Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

wee rudi kilingeni kaoshe mbuguma nuksi, kuandika tarasimu, saa habari, kushinda lazima...umezoea kukaririshwa wewe [emoji12] ukitaka ujue hizi Amri kumi ni za Mungu na kaziandika ndani yetu kupitia Dhamira njema, nenda kaibe, kazini, kaue, kasema uongo... Kitakacho kupata uje usimulie humu [emoji53]

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumekusikia sasa soma baadaye toa maoni yako kuhusu hicho kilichoandikwa, kwani hujatusaidia kitu


The Ten Commandments Is Not in the Bible - Did You Know...? - Psalm11918.org
 
wewe ni muislamu [emoji15] hatuangalii jina ila Spirit [emoji106] Hata Prof Paulo Mtume wa Yesu alituhimiza Tuishindanie Imani [emoji117] View attachment 998051 Hivyo huwezi ukainajisi Biblia Takatifu Ukiwa umejificha kwenye kisingizio chochote [emoji15] BIBLIA TAKATIFU INA WENYEWE bro [emoji53] screenshort inarahisisha mawasiliano unazishanga [emoji15] kama huna ajenda za siri MFUKONI ungelaumu Ujumbe na sio sceenshort [emoji15] [emoji12] Mimi ktk kuwalingania wapagani kuja kwa Yesu Kigezo changu ni Yesu Mwenyewe [emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app


USIHARIBU NYUZI ZA WATU, KANISA LAKO HAPA LIMEFANYA NINI ??

Catholic tradition holds that the author of Jude is not this Judah, but the "Judah Jacobi" of Luke 6:16 and Acts 1:13—also called Thaddeus (Matthew 10:3: Mark 3:18).


Epistle of Jude - New World Encyclopedia
 
1.Mkuu huoni kwamba wanaotumia BIBLIA yenye vitabu vichache watakuwa hawapati mafundisho Ya MUNGU (kwa uwezo wa roho mtakatifu) ambayo yanapatikana kwenye BIBLIA yenye vitabu vingi?

2.Ni kweli kuwa Roho mtakatifu anatakiwa kuwaongoza binadamu ili waweze kuyaelewa maagizo ya MUNGU kwenye vitabu vyake ndani ya biblia.Naamini pia kuwa Roho mtakatifu ndio aliowaongoza waandishi na wataalamu wa sheria katika kukusanya neno la MUNGU katika kitabu kimoja( yaani BIBLIA) kwa lengo zuri tu la kurahisisha usomaji wa neno lake MUNGU.
(A): Je,ni kwa nini Sasa BIBLIA moja inatofautiana idadi ya Maneno ya MUNGU na BIBLIA nyingine wakati roho matakatifu (MUNGU) ndiye aliyewaongoza?
(B): Au Kuna roho zingine zisizo takatifu zilizowaongoza hao waandishi na wataalamu wa sheria na maandiko na ndio maana Leo hii BIBLIA zinatofautiana vitabu vyake?
Je, unaamini katika Ukristo(Baba,Mwana na Roho Mtakatifu) au Huamini hata JIWE?
Otherwise, i am done!
 
Mkuu, nimesema zipo sahihi kwa mtizamo wa mtumiaji. Kwanini? Jesus/Mungu hakuanzisha dhehebu, bali alihubiri ile iliyo kweli(Imani juu ya Mungu wa kweli na namna gani tuweze kuishi maisha matakatifu. Na watakao mfata na kuyatenda aliyoagiza kuyatenda wawe na uzima wa milele(Eternal LIFE) Sasa Binadamu tumekuja na mbwembwe zetu nyingi na kujikuta tunatafuta utukufu wetu wenyewe. hii ndio imepelekea kila anayeibuka hata leo atakufasiria kwa mtazamo wake. Tofauti hizo hazikuanza jana wala leo, hata wakati wa Yesu watu walijiinua kuwa wao ni bora na kuwashusha wengine.
Naamini Biblia zote ulizosema umezisoma/kuzipitia na kuelewa ujumbe uliomo ndani yake. Iwapo ulizisoma kwa kutafuta ipi sahihi na kwanini hii ina upungufu wa vitabu na ile vingi. hapo hutopata kitu.
Naamini kitabu hiki umekiona kwenye Biblia zote na kilichoandikwa hakina tofauti.
Matthew 7:16-20 King James Version (KJV)
16 Ye shall know them by their fruits. Do men gather grapes of thorns, or figs of thistles?

17 Even so every good tree bringeth forth good fruit; but a corrupt tree bringeth forth evil fruit.

18 A good tree cannot bring forth evil fruit, neither can a corrupt tree bring forth good fruit.

19 Every tree that bringeth not forth good fruit is hewn down, and cast into the fire.

20 Wherefore by their fruits ye shall know them.

Matthew 7:21-23 New King James Version (NKJV)
I Never Knew You
21 “Not everyone who says to Me, ‘Lord, Lord,’ shall enter the kingdom of heaven, but he who does the will of My Father in heaven. 22 Many will say to Me in that day, ‘Lord, Lord, have we not prophesied in Your name, cast out demons in Your name, and done many wonders in Your name?’ 23 And then I will declare to them, ‘I never knew you; depart from Me, you who practice lawlessness!’

Hicho ndio kipimo cha ukweli kujua nani yupo sahihi siyo wingi wa vitabu walivyonavyo dhehebu fulani. Kwa maana hakuna dhehebu litakalokupeleka MBINGUNI iwapo huyatendi yaliyo ya Mungu.

Hii kitu Yesu hakuisema kufurahisha barza.

Luke 18:9-14 New International Version (NIV)
The Parable of the Pharisee and the Tax Collector
9 To some who were confident of their own righteousness and looked down on everyone else, Jesus told this parable: 10 “Two men went up to the temple to pray,one a Pharisee and the other a tax collector. 11 The Pharisee stood by himself and prayed: ‘God, I thank you that I am not like other people—robbers, evildoers, adulterers—or even like this tax collector. 12 I fast twice a week and give a tenth of all I get.’

13 “But the tax collector stood at a distance. He would not even look up to heaven, but beat his breast and said, ‘God, have mercy on me, a sinner.’

14 “I tell you that this man, rather than the other, went home justified before God. For all those who exalt themselves will be humbled, and those who humble themselves will be exalted.”

Hivyo tuyasomapo haya maandiko tutulie kwanza katika uwepo wa Mungu tukiomba uongozi wa ROHO Mtakatifu kuyaelewa.

Tukiongozwa na utashi wetu katika hili, hatutakuwa na tofauti na huyo Farisayo.

Nikomee hapo kwenye mjadala huu.


BOTH TESTAMENTS ARE TEMPORAL
----------------------------
[1 Corin. 13:9]

For we know in part, and we prophesy in part. BUT WHEN THAT WHICH IS PERFECT IS COME, THEN THAT WHICH IN PART SHALL BE DONE AWAY.

(Paul is giving a prophesy about the coming of the perfect one which cancel his prophesy and knowledge in another word: It makes both the Old and New testament already old, and no more valid, we should recall that Paul wrote his letters long time after Jesus's ascension therefore he was not speaking about the Holy Spirit who was supposed to come directly after the ascension of Jesus.

Any way: Christians must look for [the perfect] which cancel the "Previous predictions and revelations of Paul.
 
Mkuu, nimesema zipo sahihi kwa mtizamo wa mtumiaji. Kwanini? Jesus/Mungu hakuanzisha dhehebu, bali alihubiri ile iliyo kweli(Imani juu ya Mungu wa kweli na namna gani tuweze kuishi maisha matakatifu. Na watakao mfata na kuyatenda aliyoagiza kuyatenda wawe na uzima wa milele(Eternal LIFE) Sasa Binadamu tumekuja na mbwembwe zetu nyingi na kujikuta tunatafuta utukufu wetu wenyewe. hii ndio imepelekea kila anayeibuka hata leo atakufasiria kwa mtazamo wake. Tofauti hizo hazikuanza jana wala leo, hata wakati wa Yesu watu walijiinua kuwa wao ni bora na kuwashusha wengine.
Naamini Biblia zote ulizosema umezisoma/kuzipitia na kuelewa ujumbe uliomo ndani yake. Iwapo ulizisoma kwa kutafuta ipi sahihi na kwanini hii ina upungufu wa vitabu na ile vingi. hapo hutopata kitu.
Naamini kitabu hiki umekiona kwenye Biblia zote na kilichoandikwa hakina tofauti.
Matthew 7:16-20 King James Version (KJV)
16 Ye shall know them by their fruits. Do men gather grapes of thorns, or figs of thistles?

