Pole sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

May 3, 2019
53
144
*Pole sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete*

Kwa siku nne sasa kumekuwa na sintofahamu katika siasa za chama tawala Tanzania (CCM) baada ya kuvuja kwa mawasiliano ya simu kati ya Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Mtama Ndg. Nape Nnauye wakipanga mipango ya namna ya kutekeleza mkakati wa sambaza barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu Ndg. Kinana na Ndg. Yusuf Makamba kwa Baraza la Viongozi Wastaafu linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.

Barua hiyo imezua gumzo katika siasa za Tanzania kwa kudai mwanaharakati Cyprian Musiba anatumwa na viongozi wenye mamlaka makubwa na wenye kinga ili kuwachafua. Bila kificho barua hii inaonekana waziwazi kuwa inamtuhumu Rais John Pombe Magufuli.

Kwa namna mjadala unavyokwenda haina mashaka kuwa Ndg. Kinana na Kijana wake Nape wameonesha wazi kufanya hujuma dhidi ya uongozi wa sasa wa Rais John Magufuli.

Ni hujuma kwa sababu jambo walilolifanya halikuzingatia utaratibu wa Chama na dhamira yao imeonesha wazi kuwa ilikuwa kuzimwaga shutuma hizo hadharani ili kuibua hasira za wananchi hasa wana CCM dhidi ya uongozi.

Kwamba hawakutaka kuwasiliana na viongozi wa chama kwa utamaduni wa Chama bali kwa uharamia. Kwa vyovyote vile barua hiyo waliyoimwaga kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari walivyovichagua na ambavyo vimekuwa vikitoa kipaumbele kwa habari hasi dhidi ya Chama na Serikali ya Rais Magufuli haikuwa na nia njema.

Imekuwa ni aibu ya wazi na watu wana kiu ya kujua watatoka vipi kuonesha nyuso zao mbele ya Watanzania wenye mapenzi na kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Rais Magufuli na CCM inayoongozwa na Dk. John Magufuli akiwa Mwenyekiti wake.

Imekuwa mbaya zaidi siku mbili baadaye baada ya kuvuja kwa sauti zingine za Nape Nnauye akiongea na Mbunge wa Sengerema Mhe. William Ngeleja katika muktadha huo huo wa kuulalamikia uongozi wa chama na Serikali chini ya Rais Magufuli. Ni aibu nyingine kubwa kwa mazungumzo yale kuvuja. Ngeleja nae akionesha kuuponda uongozi wa Rais Magufuli na kushabikia barua iliyoandikwa na Ndg. Kinana na Ndg. Makamba.

Kuvuja kwa mazungumzo haya kumezua gumzo kubwa sana, na imeonekana wazi kumbe wapo viongozi wakubwa wanaoendesha mapambano ya kumhujumu Rais Magufuli na imeleta watu kuamini kuwa maneno yanayosemwa na Cyprian Musiba yana ukweli.

Kwa wengi waliofuatilia sakata hili wamepata ujumbe mmoja mkubwa kuwa hawa viongozi waliohusika wanaonekana kuwa wazoefu wa mchezo huu. Na kama ndivyo basi hawajaanza leo, wameanza zamani.

Wengi imewakumbusha mvurugano wa viongozi na madhara makubwa ambayo yalikipata Chama na Serikali wakati wa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Dk. Jakaya Kikwete.

Ndg. Kinana, Ndg. Makamba, Ndg. Nape na Ndg. Ngeleja wote walikuwa viongozi wakubwa walioshika nafasi za Katibu Mkuu wa CCM, Waziri, Mkuu wa Mkoa na Wajumbe wa vikao vikuu vya Chama yaani Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu.

Hawa ndio walikuwa miongoni mwa washauri muhimu wa Rais Mstaafu Kikwete. Na hawa ndio waliokuwa na ushawishi mkubwa hadi Rais Kikwete alipokabidhi madaraka.

Kwa tabia hii waliyoionesha ndio maana Serikali ya Awamu ya Nne ilijikuta ikikumbwa na kashfa mbalimbali, halikadhalika kashfa ndani ya CCM.

