Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Kuwa na Pride au Kibri ndiyo akataka tu kupambana na Mungu yani ndiyo hivyo tu?
Ndiyo akitaka kuwa sawa na Mwenyezi Mungu.

Umesema yaani ndio hivyo tu?

Kwani ni jambo dogo kwako?
 
Nimeuliza swali nawe unaniuliza swali ambalo hata haliusiani na biblia,maana mie nauliza maswali yenye kuhusu majini ndani ya biblia.

Kama huna uelewa na jambo sema tu sijui.
Kwanini uulize swala la Majini katika Biblia wakati Biblia haina habari za Majini isipokuwa Qur'an?

Wewe umeona habari ya majini katika biblia?
 
Huwa ndo maana sipendi kujadili mambo ya dini ,end of the day lazma muishie kwenye mazungumzo ambayo si mazuri kama haya .
My advice is ,faith is something personal ,very personal ,so you must be careful in characterizing others faith .
Muislamu hutakiwi kujadili biblia, ulikatazwa lakini mnalazimisha uwongo wenu watu wakubali!
Kama hutaki kujadili why are you commenting? That's very hypocritical of you! Why are you telling me kwamba faith is personal thing? Go get a life, you are waste of time!
 
Hivi kumbe shetani ni kila jini mbaya? Eti mimi huwa najua shetani ni shetani na jini ni jini. Kwa hiyo kumbe shetani hawezi kuwepo hadi jini abadilike toka kuwa mzuri na awe mbaya ndio kuwe na shetani?!
Shetani ni tabia sio kiumbe.Kiumbe ni jini,anapokuwa muovu,anaitwa shetani.Hata binadamu akiwa muouvu,hufnanishwa na tabia hizo za kishetani.
 
Shetani ni tabia sio kiumbe.Kiumbe ni jini,anapokuwa muovu,anaitwa shetani.Hata binadamu akiwa muouvu,hufnanishwa na tabia hizo za kishetani.
Unasema shetani ni tabia, wakati Qur'an yako inaonyesha ni kiumbe ambaye alikataa "kumsujudia Adam."

Basi sema tabia alikataa kumsujudia Adam!! Hivyo tabia anaweza kukataa au kujivuna na kuwa kafiri?
Nyinyi waislamu tabu sana. Sijui mna akili za namna gani?

Al baqarah 2:34. And We said to the angels, "Bow down to Adam." They bowed down, except for Satan. He refused, was arrogant, and was one of the disbelievers

2:34.Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri.
 
Unasema shetani ni tabia, wakati Qur'an yako inaonyesha ni kiumbe ambaye alikataa "kumsujudia Adam."

Basi sema tabia alikataa kumsujudia Adam!! Hivyo tabia anaweza kukataa au kujivuna na kuwa kafiri?
Nyinyi waislamu tabu sana. Sijui mna akili za namna gani?

Al baqarah 2:34. And We said to the angels, "Bow down to Adam." They bowed down, except for Satan. He refused, was arrogant, and was one of the disbelievers

2:34.Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri.
Aliyekataa kumsujudia(kumtukuza)Adam ni Iblisi,Iblisi ndio alikiwa miongoni mwa malaika,alipoasi ndio akawa iblisi.Hivi ni viumbe wawili tofauti,kuna jini na Iblisi,ndio masna mtu akifanya jambo ovu,kama kubaka,hasemi jini kanipitia,asema shetani kanipitia au iblisi kanipitia.
Kwenye Qur'an(sio tafsiri),aliyetajwa ni Iblisi,hakuandikwa shetani,ndio maana unaposoma tafsiri ya Qur'an,husomi Qur'an,unasoma tafsiri ya Qur'an.
 
Kwanini uulize swala la Majini katika Biblia wakati Biblia haina habari za Majini isipokuwa Qur'an?

Wewe umeona habari ya majini katika biblia?
Sasa inakuaje huwa mnasema majini ndiyo malaika waliyoasi kwa mungu na jini na shetani ni kitu kimoja hali ya kuwa biblia haijaeleza hayo mambo?