17 Even so every good tree bringeth forth good fruit; but a corrupt tree bringeth forth evil fruit.

18 A good tree cannot bring forth evil fruit, neither can a corrupt tree bring forth good fruit.

19 Every tree that bringeth not forth good fruit is hewn down, and cast into the fire.

20 Wherefore by their fruits ye shall know them.

Matthew 7:21-23 New King James Version (NKJV)
I Never Knew You
21 “Not everyone who says to Me, ‘Lord, Lord,’ shall enter the kingdom of heaven, but he who does the will of My Father in heaven. 22 Many will say to Me in that day, ‘Lord, Lord, have we not prophesied in Your name, cast out demons in Your name, and done many wonders in Your name?’ 23 And then I will declare to them, ‘I never knew you; depart from Me, you who practice lawlessness!’

Hicho ndio kipimo cha ukweli kujua nani yupo sahihi siyo wingi wa vitabu walivyonavyo dhehebu fulani. Kwa maana hakuna dhehebu litakalokupeleka MBINGUNI iwapo huyatendi yaliyo ya Mungu.

Hii kitu Yesu hakuisema kufurahisha barza.

Luke 18:9-14 New International Version (NIV)
The Parable of the Pharisee and the Tax Collector
9 To some who were confident of their own righteousness and looked down on everyone else, Jesus told this parable: 10 “Two men went up to the temple to pray,one a Pharisee and the other a tax collector. 11 The Pharisee stood by himself and prayed: ‘God, I thank you that I am not like other people—robbers, evildoers, adulterers—or even like this tax collector. 12 I fast twice a week and give a tenth of all I get.’

13 “But the tax collector stood at a distance. He would not even look up to heaven, but beat his breast and said, ‘God, have mercy on me, a sinner.’

14 “I tell you that this man, rather than the other, went home justified before God. For all those who exalt themselves will be humbled, and those who humble themselves will be exalted.”

Hivyo tuyasomapo haya maandiko tutulie kwanza katika uwepo wa Mungu tukiomba uongozi wa ROHO Mtakatifu kuyaelewa.

Tukiongozwa na utashi wetu katika hili, hatutakuwa na tofauti na huyo Farisayo.

Nikomee hapo kwenye mjadala huu.



THE BOOKS OF APOCRYPHA
----------------------
1- Tobit
2- Judith
3- Esther
4- The wisdom of Solomon.
5- Brauch.
6- 1st. Maccabees
7- 2nd. Maccabees


(The term "Apocrypha" refers to the seven Catholic doubtful books which were rejected by the protestants, who removed them from their King James Bible.

The following references [John 14:25] predict about the coming of the Holy Spirit after Jesus leaves, to teach Christians all things.

But the apocryphal books remained in the Bible 16 hundred years, yet the Holy Spirit did not warn them during that long period that their Bible contained seven apocryphal books.

The King James Bible was written and authorized in 1611 a.d., which means that all Christians were kept in deception and there was no role or any coming of the Holy Spirit. Who shall we believe: Catholics whom their Bible contain 73 books, or Protestants whom their Bible contains 66 books.

If it is blasphemy to take even a title from the Bible, who is blaspheming: those who added these seven books from the very beginning, or those who expunged them?
 
Mkuu, nimesema zipo sahihi kwa mtizamo wa mtumiaji. Kwanini? Jesus/Mungu hakuanzisha dhehebu, bali alihubiri ile iliyo kweli(Imani juu ya Mungu wa kweli na namna gani tuweze kuishi maisha matakatifu. Na watakao mfata na kuyatenda aliyoagiza kuyatenda wawe na uzima wa milele(Eternal LIFE) Sasa Binadamu tumekuja na mbwembwe zetu nyingi na kujikuta tunatafuta utukufu wetu wenyewe. hii ndio imepelekea kila anayeibuka hata leo atakufasiria kwa mtazamo wake. Tofauti hizo hazikuanza jana wala leo, hata wakati wa Yesu watu walijiinua kuwa wao ni bora na kuwashusha wengine.
Naamini Biblia zote ulizosema umezisoma/kuzipitia na kuelewa ujumbe uliomo ndani yake. Iwapo ulizisoma kwa kutafuta ipi sahihi na kwanini hii ina upungufu wa vitabu na ile vingi. hapo hutopata kitu.
Naamini kitabu hiki umekiona kwenye Biblia zote na kilichoandikwa hakina tofauti.
Matthew 7:16-20 King James Version (KJV)
16 Ye shall know them by their fruits. Do men gather grapes of thorns, or figs of thistles?

17 Even so every good tree bringeth forth good fruit; but a corrupt tree bringeth forth evil fruit.

18 A good tree cannot bring forth evil fruit, neither can a corrupt tree bring forth good fruit.

19 Every tree that bringeth not forth good fruit is hewn down, and cast into the fire.

20 Wherefore by their fruits ye shall know them.

Matthew 7:21-23 New King James Version (NKJV)
I Never Knew You
21 “Not everyone who says to Me, ‘Lord, Lord,’ shall enter the kingdom of heaven, but he who does the will of My Father in heaven. 22 Many will say to Me in that day, ‘Lord, Lord, have we not prophesied in Your name, cast out demons in Your name, and done many wonders in Your name?’ 23 And then I will declare to them, ‘I never knew you; depart from Me, you who practice lawlessness!’

Hicho ndio kipimo cha ukweli kujua nani yupo sahihi siyo wingi wa vitabu walivyonavyo dhehebu fulani. Kwa maana hakuna dhehebu litakalokupeleka MBINGUNI iwapo huyatendi yaliyo ya Mungu.

Hii kitu Yesu hakuisema kufurahisha barza.

Luke 18:9-14 New International Version (NIV)
The Parable of the Pharisee and the Tax Collector
9 To some who were confident of their own righteousness and looked down on everyone else, Jesus told this parable: 10 “Two men went up to the temple to pray,one a Pharisee and the other a tax collector. 11 The Pharisee stood by himself and prayed: ‘God, I thank you that I am not like other people—robbers, evildoers, adulterers—or even like this tax collector. 12 I fast twice a week and give a tenth of all I get.’

13 “But the tax collector stood at a distance. He would not even look up to heaven, but beat his breast and said, ‘God, have mercy on me, a sinner.’

14 “I tell you that this man, rather than the other, went home justified before God. For all those who exalt themselves will be humbled, and those who humble themselves will be exalted.”

Hivyo tuyasomapo haya maandiko tutulie kwanza katika uwepo wa Mungu tukiomba uongozi wa ROHO Mtakatifu kuyaelewa.

Tukiongozwa na utashi wetu katika hili, hatutakuwa na tofauti na huyo Farisayo.

Nikomee hapo kwenye mjadala huu.


APOCRYPHAL VERSES IN K.J.V.
---------------------------


(After the removal of seven books from the Catholic Bible, here comes the turn of the K.J. version which became the second victim, and which also became exposed to so many criticisms and doubts. Every new sect of Christianity gives its own doubt against the K.J. version.

It had been revised by 32 of the highest scholars backed by 15 co-operating denominations.

The all agreed in the introduction of the R.S.V, that: "The king James version has grave defects which are so many and so serious". Therefore, they allowed themselves to omit (through this declaration) many verses from it as you will see in these coming verses.

The Mormons do not trust the K.J.V, the keep it under the watch of their own Mormon's book, the Jehovah witnesses submit that it contains 50,000 errors according to (AWAKE magazine 8 September 1957) and therefore they have theirown "modified Bible".

Hence, We ask this : where is the role of the Holy Spirit who was supposed to lead them out of this confusion ?!

MATHEW 17:21
-------------
K.J.V Howbeit this kink goes not out but by prayer and fasting.
R.S.V Omitted
N.I.V Omitted
G.N.B Omitted
L.B.V Omitted (This Bible is known as the LIVING BIBLE. Published
previously in 1962. It represents another great change
in its verses and expression in comparison to the other
versions of the Bible. According to some Christian
authorities it is considered as a shameful Bible.)

