Acha uoga wa maishaUzazi ni gharama.. mimba zenyewe zinabagua vyakula, hazitaki wali dagaa 🤣
Hapo mtoto hajaja..
Acha uoga wa maisha
Changamka sasa.Ni wewe tu, niko tayari huu mwaka wa kumi sasa
Leo kesho...Changamka sasa.
MallerinaKama una tatizo la kiuchumi kwa muda mrefu jaribu kupata mtoto...
Mtoto anakuja na sahani yake mambo Yako yanaweza kufunguka. .......
Wa kwanza asipoleta pandikiza mwingine ..jaribu kuleta mwingine na mwingine na mwingine...
Thank me later
Cc: Kijana masikini and 100 others
Leo.Leo kesho...
Mtoto au watoto hawakuzui wewe kuwa tajiri bali kipato chako.Sawa Hamza
Mtoto au watoto hawakuzui wewe kuwa tajiri bali kipato chako.
Kuna watu wametajirika wakiwa na watoto wa 4.
Jiulize, una miaka mingapi unatafuta pesa? Tangu umetafuta pesa bila mtoto umefikisha hata milion 20 bank? Hapo utashangaa kuna mtu ana mke, anasomesha watoto 3 English medium na gari amenunua lkn wewe upo single tangu umeanza kutafuta pesa hauna hata gari kwanza unalia maisha magumu
Hii ndiyo shida ya watu wenye akili za kimasikini.Fungasha urudi kijijini Bestinaso
Kenya Development Budget of sh 4,791,772,950,556.28Kama una tatizo la kiuchumi kwa muda mrefu jaribu kupata mtoto...
Mtoto anakuja na sahani yake mambo Yako yanaweza kufunguka. .......
Wa kwanza asipoleta pandikiza mwingine ..jaribu kuleta mwingine na mwingine na mwingine...
Thank me later
Cc: Kijana masikini and 100 others
"Fungusha urudi kijijini Bestinaso"Hii ndiyo shida ya watu wenye akili za kimasikini.
Huko kijijini ndiyo wapi? Kuna watu wamezaliwa mjini hata kijijini hawapajui na wala hawajui lugha za kikabila zaidi ya Kiswahili, kiingereza na lugha zingine za dunia ya kwanza. Na wamezaliwa hapa hapa Tanzania
Umewahi kusikia kisa cha yule jamaa aliyewangulia kesi wazazi wake kwa shauri la kumzaa bila ridhaa yake huku wakijua hawana uhakika wa kumtunza?Hyo mwingine akileta mateso pata mwingien na mwingine na mwingine