ وَآتَيْنَاهُ أَجْرَهُ فِي الدُّنْيَا وَإِنَّهُ فِي الْآخِرَةِ لَمِنَ الصَّالِحِينَ ﴿٢٧﴾
29/Al-Ankabut-27: Va vahabnea lahoo isheakaa va yaa’kooba va caaalnea fee zurriyyatihin nubuvvata val kiteaba, va eatayneahu acrahu feed dunyea, va innahu feel eahırati la minas sealiheen(sealiheena).

And We bestowed on him Isaac Ishaq and Jacob Yaqub, and gave the Prophet-hood and the Book to his offspring. We gave him his wage in this world. In the Hereafter he verily will be of the Righteous Ones.
Nenda kidogo ukaombewe
 
kwa mujibu wa maelekezo ya Allah ww ni wakueleweshwa tu huna ubavu wa kuelimisha
[emoji116][emoji116]
فَإِن كُنتَ فِي شَكٍّ مِّمَّا أَنزَلْنَا إِلَيْكَ فَاسْأَلِ الَّذِينَ يَقْرَءُونَ الْكِتَابَ مِن قَبْلِكَ ۚ لَقَدْ جَاءَكَ الْحَقُّ مِن رَّبِّكَ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُمْتَرِينَ ( 94 )
Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.

Kwani wewe ulisoma kitabu chochote kile kabla ya Muhammad? 😁

Hilo linawezekenaje wakati Muhammad kazaliwa karne ya 6 na wewe umezaliwa karne ya 20,na kafa kabla hujazaliwa Inawezekanaje uwe umesoma kitabu kabla yake?

Hiyo aya haikuhusu wewe, inawahusu waliosoma kitabu kabla ya Muhammad!
 
Agano la kale...

Kina mengi ya kujifunza..

Agano jipya...

Baadhi yametoka mengi yameingizwa...
 
Kwani wewe ulisoma kitabu chochote kile kabla ya Muhammad? 😁

Hilo linawezekenaje wakati Muhammad kazaliwa karne ya 6 na wewe umezaliwa karne ya 20,na kafa kabla hujazaliwa Inawezekanaje uwe umesoma kitabu kabla yake?

Hiyo aya haikuhusu wewe, inawahusu waliosoma kitabu kabla ya Muhammad!
Aisee mbona una utetezi wa kitoto hivi Hivyo 🤣 🤣 🤣 , hypocrisy

Stupidity is amazing
 
Back
Top Bottom