Ni wakati wao ambapo kulizuka kashfa zilizosababisha kujiuzulu Waziri Mkuu Edward Lowassa, kujiuzulu Mawaziri kwa sababu mbalimbali ambazo wengi tunazifahamu, kutukuzwa kwa ufisadi mkubwa wa ndani na nje ya chama, matumizi mabaya ya mali na fedha za chama na mwisho mwa uongozi wa Rais Mstaafu Kikwete kukatokea funga kazi ya tukio la aibu la wajumbe NEC kuimba wimbo wa “Tuna imani na Lowassa” kwa lengo la kushinikiza kikao kimpitishe Edward Lowassa kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa 2015, tena wakiimba mbele ya Mwenyekiti wao na wajumbe wa Kamati Kuu.

Kwa hivyo, leo kwa sauti hizi zinazoonesha uhaini wa hali ya juu na mipango michafu dhidi ya Rais Magufuli ni mwendelezo wa tabia zilezile za kuwepo makundi ya wana CCM ambao kazi yao ni kupika mikakati ovu ya kutimiza matakwa yao, lakini sasa wamekutana na kisiki cha mpingo WAMEUMBUKA.

Kwa hali hii Rais Mstaafu Kikwete anastahili kupewa pole nyingi sana kwa kuongoza nchi akiwa na watu ambao wanamsaliti kwa muda wote wa miaka kumi ya uongozi wake.

Ni watu aliowaamini lakini kumbe walikuwa na maslahi yao tofauti yaliyofanya Chama na Serikali kuchukiwa na wananchi. Yaliyosababisha hatari ya CCM kung’olewa madarakani mwaka 2015.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliofanya ukawa unatukanwa kila mahali kwamba wewe ni kiongozi dhaifu.

Pole sana Baba Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliojifanya wasaidizi wako kumbe waliandaa mpango wa kukuzomea kule Dodoma mbele ya waandishi wa habari wakitaka Lowassa awe Rais baada yako, kinyume na utaratibu wa chama.

Pole sana Mzee wetu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliosababisha wana CCM kuogopa kuvaa sare za CCM kwa kuhofu kupopolewa mawe na watu waliodai chama hiki kimechoka na kinapaswa kuondoka madarakani.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa kukaa na watu ambao walijifanya wema kwako kumbe wapigaji wakubwa. Na sasa wanaumbuka baada ya Rais Magufuli kuchukua hatua bila kumuonea haya mtu yeyote. Kuziba mianya ya wizi na upiga dili.

Pumzika Rais wetu Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa Watanzania wamejua kosa halikuwa lako na wamewajua waliokuwa wanakuhujumu na kuharibu mipango na malengo yako makubwa kwa ajili ya Tanzania.

Nawapongeza watu waliofanikisha kufichua mipango hii miovu dhidi ya nchi yetu. Kwa hakika wamefanya kazi nzuri sana kwa sababu angalau sasa Watanzania wanajua nani Kondoo na nani Chui.

Nawasihi wenye uwezo wa kiteknolojia ya kuwafichua watu wanaojifanya wana heshima kubwa, ama wazito ama wana uchungu na nchi hii kumbe maharamia wakubwa, waendelee kufanya hivyo ili nchi ibaki kuwa safi na Rais Magufuli na Serikali yake waachwe waendelee kufanya kazi nzuri wanayoendelea nayo.

Tunataka kuona reli sio tu ya kati bali pia ya kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma. Tunataka kuona umeme ukiwaka kila mahali, barabara za lami, maji ya kutosha, huduma za afya, elimu bora na kilimo kikikua na mengine mengi.

Tunataka kuona nidhamu ya Serikali inakuwepo na Watanzania wanapata huduma muhimu na sio kuwatukuza watu wachache wanaojiona wao ndio vigogo wa nchi na wana uwezo wa kufanya chochote.

Tunataka kuona chama kilichoachwa na Hayati Mwl. Nyerere, chama cha Watanzania wote, chama cha wafanyakazi na wakulima kinatekeleza hasa malengo yaliyokusudiwa na sio kuwa chama cha wapiga dili na kuwaomumiza wanyonge.

Mwisho niwatakie jioni njema.

