Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Hapa ningeweza kuungana naww kwa kiwango flani, mfno kiebrania neno lililotumika kama uchawi ambalo ndo limetafsriwa ivo na watafsri wa lugha, halimaanishi hivyo katka lugha ya kiebrania, maana huko linamaanisha duka linalouza madawa ama sumu, sa sijajua maana halisi ya kutuandikia uchawi ilimaanisha nn, nafikiri nikwasababu hata waganga wa kienyeji tunawaita wachawi,

Na sio hivyo tu kuhusu tafsri, hata wachungaji wanatafsri zao, mfno: ukienda kanisa hili kikafunguliwa kitabu cha mathayo 13:1-5 kikafafanuliwa , afu siku nyingne uende kwa mwingne kwenye hicho hicho kifungu utakuta panaelezewa tofauti kabisa,

Hivyo ndivyo mambo yalivyo......ilimradi hawapingani na Mungu, basi yatufaa tusonge mbele

Sent using Jamii Forums mobile app


JOHN 1:1


Mistranslation of the text:


In the "original" Greek manuscripts (Did the disciple John speak Greek?), "The Word" is only described as being "ton theos"(divine/a god) and not as being "ho theos" (The Divine/The God). A more faithful and correct translation of this verse would thus read: "In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was divine" (If you read the New World Translation of the Bible you will find exactly this wording).


Similarly, in "The New Testament, An American Translation" this verse is honestly presented as


"In the beginning the Word existed. The Word was with God, and the Word was divine."


The New Testament, An American Translation, Edgar Goodspeed and J. M. Powis Smith, The University of Chicago Press, p. 173


And again in the dictionary of the Bible, under the heading of "God" we read


"Jn 1:1 should rigorously be translated 'the word was with the God [=the Father], and the word was a divine being.'"


The Dictionary of the Bible by John McKenzie, Collier Books, p. 317


In yet another Bible we read:


"The Logos (word) existed in the very beginning, and the Logos was with God, the Logos was divine"


The Holy Bible, Containing the Old and New Testaments, by Dr. James Moffatt


Please also see "The Authentic New Testament" by Hugh J. Schonfield and many others.


If we look at a different verse, 2 Corinthians 4:4, we find the exact same word (ho theos) that was used in John 1:1 to describe God Almighty is now used to describe the devil, however, now the system of translation has been changed:


"the god of this world (the Devil) hath blinded the minds of them which believe not."


According to the system of the previous verse and the English language, the translation of the description of the Devil should also have been written as "The God" with a capital "G." If Paul was inspired to use the exact same words to describe the Devil, then why should we change it? Why is "The God" translated as simply "the god" when referring to the devil, while "divine" is translated as the almighty "God" when referring to "The Word"? Are we now starting to get a glimpse of how the "translation" of the Bible took place?


Well, what is the difference between saying "the word was God," and between saying "the word was a god (divine)"? Are they not the same? Far from it! Let us read the bible:


"I have said, Ye (the Jews) are gods; and all of you are children of the most High"


Psalms 82:6:


"And the LORD said unto Moses, See, I have made you a god to Pharaoh"


Exodus 7:1


"the god of this world (the Devil) hath blinded the minds of them which believe not."


2 Corinthians 4:4


What does all of this mean? Let me explain.


In the West, it is common when one wishes to praise someone to say "You are a prince," or "You are an angel" ..etc. When someone says this do they mean that that person is the son of the King of England, or a divine spiritual being? There is a very slight grammatical difference between saying "You are a prince" and between saying "You are THE prince," however, the difference in meaning is quite dramatic.


Further, it is necessary when translating a verse to also take into account the meaning as understood by the people of that age who spoke that language.

One of the biggest problems with the Bible as it stands today is that it forces us to look at ancient Hebrew and Aramaic scriptures through Greek and Latin glasses as seen by people who are neither Jews, Greeks, nor Romans. All of the so called "original" manuscripts of the NT available today are written in Greek or Latin.

The Jews had no trouble reading such verses as Psalms 82:6, and Exodus 7:1, while still affirming that there is only one God in existence and vehemently denying the divinity of all but God Almighty.

It is the continuous filtration of these manuscripts through different languages and cultures as well as the Roman Catholic church's extensive efforts to completely destroy all of the original Hebrew Gospels which has led to this misunderstanding of the verses.


The Americans have a saying: "Hit the road men." It means "It is time for you to leave." However, if a non-American were to receive this command without any explanation then it is quite possible that we would find him beating the road with a stick. Did he understand the words? Yes! Did he understand the meaning? No!


In the Christian church we would be hard pressed to find a single priest or nun who does not address their followers as "my children." They would say: "Come here my children", or "Be wary of evil my children" ... etc. What do they mean?


A fact that many people do not realize is that around 200AD spoken Hebrew had virtually disappeared from everyday use as a spoken language. It was not until the 1880s that a conscious effort was made by Eliezer Ben-Yehudah to revive the dead language. Only about a third of current spoken Hebrew and basic grammatical structures come from biblical and Mishnaic sources. The rest was introduced in the revival and includes elements of other languages and cultures including the Greek and Arabic languages.


Even worse than these two examples are cases when translation into a different languages can result in a reversal of the meaning. For example, in the West, when someone loves something they say "It warmed my heart."

In the Middle East, the same expression of joy would be conveyed with the words: "It froze my heart." If an Mideasterner were to greet a Westerner with the words: "It froze my heart to see you," then obviously this statement would not be greeted with a whole lot of enthusiasm from that Westerner, and vice versa.

This is indeed one of the major reasons why the Muslims have been so much more successful in the preservation of their holy text than the Christians or the Jews; because the language of the Qur'an has remained from the time of Muhammad (pbuh) to the present day a living language, the book itself has always been in the hands of the people (and not the "elite"), and the text of the book remains in the original language of Muhammad (pbuh).

For this reason, a translator must not and should not "translate" in a vacuum while disregarding the culture and traditions of the people who wrote these words. As we have just seen, it was indeed quite common among the Jews to use the word "god" (divine) to convey a sense of supreme power or authority to human beings. This system, however, was never popularly adopted by them to mean that these individuals were in any way omnipotent, superhuman, or equal to the Almighty.



2) Basic message of John:


Now that we have seen the correct translation of the verse of John 1:1, let us go a little further in our study of the intended meaning of this verse. This verse was taken from the "Gospel of John." The very best person to ask to explain what is meant by a given statement is the author of that statement himself. So let us ask "John" what is his mental picture of God and Jesus (pbuh) which he wishes to convey to us:


"Verily, verily, I say unto you, The servant is not greater than his lord; neither he that is sent greater than he that sent him."


John 13:16.


So the author of John tells us that God is greater than Jesus. If the author of this Gospel did indeed wish us to understand that Jesus and God are "one and the same," then can someone be greater than himself? Similarly,


"Ye have heard how I said unto you, I go away, and come [again] unto you. If ye loved me, ye would rejoice, because I said, I go unto the Father: for my Father is greater than I."


John 14:28.


Can someone "go" to himself? Can someone be "greater" than himself?


"These words spake Jesus, and lifted up his eyes to heaven, and said, Father, the hour is come; glorify thy Son, that thy Son also may glorify thee:"


John 17:1.


If John meant to tell us that "Jesus and God are one and the same" then shall we understand from this verse that God is saying to Himself "Self, glorify me so that I may glorify myself"? Does this sound like this is the message of John?


"While I (Jesus) was with them in the world, I kept them in thy (God's) name: those that thou gavest me I have kept, and none of them is lost, but the son of perdition; that the scripture might be fulfilled."


John 17:12.


If the author of John wanted us to believe that Jesus and God are one person then are we to understand from this verse that God is saying to Himself "Self, while I was in the world I kept them in your name, self. Those who I gave to myself I have kept ..."? Is this what the author intended us to understand from his writings?


"Father, I will that they also, whom thou hast given me, be with me where I am; that they may behold my glory, which thou hast given me: for thou lovedst me before the foundation of the world."


John 17:24.


Similarly, did the author intend us to interpret this as "Self, I will that they also whom I have given myself be with me where I am; that they my behold my glory which I have given myself, for I loved myself before the foundation of the world"?


So, we begin to see that in order to understand the writings of a given author, it is necessary to not take a single quotation from him in a vacuum and then interpret his whole message based upon that one sentence (and a badly mistranslated version of that sentence at that).
 
Unaweza kuleta Biblia zote unazozijua na hakuna inayopingana na hyo Yoh 1: ,

Sent using Jamii Forums mobile app


Who wrote the "Gospel of John"?:


The "Gospel of John" is popularly believed by the majority of regular church-goers to be the work of the apostle John the son of Zebedee.

However, when consulting Christianity's more learned scholars of Church history, we find that this is far from the case.

These scholars draw our attention to the fact that internal evidence provides serious doubt as to whether the apostle John the son of Zebedee wrote this Gospel himself. In the dictionary of the Bible by John Mckenzie we read


"A. Feuillet notes that authorship here may be taken loosely."


Such claims are based on such verses as 21:24:


"This is the disciple which testifieth of these things, and wrote these things: and we know that his testimony is true."?


Did the apostle John write this about himself? Also see 21:20, 13:23, 19:26, 20:2, 21:7, and 21:20-23. The "disciple who Jesus loved" according to the Church is John himself, but the author of this gospel speaks of him as a different person.


Further, The Gospel of John was written at or near Ephesus between the years 110 and 115 (some say 95-100) of the Christian era by this, or these, unknown author(s).

According to R. H. Charles, Alfred Loisy, Robert Eisler, and other scholars of Christian history, John of Zebedee was beheaded by Agrippa I in the year 44 CE, long before the fourth Gospel was written.

Did the Holy Ghost "inspire" the apostle John's ghost to write this gospel sixty years after he was killed? .

In other words, what we have here is a gospel which is popularly believed to have been written by the apostle John, but which in fact was not written by him.

In fact no one really knows for certain who wrote this gospel.


"Since the beginning of the period of modern critical study, however, there has been much controversy about [the Gospel of John's] authorship, place of origin, theological affiliations and background, and historical value"


The Interpreter's Dictionary of the Bible, Volume 2, Abingdon Press, p. 932
 
kwa uelewa Wang mm naona biblia n mkusanyiko wa nyaraka mbalimbali za manabii(agano LA kale na historia) pamoja na agano jpya..
swala LA kusema kuna uvuvio wa roho mtakatifu ni kujitengenezea ngao tyu ili mtu asidapt kitu.
over wazee
UTANGULIZI
Historia ya Biblia ya kikristo ni ndefu jinsi vitabu vilivyopatikana lakini ntaandika kwa kifupi sana na mengine tutaandaika tunavyozidi kuchangia kwenye uzi huu. Na pia nitoe rai mapema kuwa uzi huu sio wa kidini bali wa kielimu/historia hivyo sitegemei watu kurushiana matusi ya kuhusu dini sijui Mungu yupo au hayupo!! N.k
View attachment 993939
Prologue
Biblia ya kikristo ni mjumuiko wa vitabu mbalimbali vya manabii/Mitume wa Mungu ambao vimejumuishwa pamoja ili kutoa muongozo wa kiimani kwa wakristo kote ulimwenguni. Biblia inatambulika kama iliandikwa na vitabu kujumuishwa kwa uweza wa MUNGU hivyo ni kitabu kitakatifu, lakini kilichonishtua ni kugundua kwamba kati ya wakristo wanatumia Biblia tofauti kabisa yaani Wakatoliki Biblia yao ina vitabu 73, waprotestant vitabu 66, Orthodox Tawahedo (Ethiopia) ina vitabu 81 hili limenifanya nifungue uzi ili tumalize mkanganyiko huu na naomba tusome taratibu na kwakuelewa mada inazungumzia nini kabla ya kuchangia kwa kuongozwa na ushabiki au mihemko.