MARK 9:44
---------
K.J.V Where their warm dies not, and the fire is not quenched.
R.S.V Omitted
G.N.B Omitted
N.I.V Omitted
L.B.V Omitted

MARK 9:46
---------
K.J.V Where their warm dies not, and the fire is not quenched.
R.S.V Omitted
N.I.V Omitted
G.N.B Omitted
L.B.V Omitted

MARK 16:9-20
-------------
K.J.V (all paragraph from 9 till 20.
R.S.V Omitted (in edition 1952 and restored in recent editions)

(The commentators of recent versions admitted at the footnotes of N.I.V AND R.S.V AND L.B.V that these verses were exposed to many additions and insertions saying:

"The most reliable manuscripts and other ancient witnesses do not have Mark 16:9-20" (N.I.V)

"Verses 9-20 are not found in the most ancient manuscripts, but may be considered an appendix giving additional facts." (L.B.V)

"Some of the most ancient authorities bring the book to a close at the end of verse 8. One authority concludes the book by ADDING after verse 8 the following:

'But they reported briefly to Peter and those with him all that they had been told.. ETC.' Other authorities include the preceding passage and continue with verses 9-20. In most authorities verses 9-20 follow immediately after verse 8; a few authorities INSERT ADDITIONAL MATERIAL after verse 14." (R.S.V)

LUKE 9:56
---------
K.J.V For the son of man is not come to destroy men's life, but save.
R.S.V Omitted
N.I.V Omitted
G.N.B Omitted
L.B.V Omitted

LUKE 17:36
-----------
K.J.V. Two men shall be in the field, the one shall be taken and the other left.
R.S.V Omitted
N.I.V Omitted
G.N.B Omitted

JOHN 5:4
--------
K.J.V For an angel went down at a certain season into the pool and trouble the water. Whosoever then after the troubling of the water stepped in was made of whatsoever disease he had.
R.S.V Omitted
N.I.V Omitted
G.N.B Omitted

1 JOHN 5:7
-----------
K.J.V For there are three that bear witness in heaven, the father and the word and the Holy Ghost, and these three are one.
R.S.V Omitted
N.I.V For there are three that testify: The spirit The water, and the blood and these three are in agreement.
G.N.B There are three witnesses: The spirit the water and the blood, and all three give the same testimony.
L.B.V The verses 6,7,8 are totally omitted.

"BEGOTTEN" IS OMITTED JOHN 3:16
--------------------------------
K.J.V For God so love the world that he gave his only begotten son.
R.S.V For God so love the world that he gave his only son.
N.I.V For God so love the world that he gave his one and only son.
G.N.B For God so love the world, so much that he gave his only son.
L.B.V For God loved the world so much that he gave his only son.

ROMANS 7:15
------------
R.S.V I do not understand my own actions.
K.J.V Omitted

MARK 16:19 AND LUKE 24:15 AND JOHN 8:1-10
------------------------------------------
K.J.V After the Lord spoke to them he was received up into heaven.
R.S.V Omitted in 1952 version and restored in the recent publications.

(These verses were omitted in the revised standard version which was published
in 1952, the same verses were restored in the next publication of 1972 after
great controversy.
These verses talk about the ascension of Jesus and the women who were taken in
adultery. The Living Bible's commentators stated at its note p.79 that most
ancient manuscripts omit John 7:53 - 8:1-11)


CHANGES OF VERSES
-------------------
LUKE 22:70
-----------
K.J.V Then they said, "Are you the son of God? He said unto them, "You said that I am."
N.I.V They all asked, "Are you the son of God? He said, "You are right in saying I am."
L.B.V They all shouted "Then you claim you are the son of God. And He replied YES I AM."

DUET. 23:2
-----------
K.J.V A BASTARD shall not enter into the congregation of the Lord.
N.I.V No one born of a forbidden marriage may enter the assembly of the Lord.
G.N.B No one born out of wedlock may be included among the Lord's people.

HEBREW 12:8
------------
K.J.V Then you are BASTARDS, and not sons.
R.S.V Then you are illegitimate children and not sons.
G.N.B It means you are not real sons, but BASTARDS.
L.B.V It means that you are not God's son at all.

JOB 13:15
----------
K.J.V Though he slay me yet I trust him.
R.S.V He will slay me, I have no hope.
G.N.B I've lost all hope so what if God kills me.
L.B.V God may kill me for saying this-in fact, I expect him to.

PSALMS 2:7
----------
K.J.V David said, "God said to me: You are my son, this day I have begotten
you.
N.I.V David said, "God said to me: You are my son today I have become your
father.
(The N.I.V revisers analyzed that the word begotten should not be attributed to
both David, and Jesus, while Jesus should be the only begotten son of God as
John 3:16 proclaims. Yet by this modification of this verse -as well as others-
they attract the attention of the people how the false pen of the SCRIBES
change the word of God as Jeremiah 8:8 proclaimed.)

LEVITICUS 15:20
----------------
K.J.V And everything that she lies upon in her separation shall be unclean.
R.S.V And everything upon which she lies in her impurity shall be unclean.
L.B.V Anything she lies on sits on during that time shall be defiled.

BETWEEN ACTS 9:3 AND ACTS 22:9
-------------------------------
K.J.V They saw the light, but they heard not the voice.
N.I.V They saw the light, but they did not understand the voice.

(The reason behind the change in this verse is because of the contradiction
between Act. 9:3 and Act. 22:9 which they attempted to cover. We find that
modification in the N.I.V.)

ANOTHER ADDITION IN G.N.B.
---------------------------
G.N.B The women went to Peter and his friends, and gave a brief account
of all they had been told.
R.S.V Does not exist
N.I.V Does not exist
K.J.V Does not exist
 
Je, unaamini katika Ukristo(Baba,Mwana na Roho Mtakatifu) au Huamini hata JIWE?
Otherwise, i am done!
Mkuu,kwa Maswali yako haya unataka nisiendelee kuuliza ili nipate kujua.

Mathayo 7:7-8
[7]Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa;
[8]kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.

Kama Maswali yamekuwa magumu basi tulia tusubiri wengine waje na ufafanuzi.
Sorry Kama nitakuwa nimekukwaza mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,kwa Maswali yako haya unataka nisiendelee kuuliza ili nipate kujua.

Mathayo 7:7-8
[7]Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa;
[8]kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.

Kama Maswali yamekuwa magumu basi tulia tusubiri wengine waje na ufafanuzi.
Sorry Kama nitakuwa nimekukwaza mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali moja tu, maneno yote hayo yatoka wapi?
 
1.Mkuu huoni kwamba wanaotumia BIBLIA yenye vitabu vichache watakuwa hawapati mafundisho Ya MUNGU (kwa uwezo wa roho mtakatifu) ambayo yanapatikana kwenye BIBLIA yenye vitabu vingi?

2.Ni kweli kuwa Roho mtakatifu anatakiwa kuwaongoza binadamu ili waweze kuyaelewa maagizo ya MUNGU kwenye vitabu vyake ndani ya biblia.Naamini pia kuwa Roho mtakatifu ndio aliowaongoza waandishi na wataalamu wa sheria katika kukusanya neno la MUNGU katika kitabu kimoja( yaani BIBLIA) kwa lengo zuri tu la kurahisisha usomaji wa neno lake MUNGU.
(A): Je,ni kwa nini Sasa BIBLIA moja inatofautiana idadi ya Maneno ya MUNGU na BIBLIA nyingine wakati roho matakatifu (MUNGU) ndiye aliyewaongoza?
(B): Au Kuna roho zingine zisizo takatifu zilizowaongoza hao waandishi na wataalamu wa sheria na maandiko na ndio maana Leo hii BIBLIA zinatofautiana vitabu vyake?
Ndugu yangu nikwambie tu kwamba kuwepo na wingi Wa vitabu au uchache kwenye Biblia hakuifanyi Biblia kuwa si sahihi, kwa sababu kilicho muhimu ni Neno La Mungu.

Ukisoma sehemu fulani inasema wazi yapo mambo mengi ambayo hayajaandikwa humu, ila haya machache tu ili tupate kuamini.

Tena sehemu ingine imeandikwa wazi kwamba nyakati zile mafunuo/ Neno La Mungu halikuwa dhahiri, lilipatikana kwa uchache sana na bado watu waliweza kumcha Mungu wale Salio wachaji Mungu na wale wasiomcha waliendelea kuwa waovu kama hivi leo ambapo mafunuo yamekuwa mengi na ya wazi zaidi.

Hivyo basi wakati mwingine kusoma vitabu Vingi ni kujiongezea uelewa na maarifa tu ya akili ila utakatifu na uthibitisho Wa Neno La Mungu huthibitishwa na Roho Wa Mungu ndani ya moyo wa mtu.

Ndiyo maana si kila anayesoma hiki kitabu anaweza kupata uhalisia, maana inategemea anasoma kwa lengo gani?

Roho Wa Mungu akihusika haijalishi wingi Wa vitabu, Neno hilo analolisoma litakuwa halisi kwa msomaji, ndiyo maana wengine wanasema Biblia Takatifu ni lile Neno ulilolihifadhi moyoni na kilifanyia kazi sawa sawa na unavyoliamini, na hii ingine ni kitabu tu kama vitabu vingine vya kihistoria ambavyo unao uwezo Wa kukinunua wakati wowote ikiwa unakisoma pasipo msaada Wa Roho Wa Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, nimesema zipo sahihi kwa mtizamo wa mtumiaji. Kwanini? Jesus/Mungu hakuanzisha dhehebu, bali alihubiri ile iliyo kweli(Imani juu ya Mungu wa kweli na namna gani tuweze kuishi maisha matakatifu. Na watakao mfata na kuyatenda aliyoagiza kuyatenda wawe na uzima wa milele(Eternal LIFE) Sasa Binadamu tumekuja na mbwembwe zetu nyingi na kujikuta tunatafuta utukufu wetu wenyewe. hii ndio imepelekea kila anayeibuka hata leo atakufasiria kwa mtazamo wake. Tofauti hizo hazikuanza jana wala leo, hata wakati wa Yesu watu walijiinua kuwa wao ni bora na kuwashusha wengine.
Naamini Biblia zote ulizosema umezisoma/kuzipitia na kuelewa ujumbe uliomo ndani yake. Iwapo ulizisoma kwa kutafuta ipi sahihi na kwanini hii ina upungufu wa vitabu na ile vingi. hapo hutopata kitu.
Naamini kitabu hiki umekiona kwenye Biblia zote na kilichoandikwa hakina tofauti.
Matthew 7:16-20 King James Version (KJV)
16 Ye shall know them by their fruits. Do men gather grapes of thorns, or figs of thistles?

