Jaribu leo, mke wako hatakusaliti kamwe

Jaribu leo, mke wako hatakusaliti kamwe

Awe msafi basi huyo mwanamke, maana kuna mwingine unakuta ana magaga na kupasuka pasuka nyao kama ngozi ya kenge ukitoka hapo fungus mpaka kwenye koo.
 
Kumekuwa na kilio kirefu sana juu ya wanandoa kusalitiana.Ifuatayo ni dawa ya kuzuia tatizo hilo ni kwa wale tu waishio ndani ya nyumba moja kama mke na mme au waliokwisha funga ndoa.

Kwanza,tambua umri halisi wa mke wako,zoezi lifanyike kwenye kitanda mnacholala.

Nyonya vidole vyote vya mguu wa kushoto wa mke wako mara idadi ya umri wake. Baada ya kumaliza nyonya kiwiko cha mkono wake wa kushoto na mwishowe malizia nyuma ya goti la mguu wake wa kushoto. Ukimaliza mnong'oneze maneno 'Nakupenda' kwenye sikio lake la kushoto utakuwa umeshamaliza kazi.

NB: Zoezi hili lifanyike mkiwa kwenye kitanda chenu mnacholalia tu
uwiiiiii
 
plastic-bottle-for-shoes-300x293.jpg


Miguu ya kunyonywa ni hii?
 
vidole hiv hiv vya miguu hamnipati.......
 
Nyonya vidole vyote vya mguu wa kushoto wa mke wako mara idadi ya umri wake. Baada ya kumaliza nyonya kiwiko cha mkono wake wa kushoto na mwishowe malizia nyuma ya goti la mguu wake wa kushoto. Ukimaliza mnong'oneze maneno 'Nakupenda' kwenye sikio lake la kushoto utakuwa umeshamaliza kazi.

NB: Zoezi hili lifanyike mkiwa kwenye kitanda chenu mnacholalia tu



Assumption - mke wangu ana 30 years

Maswali:

- Je, unanyonya kila kidole mara 30 au nanyonya vidole mara 6 yaani kwa kuwa viko vitano nitajikuta nanyonya mara sita.

- Je, kiwiko na goti unavinyonya mara ngapi...kwa muda gani?
 
Dawa za kishirkina ukikosea masharti, inakudhuru mara mbili, ina maana ukikosea, atasaliti mara nyingi. Ngoja tu anisaliti lakini sio kushiriki huo ushirikina, unyonye hizo sehemu mara 40 !!! Kwanza utamweleza kuwa unafanya nini !!
 
Assumption - mke wangu ana 30 years

Maswali:

- Je, unanyonya kila kidole mara 30 au nanyonya vidole mara 6 yaani kwa kuwa viko vitano nitajikuta nanyonya mara sita.

- Je, kiwiko na goti unavinyonya mara ngapi...kwa muda gani?
Nyonya vidole vyote vya mguu kwa mara moja mara 30
Kiwiko na goti ni mara moja moja tu full stop
 
Kumekuwa na kilio kirefu sana juu ya wanandoa kusalitiana.Ifuatayo ni dawa ya kuzuia tatizo hilo ni kwa wale tu waishio ndani ya nyumba moja kama mke na mme au waliokwisha funga ndoa.

Kwanza,tambua umri halisi wa mke wako,zoezi lifanyike kwenye kitanda mnacholala.

Nyonya vidole vyote vya mguu wa kushoto wa mke wako mara idadi ya umri wake. Baada ya kumaliza nyonya kiwiko cha mkono wake wa kushoto na mwishowe malizia nyuma ya goti la mguu wake wa kushoto. Ukimaliza mnong'oneze maneno 'Nakupenda' kwenye sikio lake la kushoto utakuwa umeshamaliza kazi.

NB: Zoezi hili lifanyike mkiwa kwenye kitanda chenu mnacholalia tu
hahahahahah umepotea kijana watu wanazama hadi zizini lakini ukitoka hapo ama wakati unahangaika kulamba mwenzio anawaza juma atamfiligisa ampe sh ngapi hehee fanya kazi ujenge familia hasa watoto, sisi wanawake sio ndugu zenu ........
 
hhahahha nimecheka kwa sauti...nipo ofisini hapa nazua na internet maana muda wa kusepa tayari zamanimi nilastman standingtechnical...namalzia uhondo na jf....nimepata uhondo hapa hahaha maana nimecheka tu...JF aminiaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom