LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,733
Ni moto tu ndo adhabu kali kwa mwanadamu?
Je, kama kule zinaenda tu roho mwili si ni madongo unabaki tu kaburini?
Je, baridi sio adhabu?
Je, njaa sio adhabu?
Je, kiu sio adhabu?
zipo adhabu nyingi tu lakini naamini kuna adhabu nyingine kule kwa Mungu zaidi ya moto.
Je, kama kule zinaenda tu roho mwili si ni madongo unabaki tu kaburini?
Je, baridi sio adhabu?
Je, njaa sio adhabu?
Je, kiu sio adhabu?
zipo adhabu nyingi tu lakini naamini kuna adhabu nyingine kule kwa Mungu zaidi ya moto.