Nyie huwa mnapata wapi hayo mambo?
 
Shetani ni tabia sio kiumbe.Kiumbe ni jini,anapokuwa muovu,anaitwa shetani.Hata binadamu akiwa muouvu,hufnanishwa na tabia hizo za kishetani.
Mkuu bado napata ukakasi kwenye jibu lako hapa. Au nipe reference kama sio citation pengine ntaweza kupata kitu hapo
 
Aliyekataa kumsujudia(kumtukuza)Adam ni Iblisi,Iblisi ndio alikiwa miongoni mwa malaika,alipoasi ndio akawa iblisi.Hivi ni viumbe wawili tofauti,kuna jini na Iblisi,ndio masna mtu akifanya jambo ovu,kama kubaka,hasemi jini kanipitia,asema shetani kanipitia au iblisi kanipitia.
Kwenye Qur'an(sio tafsiri),aliyetajwa ni Iblisi,hakuandikwa shetani,ndio maana unaposoma tafsiri ya Qur'an,husomi Qur'an,unasoma tafsiri ya Qur'an.
Wewe nimeshakuchoka. Khaa! Mbona mgumu kuelewa mpaka utukanwe!
 
Sasa inakuaje huwa mnasema majini ndiyo malaika waliyoasi kwa mungu na jini na shetani ni kitu kimoja hali ya kuwa biblia haijaeleza hayo mambo?

Nyie huwa mnapata wapi hayo mambo?
Mzee kuna roho aina mbili.
Roho wema.
Roho waovu.

Roho wema- ni malaika watiifu kwa mwenyezi Mungu.

Roho waovu-ni malaika waasi walio kinyume na mwenyezi Mungu.
 
Unamuuliza Mtoa mada aliyeuliza nayeye?
Hata maswali huulizwa kwa misingi Fulani ambayo nayo inaweza kuwekewa maswali zaidi kama iko sahihi.

Ukimsoma Socrates utaona alitumia sana maswali kujibu maswali na kuchimba hoja zaidi katika "Socratic method".
 
Viumbe roho havina ithibati za kisayansi
Kwa hiyo hakuna jinsi ya kuvitofautisha hivi vinavyoitwa viumbe na hadithi za kufikirika zisizo na uhakiki?

Tutajuaje kwamba si viumbe vya mawazoni tu na havipo au vipo katika uhalisi?
 
Hata maswali huulizwa kwa misingi Fulani ambayo nayo inaweza kuwekewa maswali zaidi kama iko sahihi.

Ukimsoma Socrates utaona alitumia sana maswali kujibu maswali na kuchimba hoja zaidi katika "Socratic method".
Kwanini umemtolea mfano huyo Mwanafalsafa? Is he Perfect?

Swali linahitaji jibu na sio swali.
 
Naombeni kusadiwa kujua kuhusu majini. Nina imani watu wengi huwa tunatishwa sana..

Nina maswali naombeni kupewa msaada..

Nani aliwaumba majini?

Majini wameumbwaje na kwanini waliumbwa kwa kazi gani?

Kwanini hawaonekani nguvu gani au wao wapo ulimwengu gani hasa hadi tunashindwa kuwaona?

Je, vitabu vya dini vinasemaje kuhusu hawa viumbe ni sehemu gan majini watajwa na je mitume wa Mungu wamewahi kuwatumia hawa kwa kazi gani na kwanini?

Kwanini wanaonekana kuwa na nguvu zaid kuliko binadamu, mbinu ipi sahihi ya kuwadhibiti hao viumbe?

Je, maumbile yao halisi ni yapi na utawezaje kuwatambua?

Je, Mungu wanayemwamini ni huyu tunayemwamini sisi na huko watahesabiwa vipi haki siku ya mwisho na adhabu yao itakuwaje kwenye moto wa milele (nasikia wapo kama moto sina uhakika).