Historia
Wayahudi (Israel) walikuwa wanaandika maandiko wanayovuviwa na Mungu wao Yahweh tokea miaka 600 kabla ya Yesu na walikuwa na fixed canon ya vitabu 24 (39 ukivigawa) mpaka kipindi cha nabii wa mwisho Malachi 400 BC hivyo inasemekana ndio vitabu pekee vilivyokuwepo. kufikia karne ya 4 kabla ya kristo (KK) wayahudi waliokuwa uhamishoni hasa misri walitafsiri vitabu vya agano la kale vilivyoandikwa kiebrania kwenda kigiriki na kuzaa Biblia iliofahamika kama ''Septuagint''.... Biblia hii ilipata ushawishi sana kuliko ya kiebrania na ieleweke kwamba ni Biblia hii ndio imetumika mpaka na Yesu alipokuwa akinakili maandiko ya agano la kale kiufupi 70% ya quotes kutoka agano la kale kwenye vitabu vya Agano jipya vimetolewa kwenye Greek Septuagint. Kufikia hapa kukawepo na Biblia mbili kuu hivyo twende pamoja.
View attachment 993940
Mgogoro
Ikumbukwe Septuagint ilijumuisha vitabu vya kimafundisho ambavyo Hebrew bible haikuvitambua vitabu hivi vinajumuisha Macabees, Sirach,Wisdom of solomon n.k. Sasa ikafika mahali Septuagint (kigiriki) ikawa inatumika zaidi kuliko maandiko ya kiebrania (wayahudi) hivyo kwa mujibu wa mwanahistoria Heinrich Graetz ikabidi kikundi cha wayahudi kikutane kwa kilichoitwa council of Jamnia kilichofanyika 70 Baada ya kristo ambapo ndio kiliweka msimamo wa vitabu gani vya biblia ya kiebrania ndio vitambulike kwa wayahudi wote yote hii ili kuzuia upepo wa Biblia ya Greek sepruagint na hivyo hapa wakawa na msimamo wa vitabu vichache hasa vya agano la kale 39 tofauti na 46 vya septuagint. Hivyo tokea hapa madhehebu tofauti ya kikristo yakachukua Biblia mojawapo ya pande hizi mfano RC wao waliendelea na Greek Septuagint ambayo ndio ilitumiwa na mitume ila waprotestant wao waliamua kuendelea na Hebrew Bible wakiamini ndio halali na haijachakachuliwa pia madhehebu mengine kma Tawahedo Orthodox na mengineo yalikuwa na misimamo yao juu ya vitabu fulani hivyo utakuta baadhi ya makanisa yana vitabu kati ya hivyo 39 hadi 46 vya agano la kale.

Martin Luther
Karne ya 16 kiongozi wa wanamabadiliko/protestants walioamua kujitenga na ukatoliki Dr. Martin Luther naye aliamua kufanya tafsiri ya Biblia kwenda lugha ya kijerumani. Kiliandikwa 1520-34 na katika kuifanyia majumuisho naye alitaka kupunguza vitabu 7 vya agano jipya vikiwemo Ufunuo,Yuda,Waebrania na Yakobo n.k kwa kile alichokiita kwamba "havikuwa na uvuvio wa Roho mtakatifu" na hata leo hii kwenye Luther bible cha waprotestant hivyo vitabu 4 vimewekwa vya mwisho kabisa katika biblia yao na nakala za mwanzoni viliwekwa kundi moja na vitabh vilivyoitwa ''apocrypha''.

Pia luther alikipinga vikali kitabu cha esther nakutaka kifutwe kutoka kwa Biblia. Alisema hakina uvuvio wa Roho mtakatifu maana hakuna mahala kinamtaja MUNGU!! Martin luther alipinga pia uwepo wa kitabu cha James/Yakobo kwenye Biblia sabau kwanza kiliandikwa karne ya 2 ambapo muandishi wanayedai ni Yakobo kaka yake yesu alishakuwa amekufa toka mwaka 67 BK hivyo aliona kma ni kilifojiwa tu.
View attachment 993938

HITIMISHO
Sasa baada ya kuwa nimepitia baadhi ya hoja za wana JF humu hasa zinazogusa maslahi ya kikristo huwa wana conclude kuwa Biblia haina makosa maana ilivuviwa na Roho mtakatifu sasa nilikuwa nataka wajuzi mnisaidia maswali yafuatayo

1.je kauli hii inapotolewa huwa ina maana ya Biblia ipi ambayo ilivuviwa na Roho?

2. Je Biblia gani ni halali

3. Manabii wanasema usiongeze au kupunguza neno kwenye Vitabu vyao sasa Je kama mmoja ndio yupo sahihi ina maana wengi wamepotoshwa??

4. Na kama wamepotoshwa je nini hatma ya ukristo kama wahuni wachache wanaweza ongeza maneno au kupunguza kwenye Biblia

5. Swali la mwisho naamini MUNGU anaona haya makosa Je ina maana karuhusu neno lake lipotoshwe?? Na kama sio kwanini mpaka sasa kaacha wahuni wachezee NENO lake.

Naomba kuwasilisha

Cc: ningeomba Moderator kina Active na Mhariri msihamishe uzi huu jukwaa la dini ili niweze kupata mawazo ya wana JF wote hta wasio na access na jukwaa la dini, nitashukuru kwa hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani labda hivi ndivyo ulivyofundishwa na unavyoongozwa.
Sasa njoo kwenye mada ya thread please

Biblia ipi sahihi?
Wewe huna sifa ya kuwepo kwenye mjadala kuhusu Vitabu vya Christian, Jews or Orthodox kutafuta kujua kipi ni sahihi na kipi siyo sababu ya UNAFIKI wa kutafuta namna ya kuutetea uislam wako uonekane ndio bora. This includes all Abduls are hypocrites same as their fake ALLAH and prophet too.

Kwanini huja wahi kujiuliza Muhammad anaposema wafuasi wake mna akili ndogo kiasi hamuwezi kuelewa Quran kwenye 1 dialect mpaka mkapewa quran in 7 DIALECTS. and at the same time Allah anasema alishusha mitume kwa kila kabila/watu wa jamii moja kwa sababu anaongea LUGHA yao ili iwe rahisi kuelewa.
Quran 14:4
Arabic - وَمَآ أَرْسَلْنَا مِن رَّسُولٍ إِلَّا بِلِسَانِ قَوْمِهِۦ لِيُبَيِّنَ لَهُمْ ۖ فَيُضِلُّ ٱللَّهُ مَن يَشَآءُ وَيَهْدِى مَن يَشَآءُ ۚ وَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلْحَكِيمُ
Pickthall - And We never sent a messenger save with the language of his folk, that he might make (the message) clear for them. Then Allah sendeth whom He will astray, and guideth whom He will. He is the Mighty, the Wise.
Sahih Intl - And We did not send any messenger except [speaking] in the language of his people to state clearly for them, and Allah sends astray [thereby] whom He wills and guides whom He wills. And He is the Exalted in Might, the Wise.
Yusuf Ali - We sent not a messenger except (to teach) in the language of his (own) people, in order to make (things) clear to them. Now Allah leaves straying those whom He pleases and guides whom He pleases: and He is Exalted in power, full of Wisdom.

Sasa hapo Muhammad na Allah nani ni all knowing?

Ukiangalia AYA hii tu inatosha kujenga hoja kibao(najua hutaweza kuwa na jibu zaidi ya C&P)
1. Kwenye uislam mnatwambia kuna freewill!/Maamuzi binafsi. Hapa tuna ona Allah ndiye anaamua upotee au la.(Nyekundu hiyo mnatia mbwembwe kubadilisha vijineno mara wills mara pleases)
2.
Tuamini tafsiri ipi sahihi kati ya hao watatu hapo juu? - hoja hii mmeijenga kwa muda mrefu or KJV/NIV /NKJV etc, yupi sahihi kwenye Biblia?(Nyani haoni kundule!)
Deal with it.

Uthibitsho wa kupewa Quran in 7 Dialects. Soma hiyooooo!!
Sahih Muslim » The Book of Prayers (Kitab Al-Salat)

Ubayy b. Ka'b reported that the Apostle of Allah (may peace be upon him) was near the tank of Banu Ghifar that Gabriel came to him and said:
Allah has commanded you to recite to your people the Qur'an in one dialect. Upon this he said: I ask from Allah pardon and forgiveness. My people are not capable of doing it. He then came for the second time and said: Allah has commanded you that you should recite the Qur'an to your people in two dialects. Upon this he (the Holy prophet) again said: I seek pardon and forgiveness from Allah, my people would not be able to do so. He (Gabriel) came for the third time and said: Allah has commanded you to recite the Qur'an to your people in three dialects. Upon this he said: I ask pardon and forgiveness from Allah. My people would not be able to do it. He then came to him for the fourth time and said: Allah has commanded you to recite the Qur'an to your people in seven dialects, and in whichever dialect they would recite, they would be right.

وَحَدَّثَنَا أَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا غُنْدَرٌ، عَنْ شُعْبَةَ، ح وَحَدَّثَنَاهُ ابْنُ الْمُثَنَّى، وَابْنُ بَشَّارٍ قَالَ ابْنُ الْمُثَنَّى حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ جَعْفَرٍ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنِ الْحَكَمِ، عَنْ مُجَاهِدٍ، عَنِ ابْنِ أَبِي لَيْلَى، عَنْ أُبَىِّ بْنِ كَعْبٍ، أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم كَانَ عِنْدَ أَضَاةِ بَنِي غِفَارٍ - قَالَ - فَأَتَاهُ جِبْرِيلُ عَلَيْهِ السَّلاَمُ فَقَالَ إِنَّ اللَّهَ يَأْمُرُكَ أَنْ تَقْرَأَ أُمَّتُكَ الْقُرْآنَ عَلَى حَرْفٍ ‏.‏ فَقَالَ ‏"‏ أَسْأَلُ اللَّهَ مُعَافَاتَهُ وَمَغْفِرَتَهُ وَإِنَّ أُمَّتِي لاَ تُطِيقُ ذَلِكَ ‏"‏ ‏.‏ ثُمَّ أَتَاهُ الثَّانِيَةَ فَقَالَ إِنَّ اللَّهَ يَأْمُرُكَ أَنْ تَقْرَأَ أُمَّتُكَ الْقُرْآنَ عَلَى حَرْفَيْنِ فَقَالَ ‏"‏ أَسْأَلُ اللَّهَ مُعَافَاتَهُ وَمَغْفِرَتَهُ وَإِنَّ أُمَّتِي لاَ تُطِيقُ ذَلِكَ ‏"‏ ‏.‏ ثُمَّ جَاءَهُ الثَّالِثَةَ فَقَالَ إِنَّ اللَّهَ يَأْمُرُكَ أَنْ تَقْرَأَ أُمَّتُكَ الْقُرْآنَ عَلَى ثَلاَثَةِ أَحْرُفٍ ‏.‏ فَقَالَ ‏"‏ أَسْأَلُ اللَّهَ مُعَافَاتَهُ وَمَغْفِرَتَهُ وَإِنَّ أُمَّتِي لاَ تُطِيقُ ذَلِكَ ‏"‏ ‏.‏ ثُمَّ جَاءَهُ الرَّابِعَةَ فَقَالَ إِنَّ اللَّهَ يَأْمُرُكَ أَنْ تَقْرَأَ أُمَّتُكَ الْقُرْآنَ عَلَى سَبْعَةِ أَحْرُفٍ فَأَيُّمَا حَرْفٍ قَرَءُوا عَلَيْهِ فَقَدْ أَصَابُوا ‏.‏

Wapi tutazipata zote hizo? iliyopo ni moja nayo imeletwa kwenu Hafs, mtu ambaye Hadith zake mmezikataa kisa he is not authentic(Muongo yeye na babaye) imeandkwa According to so and so, according to so and so,. Sasa ikiwa Haidith alichakachua vipi Quran ashindwe? Hypocrites Muslim.