Ni mimi Mzee Yusuf Makali Jumbe,
Naishi Kinondoni Dar es salaam
Leo tarehe 19.07.2019
 
*Pole sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete*

Kwa siku nne sasa kumekuwa na sintofahamu katika siasa za chama tawala Tanzania (CCM) baada ya kuvuja kwa mawasiliano ya simu kati ya Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Mtama Ndg. Nape Nnauye wakipanga mipango ya namna ya kutekeleza mkakati wa sambaza barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu Ndg. Kinana na Ndg. Yusuf Makamba kwa Baraza la Viongozi Wastaafu linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.

Barua hiyo imezua gumzo katika siasa za Tanzania kwa kudai mwanaharakati Cyprian Musiba anatumwa na viongozi wenye mamlaka makubwa na wenye kinga ili kuwachafua. Bila kificho barua hii inaonekana waziwazi kuwa inamtuhumu Rais John Pombe Magufuli.

Kwa namna mjadala unavyokwenda haina mashaka kuwa Ndg. Kinana na Kijana wake Nape wameonesha wazi kufanya hujuma dhidi ya uongozi wa sasa wa Rais John Magufuli.

Ni hujuma kwa sababu jambo walilolifanya halikuzingatia utaratibu wa Chama na dhamira yao imeonesha wazi kuwa ilikuwa kuzimwaga shutuma hizo hadharani ili kuibua hasira za wananchi hasa wana CCM dhidi ya uongozi.

Kwamba hawakutaka kuwasiliana na viongozi wa chama kwa utamaduni wa Chama bali kwa uharamia. Kwa vyovyote vile barua hiyo waliyoimwaga kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari walivyovichagua na ambavyo vimekuwa vikitoa kipaumbele kwa habari hasi dhidi ya Chama na Serikali ya Rais Magufuli haikuwa na nia njema.

Imekuwa ni aibu ya wazi na watu wana kiu ya kujua watatoka vipi kuonesha nyuso zao mbele ya Watanzania wenye mapenzi na kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Rais Magufuli na CCM inayoongozwa na Dk. John Magufuli akiwa Mwenyekiti wake.

Imekuwa mbaya zaidi siku mbili baadaye baada ya kuvuja kwa sauti zingine za Nape Nnauye akiongea na Mbunge wa Sengerema Mhe. William Ngeleja katika muktadha huo huo wa kuulalamikia uongozi wa chama na Serikali chini ya Rais Magufuli. Ni aibu nyingine kubwa kwa mazungumzo yale kuvuja. Ngeleja nae akionesha kuuponda uongozi wa Rais Magufuli na kushabikia barua iliyoandikwa na Ndg. Kinana na Ndg. Makamba.

Kuvuja kwa mazungumzo haya kumezua gumzo kubwa sana, na imeonekana wazi kumbe wapo viongozi wakubwa wanaoendesha mapambano ya kumhujumu Rais Magufuli na imeleta watu kuamini kuwa maneno yanayosemwa na Cyprian Musiba yana ukweli.

Kwa wengi waliofuatilia sakata hili wamepata ujumbe mmoja mkubwa kuwa hawa viongozi waliohusika wanaonekana kuwa wazoefu wa mchezo huu. Na kama ndivyo basi hawajaanza leo, wameanza zamani.

Wengi imewakumbusha mvurugano wa viongozi na madhara makubwa ambayo yalikipata Chama na Serikali wakati wa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Dk. Jakaya Kikwete.

Ndg. Kinana, Ndg. Makamba, Ndg. Nape na Ndg. Ngeleja wote walikuwa viongozi wakubwa walioshika nafasi za Katibu Mkuu wa CCM, Waziri, Mkuu wa Mkoa na Wajumbe wa vikao vikuu vya Chama yaani Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu.

Hawa ndio walikuwa miongoni mwa washauri muhimu wa Rais Mstaafu Kikwete. Na hawa ndio waliokuwa na ushawishi mkubwa hadi Rais Kikwete alipokabidhi madaraka.

Kwa tabia hii waliyoionesha ndio maana Serikali ya Awamu ya Nne ilijikuta ikikumbwa na kashfa mbalimbali, halikadhalika kashfa ndani ya CCM.

