econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,766
- 21,763
Ni vigumu Umoja wa Mataifa kuichukulia hatua Urusi. Changamoto za Umoja wa Mataifa kupitia baraza kuu la usalama kuichukulia hatua Urusi ni mbili.
Kwanza, tatizo linakuja pale ambapo Urusi ni mmoja wa wanachama wakudumu wa baraza la usalama akiwa pamoja na China, UK, France na USA. Hivyo Ni muasisi wa umoja wa Mataifa. Je itakuwa rahisi kuichukulia hatua Urussi ambayo ni mshirika mkuu wa UN na mwasisi wa umoja huo?
Pili, Russia Kama mwanachama wa kudumu wa baraza kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa ananguvu ya VETO ya kubatilisha maamuzi ya baraza kuu la usalama la Umoja wa Mataifa.
NB: Nadhani hizi sababu mbili ndizo zimepelekea Urusi kujiamini mpaka Sasa.
Kwanza, tatizo linakuja pale ambapo Urusi ni mmoja wa wanachama wakudumu wa baraza la usalama akiwa pamoja na China, UK, France na USA. Hivyo Ni muasisi wa umoja wa Mataifa. Je itakuwa rahisi kuichukulia hatua Urussi ambayo ni mshirika mkuu wa UN na mwasisi wa umoja huo?
Pili, Russia Kama mwanachama wa kudumu wa baraza kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa ananguvu ya VETO ya kubatilisha maamuzi ya baraza kuu la usalama la Umoja wa Mataifa.
NB: Nadhani hizi sababu mbili ndizo zimepelekea Urusi kujiamini mpaka Sasa.