17 Even so every good tree bringeth forth good fruit; but a corrupt tree bringeth forth evil fruit.

18 A good tree cannot bring forth evil fruit, neither can a corrupt tree bring forth good fruit.

19 Every tree that bringeth not forth good fruit is hewn down, and cast into the fire.

20 Wherefore by their fruits ye shall know them.

Matthew 7:21-23 New King James Version (NKJV)
I Never Knew You
21 “Not everyone who says to Me, ‘Lord, Lord,’ shall enter the kingdom of heaven, but he who does the will of My Father in heaven. 22 Many will say to Me in that day, ‘Lord, Lord, have we not prophesied in Your name, cast out demons in Your name, and done many wonders in Your name?’ 23 And then I will declare to them, ‘I never knew you; depart from Me, you who practice lawlessness!’

Hicho ndio kipimo cha ukweli kujua nani yupo sahihi siyo wingi wa vitabu walivyonavyo dhehebu fulani. Kwa maana hakuna dhehebu litakalokupeleka MBINGUNI iwapo huyatendi yaliyo ya Mungu.

Hii kitu Yesu hakuisema kufurahisha barza.

Luke 18:9-14 New International Version (NIV)
The Parable of the Pharisee and the Tax Collector
9 To some who were confident of their own righteousness and looked down on everyone else, Jesus told this parable: 10 “Two men went up to the temple to pray,one a Pharisee and the other a tax collector. 11 The Pharisee stood by himself and prayed: ‘God, I thank you that I am not like other people—robbers, evildoers, adulterers—or even like this tax collector. 12 I fast twice a week and give a tenth of all I get.’

13 “But the tax collector stood at a distance. He would not even look up to heaven, but beat his breast and said, ‘God, have mercy on me, a sinner.’

14 “I tell you that this man, rather than the other, went home justified before God. For all those who exalt themselves will be humbled, and those who humble themselves will be exalted.”

Hivyo tuyasomapo haya maandiko tutulie kwanza katika uwepo wa Mungu tukiomba uongozi wa ROHO Mtakatifu kuyaelewa.

Tukiongozwa na utashi wetu katika hili, hatutakuwa na tofauti na huyo Farisayo.

Nikomee hapo kwenye mjadala huu.


CHANGING RED INK TO BLACK
--------------------------
JOHN 17:12
----------
K.J.V Those which you have given me I lost none but one. (red)
L.B.V Those which you have given me I lost none but one. (black)

JOHN 18:9
---------
K.J.V Those which you have given me I lost none. (red)
L.B.V Those which you have given me I lost none. (black)

REVELATION OF JOHN
-------------------
Almost 79 of the red Ink verses in the book of revelation were changed into black !!
 
Mkuu, nimesema zipo sahihi kwa mtizamo wa mtumiaji. Kwanini? Jesus/Mungu hakuanzisha dhehebu, bali alihubiri ile iliyo kweli(Imani juu ya Mungu wa kweli na namna gani tuweze kuishi maisha matakatifu. Na watakao mfata na kuyatenda aliyoagiza kuyatenda wawe na uzima wa milele(Eternal LIFE) Sasa Binadamu tumekuja na mbwembwe zetu nyingi na kujikuta tunatafuta utukufu wetu wenyewe. hii ndio imepelekea kila anayeibuka hata leo atakufasiria kwa mtazamo wake. Tofauti hizo hazikuanza jana wala leo, hata wakati wa Yesu watu walijiinua kuwa wao ni bora na kuwashusha wengine.
Naamini Biblia zote ulizosema umezisoma/kuzipitia na kuelewa ujumbe uliomo ndani yake. Iwapo ulizisoma kwa kutafuta ipi sahihi na kwanini hii ina upungufu wa vitabu na ile vingi. hapo hutopata kitu.
Naamini kitabu hiki umekiona kwenye Biblia zote na kilichoandikwa hakina tofauti.
Matthew 7:16-20 King James Version (KJV)
16 Ye shall know them by their fruits. Do men gather grapes of thorns, or figs of thistles?

17 Even so every good tree bringeth forth good fruit; but a corrupt tree bringeth forth evil fruit.

18 A good tree cannot bring forth evil fruit, neither can a corrupt tree bring forth good fruit.

19 Every tree that bringeth not forth good fruit is hewn down, and cast into the fire.

20 Wherefore by their fruits ye shall know them.

Matthew 7:21-23 New King James Version (NKJV)
I Never Knew You
21 “Not everyone who says to Me, ‘Lord, Lord,’ shall enter the kingdom of heaven, but he who does the will of My Father in heaven. 22 Many will say to Me in that day, ‘Lord, Lord, have we not prophesied in Your name, cast out demons in Your name, and done many wonders in Your name?’ 23 And then I will declare to them, ‘I never knew you; depart from Me, you who practice lawlessness!’

Hicho ndio kipimo cha ukweli kujua nani yupo sahihi siyo wingi wa vitabu walivyonavyo dhehebu fulani. Kwa maana hakuna dhehebu litakalokupeleka MBINGUNI iwapo huyatendi yaliyo ya Mungu.

Hii kitu Yesu hakuisema kufurahisha barza.

Luke 18:9-14 New International Version (NIV)
The Parable of the Pharisee and the Tax Collector
9 To some who were confident of their own righteousness and looked down on everyone else, Jesus told this parable: 10 “Two men went up to the temple to pray,one a Pharisee and the other a tax collector. 11 The Pharisee stood by himself and prayed: ‘God, I thank you that I am not like other people—robbers, evildoers, adulterers—or even like this tax collector. 12 I fast twice a week and give a tenth of all I get.’

13 “But the tax collector stood at a distance. He would not even look up to heaven, but beat his breast and said, ‘God, have mercy on me, a sinner.’

14 “I tell you that this man, rather than the other, went home justified before God. For all those who exalt themselves will be humbled, and those who humble themselves will be exalted.”

Hivyo tuyasomapo haya maandiko tutulie kwanza katika uwepo wa Mungu tukiomba uongozi wa ROHO Mtakatifu kuyaelewa.

Tukiongozwa na utashi wetu katika hili, hatutakuwa na tofauti na huyo Farisayo.

Nikomee hapo kwenye mjadala huu.



IS GOD SPEAKING IN THESE VERSES ?
---------------------------------
[Psalm 10:1]
Why do you stand a far off, O Lord, why do you HIDE YOURSELF in times of trouble ?

[Psalm 89:46]
HOW LONG, O LORD ? WILL YOU HIDE YOURSELF FOREVER ? How long will your wrath burn like fire ?

[Lam. 3:18]
My strength and MY HOPE IS PERISHED FROM THE LORD.

THE CLOAK THAT PAUL LEFT

------------------------

[2 Timo. 4:9]

This book, of "Timothy" is in fact a letter from Paul to his close friend Timothy, for example he said to him "Do your diligence to come shortly unto me.. The cloak that I left at Tro'-as with Carpus, when you come, bring with you, and the books. But specially the parchments.

GOD'S REVELATION OF PAUL'S ?!!
-------------------------------

[Gal. 5:2]

Behold, I Paul, say unto you, that if you be circumcised Christ shall profit you nothing.

[1 Corin. 7:10]

And unto the married I command, yet not I, but the Lord..

12 Butto the rest I SPEAK, NOT THE LORD.

25 Now concerning virgins I HAVE NO COMMAND OF THE LORD YET I GIVE MY JUDGMENT.


PAUL IS RESPONSIBLE
---------------------
[1 Corin. 9:19]

Paul said: I made myself slave to all, that I might win the more. To the Jews I became as a Jew, in order to win Jews. To those under the law I became as under the law-though not being under the law- that I might win those under the law. To those outside the law I became as one outside the law-not being without law toward God but under the law of Christ.

THE DISCIPLES OF JESUS ACCUSE PAUL
-----------------------------------

[Acts 21:20]

They said to him, "How many thousands of Jews there are which believe, and they are zealous of the law: and they are informed of you, that you teach all the jews which are among the GENTILES to forsake Moses, saying that they ought not to circumcise their children, neither to walk after the customs."

