Meko Junior
Senior Member
- Mar 23, 2018
- 159
- 360
- Thread starter
- #21
Alichokifanya...Pole mkuu
Unaonekana unaumia kwa mlichokifanya...
Alichokifanya...Pole mkuu
Unaonekana unaumia kwa mlichokifanya...
Kwa hiyo tayari ameshakuteua wewe kuwa msemaji wakeDON NALIMSON amesema atakuteua uwe makamu wake! unazungumziaje jambo ilo?
Ooh,poleAlichokifanya...
Alijiamulia,akidhani yupo sahihi sanaOoh,pole
Haukukubaliana nae
"Yeyote asie na dhambi awe wakwanza kumrushia jiwe"Asilimia 70 kama siyo 90 humu wamezitoa na wengine bado wanazitoa, kumbukeni Mungu anawaona.
I'm proud of you boss, umejua kutake risk no matter whatNilimkazia akazaliwa ana miaka 7 sasa....she is very bright , she is my eternal genius.
Ayii sitak hata kukumbuka aseeEmbu tuambizane, ndugu wajenzi wa nchi, maisha yanatunyoosha na sisi tunayanyoosha.
Wengi tumepitia changamoto nyingi za maisha, wengi tumepitiwa kwenye mahusiano mengi sana, wengine wakapat mimba au kuwapa watu mimba na kuchukua maamuzi ya kuitoa.
Embu jaribu kuwaza kama usingetoa ile mimba mtoto angekua na umri gani, wengine wametoa mimba zaidi ya tano.
"Mimi wakwangu angekua anatimiza mwezi mmoja saivi akiwa tumboni kwa mama yake"
Nadhani umeshakumbuka tayari, pole.Ayii sitak hata kukumbuka asee
We acha tuNadhani umeshakumbuka tayari, pole.
Ilitolewa ikiwa haijatungwa?Embu tuambizane, ndugu wajenzi wa nchi, maisha yanatunyoosha na sisi tunayanyoosha.
Wengi tumepitia changamoto nyingi za maisha, wengi tumepitiwa kwenye mahusiano mengi sana, wengine wakapat mimba au kuwapa watu mimba na kuchukua maamuzi ya kuitoa.
Embu jaribu kuwaza kama usingetoa ile mimba mtoto angekua na umri gani, wengine wametoa mimba zaidi ya tano.
"Mimi wakwangu angekua anatimiza mwezi mmoja saivi akiwa tumboni kwa mama yake"
Sasa iliyotungwa ni mimba apo au sentensiIlitolewa ikiwa haijatungwa?
Unasema tu wewe ooh!Regardless situations zitazotokea sitoshauri mimba itolewe au nimshauri atoe mimba. God forbids