Hi nimesha wahi kuifanya wakati ninasoma darasa la 4 shule ya msingi miaka 40 iliyopita hahahah umenikumbusha mbali. Mbuzi Mzee
Ulijisikiaje huko nyuma?!Hi nimesha wahi kuifanya wakati ninasoma darasa la 4 shule ya msingi miaka 40 iliyopita hahahah umenikumbusha mbali. Mbuzi Mzee
Nilijisikia Uchungu sana je wewe hujawahi kupewa adhabu shuleni? Wilbert1974?Ulijisikiaje huko nyuma?!
Si adhabu za kihivyo!Nilijisikia Uchungu sana je wewe hujawahi kupewa adhabu shuleni? Wilbert1974?
Mwaka gani huo ulikuwa? Wilbert1974Si adhabu za kihivyo!
Kuna teacher m1 yeye alikuwa anapiga stick za kwenye miundi na rula kwenye vidole!
1983/4Mwaka gani huo ulikuwa? Wilbert1974
Mji gani huo uliokuwa unapata hizo Adhabu ya kupigwa vidoleni na kwenye vifundo vya miguu? mwaka 1983/4 mimi nimesha maliza zamani shule Wilbert19741983/4
Only in india
hii imetulia, kimsingi adhabu ni njia mojawapo ya kumfanya mwanafunzi au mtoto kutambua makosa yake na kujirekebisha. Ila adhabu iliyo bora ni kumpa mtoto/mwanafunzi adhabu ya kufanya chochote kwa mikono yake au akili yake, mf.kulima, kupalilia bustani, kufagia, kufyeka uwanja, kudeki darasa nk badala ya kuchapa (hii ni njia ya kikoloni zaidi) adhabu nilizotaja na zingine zinazofana na hizo ni nzuri kwani humjenga mtoto vizuri na pia humsaidia kujifunza jambo ambalo humsaidia ktk maisha ya baadae. Mf.mimi nimesoma sekondari na shule niliyosoma hakukuwa na kuchapwa, ni adhabu za kufanya kazi mbalimbali tu. Hii ilinijenga sana kisaikolojia na kujiamini zaidi ktk mambo ninayoyafanya. Hivyo changamoto kwa walimu na wazazi ni kuchagua adhabu ya kumpa mtoto kulingana na kosa lenyewe. Na sio kuchapa fimbo. Pia kutokumpa mtoto adhabu kama upuuzi wanaotuletea wazungu ni kujenga taifa lenye kiburi, lisilo na utii, lisilo sikivu, na lililo jaa jeuri. Wazazi na walimu msitake wazungu na mashirika yanayoingia kwa kigezo cha kutetea haki ya watoto kupandikiza dhana hii kwani hawana nia nzuri. Mtoto hawezi kuachwa tu akakua hivi hivi bila kuwa shaped. Tukumbuke mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
Nawasilisha.
Heheee hii inanifanyaga nimkumbuke jamaa yangu tukiwa A-Level ye alipitisha mikono kinyume lol ikawa haifikii masikio halafu mwalimu akawa anamchapa kuwa anafanya makusudi wakati jamaa kagangamaa sanaHi nimesha wahi kuifanya wakati ninasoma darasa la 4 shule ya msingi miaka 40 iliyopita hahahah umenikumbusha mbali. Mbuzi Mzee