Allah huyo huyo anasema Reward/zawadi ya Mwanamume(muslim men only) huko peponi 72 wifes na sehemu nyingine 80,000 kulingana na rank, na wengine atawachomoa kutoka MOTONI(hapa muslim women mshike moyo maana makazi yenu ndio huko(motoni mkisubiri mjahideen afe kwenye jihad nawe ni kiburudisho(sex toy), wakati Allah (Play Boy)anakunywa Ginger coffee pale Firdausi wewe utakuwa na kazi moja tu kumkatia mauno Gavana na dudu yake isiyo lala).
Wanawake wote hao wanlinga kwa kila kitu, wote bikra(ukiitoa Allah anairudisha tena), wote weupe, wote size moja, hawapati hedhi na sifa nyingine kibao mnazijua.
What is the point/logic kupewa wote hao ikiwa kila kitu kipo sawa na mwingine?

Soma hiyooooo!!
Sunan Ibn Majah » The Chapters on Asceticism from Sunan Ibn Majah

It was narrated from Abu Umamah that the Messenger of Allah (saw) said:
“There is no one whom Allah will admit to Paradise but Allah will marry him to seventy-two wives, two from houris and seventy from his inheritance from the people of Hell, all of whom will have desirable front passages and he will have a male member that never becomes flaccid (i.e., soft and limp).’” Dudu isiyo lala seriously????

حَدَّثَنَا هِشَامُ بْنُ خَالِدٍ الأَزْرَقُ أَبُو مَرْوَانَ الدِّمَشْقِيُّ، حَدَّثَنَا خَالِدُ بْنُ يَزِيدَ بْنِ أَبِي مَالِكٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ خَالِدِ بْنِ مَعْدَانَ، عَنْ أَبِي أُمَامَةَ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ‏ "‏ مَا مِنْ أَحَدٍ يُدْخِلُهُ اللَّهُ الْجَنَّةَ إِلاَّ زَوَّجَهُ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ ثِنْتَيْنِ وَسَبْعِينَ زَوْجَةً ثِنْتَيْنِ مِنَ الْحُورِ الْعِينِ وَسَبْعِينَ مِنْ مِيرَاثِهِ مِنْ أَهْلِ النَّارِ مَا مِنْهُنَّ وَاحِدَةٌ إِلاَّ وَلَهَا قُبُلٌ شَهِيٌّ وَلَهُ ذَكَرٌ لاَ يَنْثَنِي ‏"‏ ‏.‏ قَالَ هِشَامُ بْنُ خَالِدٍ مِنْ مِيرَاثِهِ مِنْ أَهْلِ النَّارِ يَعْنِي رِجَالاً دَخَلُوا النَّارَ فَوَرِثَ أَهْلُ الْجَنَّةِ نِسَاءَهُمْ كَمَا وُرِثَتِ امْرَأَةُ فِرْعَوْنَ ‏.‏

Muhammad anasema Mwanamke(Muslim woman) ni Shetani, Mwanamke haruhusiwi kupaka Perfume, Akipaka huyo ni MALAYA(Adulterer) Ila mwanamume ruksa. Mwanamuke hadhi yake kama mbwa tu, akikatiza mbele ya muslim man praying sala yake inakuwa batili.

Faiza Foxy - Soma hiyoooooooo!!

Sunan an-Nasa'i » Book of Adornment

It was narrated that Al-Ash'ari said:
"The Messenger of Allah [SAW] said: 'Any woman who puts on perfume then passes by people so that they can smell her fragrance then she is an adulteress.'"

أَخْبَرَنَا إِسْمَاعِيلُ بْنُ مَسْعُودٍ، قَالَ حَدَّثَنَا خَالِدٌ، قَالَ حَدَّثَنَا ثَابِتٌ، - وَهُوَ ابْنُ عُمَارَةَ - عَنْ غُنَيْمِ بْنِ قَيْسٍ، عَنِ الأَشْعَرِيِّ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ أَيُّمَا امْرَأَةٍ اسْتَعْطَرَتْ فَمَرَّتْ عَلَى قَوْمٍ لِيَجِدُوا مِنْ رِيحِهَا فَهِيَ زَانِيَةٌ ‏"‏ ‏.‏


Sunan Ibn Majah » The Chapters on Tribulations from Sunan Ibn Majah

It was narrated that Abu Hurairah met a woman who was wearing perfume and heading for the mosque. He said:
“O slavewoman of the Compeller, where are you headed?” She said: “To the mosque.” He said: “And have you put on perfume for that?” She said: “Yes.” He said: “I heard the Messenger of Allah (saw) say: ‘Any woman who puts on perfume then goes out to the mosque, no prayer will be accepted from her until she takes a bath.’”

حَدَّثَنَا أَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا سُفْيَانُ بْنُ عُيَيْنَةَ، عَنْ عَاصِمٍ، عَنْ مَوْلَى أَبِي رُهْمٍ، - وَاسْمُهُ عُبَيْدٌ - أَنَّ أَبَا هُرَيْرَةَ، لَقِيَ امْرَأَةً مُتَطَيِّبَةً تُرِيدُ الْمَسْجِدَ فَقَالَ يَا أَمَةَ الْجَبَّارِ أَيْنَ تُرِيدِينَ قَالَتِ الْمَسْجِدَ قَالَ وَلَهُ تَطَيَّبْتِ قَالَتْ نَعَمْ ‏.‏ قَالَ فَإِنِّي سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ يَقُولُ ‏ "‏ أَيُّمَا امْرَأَةٍ تَطَيَّبَتْ ثُمَّ خَرَجَتْ إِلَى الْمَسْجِدِ لَمْ تُقْبَلْ لَهَا صَلاَةٌ حَتَّى تَغْتَسِلَ ‏"‏ ‏.‏

Sunan an-Nasa'i » The Book of Divorce

Zainab said:
"Then I went into Zainab bint Jahsh when her brother died, and she called for some perfume and put some on. Then she said: 'By Allah, I do not have any need for perfume but I heard the Messenger of Allah say on the Minbar: It is not permissible for any woman who believes in Allah and the Last Day to mourn for anyone who dies for more than three days, except for a husband, (for whom the mourning period is) four months and ten days.'"

قَالَتْ زَيْنَبُ ثُمَّ دَخَلْتُ عَلَى زَيْنَبَ بِنْتِ جَحْشٍ حِينَ تُوُفِّيَ أَخُوهَا وَقَدْ دَعَتْ بِطِيبٍ وَمَسَّتْ مِنْهُ ثُمَّ قَالَتْ وَاللَّهِ مَا لِي بِالطِّيبِ مِنْ حَاجَةٍ غَيْرَ أَنِّي سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم يَقُولُ عَلَى الْمِنْبَرِ ‏ "‏ لاَ يَحِلُّ لاِمْرَأَةٍ تُؤْمِنُ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الآخِرِ تَحِدُّ عَلَى مَيِّتٍ فَوْقَ ثَلاَثِ لَيَالٍ إِلاَّ عَلَى زَوْجٍ أَرْبَعَةَ أَشْهُرٍ وَعَشْرًا ‏"‏ ‏.‏

Sahih Muslim » The Book of Marriage (Kitab Al-Nikah)

Jabir reported that Allah's Messenger (may peace be upon him) saw a woman, and so he came to his wife, Zainab, as she was tanning a leather and had sexual intercourse with her. He then went to his Companions and told them:

The woman advances and retires in the shape of a devil, so when one of you sees a woman, he should come to his wife, for that will repel what he feels in his heart.

حَدَّثَنَا عَمْرُو بْنُ عَلِيٍّ، حَدَّثَنَا عَبْدُ الأَعْلَى، حَدَّثَنَا هِشَامُ بْنُ أَبِي عَبْدِ اللَّهِ، عَنْ أَبِي الزُّبَيْرِ، عَنْ جَابِرٍ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم رَأَى امْرَأَةً فَأَتَى امْرَأَتَهُ زَيْنَبَ وَهْىَ تَمْعَسُ مَنِيئَةً لَهَا فَقَضَى حَاجَتَهُ ثُمَّ خَرَجَ إِلَى أَصْحَابِهِ فَقَالَ ‏ "‏ إِنَّ الْمَرْأَةَ تُقْبِلُ فِي صُورَةِ شَيْطَانٍ وَتُدْبِرُ فِي صُورَةِ شَيْطَانٍ فَإِذَا أَبْصَرَ أَحَدُكُمُ امْرَأَةً فَلْيَأْتِ أَهْلَهُ فَإِنَّ ذَلِكَ يَرُدُّ مَا فِي نَفْسِهِ ‏"‏ ‏.‏
Hapo na shetani kati ya Muhammad na huyo mwanamke aliyejipitia na hamsini zake?
Mbona hao maswahaaba hawakwenda kuwarukia wake zao

Faiza Foxy vipi hapo? Jitu limejitia nyenge huko ghafla linakuja kutoa ngama zake kwako kwa kisingizio hicho! What a great wisdom here? na alisababisha ni mamake/dadake/mke wake Gavana kapita na hamsini zake adhabu uipate wewe.
What a dignity Muhammad is teaching here? ameingia ndani sababu ya nyege zake, kuna haja gani kuja kuwasimulia wanaume wenzake kuwa ametoka kumpiga nao mkewe? ili iweje?

yapo mengi sana GAVANA and your fellow Abduls mnatakiwa kujiuliza kuhusu imani yenu kabla hamjaja kwenye imani yetu kuanza kuuliza Biblia ipi ni sahihi?
 