Ni wakati wao ambapo kulizuka kashfa zilizosababisha kujiuzulu Waziri Mkuu Edward Lowassa, kujiuzulu Mawaziri kwa sababu mbalimbali ambazo wengi tunazifahamu, kutukuzwa kwa ufisadi mkubwa wa ndani na nje ya chama, matumizi mabaya ya mali na fedha za chama na mwisho mwa uongozi wa Rais Mstaafu Kikwete kukatokea funga kazi ya tukio la aibu la wajumbe NEC kuimba wimbo wa “Tuna imani na Lowassa” kwa lengo la kushinikiza kikao kimpitishe Edward Lowassa kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa 2015, tena wakiimba mbele ya Mwenyekiti wao na wajumbe wa Kamati Kuu.

Kwa hivyo, leo kwa sauti hizi zinazoonesha uhaini wa hali ya juu na mipango michafu dhidi ya Rais Magufuli ni mwendelezo wa tabia zilezile za kuwepo makundi ya wana CCM ambao kazi yao ni kupika mikakati ovu ya kutimiza matakwa yao, lakini sasa wamekutana na kisiki cha mpingo WAMEUMBUKA.

Kwa hali hii Rais Mstaafu Kikwete anastahili kupewa pole nyingi sana kwa kuongoza nchi akiwa na watu ambao wanamsaliti kwa muda wote wa miaka kumi ya uongozi wake.

Ni watu aliowaamini lakini kumbe walikuwa na maslahi yao tofauti yaliyofanya Chama na Serikali kuchukiwa na wananchi. Yaliyosababisha hatari ya CCM kung’olewa madarakani mwaka 2015.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliofanya ukawa unatukanwa kila mahali kwamba wewe ni kiongozi dhaifu.

Pole sana Baba Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliojifanya wasaidizi wako kumbe waliandaa mpango wa kukuzomea kule Dodoma mbele ya waandishi wa habari wakitaka Lowassa awe Rais baada yako, kinyume na utaratibu wa chama.

Pole sana Mzee wetu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliosababisha wana CCM kuogopa kuvaa sare za CCM kwa kuhofu kupopolewa mawe na watu waliodai chama hiki kimechoka na kinapaswa kuondoka madarakani.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa kukaa na watu ambao walijifanya wema kwako kumbe wapigaji wakubwa. Na sasa wanaumbuka baada ya Rais Magufuli kuchukua hatua bila kumuonea haya mtu yeyote. Kuziba mianya ya wizi na upiga dili.

Pumzika Rais wetu Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa Watanzania wamejua kosa halikuwa lako na wamewajua waliokuwa wanakuhujumu na kuharibu mipango na malengo yako makubwa kwa ajili ya Tanzania.

Nawapongeza watu waliofanikisha kufichua mipango hii miovu dhidi ya nchi yetu. Kwa hakika wamefanya kazi nzuri sana kwa sababu angalau sasa Watanzania wanajua nani Kondoo na nani Chui.

Nawasihi wenye uwezo wa kiteknolojia ya kuwafichua watu wanaojifanya wana heshima kubwa, ama wazito ama wana uchungu na nchi hii kumbe maharamia wakubwa, waendelee kufanya hivyo ili nchi ibaki kuwa safi na Rais Magufuli na Serikali yake waachwe waendelee kufanya kazi nzuri wanayoendelea nayo.

Tunataka kuona reli sio tu ya kati bali pia ya kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma. Tunataka kuona umeme ukiwaka kila mahali, barabara za lami, maji ya kutosha, huduma za afya, elimu bora na kilimo kikikua na mengine mengi.

Tunataka kuona nidhamu ya Serikali inakuwepo na Watanzania wanapata huduma muhimu na sio kuwatukuza watu wachache wanaojiona wao ndio vigogo wa nchi na wana uwezo wa kufanya chochote.

Tunataka kuona chama kilichoachwa na Hayati Mwl. Nyerere, chama cha Watanzania wote, chama cha wafanyakazi na wakulima kinatekeleza hasa malengo yaliyokusudiwa na sio kuwa chama cha wapiga dili na kuwaomumiza wanyonge.

Mwisho niwatakie jioni njema.

Ni mimi Mzee Yusuf Makali Jumbe,
Naishi Kinondoni Dar es salaam
Leo tarehe 19.07.2019
Mkuu mnatuchosha na kujaza server ungeitisha press conference ili ueleweke au ungeenda bagamoyo kutoa pole.
 