THEREFORE HE WAS COMPLAINING TO TIMOTHY THAT ALL OF THEM DOUBTED HIM AND LEFT HIM SAYING:

[1 Timo. 1:15]

You know that all they which are in Asia be turned away from me.

[2 Timo. 4:16]

Alexander the coppersmith did me much evil, the Lord reward him according to his works. Of whom you be ware also, for he has greatly withstood our wards.

At my first answer no man stood with me.

PAUL CALLED THE LAW OLD !
-------------------------
[Gal. 5:4]

Christ is become of no effect unto you, whosoever of you are justified by the law, YOU ARE FALLEN FROM GRACE.

[Rom 7:6]

But now we are DELIVERED FROM THE LAW.

[Gal. 2:16]

A man is NOT JUSTIFIED BY WORKS of the law, but by faith of Jesus Christ. (this idea of Paul contradicts absolutely the book of James 20:1 and the book of Ezekiel 14:14 "They should deliver but their own souls by their righteousness".

It even contradicts what Paul himself said that "God will render to every man according to his deeds." [Rom. 2:6])
For if righteousness come by the law, then Christ is dead in vain.

[Gal. 3:10]

For as many as are of the works of the law are UNDER THE CURSE.

[2 Corin. 3:6]

God made us able ministers of the new testament.

FINALLY HE CANCELLED IT !!!
---------------------------

[Heb. 8:13]

Paul said, "In that He [God] said, "A new covenant." He had made the first old.

Now that which decayeth and waxeth old: is ready to VANISH AWAY.
 
Swali moja tu, maneno yote hayo yatoka wapi?


Wayahudi walishuhudia nyumba yao ya ibada ya Jerusalem ikiharibiwa kabisa mnamo mwaka 581 B.K.

Pamoja na tukio hili pia, Torati yenyewe halisi pia iliharibiwa na baadaye walifanikiwa kurejesha hasara iliyotokea, lakini walizifanyia mabadiliko makubwa nakala chache zilizopata bahati ya kutoharibiwa kabla ya kuandika nakala nyingi zaidi kwa ajili ya matumizi ya kila mtu.

Ukweli kwamba nakala chache za Agano la Kale zilizonusurika kuharibiwa zilizifanyiwa mabadiliko makubwa unakubalika na wasomi na wanazuoni wakubwa isipokuwa wachache.

Mabadiliko yalifanywa katika fani (style) muundo wa lugha na sarufi (grammer), ili kuzipamba habari na visa mbalimbali vilivyomo katika Biblia, na pia walithubutu hata kuviondoa kabisa vitu ambavyo wao waandishi hawakuvifurahia.

Kwa kifupi, kazi za waandishi hawa ziliathiriwa sana na wakati walioshi pamoja na hisia, maoni, na imani zao binafsi.


Mifano kadhaa ya maongezo na mapunguzo yaliyopelekea kuchafuliwa kwa agano la kale ni kama ifuatavyo:


1) Kuna aya mbili zinazotofautiana juu ya uumbaji zinazopatikana katika kitabu cha mwanzo: Katika sura ya kwanza imeandikwa kwamba uumbaji ulichukua siku sita

Ajabu ni kwamba katika sura ya pili, imeandikwa kwamba Mungu aliifanya kazi hii kwa siku moja (2:4).

Tukiendelea na mikorogano hii iliyofanywa na waandishi ni juu ya ukweli kwamba Adam alikuwa ni kiumbe wa mwisho kuumbwa (1:27) wakati katika aya ya pili imeandikwa kwamba alikuwa ni kiumbe wa kwanza kuumbwa kabla ya kiumbe kingine chochote (2:4-9).


Tukiacha aya hizi mbili zinazotofautiana juu ya uumbaji, katika kifungu cha kwanza na cha pili pia kuna aya nyingine mbili zinazotofautiana juu ya gharika (mafuriko) katika kitabu cha mwanzo 6,7 na 8.

Katika vifungu hivi, aya mbili zinatofautiana juu ya idadi ya wanyama ambao Nuhu aliwaingiza katika safina.

Aya nyingine mbili zinatofautiana juu ya sababu ya gharika, na aya nyingine mbili zinatofautiana juu ya muda ambao mafuriko yalidumu.


2) Katika kitabu cha Mwanzo 22:2, Mungu anatoa amri ifuatayo kwa Nabii Ibrahimu:


"Mchukue sasa mwanao, Is-haq mwanao wa pekee".


Hapa maneno "mwanao wa pekee" yeyote anaweza kukubali kwamba maneno haya yaliongezwa makusudi kwa lengo la kupotosha ukweli fulani kwa sababu wakati ule Ibrahimu alikuwa na watoto wawili Is-haq NA ndugu yake mkubwa Ismail, hakuwa Is-haq peke yake.


3) Na kama ni kweli kwamba Nabii Musa ndiye mwandishi wa kitabu cha kumbukumbu la Torati kama inavyodaiwa, inawezekanaje akaandika habari juu ya yaliyotokea wakati wa kifo chake kama inavyoonekana katika kumbukumbu la Torati kifungu cha 34?


Pia kuna suala juu ya jinsi Mungu anavyoonyeshwa katika Agano la kale kuwa ni katili na asiyekuwa na huruma hata kidogo:


1) Katika kitabu cha Hesabu 21:5-6, inaonyesha kwamba Mungu alipeleka nyoka wenye sumu kali kwa Wayahudi ambapo wetu wengi waliumwa na kufa kwa sababu tu walilalamika juu ya chakula chao.


2) Katika kumbukumbu la Torati 7:2, inaonyesha kwamba Mungu aliwaamuru Wayahudi wawaue watu wote watakaowakamata kama mateka katika vita - wasionyeshe huruma na rehema hata kidogo.


3) Katika Samuel wa Pili 24:1-7, inaonyesha kwamba Wayahudi 70,000 walikufa kutokana na maradhi hatari ya kuambukiza yaliyoletwa na Mungu kwa sababu ya kutoridhishwa kwake na sensa (kuhesabu watu) iliyofanywa na Daud.


Mbali na kuonyeshwa sifa hizi za kutisha alizonazo Mwenyezi Mungu, kuna mifano mingi; inayowa dhalilisha mitume mbalimbali wa Mwenyezi Mungu:


1) Mabinti wa Luti walimnywesha pombe baba yao ili waweze kufanya naye mapenzi katika kitabu cha Mwanzo 19:30-38.


2) Inasemekana kwamba Daud alikuwa mzinifu katika Samwel wa pili 11:4-5.


3) Inasemekana Suleimani alikuwa muabudu masanamu katika Wafalme wa Pili 11:9-10.


Ndiyo, ni muhimu kujua kuwa Mitume hawa wa mwanzo walikuwa ni wanadamu katika nyanja zote, lakini kusema kuwa walifanya hayo yaliyotajwa hapo juu ni kuvuka mpaka MNO.


Haya sio yote. Katika vitabu vya Samueli, Wafalme na Mambo ya Nyakati kuna matukio mengi kama haya yaliyotokea katika historia ya mwanzo ya kiyahudi na pia ndani yake kuna idadi kubwa ya migongano na kupingana katika uelezeaji wa matukio haya.

Kitabu cha Isaya, ambacho ni kitabu kinachopendwa sana cha "utabiri" kwa Wakristo kinatofautiana na vingine kwa kuwa na mifano inayonga'a ya maovu katika Agano la kale.

Kwa mfano nukuu ya neno kwa neno, tazama Isaya 37, ambapo takribani ni nukuu ya neno kwa neno ya jitihada za mtunzi (mwandishi) wa Biblia inayopatikana katika Wafalme wa Pili 19.


Hii ni mifano michache tu inayoweza kupatikana katika Agano la Kale katika kuthibitisha tuhuma kwamba Biblia imebadilishwa mara kadhaa na kupotolewa na mikono ya watu.

Ni vigumu kuzitetea tuhuma hizi hasa kwa sababu kuna mifano mingi mno inayothibitisha tuhuma hizi katika Biblia tukiachilia ukweli kwamba hakuna maandiko ya asili (original) ya Agano la Kale yaliyopo leo hii.
 
Swali moja tu, maneno yote hayo yatoka wapi?


Nakala za Nakala za Biblia


Nakala zote za mwanzo za Biblia zilikuwa ni nakala tu.

Nakala hizi ziliandikwa kwa mkono. Nakala ya kwanza kuchapwa kwa mashine ilitoka katika karne ya kumi na tatu ambayo iliitwa Biblia ya "Gutenburg".

Maandiko ya asili (original manuscripts) yalitupiliwa mbali na badala yake zikaanza kutumika nakala mpya kwa sababu zile zilikuwa zimechoka na kuchanika chanika kutokana na kutumiwa kwa muda mrefu. Nakala hizi mpya baadaye, zilitumika kutengenezea nakala nyingi zaidi.