Nataka kwanza kujibu swara la kuongeza wala kupunguza,hapo hakuna sehemu iliyoongezwa wala kupunguzwa kama ni Kitabu cha Yakobo kwenye kitabu kile usiongeze mengine lkn swara la vitabu lenyewe kuna vitabu vingi mno yawezekana kusingewezekana kitabu kimoja kubeba yote kwahyo kama biblia ingine ina wamakabayo ingine haina hiyo haitoi taswira kuwa kile ambacho hakina wamakabayo ni feki,
Vitabu ni vingi sana ambavyo havikuwekwa kwenye biblia
Mfano,
Kitabu cha Barnaba
Kitabu cha Enock
Injili ya Thomas
Na vingine vyote hv ni mhimu ila siyo kwamba kukosekana kwenye Biblia uliyonayo ww haifanyi hiyo biblia kuwa dhaifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka kwanza kujibu swara la kuongeza wala kupunguza,hapo hakuna sehemu iliyoongezwa wala kupunguzwa kama ni Kitabu cha Yakobo kwenye kitabu kile usiongeze mengine lkn swara la vitabu lenyewe kuna vitabu vingi mno yawezekana kusingewezekana kitabu kimoja kubeba yote kwahyo kama biblia ingine ina wamakabayo ingine haina hiyo haitoi taswira kuwa kile ambacho hakina wamakabayo ni feki,
Vitabu ni vingi sana ambavyo havikuwekwa kwenye biblia
Mfano,
Kitabu cha Barnaba
Kitabu cha Enock
Injili ya Thomas
Na vingine vyote hv ni mhimu ila siyo kwamba kukosekana kwenye Biblia uliyonayo ww haifanyi hiyo biblia kuwa dhaifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa mkuu sasa swali linakuja je vinapokinzana Biblia ipi tuchukue na ipi tuiache?? Mfano Bible ya Orthodox inakitabu cha Enock kinachosema malaika walizaa na binadamu ila Bible ya Protestants KJV,NIV n.k ukisoma Mathayo inasema malaika ni watakatifu na hawana jinsia wala tamaa za ngono.

Pia Mormon wanatumia Book of Abraham kma sehemu ya canon yao ambayo inadai Abraham alipewa gauni la shetani ilihali Bible ya Roman catholics kupitia Kitabu cha mwanzo inaonyesha Abraham alikuwa mtakatifu sana.

Sasa kwenye situation kama hii ndio hoja yangu inazaliwa kwamba Biblia gani ni halisi maana baadhi zinakinzana kma sio zote hivyo lazima moja tu ndio iwe sahihi

Karibu
 
Wewe huna sifa ya kuwepo kwenye mjadala kuhusu Vitabu vya Christian, Jews or Orthodox kutafuta kujua kipi ni sahihi na kipi siyo sababu ya UNAFIKI wa kutafuta namna ya kuutetea uislam wako uonekane ndio bora. This includes all Abduls are hypocrites same as their fake ALLAH and prophet too.

Kwanini huja wahi kujiuliza Muhammad anaposema wafuasi wake mna akili ndogo kiasi hamuwezi kuelewa Quran kwenye 1 dialect mpaka mkapewa quran in 7 DIALECTS. and at the same time Allah anasema alishusha mitume kwa kila kabila/watu wa jamii moja kwa sababu anaongea LUGHA yao ili iwe rahisi kuelewa.
Quran 14:4
Arabic - وَمَآ أَرْسَلْنَا مِن رَّسُولٍ إِلَّا بِلِسَانِ قَوْمِهِۦ لِيُبَيِّنَ لَهُمْ ۖ فَيُضِلُّ ٱللَّهُ مَن يَشَآءُ وَيَهْدِى مَن يَشَآءُ ۚ وَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلْحَكِيمُ
Pickthall - And We never sent a messenger save with the language of his folk, that he might make (the message) clear for them. Then Allah sendeth whom He will astray, and guideth whom He will. He is the Mighty, the Wise.
Sahih Intl - And We did not send any messenger except [speaking] in the language of his people to state clearly for them, and Allah sends astray [thereby] whom He wills and guides whom He wills. And He is the Exalted in Might, the Wise.
Yusuf Ali - We sent not a messenger except (to teach) in the language of his (own) people, in order to make (things) clear to them. Now Allah leaves straying those whom He pleases and guides whom He pleases: and He is Exalted in power, full of Wisdom.

Sasa hapo Muhammad na Allah nani ni all knowing?

Ukiangalia AYA hii tu inatosha kujenga hoja kibao(najua hutaweza kuwa na jibu zaidi ya C&P)
1. Kwenye uislam mnatwambia kuna freewill!/Maamuzi binafsi. Hapa tuna ona Allah ndiye anaamua upotee au la.(Nyekundu hiyo mnatia mbwembwe kubadilisha vijineno mara wills mara pleases)
2.
Tuamini tafsiri ipi sahihi kati ya hao watatu hapo juu? - hoja hii mmeijenga kwa muda mrefu or KJV/NIV /NKJV etc, yupi sahihi kwenye Biblia?(Nyani haoni kundule!)
Deal with it.

Uthibitsho wa kupewa Quran in 7 Dialects. Soma hiyooooo!!
Sahih Muslim » The Book of Prayers (Kitab Al-Salat)

Ubayy b. Ka'b reported that the Apostle of Allah (may peace be upon him) was near the tank of Banu Ghifar that Gabriel came to him and said:
Allah has commanded you to recite to your people the Qur'an in one dialect. Upon this he said: I ask from Allah pardon and forgiveness. My people are not capable of doing it. He then came for the second time and said: Allah has commanded you that you should recite the Qur'an to your people in two dialects. Upon this he (the Holy prophet) again said: I seek pardon and forgiveness from Allah, my people would not be able to do so. He (Gabriel) came for the third time and said: Allah has commanded you to recite the Qur'an to your people in three dialects. Upon this he said: I ask pardon and forgiveness from Allah. My people would not be able to do it. He then came to him for the fourth time and said: Allah has commanded you to recite the Qur'an to your people in seven dialects, and in whichever dialect they would recite, they would be right.

وَحَدَّثَنَا أَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا غُنْدَرٌ، عَنْ شُعْبَةَ، ح وَحَدَّثَنَاهُ ابْنُ الْمُثَنَّى، وَابْنُ بَشَّارٍ قَالَ ابْنُ الْمُثَنَّى حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ جَعْفَرٍ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنِ الْحَكَمِ، عَنْ مُجَاهِدٍ، عَنِ ابْنِ أَبِي لَيْلَى، عَنْ أُبَىِّ بْنِ كَعْبٍ، أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم كَانَ عِنْدَ أَضَاةِ بَنِي غِفَارٍ - قَالَ - فَأَتَاهُ جِبْرِيلُ عَلَيْهِ السَّلاَمُ فَقَالَ إِنَّ اللَّهَ يَأْمُرُكَ أَنْ تَقْرَأَ أُمَّتُكَ الْقُرْآنَ عَلَى حَرْفٍ ‏.‏ فَقَالَ ‏"‏ أَسْأَلُ اللَّهَ مُعَافَاتَهُ وَمَغْفِرَتَهُ وَإِنَّ أُمَّتِي لاَ تُطِيقُ ذَلِكَ ‏"‏ ‏.‏ ثُمَّ أَتَاهُ الثَّانِيَةَ فَقَالَ إِنَّ اللَّهَ يَأْمُرُكَ أَنْ تَقْرَأَ أُمَّتُكَ الْقُرْآنَ عَلَى حَرْفَيْنِ فَقَالَ ‏"‏ أَسْأَلُ اللَّهَ مُعَافَاتَهُ وَمَغْفِرَتَهُ وَإِنَّ أُمَّتِي لاَ تُطِيقُ ذَلِكَ ‏"‏ ‏.‏ ثُمَّ جَاءَهُ الثَّالِثَةَ فَقَالَ إِنَّ اللَّهَ يَأْمُرُكَ أَنْ تَقْرَأَ أُمَّتُكَ الْقُرْآنَ عَلَى ثَلاَثَةِ أَحْرُفٍ ‏.‏ فَقَالَ ‏"‏ أَسْأَلُ اللَّهَ مُعَافَاتَهُ وَمَغْفِرَتَهُ وَإِنَّ أُمَّتِي لاَ تُطِيقُ ذَلِكَ ‏"‏ ‏.‏ ثُمَّ جَاءَهُ الرَّابِعَةَ فَقَالَ إِنَّ اللَّهَ يَأْمُرُكَ أَنْ تَقْرَأَ أُمَّتُكَ الْقُرْآنَ عَلَى سَبْعَةِ أَحْرُفٍ فَأَيُّمَا حَرْفٍ قَرَءُوا عَلَيْهِ فَقَدْ أَصَابُوا ‏.‏

Wapi tutazipata zote hizo? iliyopo ni moja nayo imeletwa kwenu Hafs, mtu ambaye Hadith zake mmezikataa kisa he is not authentic(Muongo yeye na babaye) imeandkwa According to so and so, according to so and so,. Sasa ikiwa Haidith alichakachua vipi Quran ashindwe? Hypocrites Muslim.

Allah huyo huyo anasema Reward/zawadi ya Mwanamume(muslim men only) huko peponi 72 wifes na sehemu nyingine 80,000 kulingana na rank, na wengine atawachomoa kutoka MOTONI(hapa muslim women mshike moyo maana makazi yenu ndio huko(motoni mkisubiri mjahideen afe kwenye jihad nawe ni kiburudisho(sex toy), wakati Allah (Play Boy)anakunywa Ginger coffee pale Firdausi wewe utakuwa na kazi moja tu kumkatia mauno Gavana na dudu yake isiyo lala).
Wanawake wote hao wanlinga kwa kila kitu, wote bikra(ukiitoa Allah anairudisha tena), wote weupe, wote size moja, hawapati hedhi na sifa nyingine kibao mnazijua.
What is the point/logic kupewa wote hao ikiwa kila kitu kipo sawa na mwingine?

Soma hiyooooo!!
Sunan Ibn Majah » The Chapters on Asceticism from Sunan Ibn Majah

It was narrated from Abu Umamah that the Messenger of Allah (saw) said:
“There is no one whom Allah will admit to Paradise but Allah will marry him to seventy-two wives, two from houris and seventy from his inheritance from the people of Hell, all of whom will have desirable front passages and he will have a male member that never becomes flaccid (i.e., soft and limp).’” Dudu isiyo lala seriously????

حَدَّثَنَا هِشَامُ بْنُ خَالِدٍ الأَزْرَقُ أَبُو مَرْوَانَ الدِّمَشْقِيُّ، حَدَّثَنَا خَالِدُ بْنُ يَزِيدَ بْنِ أَبِي مَالِكٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ خَالِدِ بْنِ مَعْدَانَ، عَنْ أَبِي أُمَامَةَ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ‏ "‏ مَا مِنْ أَحَدٍ يُدْخِلُهُ اللَّهُ الْجَنَّةَ إِلاَّ زَوَّجَهُ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ ثِنْتَيْنِ وَسَبْعِينَ زَوْجَةً ثِنْتَيْنِ مِنَ الْحُورِ الْعِينِ وَسَبْعِينَ مِنْ مِيرَاثِهِ مِنْ أَهْلِ النَّارِ مَا مِنْهُنَّ وَاحِدَةٌ إِلاَّ وَلَهَا قُبُلٌ شَهِيٌّ وَلَهُ ذَكَرٌ لاَ يَنْثَنِي ‏"‏ ‏.‏ قَالَ هِشَامُ بْنُ خَالِدٍ مِنْ مِيرَاثِهِ مِنْ أَهْلِ النَّارِ يَعْنِي رِجَالاً دَخَلُوا النَّارَ فَوَرِثَ أَهْلُ الْجَنَّةِ نِسَاءَهُمْ كَمَا وُرِثَتِ امْرَأَةُ فِرْعَوْنَ ‏.‏

Muhammad anasema Mwanamke(Muslim woman) ni Shetani, Mwanamke haruhusiwi kupaka Perfume, Akipaka huyo ni MALAYA(Adulterer) Ila mwanamume ruksa. Mwanamuke hadhi yake kama mbwa tu, akikatiza mbele ya muslim man praying sala yake inakuwa batili.

