Jaribu leo, mke wako hatakusaliti kamwe

Jaribu leo, mke wako hatakusaliti kamwe

Ukimaliza kufanya yote hayo mpe ela.... umesahau na ilo mkuu
 
Unataka watu watukanwe matusi ya nguoni usiku mnene.
 
Usalt haujaanza jana na hautaisha leo, SWALI 1.
Mkuu nimeshafanya ulvoelekeza ila bado ananisalit na sahv ndo amezdsha, je nfanyeje?
SWAL 2.
Je kwa wanaume wanaowasalit wake zao na wao wafanyiwe hv?
SWALI 3.
Kwa nn iwe kwny ktanda?
 
kuna mabange flani hua yanachanganywa na mbolea ya ng'ombe iliyokaa zizini miaka mitatu.. stimu zake zinakaribiana sana na tumbaku ilochanganywa na unga wa ng'e..
 
Kunyonya vidole vya mguu then kiwiko cha mkono wa kushoto namalizia nyuma ya goti la kushoto halafu na mwambia nakupenda.

Hii njia ni balaa
 
@Mshanajr embu tutafsirie hii kitu nayo ni miongoni mwa zile mada zako
 
Back
Top Bottom