Hata hivyo, kila nakala iliyotengezwa, ilimaanisha kuwepo kwa nafasi zaidi ya kufanya mabadiliko - aidha ya bahati mbaya au ya makusudi ambayo yote haya yaliingizwa katika Biblia.

Kama ilivyokuwa kwa Agano la Kale, Agano Jipya pia lilipatwa na balaa la kuongezewa na kupunguziwa baadhi ya maneno, aidha kwa makusudi au kwa bahati mbaya kutoka kwa waandishi wake.


Ni lazima ionyeshwe kwamba hakukuwa na namna yoyote ya kurudi nyuma na kuangalia usahihi wa kazi za waandishi hasa kwa vile hakuna maandiko ya asili (original manuscripts) ya Agano la Kale wala Jipya.

Nakala zilizopo ambazo tunaweza kusema ni za zamani kabisa ni za karne ya saba au ya nane baada ya kristo ambapo zilichambuliwa na kuchaguliwa ambazo ni bora zaidi kutokana na nakala nyingi na za aina mbalimbali zilizokuwepo wakati ule.

Kwa upande wa Agano Jipya hakuna nakala ya asili iliyopo. Tuna nakala tu, ambazo tunaweza kusema ni za zamani zaidi ambazo ziliandikwa katika karne ya nne, kipindi ambacho maandiko "rasmi au maandiko ya kiofisi" yaliwekwa na kanisa. Ukosefu huu wa nakala za asili (original manuscripts) uliondoa kabisa uwezekano kwa yeyote kujaribu kukagua usahili; na mabadiliko mbalimbali yaliyopenyezwa katika Biblia.
 
Swali moja tu, maneno yote hayo yatoka wapi?


Suala la Kutokamilika


Makanisa ya mwanzo ya kikristo hayakuwa na seti maalum (ya kiofisi - rasmi) ya maandiko Matakatifu.

Baadhi ya Makanisa yalikuwa na seti fulani ya vitabu wakati Makanisa mengine yalikuwa na seti tofauti ya vitabu. Kuna baadhi ya watu waliridhika hata kuwa na kitabu kimoja cha Injili katika vinne, wakiamini kwamba vyote vilikuwa sawa na vilikuwa na habari moja.


Kulikuwa hata vitabu ambavyo katika Biblia za leo havimo - kwa mfano kulikuwa vitabu kumi na tano vilivyozidi katika Agano la kale na vitabu kumi na sita katika Agano Jipya.


Kutokana na ukosefu wa mpangilio maalum katika kanisa kuhusiana na maandiko yake Matakatifu, Maaskofu walikutana pamoja ili kuweka sera ya kiofisi ya kanisa kuhusiana na suala la utatu Mtakatifu katika Mkutano wa Nicea mwaka 325 B.K. ambapo pia waliandaa na kujiwekea Maandiko Maalum Rasmi yatakayotumika katika Kanisa.


Walikusanya nakala moja kwa kila aina (seti) ya maandiko aliyokuwa ikitumika wakati ule na wakafanya maamuzi juu ya ni vitabu vipi vitambulike kuwa ndio maalum na rasmi kwa Wakristo wote na nchi zote za Kikristo (kuwa ni Maandiko Matakatifu). Hatimaye vitabu sitini na sita vilichaguliwa, 39 kwa ajili ya Agano la Kale na 27 kwa ajili ya Agano Jipya.


Vitabu saba katika kumi na tano vilivyozidi katika vitabu vya Agano la Kale viliendelea kutumiwa na kanisa Katoliki, lakini hata hivi baadaye vilitupiliwa mbali na Waprotestanti wakati wa harakati za mageuzi katika karne ya kumi na sita. HAKUNA HATA KIMOJA katika vitabu kumi na sita "vilivyozidi" vya Agano Jipya kilichofanywa kuwa ni sehemu ya Maandiko Matakatifu maalum na rasmi yanayotumika.


Vitabu hivi vilivyozidi vilipewa jina la "Apocrypha" - - neno la kigiriki lenye maana ya "iliyofichika" - vitabu hivi vya ziada ambavyo hapo awali vilikuwa sehemu ya Biblia vilitupiliwa mbali kwa kile kilichodaiwa na viongozi wa kanisa kuwa "vilikhitilafiana" na imani zilizokuwa zikikubaliwa na kanisa. "Waandishi wa vitabu vya Aprocrypha (yaani vitabu vya ziada) bila shaka walikuwa wachamungu na waliofanya kazi kwa dhati na uhodari mkubwa - na tukisoma waliyoyaandika, mara moja tutagundua kwamba maneno yao -- yalikuwa yameepukana na udhaifu wa kutokuwa sifa za kuwa maandiko matakatifu --".[ soma , Is the Bible Reliable? p. 30. (Je Biblia inaaminika? uk. 30)


La kushangaza zaidi ni kwamba rejea ya baadhi ya vitabu hivi vilivyofichikana (Apocrypha) zinaweza kupatikana katika Biblia ya leo inayotambulika kiofisi kama vile "kitabu cha vita vya Yehova" kilichotajwa katika Hesabu 21:14 "kitabu cha Jashar" kilichotajwa katika Joshua 10:13.


Hivyo, Biblia, tuliyonayo leo hii, si tu kwamba imekuwa (victim) muhanga wa kuingiliwa, kuongezwa na kupunguzwa bali pia haiwezi kuchukuliwa kuwa ni kamilifu. Inawezekanaje Maneno ya Mungu yakaondolewa na kutupiliwa mbali kwa sababu ya matakwa ya mwanaadamu?
 
kwa nini gavana unakuwa mtukanaji sana [emoji350] [emoji53] umekosa malezi mema au [emoji15] [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app


Tatizo la Kutafsiri


Wataliano wana usemo usemao "Wafasiri ni waongo". Msemo huu una ukweli ndani yake na umetokana na uchunguzi makini. Kuchukua kitu fulani kilichoandikwa katika lugha fulani na kujaribu kukiingiza katika lugha nyingine huwa inaleta matatizo kwa sababu mara nyingi wafasiri hupambana na maneno katika lugha moja ambayo hayamo katika lugha nyingine. Neno jingine badala yake lazima litumike na matokeo yake ni kubadilika kwa maana.


Agano la kale mwanzo kabisa liliandikwa kwa Kiebrania, lakini lilitafsiriwa katika karne ya tatu kwenda katika lugha ya Kigiriki kwa ajili ya Wayahudi waliokuwa wanaishi nje ya Palestina (ambao walikuwa wanaongea Kigiriki - badala ya Kiebrania). Tafsiri hii iliitwa "septuagint" na ilitumika sana hata na wakristo wa mwanzo.


Agano Jipya liliandikwa katika lugha ya Kigiriki lakini maadamYesu mwenyewe alitumia lugha ya kiaramaiki, hii ina maana kwamba maneno yake yalilazimika kutafsiriwa na hivyo kusababisha uwezekano wa makosa


Tafsiri ya kigiriki iliyokuwa ikiitwa Septuagint iliunganishwa na maandiko ya Agano Jipya yaliyokuwa katika lugha ya kigiriki katika karne ya nne. Maandiko haya yaliyounda Biblia kamili sasa hivi yanaeleweka kama "Codexsinaiticus" na "Codex Vaticanus" na hizi ndio nakala za maandiko ya zamani kabisa zilizopo leo. Hakuna maandiko ya mwanzo kuliko haya yaliyonusurika kutupiliwa mbali.


Katika karne ya nne, Biblia ilitafsiriwa kwenda katika lugha ya Kilatini na Mt. Jerome.
Na hii ilibakia kuwa lugha ya Biblia hadi karne ya kumi na sita ambapo watu wa Mageuzi kama John Wycliffe, William Tyndale na Martin Luther walipoifasiri Biblia katika lugha mbalimbali za watu - jambo ambalo lilikuwa haliruhusiwi kabisa na viongozi wa kanisa wa wakati ule na ili kufanikisha lilimgharimu Tyndale maisha yake. Walifanya hivi ili kuwazuia watu kuyasoma, kuyaelewa au kuyahisi maandiko yao Matakatifu - haya yalifanywa makusudi na viongozi wa kanisa.


Tafsiri nyingine zilifuatia ndani ya muda mfupi. Karibu na mwisho wa karne ya kumi na sita kulikuwa na tafsiri za lugha mbalimbali na tafsiri mbalimbali za lugha moja ambazo zilileta malumbano na mabishano makubwa jambo lililomfanya Mfalme James I wa Uingereza kuteua kamati ya wanazuoni hamsini na nne ili kuandaa toleo "rasmi" na litakalotambulika na mamlaka. Watu hawa (kamati) walizisoma tafsiri zote zilizokuwepo wakati ule na, mnamo mwaka 1611, walitoa toleo lililoitwa "King James Versions of the Bible" yaani toleo la Biblia la Mfalme James - ambalo lilikuwa ndio toleo rasmi miongoni mwa Wakristo kwa mamia ya miaka.
 
kwa nini gavana unakuwa mtukanaji sana [emoji350] [emoji53] umekosa malezi mema au [emoji15] [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo Lililopo Leo: Matoleo Mapya


Tatizo la uharibifu na upotoshaji lililoambatana na kutafsiri liliisha mwaka 1611, kwa kupatikana toleo la King James Versions of the Bible, tatizo la marudio - - "kuiboresha" au kuifanya kuwa ya "kisasa" limeikabili Biblia leo hii.


