Duh jamaa anasambaza mbegu tu.
Naunga mkono hoja yakoKama hauna hela ni bora ufe bila kuwa na mtoto kuliko kutengeneza chain ya umasikini kwenye kizazi chako
Inasikitisha sanaSema kuzaana ni kama upatu ,mtu anayeishi kwa tabu anazaa mwingine ili aje kuishi kwa tabu.
Mtoto akiwa mkubwa anaambiwa sasa unatakiwa kujitegemea ,hapa hana la kufanya kashaingia mkenge.
😁😁 Hujabadili maamuzi?Japo nilicomment kwenye huu uzi, narudia tena kuwapa tahadhari!
Jichanganye ulie kuliko huyo mtoto
Jichanganye uwe wa mfano 😄😄😁😁 Hujabadili maamuzi?