*Pole sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete*

Kwa siku nne sasa kumekuwa na sintofahamu katika siasa za chama tawala Tanzania (CCM) baada ya kuvuja kwa mawasiliano ya simu kati ya Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Mtama Ndg. Nape Nnauye wakipanga mipango ya namna ya kutekeleza mkakati wa sambaza barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu Ndg. Kinana na Ndg. Yusuf Makamba kwa Baraza la Viongozi Wastaafu linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.

Barua hiyo imezua gumzo katika siasa za Tanzania kwa kudai mwanaharakati Cyprian Musiba anatumwa na viongozi wenye mamlaka makubwa na wenye kinga ili kuwachafua. Bila kificho barua hii inaonekana waziwazi kuwa inamtuhumu Rais John Pombe Magufuli.

Kwa namna mjadala unavyokwenda haina mashaka kuwa Ndg. Kinana na Kijana wake Nape wameonesha wazi kufanya hujuma dhidi ya uongozi wa sasa wa Rais John Magufuli.

Ni hujuma kwa sababu jambo walilolifanya halikuzingatia utaratibu wa Chama na dhamira yao imeonesha wazi kuwa ilikuwa kuzimwaga shutuma hizo hadharani ili kuibua hasira za wananchi hasa wana CCM dhidi ya uongozi.

Kwamba hawakutaka kuwasiliana na viongozi wa chama kwa utamaduni wa Chama bali kwa uharamia. Kwa vyovyote vile barua hiyo waliyoimwaga kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari walivyovichagua na ambavyo vimekuwa vikitoa kipaumbele kwa habari hasi dhidi ya Chama na Serikali ya Rais Magufuli haikuwa na nia njema.

Imekuwa ni aibu ya wazi na watu wana kiu ya kujua watatoka vipi kuonesha nyuso zao mbele ya Watanzania wenye mapenzi na kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Rais Magufuli na CCM inayoongozwa na Dk. John Magufuli akiwa Mwenyekiti wake.

Imekuwa mbaya zaidi siku mbili baadaye baada ya kuvuja kwa sauti zingine za Nape Nnauye akiongea na Mbunge wa Sengerema Mhe. William Ngeleja katika muktadha huo huo wa kuulalamikia uongozi wa chama na Serikali chini ya Rais Magufuli. Ni aibu nyingine kubwa kwa mazungumzo yale kuvuja. Ngeleja nae akionesha kuuponda uongozi wa Rais Magufuli na kushabikia barua iliyoandikwa na Ndg. Kinana na Ndg. Makamba.

Kuvuja kwa mazungumzo haya kumezua gumzo kubwa sana, na imeonekana wazi kumbe wapo viongozi wakubwa wanaoendesha mapambano ya kumhujumu Rais Magufuli na imeleta watu kuamini kuwa maneno yanayosemwa na Cyprian Musiba yana ukweli.

Kwa wengi waliofuatilia sakata hili wamepata ujumbe mmoja mkubwa kuwa hawa viongozi waliohusika wanaonekana kuwa wazoefu wa mchezo huu. Na kama ndivyo basi hawajaanza leo, wameanza zamani.

Wengi imewakumbusha mvurugano wa viongozi na madhara makubwa ambayo yalikipata Chama na Serikali wakati wa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Dk. Jakaya Kikwete.

Ndg. Kinana, Ndg. Makamba, Ndg. Nape na Ndg. Ngeleja wote walikuwa viongozi wakubwa walioshika nafasi za Katibu Mkuu wa CCM, Waziri, Mkuu wa Mkoa na Wajumbe wa vikao vikuu vya Chama yaani Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu.

Hawa ndio walikuwa miongoni mwa washauri muhimu wa Rais Mstaafu Kikwete. Na hawa ndio waliokuwa na ushawishi mkubwa hadi Rais Kikwete alipokabidhi madaraka.

Kwa tabia hii waliyoionesha ndio maana Serikali ya Awamu ya Nne ilijikuta ikikumbwa na kashfa mbalimbali, halikadhalika kashfa ndani ya CCM.