Je, wanaliana vip mimba zao hukaa muda gan na huishii miaka mingap tokea azaliwe yaani jin Mzee yupoje.

Mfumo wao wa utawala upoje na je kuna adhabu za kuwapatia endapo wanasumbua binadamu?

Je, wanaweza kuzaa na binadamu na mtoto akizaliwa huwaje?

Yaan dah yapo mengi maswali!
Mi nafikiri ungewauliza wataalam au manabii bandia ambao ibada zao ni kutoa mapepo tu kila siku maana waumini wao kila siku wanaangushwa kwnye mahekalu. Na cjaona sehem nyingine wanapotoa majini km sio huko na kwa waganga wa kienyeji. Kumbuka asiyekuwa nayo hawezi kuyatoa.
 
Huyo jamaa Uhuru jr sijui anauliza maswali kujifunza, kukupima kama unajua au kubishana? Kwa kweli simuelewi huyu jamaa!!
Hawa watu lazima wawepo tu mkuu,, ila kila mtu atabanwa humu kulingana na akiaminicho. Kwanza ilikuwaje jini liishi Mbinguni likiwa na cheo kikubwa, lakini pia kwann lijenge bifu na wanadamu tu. Na je majini wasomcha Mungu nani anawapotosha?

Kwasababu kwa mujibu wa Quran, Shetani kosa lake ni kukataa tu kumsujudia Adam,sa kama shetani alijenga bifu kwa hilo tu,, kwanini na nduguze waende motoni? Tukumbuke asili ya dhambi ni shetani pekee.

Halafu, uislamu unasema Mola pekee ndiye apaswaye kuabudiwa na kusujudiwa, kiaje sasa Mola amuamuru Ibilisi kumsijudia Adamu? Huyu Mungu ni kigeugeu au?
 
Mzee kuna roho aina mbili.
Roho wema.
Roho waovu.

Roho wema- ni malaika watiifu kwa mwenyezi Mungu.

Roho waovu-ni malaika waasi walio kinyume na mwenyezi Mungu.
Hasa nachotaka kujua ni haya maneno shetani na jini yana maana gani? kwenye biblia huyo malaika aliyeasi aliitwa shetani baada ya kuasi(nisahishe kama nimekosea) je,neno shetani lina maana gani?
 
Seliselina naomba nikusahihishe kidogo ktk bible hakuna sehemu palipoandikwa kuwa Mungu aliumba shetani,big NO! Ila Mungu aliumba malaika,malaika walipoasi ndo wakaitwa mashetani.....
Kaka huko hatakuelewa kabisa, hajawahi kuyaumba majini kabisa bali ni malaika wema tu. Walipohasi yakawa mashetani, malaika aliyekuwa mkuu kabisa kule Lucifer ndo shetani mkuu.

Neno shetani na ibilisi etymologically ni ya kiebrania, yakimaanisha wapinzani waasi. Jiulize kiaje ni waasi na kipi walikipinga? Kuanzia hapo mengi yatajifunua.
 
Uhuru jr. Kwa maelezo ya kidini zote, malaika na majini hayazai, kuumwa, kuzeeka wala kufa. Uislamu, majini yako na majina 99 tangu mwazo na hayabadilishiki. Jibril (Gabriel) ni yuleyule tangu asili. Hiki si cheo na ndo maana hakutokea tena malaika wa NURU mwingine (LUX Light FER bearing). Mika-er, Gabri-er au Rafa-er ni walewale daima dawamu. Ni maswala ya kiimani lakini. Changanya na imani zingine si Ibrahism tu kuupata ukweli.
 
Majini yapo kanisani na kwa wanganga wakienyeji tu, huko ndio kila siku hutolewa lakini msikitini hakuna ibada ya kutoa majini.
Mtayatoaje wakati ndugu zenu mnaswali nao pamoja. Mkimaliza mnapeana mikono yawezekana hata hujui kwanini mwislamu hutoa mkono baada ya swala hata akiwa peke yake pale umeswali na majini
 
Back
Top Bottom