Faiza Foxy - Soma hiyoooooooo!!

Sunan an-Nasa'i » Book of Adornment

It was narrated that Al-Ash'ari said:
"The Messenger of Allah [SAW] said: 'Any woman who puts on perfume then passes by people so that they can smell her fragrance then she is an adulteress.'"

أَخْبَرَنَا إِسْمَاعِيلُ بْنُ مَسْعُودٍ، قَالَ حَدَّثَنَا خَالِدٌ، قَالَ حَدَّثَنَا ثَابِتٌ، - وَهُوَ ابْنُ عُمَارَةَ - عَنْ غُنَيْمِ بْنِ قَيْسٍ، عَنِ الأَشْعَرِيِّ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ أَيُّمَا امْرَأَةٍ اسْتَعْطَرَتْ فَمَرَّتْ عَلَى قَوْمٍ لِيَجِدُوا مِنْ رِيحِهَا فَهِيَ زَانِيَةٌ ‏"‏ ‏.‏


Sunan Ibn Majah » The Chapters on Tribulations from Sunan Ibn Majah

It was narrated that Abu Hurairah met a woman who was wearing perfume and heading for the mosque. He said:
“O slavewoman of the Compeller, where are you headed?” She said: “To the mosque.” He said: “And have you put on perfume for that?” She said: “Yes.” He said: “I heard the Messenger of Allah (saw) say: ‘Any woman who puts on perfume then goes out to the mosque, no prayer will be accepted from her until she takes a bath.’”

حَدَّثَنَا أَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا سُفْيَانُ بْنُ عُيَيْنَةَ، عَنْ عَاصِمٍ، عَنْ مَوْلَى أَبِي رُهْمٍ، - وَاسْمُهُ عُبَيْدٌ - أَنَّ أَبَا هُرَيْرَةَ، لَقِيَ امْرَأَةً مُتَطَيِّبَةً تُرِيدُ الْمَسْجِدَ فَقَالَ يَا أَمَةَ الْجَبَّارِ أَيْنَ تُرِيدِينَ قَالَتِ الْمَسْجِدَ قَالَ وَلَهُ تَطَيَّبْتِ قَالَتْ نَعَمْ ‏.‏ قَالَ فَإِنِّي سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ يَقُولُ ‏ "‏ أَيُّمَا امْرَأَةٍ تَطَيَّبَتْ ثُمَّ خَرَجَتْ إِلَى الْمَسْجِدِ لَمْ تُقْبَلْ لَهَا صَلاَةٌ حَتَّى تَغْتَسِلَ ‏"‏ ‏.‏

Sunan an-Nasa'i » The Book of Divorce

Zainab said:
"Then I went into Zainab bint Jahsh when her brother died, and she called for some perfume and put some on. Then she said: 'By Allah, I do not have any need for perfume but I heard the Messenger of Allah say on the Minbar: It is not permissible for any woman who believes in Allah and the Last Day to mourn for anyone who dies for more than three days, except for a husband, (for whom the mourning period is) four months and ten days.'"

قَالَتْ زَيْنَبُ ثُمَّ دَخَلْتُ عَلَى زَيْنَبَ بِنْتِ جَحْشٍ حِينَ تُوُفِّيَ أَخُوهَا وَقَدْ دَعَتْ بِطِيبٍ وَمَسَّتْ مِنْهُ ثُمَّ قَالَتْ وَاللَّهِ مَا لِي بِالطِّيبِ مِنْ حَاجَةٍ غَيْرَ أَنِّي سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم يَقُولُ عَلَى الْمِنْبَرِ ‏ "‏ لاَ يَحِلُّ لاِمْرَأَةٍ تُؤْمِنُ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الآخِرِ تَحِدُّ عَلَى مَيِّتٍ فَوْقَ ثَلاَثِ لَيَالٍ إِلاَّ عَلَى زَوْجٍ أَرْبَعَةَ أَشْهُرٍ وَعَشْرًا ‏"‏ ‏.‏

Sahih Muslim » The Book of Marriage (Kitab Al-Nikah)

Jabir reported that Allah's Messenger (may peace be upon him) saw a woman, and so he came to his wife, Zainab, as she was tanning a leather and had sexual intercourse with her. He then went to his Companions and told them:

The woman advances and retires in the shape of a devil, so when one of you sees a woman, he should come to his wife, for that will repel what he feels in his heart.

حَدَّثَنَا عَمْرُو بْنُ عَلِيٍّ، حَدَّثَنَا عَبْدُ الأَعْلَى، حَدَّثَنَا هِشَامُ بْنُ أَبِي عَبْدِ اللَّهِ، عَنْ أَبِي الزُّبَيْرِ، عَنْ جَابِرٍ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم رَأَى امْرَأَةً فَأَتَى امْرَأَتَهُ زَيْنَبَ وَهْىَ تَمْعَسُ مَنِيئَةً لَهَا فَقَضَى حَاجَتَهُ ثُمَّ خَرَجَ إِلَى أَصْحَابِهِ فَقَالَ ‏ "‏ إِنَّ الْمَرْأَةَ تُقْبِلُ فِي صُورَةِ شَيْطَانٍ وَتُدْبِرُ فِي صُورَةِ شَيْطَانٍ فَإِذَا أَبْصَرَ أَحَدُكُمُ امْرَأَةً فَلْيَأْتِ أَهْلَهُ فَإِنَّ ذَلِكَ يَرُدُّ مَا فِي نَفْسِهِ ‏"‏ ‏.‏
Hapo na shetani kati ya Muhammad na huyo mwanamke aliyejipitia na hamsini zake?
Mbona hao maswahaaba hawakwenda kuwarukia wake zao

Faiza Foxy vipi hapo? Jitu limejitia nyenge huko ghafla linakuja kutoa ngama zake kwako kwa kisingizio hicho! What a great wisdom here? na alisababisha ni mamake/dadake/mke wake Gavana kapita na hamsini zake adhabu uipate wewe.
What a dignity Muhammad is teaching here? ameingia ndani sababu ya nyege zake, kuna haja gani kuja kuwasimulia wanaume wenzake kuwa ametoka kumpiga nao mkewe? ili iweje?

yapo mengi sana GAVANA and your fellow Abduls mnatakiwa kujiuliza kuhusu imani yenu kabla hamjaja kwenye imani yetu kuanza kuuliza Biblia ipi ni sahihi?

Kaka/ Dada

Si gavana wala kisoda wala faizafoxy kaandika biblia? Kujaribu kukasirika na kutuita majina ya ajabu ajabu na kumsema vibaya Mtume Muhammad SAW haiifanyi biblia unayoitumia kuwa sahihi. Nimekutumia ushahidi mwingi lakini bado hujatusaidia kutupa hoja Nyengine . Naelewa si rahisi Kwa ufahamu wako kumeza kila kitu Lakini jitahidi.
Hayo uliyoyaandika yafungulie uzi utajibiwa Kwa hoja Kwa vizuri . Hapa mada ni jee biblia ipi ni sahihi?
 
Nimekuelewa mkuu sasa swali linakuja je vinapokinzana Biblia ipi tuchukue na ipi tuiache?? Mfano Bible ya Orthodox inakitabu cha Enock kinachosema malaika walizaa na binadamu ila Bible ya Protestants KJV,NIV n.k ukisoma Mathayo inasema malaika ni watakatifu na hawana jinsia wala tamaa za ngono.

Pia Mormon wanatumia Book of Abraham kma sehemu ya canon yao ambayo inadai Abraham alipewa gauni la shetani ilihali Bible ya Roman catholics kupitia Kitabu cha mwanzo inaonyesha Abraham alikuwa mtakatifu sana.

Sasa kwenye situation kama hii ndio hoja yangu inazaliwa kwamba Biblia gani ni halisi maana baadhi zinakinzana kma sio zote hivyo lazima moja tu ndio iwe sahihi

Karibu
Siyo tu kitabu cha enoch kimesema malaika walizaa na binadamu hata kitabu cha mwanzo 6 kinasema hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo tu kitabu cha enoch kimesema malaika walizaa na binadamu hata kitabu cha mwanzo 6 kinasema hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa faida ya mjadala unaweza nionyesha wapi mwanzo 6 inasema ni MALAIKA walizaa na binadamu?? Maana nachojua mie malaika sio wana wa Mungu bali ni wajakazi tu kwake.... Wana wa Mungu kibiblia ni hawa

Galatia 3:26
26 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu

Sasa tujiulize je wakati wa Genesis 6 nani alikuwa mwana wa Mungu as per this definition ya Galatia

Mwanzo 4
26 Sethi naye akazaa mwana; akamwita jina lake Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kuliitia Jina la BWANA.

So twaweza ona kumbe ni Seth ndio kizazi chake ndio wana wa Mungu na sio malaika kama tulivyodhani

Ila Enoch sura ya 6 ipo clear kabisa kuwa malaika walizaa na wanadamu na procedure nzima inaelezwa ila kwenye Biblia hiyo kitu haijatajwa wazi kokote kma ipo naomba uniwekee mstari hapa unaosema Malaika walizaa na binadamu kwenye Bible.

Kama haupo je Biblia gani tuiamini sasa kati ya hizi mbili??? Maana mpaka hapa ni wazi zimekinzana tayari.......
 
Kaka/ Dada

Si gavana wala kisoda wala faizafoxy kaandika biblia? Kujaribu kukasirika na kutuita majina ya ajabu ajabu na kumsema vibaya Mtume Muhammad SAW haiifanyi biblia unayoitumia kuwa sahihi. Nimekutumia ushahidi mwingi lakini bado hujatusaidia kutupa hoja Nyengine . Naelewa si rahisi Kwa ufahamu wako kumeza kila kitu Lakini jitahidi.
Hayo uliyoyaandika yafungulie uzi utajibiwa Kwa hoja Kwa vizuri . Hapa mada ni jee biblia ipi ni sahihi?
Swali la Biblia nilishajibu kitambo sana. Kwa vile wewe ni mtu wa C&P bila kusoma hukuona jibu.

ZOTE ZIPO SAWA kwa mtizamo na uelewa wa mtumiaji. ndio maana hakuna anayemuinukia mwengine kwenda mkata shingo kisa vitabu vingi au vichache.
Isipokuwa tunaliona hilo la kukatwa shingo na wafuasi wa Muhammad kisa tunamuabudu Mungu Yesu Kristo.

