Jaribu leo, mke wako hatakusaliti kamwe

Jaribu leo, mke wako hatakusaliti kamwe

Uwii mahabaa hayo sio, haya mkayatende leteni mrejesho
 
Kumekuwa na kilio kirefu sana juu ya wanandoa kusalitiana.Ifuatayo ni dawa ya kuzuia tatizo hilo ni kwa wale tu waishio ndani ya nyumba moja kama mke na mme au waliokwisha funga ndoa.

Kwanza,tambua umri halisi wa mke wako,zoezi lifanyike kwenye kitanda mnacholala.

Nyonya vidole vyote vya mguu wa kushoto wa mke wako mara idadi ya umri wake. Baada ya kumaliza nyonya kiwiko cha mkono wake wa kushoto na mwishowe malizia nyuma ya goti la mguu wake wa kushoto. Ukimaliza mnong'oneze maneno 'Nakupenda' kwenye sikio lake la kushoto utakuwa umeshamaliza kazi.

NB: Zoezi hili lifanyike mkiwa kwenye kitanda chenu mnacholalia tu

Ha ha ha, kawashauri ukawa
 
Kumekuwa na kilio kirefu sana juu ya wanandoa kusalitiana.Ifuatayo ni dawa ya kuzuia tatizo hilo ni kwa wale tu waishio ndani ya nyumba moja kama mke na mme au waliokwisha funga ndoa.

Kwanza,tambua umri halisi wa mke wako,zoezi lifanyike kwenye kitanda mnacholala.

Nyonya vidole vyote vya mguu wa kushoto wa mke wako mara idadi ya umri wake. Baada ya kumaliza nyonya kiwiko cha mkono wake wa kushoto na mwishowe malizia nyuma ya goti la mguu wake wa kushoto. Ukimaliza mnong'oneze maneno 'Nakupenda' kwenye sikio lake la kushoto utakuwa umeshamaliza kazi.

NB: Zoezi hili lifanyike mkiwa kwenye kitanda chenu mnacholalia tu
Yaheee umetowa zenji nn mmm mambo ya zenji hayo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji108] [emoji126]
 
ImageUploadedByJamiiForums1466623954.666144.jpg
 
Back
Top Bottom