Hahahahahaa afu wewe bhana.... unaleta taarab msibani??Hahaha Nipo mbona babu, afu kila siku nakuvizia Bunju sikuoni
Kama mkeo ni hawa walokole , lazima akupige sala ya nguvu na kusema amepewa maono umetokea kwa mgangaKumekuwa na kilio kirefu sana juu ya wanandoa kusalitiana.Ifuatayo ni dawa ya kuzuia tatizo hilo ni kwa wale tu waishio ndani ya nyumba moja kama mke na mme au waliokwisha funga ndoa.
Kwanza,tambua umri halisi wa mke wako,zoezi lifanyike kwenye kitanda mnacholala.
Nyonya vidole vyote vya mguu wa kushoto wa mke wako mara idadi ya umri wake. Baada ya kumaliza nyonya kiwiko cha mkono wake wa kushoto na mwishowe malizia nyuma ya goti la mguu wake wa kushoto. Ukimaliza mnong'oneze maneno 'Nakupenda' kwenye sikio lake la kushoto utakuwa umeshamaliza kazi.
NB: Zoezi hili lifanyike mkiwa kwenye kitanda chenu mnacholalia tu
Hahaha wewe zuga tu, bunju yako hiyo hiyoHahahahahaa afu wewe bhana.... unaleta taarab msibani??
Hiyo Bunju unayoizungumzia wewe ni ile ya Torabora au ya Sudani Kusini??
Hili itabidi tulijadili PM
Umenipa raha sanaKumekuwa na kilio kirefu sana juu ya wanandoa kusalitiana.Ifuatayo ni dawa ya kuzuia tatizo hilo ni kwa wale tu waishio ndani ya nyumba moja kama mke na mme au waliokwisha funga ndoa.
Kwanza,tambua umri halisi wa mke wako,zoezi lifanyike kwenye kitanda mnacholala.
Nyonya vidole vyote vya mguu wa kushoto wa mke wako mara idadi ya umri wake. Baada ya kumaliza nyonya kiwiko cha mkono wake wa kushoto na mwishowe malizia nyuma ya goti la mguu wake wa kushoto. Ukimaliza mnong'oneze maneno 'Nakupenda' kwenye sikio lake la kushoto utakuwa umeshamaliza kazi.
NB: Zoezi hili lifanyike mkiwa kwenye kitanda chenu mnacholalia tu
hahahah jf kiboko nacheka kama zuzu na bwege kiruuuuuuuuuuuuNyonya vidole vyote vya mguu kwa mara moja mara 30
Kiwiko na goti ni mara moja moja tu full stop
Ukute ni Mimi mkuu[emoji3] [emoji3]Duh hiyo 'pyeeee' umenikumbusha mdogo wangu fulani hivi aisee! Nimemmiss
Hebu acha utani kwenye mambo ya msingi kama bajeti.Hahaha wewe zuga tu, bunju yako hiyo hiyo
Hahaha kwa hiyo leo nikuvizie kwa Jumbe, kwa Jeshi, Usalama au kwa Baharia? Au nishuke hadi Magengeni?Hebu acha utani kwenye mambo ya msingi kama bajeti.
Hahahahahaa..... duh. Ya leo kali hakyamama!!Hahaha kwa hiyo leo nikuvizie kwa Jumbe, kwa Jeshi, Usalama au kwa Baharia? Au nishuke hadi Magengeni?
Hahaha ntafika fasta, utaniona tu nimevaa tracksuit ya orange, raba za chanikiwiti na kilemba cha ugoro. Saa 2 netHahahahahaa..... duh. Ya leo kali hakyamama!!
Shuka shule pale afu ukuje Kibila bar kaunta ya juu. Nimevaa flana ya zambarau, suruali ya njano na viatu vya bluu. Bill yako itakuwa juu yangu.
Khaaaaa..... muda huo nakushauri uje na dikshenare... mi nikishagongaga vigrants kadhaa, kizungu kinajileta chenyewe mdomoni.Hahaha ntafika fasta, utaniona tu nimevaa tracksuit ya orange, raba za chanikiwiti na kilemba cha ugoro. Saa 2 net
Hahaha basi ntakuja kabla, maana na wewe ukishakaa viti virefuKhaaaaa..... muda huo nakushauri uje na dikshenare... mi nikishagongaga vigrants kadhaa, kizungu kinajileta chenyewe mdomoni.
Thats my girl... uje without kabisa. Sawa enh??Hahaha basi ntakuja kabla, maana na wewe ukishakaa viti virefu
Kila kitu sawa kabisaThats my girl... uje without kabisa. Sawa enh??
Umeshaangaaa......dahMweeeeeeeeh
Teh huo ufilipino mmhUmeshaangaaa......dah
Ukute ni Mimi mkuu[emoji3] [emoji3]
Lol.Mhhh sidhani!!!