Hivyo rudi kwanza ukajiulize kwanini iwe haram kwa mwanamke kujipodoa na tena anajifunika Burka. Mwanamke ni dhaifu kwa kulinganishwa kuwa wawe 2 ndipo awe sawa na mwanaume 1. mwanamke ni wa motoni tu Allah kasema eti kwasababu anapata HEDHI. Allah ameumba mwanamke na kumpa mechanism ya kuregulate mwili periodically halafu anamtupa motoni! Why?
Wanawake ni haramu kukaa vichwa/miili yao wazi(Lazima awe kwenye Burka) mbele ya mwanaume ambaye si mumewe. ila ruksa kumtolea Nyonyo jibaba anyonye mara kumi eti ili asimtamani. nani anamdhalilisha Muhammad hapa?
Huku tukiona/kusoma yeye Muhammad alikuwa na wake 13, and about 100 times sex slave girls.

Soma hiyooo.
Sunan an-Nasa'i » The Book of the Kind Treatment of Women

It was narrated that Anas said:
"The Messenger of Allah said: 'In this world, women and perfume have been made dear to me, and my comfort has been provided in prayer.'"

حَدَّثَنِي الشَّيْخُ الإِمَامُ أَبُو عَبْدِ الرَّحْمَنِ النَّسَائِيُّ، قَالَ أَخْبَرَنَا الْحُسَيْنُ بْنُ عِيسَى الْقُومَسِيُّ، قَالَ حَدَّثَنَا عَفَّانُ بْنُ مُسْلِمٍ، قَالَ حَدَّثَنَا سَلاَّمٌ أَبُو الْمُنْذِرِ، عَنْ ثَابِتٍ، عَنْ أَنَسٍ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ حُبِّبَ إِلَىَّ مِنَ الدُّنْيَا النِّسَاءُ وَالطِّيبُ وَجُعِلَ قُرَّةُ عَيْنِي فِي الصَّلاَةِ ‏"‏ ‏.‏

What is the morality in all these stories from Allah and Muhammad?

Hakuna anayemshalilisha Muhammad ni yeye mwenyewe anajipiga misumari ya moto nanyi mmeikumbatia for 1400 years.
Katika hicho nilichokiweka hapo kabla sema kimojawapo ni uongo hakipo kwenye uislam. Huwezi unakimbilia oo unatuita majina ya ajabu.
Siyo Allah anatuita unbelievers wote kuwa we are the waste creatures ever made/raised of all man kind. Ila Muslim are best of all man kind.
Soma hiyoooo


Riyad as-Salihin » The Book of Miscellaneous ahadith of Significant Values

Abu Hurairah (May Allah be pleased with him) said in the interpretation of the Ayah reported:
"You are the best of peoples ever raised up for (the benefit of) mankind..." (3:110): The best for mankind are those who bring them with chains round their necks till they embrace Islam (and thereby save them from the eternal punishment in the Hell-fire, and make them enter Jannah in the Hereafter)."[Al-Bukhari].

- وعنه رضي الله عنه ‏:‏ ‏{‏كنتم خير أمة أخرجت للناس‏}‏ قال‏:‏ خير الناس للناس يأتون بهم في السلاسل في أعناقهم حتى يدخلوا في الإسلام‏.‏ أخرجه: البخاري.

Hii hukuiona kwenye vitabu vyenu ukajiuliza WHY uniburuze na mnyororo ili niamini unachoamini eti ndio uwe kiumbe bora?

isipokuwa umeona tu differences in Christian/Jews and Orthodox books and you are turning to be Judge and Scholar about them trying to seek which one is correct.
What does those Bible contain and teach? You don't know anything rather than C&P some crap article unaleta hapa O hii iliandikwa kwa wino mwekundu mbona hii mweusi. Nayo unaona ni Hoja/ushaidi.
Does the meaning of the verse/sentence changed?
Nikikuita Donkey ndiyo stahiki yako. not the otherwise!

Huna majibu ya madudu yenu mnatafuta huruma kwenye Biblia.

Stop drinking Camel Urine you follower of Bewitched prophet!!
 
Mkuu hata mie sijui ndio maana nkafungua uzi ili wajuzi wa mambo wanisaidie kutatua hii sintofahamu.
Mkuu hata wewe unakubali kuwa biblia imeandikwa kwa uwezo wa Mungu,sasa watu wameshaeleza kuwa biblia zote ni sahihi lakini umekuwa ukipinga hilo ndiyo nikataka kujua mtazamo wako wewe ni upi katika hii sintofahamu?maana kama Roho mtakatifu amehusika na wewe unakubali hilo je,huu uwepo wa sintofahamu unalichukulia vp hili jambo kwa upande wako?
 
Swali la Biblia nilishajibu kitambo sana. Kwa vile wewe ni mtu wa C&P bila kusoma hukuona jibu.

ZOTE ZIPO SAWA kwa mtizamo na uelewa wa mtumiaji. ndio maana hakuna anayemuinukia mwengine kwenda mkata shingo kisa vitabu vingi au vichache.
Isipokuwa tunaliona hilo la kukatwa shingo na wafuasi wa Muhammad kisa tunamuabudu Mungu Yesu Kristo.

Hivyo rudi kwanza ukajiulize kwanini iwe haram kwa mwanamke kujipodoa na tena anajifunika Burka. Mwanamke ni dhaifu kwa kulinganishwa kuwa wawe 2 ndipo awe sawa na mwanaume 1. mwanamke ni wa motoni tu Allah kasema eti kwasababu anapata HEDHI. Allah ameumba mwanamke na kumpa mechanism ya kuregulate mwili periodically halafu anamtupa motoni! Why?
Wanawake ni haramu kukaa vichwa/miili yao wazi(Lazima awe kwenye Burka) mbele ya mwanaume ambaye si mumewe. ila ruksa kumtolea Nyonyo jibaba anyonye mara kumi eti ili asimtamani. nani anamdhalilisha Muhammad hapa?
Huku tukiona/kusoma yeye Muhammad alikuwa na wake 13, and about 100 times sex slave girls.

Soma hiyooo.
Sunan an-Nasa'i » The Book of the Kind Treatment of Women

It was narrated that Anas said:
"The Messenger of Allah said: 'In this world, women and perfume have been made dear to me, and my comfort has been provided in prayer.'"

حَدَّثَنِي الشَّيْخُ الإِمَامُ أَبُو عَبْدِ الرَّحْمَنِ النَّسَائِيُّ، قَالَ أَخْبَرَنَا الْحُسَيْنُ بْنُ عِيسَى الْقُومَسِيُّ، قَالَ حَدَّثَنَا عَفَّانُ بْنُ مُسْلِمٍ، قَالَ حَدَّثَنَا سَلاَّمٌ أَبُو الْمُنْذِرِ، عَنْ ثَابِتٍ، عَنْ أَنَسٍ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ حُبِّبَ إِلَىَّ مِنَ الدُّنْيَا النِّسَاءُ وَالطِّيبُ وَجُعِلَ قُرَّةُ عَيْنِي فِي الصَّلاَةِ ‏"‏ ‏.‏

What is the morality in all these stories from Allah and Muhammad?

Hakuna anayemshalilisha Muhammad ni yeye mwenyewe anajipiga misumari ya moto nanyi mmeikumbatia for 1400 years.
Katika hicho nilichokiweka hapo kabla sema kimojawapo ni uongo hakipo kwenye uislam. Huwezi unakimbilia oo unatuita majina ya ajabu.
Siyo Allah anatuita unbelievers wote kuwa we are the waste creatures ever made/raised of all man kind. Ila Muslim are best of all man kind.
Soma hiyoooo


Riyad as-Salihin » The Book of Miscellaneous ahadith of Significant Values

Abu Hurairah (May Allah be pleased with him) said in the interpretation of the Ayah reported:
"You are the best of peoples ever raised up for (the benefit of) mankind..." (3:110): The best for mankind are those who bring them with chains round their necks till they embrace Islam (and thereby save them from the eternal punishment in the Hell-fire, and make them enter Jannah in the Hereafter)."[Al-Bukhari].

- وعنه رضي الله عنه ‏:‏ ‏{‏كنتم خير أمة أخرجت للناس‏}‏ قال‏:‏ خير الناس للناس يأتون بهم في السلاسل في أعناقهم حتى يدخلوا في الإسلام‏.‏ أخرجه: البخاري.

Hii hukuiona kwenye vitabu vyenu ukajiuliza WHY uniburuze na mnyororo ili niamini unachoamini eti ndio uwe kiumbe bora?

isipokuwa umeona tu differences in Christian/Jews and Orthodox books and you are turning to be Judge and Scholar about them trying to seek which one is correct.
What does those Bible contain and teach? You don't know anything rather than C&P some crap article unaleta hapa O hii iliandikwa kwa wino mwekundu mbona hii mweusi. Nayo unaona ni Hoja/ushaidi.
Does the meaning of the verse/sentence changed?
Nikikuita Donkey ndiyo stahiki yako. not the otherwise!

Huna majibu ya madudu yenu mnatafuta huruma kwenye Biblia.

Stop drinking Camel Urine you follower of Bewitched prophet!!


Hao watumiaji gani wanaosema biblia zote ziko sawa ?? Mbona hatukuoni wewe mkatoliki kwenda kusali kanisa la Jehovah witness ?? Wala Mlokole haingii kanisa la Mormon ??? Jehovah witness katu hatumii biblia yenu

Waandikaji wa Biblia wanasema biblia zina matatizo , maneno hayo hawasemi waislamu wala wapagani wala wahindu bali ni wakristo , na wengine ni waandikaji wa hizo biblia .

hizo copy and paste unayojifanya kuichukia nimekuletea kutoka ndani ya biblia zenyewe au nikuwekee tena ??

Nimekuambia MADA YA THREAD NI BIBLIA IPI NI SAHIHI ??, unakuja na maneno mengine ili tubadilishe mada lakini huko sahau mimi sikujibu ukitaka majibu fungua thread .

Maneno yako bado hayajatuambia biblia ipi ni sahihi

Pata elimu zaidi hapa


Canon Of The Bible


One of the more incontrovertible issues confronting any serious study of the Bible is the glaring historical vacuum of consensus over what constitutes a legitimate canon.

Much like the early theological controversies, the Church was plagued from its very infancy with heated debates over what precisely qualified as "scripture".

Indeed, the widespread division over the most basic elements of Christian faith led each of the major doctrinal factions to champion their own versions of an "inspired scripture".


The extent of this disagreement was only to intensify with the coming of the Reformation.

The ensuing secession by Protestant Christians (themselves later to explode into literally tens of doctrinally distinct denominations) ensured that these major divisions would remain into perpetuity.


Perhaps not surprisingly, this less than flattering problem of multiple canons is conveniently exempted from the literature of missionary Christianity. The reasons for this range from humble ignorance (itself admittedly less humble in proportion) to the more subtle means of diplomatic guile so perfected by missionary propagandists. It is our aim to fill this factual void with a few helpful resources. Honest readers will conclude that it requires no stretch of the imagination nor any excercise of lofty reasoning to acknowledge some very serious problems in what Christians call "The Word of God".


It is our aim here to educate people about the evolution of Biblical Canon and to show that in the absence of any agreed set of books as "inspired" and the reasons of why they can be considered as "inspired", there is simply no reason to believe they are "inspired". Putting it quite succintly: one man's scripture is another man's apocrypha.


