Jaribu leo, mke wako hatakusaliti kamwe

Jaribu leo, mke wako hatakusaliti kamwe

Awe msafi basi huyo mwanamke, maana kuna mwingine unakuta ana magaga na kupasuka pasuka nyao kama ngozi ya kenge ukitoka hapo fungus mpaka kwenye koo.

Sasa huyu unakaa nae wa nini kama mchafu kiasi hicho ptyuuuu! Hata akipika sili
 
Ha ha ha ha ha afadhali nimeingia humu maana nimecheka ghafla. Kwa nini mnafundisha watu uchawi? Mungu hapendi lakini.
 
Mkuu kuna watu wamenyonya zaidi hivyo na hao dozi yao ni hii ?
 
Hata waganga wa sumbawanga hawajawahi kumshaur mteja WAP hvoo,,, Ila tutambue kuwa ndoa ni mpango kamili wa Mungu kwa hyo mwenyewe ndo anajua hii ndoa INA shida gani na dawa yake ni nini??
 
Watu tumeshanyonya mpaka papuchii na bado tumesalitiwa,brother kusalitiana katika ndoa au ktk mahusiano ni kawaida tu haiwezekani mtu uwe na shamba halafu usiwe na bustani.
 
Hata waganga wa sumbawanga hawajawahi kumshaur mteja WAP hvoo,,, Ila tutambue kuwa ndoa ni mpango kamili wa Mungu kwa hyo mwenyewe ndo anajua hii ndoa INA shida gani na dawa yake ni nini??
Mh!!
 
Sasa bwana mdogo mbona umeishia njiani kama bongo movie? Haya tuendelee
4593486e891663de776fabba7130b1ae.jpg
nikisharamba hapo halafu nafanya manuwizi?
 
Mmh babu yani kama wewe hujaelewa, me ndo kabisaaaa
Mi naona tukubali yaishe. Hizi syllabus za O level miaka hii hazifanani na zile za enzi zetu. Si unajua shule zimefungwa??

Baada ya kusema hayo napenda kukutaarifu rasmi kuwa nakupenda sana na nimekumisi sana. Usiende mbali nami....
 
Mi naona tukubali yaishe. Hizi syllabus za O level miaka hii hazifanani na zile za enzi zetu. Si unajua shule zimefungwa??

Baada ya kusema hayo napenda kukutaarifu rasmi kuwa nakupenda sana na nimekumisi sana. Usiende mbali nami....
Hahaha Nipo mbona babu, afu kila siku nakuvizia Bunju sikuoni
 
Back
Top Bottom