Kiwango cha uharibifu na upotoshaji huu ni kama ifuatavyo: katika mwaka 1952, makala yenye kichwa cha habari "Ukweli kuhusu Biblia" yalionekana katika gazeti la "Look" (Tazama). Makala haya yalisema kwamba kulikuwa makosa zaidi ya 20,000 (elfu ishirini) katika Agano Jipya peke yake. Mashahidi wa Yehova walilizungumzia suala hili katika toleo la Septemba, 1957 la gazeti lao la "Awake" (Amka) ambapo walisema "- - - Wafasiri walifanya makosa katika kufasiri (Biblia) ambayo yamesahihishwa na wanazuoni wa zama hizi- -" (Awake page 20)
Mtu anaweza kujiuliza ni jambo la ajabu wanazuoni hawa walilifanya!!


Katika karne ya kumi na tisa, Wakristo waliamua kuiboresha lugha ilivyotumika katika King James Version. Jitihada zao zilizaa toleo jipya la Biblia liitwalo "American Standard Version" lililotolewa mwaka 1901. Wakristo waliolifanyia kazi toleo hili sio tu kwamba waliikuza na kuiboresha lugha bali pia walifanya mabadiliko katika Biblia yenyewe:


1) Katika kuuthibitisha ukweli kwamba baadhi ya maneno yaliondolewa na mengine kuongezwa, tunaweza kuangalia katika maandiko ya mwanzo ya Biblia yaliyokuwa katika lugha ya kigiriki toleo la Biblia la King James Version Yohana 5:8 ambapo imeandikwa "Baba, Mwana na Roho Mtakatifu". Lakini toleo jipya la American Standard Version, wanazuoni walibadilisha na badala yake wakatumia maneno "Roho, Maji na Damu".


2) Aya nzima inayopatikana katika Mathayo 17:21 ambayo inazungumzia juu ya ukuaji wa usafi wa kiroho kwa sala na kufunga iliondolewa kwenye American Standard Version, na neno "Kufunga" liliondolewa katika aya kama hii inayopatikana katika Marko 9:29.


Maelezo juu ya hili yanayopatikana katika sherehe yake (chini ya ukurasa) yanasema: "Mamlaka nyingi, baadhi zikiwa ni za zamani, zinaiingiza pia aya 21" (ambapo katika Biblia za sasa aya hii ya 21 imeondelewa).


3) Katika kukubali ukweli mwingine juu ya uongezaji na upunguzaji wa baadhi ya maneno katika Maandiko Matakatifu (Biblia), vifungu vya Yohana 7:53 na Yohana 8:1-11 umefungiwa mabano na katika sherehe yake (maelezo ya ziada) wameeleza kwamba vifungu hivi "havipatikani katika Biblia (Maandiko matakatifu) nyingi za zamani".


Baada ya miaka kadhaa viongozi wa kanisa walikutana wakaamua kuliboresha toleo la Biblia la American Standard Version. Matokeo ya jitihada zao ilikuwa ni kupatikana toleo jingine la Biblia linalojulikana kama "The Revised Standard Version" - yaani toleo la Biblia la kiwango bora na lililofanyiwa marekebisho. Toleo hili lilitoka rasmi mwaka 1952.


Katika dibaji ya Toleo hili kuna maelezo haya: "- - - Toleo la King James (King James Version) lina makosa na mapungufu mengi mno na hatari sana kiasi kwamba kuna haja kubwa ya kulifanyia marudio na marekebisho toleo zima - -".


Katika toleo la Biblia la 'The Revised Standard Version' tunakuta kwamba aya katika injili ya Marko zinazozungumzia juu ya kupaa kwa Yesu (Marko 16 : 9-20) zimeondolewa kwa madai kwamba aya hizi hazipatikani katika Biblia (maandiko) za zamani kabisa.


Katika mwaka 1989, toleo la Biblia la 'The Revised Standard Version' la 1952 liliboreshwa tena na hivyo likapatikana toleo jipya "The New Revised Standard Version". Na katika toleo hili aya zinazozungumzia juu ya kupaa kwa Yesu katika Marko 16 zilirejeshwa. Kwa vile Wakristo wengi hawakufurahia "kumomonyolewa" kwa moja ya imani zao za msingi kulikofanywa na Wahariri wa "The Revised Standard Version", ilibidi aya hizi zirejeshwe ili kuwaridhisha.


Kwa kuhitimisha, tunaweza kusema, kutokana na marudio ya mara kwa mara yaliyofanyika kwa miaka mingi wakati wa kufasiri na "Matoleo" mbalimbali mapya katika Biblia tuliyonayo leo maandiko ya wanadamu ndio mengi zaidi kuliko ufunuo kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
 
Swali moja tu, maneno yote hayo yatoka wapi?



Wakristo Wenyewe Wanasemaje
Juu ya Tatizo Hili​


Huko nyuma katika karne ya nne, Mt. Augustino aligundua makosa mengi, ndani ya Biblia. Akizungumzia juu ya suala hili katika barua yake Na. 82.
Alisema kwamba makosa katika uelewaji ndio sababu ya tatizo hili (la kuona aya zinapingana, na nyingine zipo katika toleo hili, lakini katika toleo jingine hazipo na utatanishi mwingine mwingi).
Anasema yeye haamini kwamba watu kuongeza, kupunguza na kubadilisha baadhi ya mambo katika Biblia kuwa ni tatizo ila tatizo ni uelewaji mbaya katika usomaji. Kwa maneno mengine anasema kwamba baada ya msomaji kukumbana na mikorogano hii katika Biblia anatakiwa abuni maelezo fulani yatakayokuwa ni msamaha wa makosa haya.


Utafiti unaojaribu kuangalia na kuonyesha makosa katika Maandiko Matakatifu, tofauti na watu wengi wanavyofikiri, umeanza hivi karibuni. Kwa mamia ya miaka Biblia ilikubalika tu "kama ilivyo". Ilichukuliwa kuwa ni dhambi kubwa sana kujaribu kukosoa kosa, hata dogo lililomo ndani ya Biblia na viongozi wa kanisa walifanikiwa sana kuyazima majaribio yoyote ya kujaribu kuikosoa Biblia.


Kitabu cha kwanza kuonyesha na kukosoa makosa katika Biblia kilichoandikwa na Richard Simon kiitwacho Critical History of the Old Testament (Historia inayojaribu kuonyesha na kukosoa makosa yaliyomo katika Agano la kale), kilitoka mwaka 1678. Kitabu hiki kilileta tafrani na mtafaruku mkubwa lakini kilisaidia sana kufungua njia kwa wale waliokuja baadaye katika karne ya 18 na 19 kwa dhumuni la kufanya utafiti juu ya makosa yaliyomo katika Agano la Kale.


Kutokana na ukweli mwingi usiopingika uliotolewa na watu mbalimbali, Halmashauri ya awamu ya Pili ya Vatican (1962- 1965) ilitoa maelezo yanayoshangaza juu ya jambo hili "- - - Vitabu vya Agano la Kale vina (ndani yake) habari zisizo sahihi na zenye mapungufu mengi --."( The Bible, the Qur'an and Science, p. 41. (Biblia, Qur'an na Sayansi, uk. 41)


Agano Jipya pia lina kasoro na mapungufu mengi. Ingawa Halmashauri ya awamu ya pili ya Vatican inashikilia kwamba Injili "kihistoria ni ya kweli " na kwamba wao "kwa uaminifu kabisa wanaeneza yale ambayo Yesu alifanya na kufundisha watu wakati wa maisha yake".( Ibid, p. 57. ).
Wanazuoni wengine wamekuwa na maelezo ambayo ni kinyume kabisa na msimamo wa Vatican.


Katika kitabu chake "The Call of the Minaret" (Wito kutoka katika mnara wa msikiti, Adhana), Dr. Kenneth Cragg anasema kwamba kuna "mambo yaliyoongezwa na kupunguzwa" katika Agano Jipya Injili na ni kazi ya akili ya viongozi wa kanisa ikiongozwa na waandishi, na kwamba katika kazi zao wanatumia uzoefu na historia."[Is the Bible God's Word? pp. 1,2 (Je Biblia ni Neno la Mungu? Uk. 1,2).