Early Lists Of The Books Of The New Testament

Below are the lists of the books drawn that were drawn by various Church authorities showing, in their opinion, what constituted the extent of New Testament. The list is till the end of 4th century.


sarrow.gif
The Muratorian Canon

sarrow.gif
The Canon Of Origen (A.D. c. 185 - 254)

sarrow.gif
The Canon Of Eusebius Of Caesarea (A.D. 265 - 340)

sarrow.gif
A Canon Of Uncertain Date And Provenance Inserted in Codex Claromontanus

sarrow.gif
The Canon Of Cyril Of Jerusalem (c. A.D. 350)

sarrow.gif
The Cheltenham Canon (c. A.D. 360)

sarrow.gif
The Canon Approved By The Synod Of Laodicea (c. A.D. 363)

sarrow.gif
The Canon Of Athanasius (A.D. 367)

sarrow.gif
The Canon Approved By The 'Apostolic Canons' (c. A.D. 380)

sarrow.gif
The Canon Of Gregory Of Nazianzus (A.D. 329 - 89)

sarrow.gif
The Canon Of Amphilochius Of Iconium (d. 394)

sarrow.gif
The Canon Approved By The Third Synod Of Carthage (A.D. 397)

redarrow.gif
The Canons Of The Old Testament & The New Testament Through The Ages


A comprehensive collection of biblical canons throughout the history from the time of Jesus to the modern day critical editions.​

redarrow.gif
The Formation And Closure Of Biblical Canons: A Multifaceted Development


Has there been a uniform canon of the Bible from apostolic times or has there been a uniform misrepresentation of the historical processes relating to the conception, formation and closure of the biblical canons? A critical appraisal of evangelical, missionary and apologist claims regarding the history, formation and closure of the biblical canons, especially the twenty-seven book canon of the New Testament, is provided.​
 
Swali la Biblia nilishajibu kitambo sana. Kwa vile wewe ni mtu wa C&P bila kusoma hukuona jibu.

ZOTE ZIPO SAWA kwa mtizamo na uelewa wa mtumiaji. ndio maana hakuna anayemuinukia mwengine kwenda mkata shingo kisa vitabu vingi au vichache.
Isipokuwa tunaliona hilo la kukatwa shingo na wafuasi wa Muhammad kisa tunamuabudu Mungu Yesu Kristo.

Hivyo rudi kwanza ukajiulize kwanini iwe haram kwa mwanamke kujipodoa na tena anajifunika Burka. Mwanamke ni dhaifu kwa kulinganishwa kuwa wawe 2 ndipo awe sawa na mwanaume 1. mwanamke ni wa motoni tu Allah kasema eti kwasababu anapata HEDHI. Allah ameumba mwanamke na kumpa mechanism ya kuregulate mwili periodically halafu anamtupa motoni! Why?
Wanawake ni haramu kukaa vichwa/miili yao wazi(Lazima awe kwenye Burka) mbele ya mwanaume ambaye si mumewe. ila ruksa kumtolea Nyonyo jibaba anyonye mara kumi eti ili asimtamani. nani anamdhalilisha Muhammad hapa?
Huku tukiona/kusoma yeye Muhammad alikuwa na wake 13, and about 100 times sex slave girls.

Soma hiyooo.
Sunan an-Nasa'i » The Book of the Kind Treatment of Women

It was narrated that Anas said:
"The Messenger of Allah said: 'In this world, women and perfume have been made dear to me, and my comfort has been provided in prayer.'"

حَدَّثَنِي الشَّيْخُ الإِمَامُ أَبُو عَبْدِ الرَّحْمَنِ النَّسَائِيُّ، قَالَ أَخْبَرَنَا الْحُسَيْنُ بْنُ عِيسَى الْقُومَسِيُّ، قَالَ حَدَّثَنَا عَفَّانُ بْنُ مُسْلِمٍ، قَالَ حَدَّثَنَا سَلاَّمٌ أَبُو الْمُنْذِرِ، عَنْ ثَابِتٍ، عَنْ أَنَسٍ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ حُبِّبَ إِلَىَّ مِنَ الدُّنْيَا النِّسَاءُ وَالطِّيبُ وَجُعِلَ قُرَّةُ عَيْنِي فِي الصَّلاَةِ ‏"‏ ‏.‏

What is the morality in all these stories from Allah and Muhammad?

Hakuna anayemshalilisha Muhammad ni yeye mwenyewe anajipiga misumari ya moto nanyi mmeikumbatia for 1400 years.
Katika hicho nilichokiweka hapo kabla sema kimojawapo ni uongo hakipo kwenye uislam. Huwezi unakimbilia oo unatuita majina ya ajabu.
Siyo Allah anatuita unbelievers wote kuwa we are the waste creatures ever made/raised of all man kind. Ila Muslim are best of all man kind.
Soma hiyoooo


Riyad as-Salihin » The Book of Miscellaneous ahadith of Significant Values

Abu Hurairah (May Allah be pleased with him) said in the interpretation of the Ayah reported:
"You are the best of peoples ever raised up for (the benefit of) mankind..." (3:110): The best for mankind are those who bring them with chains round their necks till they embrace Islam (and thereby save them from the eternal punishment in the Hell-fire, and make them enter Jannah in the Hereafter)."[Al-Bukhari].

- وعنه رضي الله عنه ‏:‏ ‏{‏كنتم خير أمة أخرجت للناس‏}‏ قال‏:‏ خير الناس للناس يأتون بهم في السلاسل في أعناقهم حتى يدخلوا في الإسلام‏.‏ أخرجه: البخاري.

Hii hukuiona kwenye vitabu vyenu ukajiuliza WHY uniburuze na mnyororo ili niamini unachoamini eti ndio uwe kiumbe bora?

isipokuwa umeona tu differences in Christian/Jews and Orthodox books and you are turning to be Judge and Scholar about them trying to seek which one is correct.
What does those Bible contain and teach? You don't know anything rather than C&P some crap article unaleta hapa O hii iliandikwa kwa wino mwekundu mbona hii mweusi. Nayo unaona ni Hoja/ushaidi.
Does the meaning of the verse/sentence changed?
Nikikuita Donkey ndiyo stahiki yako. not the otherwise!

Huna majibu ya madudu yenu mnatafuta huruma kwenye Biblia.

Stop drinking Camel Urine you follower of Bewitched prophet!!


SOMA HAPA UPATE ELIMU

GONGA HAPO CHINI


Another detailed listing of all of the early Canons of the Bible.
 
Mkuu hata wewe unakubali kuwa biblia imeandikwa kwa uwezo wa Mungu,sasa watu wameshaeleza kuwa biblia zote ni sahihi lakini umekuwa ukipinga hilo ndiyo nikataka kujua mtazamo wako wewe ni upi katika hii sintofahamu?maana kama Roho mtakatifu amehusika na wewe unakubali hilo je,huu uwepo wa sintofahamu unalichukulia vp hili jambo kwa upande wako?
Mkuu msimamo wangu ni huu

1.Maandiko ya Biblia ni kweli yaliiongozwa na Roho mtakatifu.

2.Shida inakuja kwenye upangiliaji wa vitabu yaani CANON ndio naamini mawazo ya watu binafsi yalitumika na sio Roho mtakatifu

3.Kwa huu ukinzano uliopo it means Biblia ya kweli na halisi ni lazima ipo moja tu na nyingine zote ni batili

4.Napinga Biblia zote ni sawa maana naweza nakili hapa mistari zaidi ya 100 ambayo inakinzana kati ya Biblia mbalimbali zilizopo both za tafsiri na za madhehebu sasa zitakuwaje sawa mkuu??

5. Kwakuwa zinakinzana so ina maana haziwezi kuwa zote zimevuviwa na Roho mtakatifu maana Roho hawezi jipinga mwenyewe (contradictory)

6. Hivyo swali la uzi bado linasimama Je kati ya hizi ambazo zinakinzana lazima Moja ni halisi je ni ipi??

SULUHISHO:Hivyo kinachotakiwa kama makanisa yanaamini Biblia ni uweza wa Roho basi maaskofu wake wakuu wajikusanye kwenye eneo moja wamtafute sasa Roho Mtakatifu ndio awaelekeze kuwa Biblia ipi ni sahihi maana haiingi akilini biblia zote zikinzane alafu wote waseme Roho mtakatifu ndio kawatuma.... That's insanity
 
Swali la Biblia nilishajibu kitambo sana. Kwa vile wewe ni mtu wa C&P bila kusoma hukuona jibu.

ZOTE ZIPO SAWA kwa mtizamo na uelewa wa mtumiaji. ndio maana hakuna anayemuinukia mwengine kwenda mkata shingo kisa vitabu vingi au vichache.
Isipokuwa tunaliona hilo la kukatwa shingo na wafuasi wa Muhammad kisa tunamuabudu Mungu Yesu Kristo.

Hivyo rudi kwanza ukajiulize kwanini iwe haram kwa mwanamke kujipodoa na tena anajifunika Burka. Mwanamke ni dhaifu kwa kulinganishwa kuwa wawe 2 ndipo awe sawa na mwanaume 1. mwanamke ni wa motoni tu Allah kasema eti kwasababu anapata HEDHI. Allah ameumba mwanamke na kumpa mechanism ya kuregulate mwili periodically halafu anamtupa motoni! Why?
Wanawake ni haramu kukaa vichwa/miili yao wazi(Lazima awe kwenye Burka) mbele ya mwanaume ambaye si mumewe. ila ruksa kumtolea Nyonyo jibaba anyonye mara kumi eti ili asimtamani. nani anamdhalilisha Muhammad hapa?
Huku tukiona/kusoma yeye Muhammad alikuwa na wake 13, and about 100 times sex slave girls.

Soma hiyooo.
Sunan an-Nasa'i » The Book of the Kind Treatment of Women

It was narrated that Anas said:
"The Messenger of Allah said: 'In this world, women and perfume have been made dear to me, and my comfort has been provided in prayer.'"

حَدَّثَنِي الشَّيْخُ الإِمَامُ أَبُو عَبْدِ الرَّحْمَنِ النَّسَائِيُّ، قَالَ أَخْبَرَنَا الْحُسَيْنُ بْنُ عِيسَى الْقُومَسِيُّ، قَالَ حَدَّثَنَا عَفَّانُ بْنُ مُسْلِمٍ، قَالَ حَدَّثَنَا سَلاَّمٌ أَبُو الْمُنْذِرِ، عَنْ ثَابِتٍ، عَنْ أَنَسٍ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ حُبِّبَ إِلَىَّ مِنَ الدُّنْيَا النِّسَاءُ وَالطِّيبُ وَجُعِلَ قُرَّةُ عَيْنِي فِي الصَّلاَةِ ‏"‏ ‏.‏

What is the morality in all these stories from Allah and Muhammad?

Hakuna anayemshalilisha Muhammad ni yeye mwenyewe anajipiga misumari ya moto nanyi mmeikumbatia for 1400 years.
Katika hicho nilichokiweka hapo kabla sema kimojawapo ni uongo hakipo kwenye uislam. Huwezi unakimbilia oo unatuita majina ya ajabu.
Siyo Allah anatuita unbelievers wote kuwa we are the waste creatures ever made/raised of all man kind. Ila Muslim are best of all man kind.
Soma hiyoooo


Riyad as-Salihin » The Book of Miscellaneous ahadith of Significant Values

Abu Hurairah (May Allah be pleased with him) said in the interpretation of the Ayah reported:
"You are the best of peoples ever raised up for (the benefit of) mankind..." (3:110): The best for mankind are those who bring them with chains round their necks till they embrace Islam (and thereby save them from the eternal punishment in the Hell-fire, and make them enter Jannah in the Hereafter)."[Al-Bukhari].

