Je analipiza kisasi kwa ndugu zake wa Zanzibar waliouwa katika utawala wa Mkapa.?

Je analipiza kisasi kwa ndugu zake wa Zanzibar waliouwa katika utawala wa Mkapa.?

torosi

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2020
Posts
1,114
Reaction score
2,088
Lakini maoni yao tumeyakataa .!!

Haya yalikua maneno ya Mkapa baada ya machafuko ya mwaka 2000 huko Zanzibar

Nimejaribu kutafakari labda kuna ndugu zake wengi waliuwa kipindi kile, na akaapa endapo akipata nafasi ya kuongoza Tanzania atalipiza kwa wabara kile kiliwatokea ndugu zake Zanzibar

Na sasa amepata nafasi, kaitumia kutimizia ahadi yake

Haki huinua taifa.
 
Back
Top Bottom