Padre Kannengiesser, Profesa katika taasisi ya kikatoliki katika mji wa Paris, alionya katika kitabu chake "Faith in Resurrection" (Imani juu ya ufunuo), kwamba watu wasijaribu "kuyatafsiri na kuyaelewa maneno kama yalivyo" juu taarifa za kweli kuhusiana na Yesu katika Injili - onyo ambalo pia lilitolewa na Padre Rognet wa Paris katika kitabu chake "Initiation to the Gospels".


Carl Andrey, profesa wa falsafa na masomo ya dini katika Chuo kikuu cha Ball State kilichopo Indiana anasema kwamba vitabu vinne vya Injili: "- - - viliandikwa na watu wenye shauku wa harakati za mwanzo za kikristo na kwamba wanatupatia nusu tu ya habari kamili na kwa kiasi kikubwa ni mazao ya fikra za waandishi wao"[Jesus and the Four Gospels, pp. 6,7. (Yesu na Injili nne, vitabu vinne vya injili, uk. 6,7


Mwisho tuna maelezo ya Dr. W. Graham Scroggie wa "Prestigious Moody Bible Institute" ambaye anasema: "Ndiyo, Biblia ni zao la kazi iliyofanywa na binadamu - - - vitabu hivyo vimetokana na akili za watu, vimeandikwa kwa mikono ya watu, na fani ya uandishi wake ni ya kibinadamu.[Is the Bible God's Word?, p. 1. (Je Biblia ni Neno la Mungu, uk . 1 )


Kama huu ndio msimamo wa wanazuoni wa Biblia, wakristo wa "kawaida" watakuwa na lipi la kusema juu ya jambo hili?


Wengi (wa wakristo wa kawaida) hata hawajui lolote juu ya kasoro nyingi zilizomo ndani ya Biblia kwa sababu waandishi wa utangulizi na washereheshaji (wanatoa maelezo ya ziada) wa Biblia. Wanatumia mbinu mbalimbali za kijanja ili kuwafanya Wakristo wasiyajali na wajisahaulishe na maswali ambayo wangejiuliza juu ya kasoro nyingi zilizomo ndani ya Biblia. Pamoja na mambo mengine, waandishi hawa:


1) Wanaandika mambo kama ukweli uliothibitika wakati ukweli na uthabiti wake una mashaka, na


2) Wanayafunika makosa na kasoro zilizomo ndani ya Biblia kwa kutoa nyudhuru na kuomba radhi mbinu ambayo inaondoa umakini wa msomaji kutoka kwenye dosari na kasoro zilizomo ndani ya Biblia na badala yake kuangalia mambo mengine.


Kina wanachokwenda washereheshaji (Commentators) katika kujaribu kutetea kasoro na dosari zilizomo ndani ya Biblia ni alama na ushahidi tosha juu kutojisikia kwao vizuri na ugumu wanaoupata katika jitihada zao za kujaribu kutetea makosa, dosari na kasoro zilizomo ndani ya Biblia.


Pamoja na ukweli huu juu ya kasoro na dosari zilizomo ndani ya Biblia, ajabu ni kwamba mtu anapojaribu kuzionyesha hataambulia chochote kutoka kwa wakristo isipokuwa uadui. Niliwahi kupeleka makaratasi yenye utafiti wangu juu ya kasoro na dosari mbalimbali zilizomo ndani ya Biblia katika mishenari ya kikristo ambapo walinijia muda mfupi baadaye wakinishutumu kwa kufanya "uvamizi dhidi ya Biblia. Muongeaji aliendelea kusema kwamba "Biblia imefanyiwa uvamizi (imevamiwa) kwa karne nyingi, lakini bado ipo. Imestahimili vishindo (vyote) vya nje na ndani".[Personal Communication, Del Kingsriter of Centre for Ministry to Muslims, March 3, 1993. (Mawasiliano ya mtu binafsi). ]


Nastaajabu vipi mtu awe na msimamo kama huu mbele ya mifano tele inayoweza kuthibitishwa, sielewi anamaanisha nini katika neno "vishindo". Labda linaendeleza lile linalopatikana katika "kazi bora " ya vitabu vinavyotetea dosari na kasoro zilizomo katika vitabu vya Kikristo iliyomo katika kitabu kiitwacho "Is Bible Reliable. (Je, Biblia inaaminika?).


Katika kitabu hiki, mwandishi Bjug Horstal anasema kwamba Mungu "aliwashawishi" waandishi wa Maandiko Matakatifu "- - - kuandika kasoro na dosari zilizoambatana (zinazotokana) na lugha , na kwamba tunatakiwa tuliache jambo hili kwa Mungu mwenyewe, awe huru kutumia idadi yoyote ile ya fani na hata udhaifu wa kibinadamu kama anavyotaka mwenyewe - - -".[Is the Bible Reliable? pp. 86, 87. (Je biblia inaaminika? Uk. 86, 87). ]


Mashahidi wa Yehova wameandika kitabu kizima kiitwacho: Bible: God's Word or Man's? (Biblia: Ni neno la Mungu au la Mwanaadamu?), ambacho kinazungumzia kasoro na dosari zilizomo ndani ya Biblia. Katika kitabu hiki, wamelizungumzia suala hili kwa namna tofauti na ya pekee kwa kusema kwamba: 'kuna baadhi ya "kasoro na dosari za wazi" katika Biblia ambazo "ni vigumu kuzitetea". Hata hivyo tusizichukulie dosari na kasoro hizi kuwa ni kugongana na kupingana kwa aya za Biblia; mara nyingi ni kwa sababu ya ukosefu wa taarifa na habari kamili'.[The Bible: God's Word or Man's? p. 97. (Biblia ni neno la Mungu au la Mwanadamu? uk. 97 ]


Nilibahatika kupata nakala ya tafsiri ya Biblia ya Mashahidi wa Yehova "The New World Translation of the Holy Scriptures". Nilimuuliza mjumbe mmoja wa ngazi za juu wa jopo la Wafasiri wa mjini petu kuwa ana maelezo gani juu ya aya ya Mathayo 17:21, ambayo inasomeka: "Hakuna aya, kuna namba tu mstari mrefu ulio wazi". Mjumbe yule alibabaika sana alipoangalia sehemu hiyo. Akaahidi kuwa angekuja kuniona kwa mara nyingine tena ningependa kujua anasemaje kuhusiana na suala hili.


Kwa kifupi, Wakristo hawako tayari kuukubali ukweli kwamba Maandiko yao Matakatifu yamepotolewa kwa madai kwamba, ikiwa msingi utayumba na kutokuwa na uhakika, je tutasimama juu ya nini katika siku za masaibu na mashaka?"[Is the Bible Reliable? p. 84. (Je Biblia inaaminika, uk. 84). ]


Sio hayo tu, bali kuna aya inayozungumzia juu ya kuyabadilisha maandiko matakatifu katika maandiko hayo hayo:


" - - - ikiwa mtu yeyote ataongeza (au kufuta) neno lolote katika kitabu hiki, Mungu atamuongezea balaa zilizoandikwa katika kitabu hiki". (Ufunuo 22:18,19)


Ushahidi uko hapo, upo wazi na rahisi kwa kila mtu kuelewa. Ikiwa Mungu aliwaongoza kwa ufunuo kuandika vitabu vya Biblia, hakuna shaka kwamba wanadamu wameingilia na kubadilisha mambo mengi.

Swali muhimu kabisa la kumuuliza Mkristo ni kwamba:

Inawezekanaje kwa neno la Mungu kubadilishwa, kuondolewa na hata kutupiliwa mbali kwa matakwa ya mwanaadamu?
?
 
CHANGING RED INK TO BLACK
--------------------------
JOHN 17:12
----------
K.J.V Those which you have given me I lost none but one. (red)
L.B.V Those which you have given me I lost none but one. (black)

JOHN 18:9
---------
K.J.V Those which you have given me I lost none. (red)
L.B.V Those which you have given me I lost none. (black)

REVELATION OF JOHN
-------------------
Almost 79 of the red Ink verses in the book of revelation were changed into black !!
C&P full crap.
Keep on Kissing Black Stone! Bewitched prophet!
Umetoka kwenye wingi wa vitabu mpaka RED INK to Black? Stupid Argument.
Nikuulize(japo najua huwezi kuwa na jibu zaidi ya C&P) Je, mabadiliko hayo yamebadili maana, au ndiyo yameleta upungufu wa vitabu?
Kama huna cha kujadili. stop quoting me!!
 
C&P full crap.
Keep on Kissing Black Stone! Bewitched prophet!
Umetoka kwenye wingi wa vitabu mpaka RED INK to Black? Stupid Argument.
Nikuulize(japo najua huwezi kuwa na jibu zaidi ya C&P) Je, mabadiliko hayo yamebadili maana, au ndiyo yameleta upungufu wa vitabu?
Kama huna cha kujadili. stop quoting me!!

Thanks. Watch this maybe you may understand
 
Back
Top Bottom