- وعنه رضي الله عنه ‏:‏ ‏{‏كنتم خير أمة أخرجت للناس‏}‏ قال‏:‏ خير الناس للناس يأتون بهم في السلاسل في أعناقهم حتى يدخلوا في الإسلام‏.‏ أخرجه: البخاري.

Hii hukuiona kwenye vitabu vyenu ukajiuliza WHY uniburuze na mnyororo ili niamini unachoamini eti ndio uwe kiumbe bora?

isipokuwa umeona tu differences in Christian/Jews and Orthodox books and you are turning to be Judge and Scholar about them trying to seek which one is correct.
What does those Bible contain and teach? You don't know anything rather than C&P some crap article unaleta hapa O hii iliandikwa kwa wino mwekundu mbona hii mweusi. Nayo unaona ni Hoja/ushaidi.
Does the meaning of the verse/sentence changed?
Nikikuita Donkey ndiyo stahiki yako. not the otherwise!

Huna majibu ya madudu yenu mnatafuta huruma kwenye Biblia.

Stop drinking Camel Urine you follower of Bewitched prophet!!



ENDELEA KUPATA ELIMU BILA MALIPO


The Ecumenical Councils of the Catholic Church
 
Biblia ya ukweli kwa sasa haipo aliicha yesu lkn bwana yohana na wazungu wenzake wakaibadili wakawaletea hizi ambazo mnazo mf. Yesu alisema usinye pombe wenyewe wakasema kunywa ila usilewe akawaambie ametumwa kwa taifa la islael wenyewe wakasema kaletwa kwa dunia nzima akasema yeye sio mungu ni mtume katumwa kuja kuwafundisha dini ya ukweli wenyewe wakasema yeye mwenyewe ndio mungu na nk.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali la Biblia nilishajibu kitambo sana. Kwa vile wewe ni mtu wa C&P bila kusoma hukuona jibu.

ZOTE ZIPO SAWA kwa mtizamo na uelewa wa mtumiaji. ndio maana hakuna anayemuinukia mwengine kwenda mkata shingo kisa vitabu vingi au vichache.
Isipokuwa tunaliona hilo la kukatwa shingo na wafuasi wa Muhammad kisa tunamuabudu Mungu Yesu Kristo.

Hivyo rudi kwanza ukajiulize kwanini iwe haram kwa mwanamke kujipodoa na tena anajifunika Burka. Mwanamke ni dhaifu kwa kulinganishwa kuwa wawe 2 ndipo awe sawa na mwanaume 1. mwanamke ni wa motoni tu Allah kasema eti kwasababu anapata HEDHI. Allah ameumba mwanamke na kumpa mechanism ya kuregulate mwili periodically halafu anamtupa motoni! Why?
Wanawake ni haramu kukaa vichwa/miili yao wazi(Lazima awe kwenye Burka) mbele ya mwanaume ambaye si mumewe. ila ruksa kumtolea Nyonyo jibaba anyonye mara kumi eti ili asimtamani. nani anamdhalilisha Muhammad hapa?
Huku tukiona/kusoma yeye Muhammad alikuwa na wake 13, and about 100 times sex slave girls.

Soma hiyooo.
Sunan an-Nasa'i » The Book of the Kind Treatment of Women

It was narrated that Anas said:
"The Messenger of Allah said: 'In this world, women and perfume have been made dear to me, and my comfort has been provided in prayer.'"

حَدَّثَنِي الشَّيْخُ الإِمَامُ أَبُو عَبْدِ الرَّحْمَنِ النَّسَائِيُّ، قَالَ أَخْبَرَنَا الْحُسَيْنُ بْنُ عِيسَى الْقُومَسِيُّ، قَالَ حَدَّثَنَا عَفَّانُ بْنُ مُسْلِمٍ، قَالَ حَدَّثَنَا سَلاَّمٌ أَبُو الْمُنْذِرِ، عَنْ ثَابِتٍ، عَنْ أَنَسٍ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ حُبِّبَ إِلَىَّ مِنَ الدُّنْيَا النِّسَاءُ وَالطِّيبُ وَجُعِلَ قُرَّةُ عَيْنِي فِي الصَّلاَةِ ‏"‏ ‏.‏

What is the morality in all these stories from Allah and Muhammad?

Hakuna anayemshalilisha Muhammad ni yeye mwenyewe anajipiga misumari ya moto nanyi mmeikumbatia for 1400 years.
Katika hicho nilichokiweka hapo kabla sema kimojawapo ni uongo hakipo kwenye uislam. Huwezi unakimbilia oo unatuita majina ya ajabu.
Siyo Allah anatuita unbelievers wote kuwa we are the waste creatures ever made/raised of all man kind. Ila Muslim are best of all man kind.
Soma hiyoooo


Riyad as-Salihin » The Book of Miscellaneous ahadith of Significant Values

Abu Hurairah (May Allah be pleased with him) said in the interpretation of the Ayah reported:
"You are the best of peoples ever raised up for (the benefit of) mankind..." (3:110): The best for mankind are those who bring them with chains round their necks till they embrace Islam (and thereby save them from the eternal punishment in the Hell-fire, and make them enter Jannah in the Hereafter)."[Al-Bukhari].

- وعنه رضي الله عنه ‏:‏ ‏{‏كنتم خير أمة أخرجت للناس‏}‏ قال‏:‏ خير الناس للناس يأتون بهم في السلاسل في أعناقهم حتى يدخلوا في الإسلام‏.‏ أخرجه: البخاري.

Hii hukuiona kwenye vitabu vyenu ukajiuliza WHY uniburuze na mnyororo ili niamini unachoamini eti ndio uwe kiumbe bora?

isipokuwa umeona tu differences in Christian/Jews and Orthodox books and you are turning to be Judge and Scholar about them trying to seek which one is correct.
What does those Bible contain and teach? You don't know anything rather than C&P some crap article unaleta hapa O hii iliandikwa kwa wino mwekundu mbona hii mweusi. Nayo unaona ni Hoja/ushaidi.
Does the meaning of the verse/sentence changed?
Nikikuita Donkey ndiyo stahiki yako. not the otherwise!

Huna majibu ya madudu yenu mnatafuta huruma kwenye Biblia.

Stop drinking Camel Urine you follower of Bewitched prophet!!


SOMA Hapa

 
Swali la Biblia nilishajibu kitambo sana. Kwa vile wewe ni mtu wa C&P bila kusoma hukuona jibu.

ZOTE ZIPO SAWA kwa mtizamo na uelewa wa mtumiaji. ndio maana hakuna anayemuinukia mwengine kwenda mkata shingo kisa vitabu vingi au vichache.
Isipokuwa tunaliona hilo la kukatwa shingo na wafuasi wa Muhammad kisa tunamuabudu Mungu Yesu Kristo.

Hivyo rudi kwanza ukajiulize kwanini iwe haram kwa mwanamke kujipodoa na tena anajifunika Burka. Mwanamke ni dhaifu kwa kulinganishwa kuwa wawe 2 ndipo awe sawa na mwanaume 1. mwanamke ni wa motoni tu Allah kasema eti kwasababu anapata HEDHI. Allah ameumba mwanamke na kumpa mechanism ya kuregulate mwili periodically halafu anamtupa motoni! Why?
Wanawake ni haramu kukaa vichwa/miili yao wazi(Lazima awe kwenye Burka) mbele ya mwanaume ambaye si mumewe. ila ruksa kumtolea Nyonyo jibaba anyonye mara kumi eti ili asimtamani. nani anamdhalilisha Muhammad hapa?
Huku tukiona/kusoma yeye Muhammad alikuwa na wake 13, and about 100 times sex slave girls.

Soma hiyooo.
Sunan an-Nasa'i » The Book of the Kind Treatment of Women

It was narrated that Anas said:
"The Messenger of Allah said: 'In this world, women and perfume have been made dear to me, and my comfort has been provided in prayer.'"

حَدَّثَنِي الشَّيْخُ الإِمَامُ أَبُو عَبْدِ الرَّحْمَنِ النَّسَائِيُّ، قَالَ أَخْبَرَنَا الْحُسَيْنُ بْنُ عِيسَى الْقُومَسِيُّ، قَالَ حَدَّثَنَا عَفَّانُ بْنُ مُسْلِمٍ، قَالَ حَدَّثَنَا سَلاَّمٌ أَبُو الْمُنْذِرِ، عَنْ ثَابِتٍ، عَنْ أَنَسٍ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ حُبِّبَ إِلَىَّ مِنَ الدُّنْيَا النِّسَاءُ وَالطِّيبُ وَجُعِلَ قُرَّةُ عَيْنِي فِي الصَّلاَةِ ‏"‏ ‏.‏

What is the morality in all these stories from Allah and Muhammad?

Hakuna anayemshalilisha Muhammad ni yeye mwenyewe anajipiga misumari ya moto nanyi mmeikumbatia for 1400 years.
Katika hicho nilichokiweka hapo kabla sema kimojawapo ni uongo hakipo kwenye uislam. Huwezi unakimbilia oo unatuita majina ya ajabu.
Siyo Allah anatuita unbelievers wote kuwa we are the waste creatures ever made/raised of all man kind. Ila Muslim are best of all man kind.
Soma hiyoooo


Riyad as-Salihin » The Book of Miscellaneous ahadith of Significant Values

Abu Hurairah (May Allah be pleased with him) said in the interpretation of the Ayah reported:
"You are the best of peoples ever raised up for (the benefit of) mankind..." (3:110): The best for mankind are those who bring them with chains round their necks till they embrace Islam (and thereby save them from the eternal punishment in the Hell-fire, and make them enter Jannah in the Hereafter)."[Al-Bukhari].

- وعنه رضي الله عنه ‏:‏ ‏{‏كنتم خير أمة أخرجت للناس‏}‏ قال‏:‏ خير الناس للناس يأتون بهم في السلاسل في أعناقهم حتى يدخلوا في الإسلام‏.‏ أخرجه: البخاري.

Hii hukuiona kwenye vitabu vyenu ukajiuliza WHY uniburuze na mnyororo ili niamini unachoamini eti ndio uwe kiumbe bora?

isipokuwa umeona tu differences in Christian/Jews and Orthodox books and you are turning to be Judge and Scholar about them trying to seek which one is correct.
What does those Bible contain and teach? You don't know anything rather than C&P some crap article unaleta hapa O hii iliandikwa kwa wino mwekundu mbona hii mweusi. Nayo unaona ni Hoja/ushaidi.
Does the meaning of the verse/sentence changed?
Nikikuita Donkey ndiyo stahiki yako. not the otherwise!

Huna majibu ya madudu yenu mnatafuta huruma kwenye Biblia.

Stop drinking Camel Urine you follower of Bewitched prophet!!

SOMA HAPA

A complete list of New Testament Papyri.
 
Back
Top Bottom