Ni wakati wao ambapo kulizuka kashfa zilizosababisha kujiuzulu Waziri Mkuu Edward Lowassa, kujiuzulu Mawaziri kwa sababu mbalimbali ambazo wengi tunazifahamu, kutukuzwa kwa ufisadi mkubwa wa ndani na nje ya chama, matumizi mabaya ya mali na fedha za chama na mwisho mwa uongozi wa Rais Mstaafu Kikwete kukatokea funga kazi ya tukio la aibu la wajumbe NEC kuimba wimbo wa “Tuna imani na Lowassa” kwa lengo la kushinikiza kikao kimpitishe Edward Lowassa kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa 2015, tena wakiimba mbele ya Mwenyekiti wao na wajumbe wa Kamati Kuu.

Kwa hivyo, leo kwa sauti hizi zinazoonesha uhaini wa hali ya juu na mipango michafu dhidi ya Rais Magufuli ni mwendelezo wa tabia zilezile za kuwepo makundi ya wana CCM ambao kazi yao ni kupika mikakati ovu ya kutimiza matakwa yao, lakini sasa wamekutana na kisiki cha mpingo WAMEUMBUKA.

Kwa hali hii Rais Mstaafu Kikwete anastahili kupewa pole nyingi sana kwa kuongoza nchi akiwa na watu ambao wanamsaliti kwa muda wote wa miaka kumi ya uongozi wake.

Ni watu aliowaamini lakini kumbe walikuwa na maslahi yao tofauti yaliyofanya Chama na Serikali kuchukiwa na wananchi. Yaliyosababisha hatari ya CCM kung’olewa madarakani mwaka 2015.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliofanya ukawa unatukanwa kila mahali kwamba wewe ni kiongozi dhaifu.

Pole sana Baba Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliojifanya wasaidizi wako kumbe waliandaa mpango wa kukuzomea kule Dodoma mbele ya waandishi wa habari wakitaka Lowassa awe Rais baada yako, kinyume na utaratibu wa chama.

Pole sana Mzee wetu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliosababisha wana CCM kuogopa kuvaa sare za CCM kwa kuhofu kupopolewa mawe na watu waliodai chama hiki kimechoka na kinapaswa kuondoka madarakani.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa kukaa na watu ambao walijifanya wema kwako kumbe wapigaji wakubwa. Na sasa wanaumbuka baada ya Rais Magufuli kuchukua hatua bila kumuonea haya mtu yeyote. Kuziba mianya ya wizi na upiga dili.

Pumzika Rais wetu Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa Watanzania wamejua kosa halikuwa lako na wamewajua waliokuwa wanakuhujumu na kuharibu mipango na malengo yako makubwa kwa ajili ya Tanzania.

Nawapongeza watu waliofanikisha kufichua mipango hii miovu dhidi ya nchi yetu. Kwa hakika wamefanya kazi nzuri sana kwa sababu angalau sasa Watanzania wanajua nani Kondoo na nani Chui.

Nawasihi wenye uwezo wa kiteknolojia ya kuwafichua watu wanaojifanya wana heshima kubwa, ama wazito ama wana uchungu na nchi hii kumbe maharamia wakubwa, waendelee kufanya hivyo ili nchi ibaki kuwa safi na Rais Magufuli na Serikali yake waachwe waendelee kufanya kazi nzuri wanayoendelea nayo.

Tunataka kuona reli sio tu ya kati bali pia ya kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma. Tunataka kuona umeme ukiwaka kila mahali, barabara za lami, maji ya kutosha, huduma za afya, elimu bora na kilimo kikikua na mengine mengi.

Tunataka kuona nidhamu ya Serikali inakuwepo na Watanzania wanapata huduma muhimu na sio kuwatukuza watu wachache wanaojiona wao ndio vigogo wa nchi na wana uwezo wa kufanya chochote.

Tunataka kuona chama kilichoachwa na Hayati Mwl. Nyerere, chama cha Watanzania wote, chama cha wafanyakazi na wakulima kinatekeleza hasa malengo yaliyokusudiwa na sio kuwa chama cha wapiga dili na kuwaomumiza wanyonge.

Mwisho niwatakie jioni njema.

Ni mimi Mzee Yusuf Makali Jumbe,
Naishi Kinondoni Dar es salaam
Leo tarehe 19.07.2019
duh..praiz timu bhana
 
*Pole sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete*

Kwa siku nne sasa kumekuwa na sintofahamu katika siasa za chama tawala Tanzania (CCM) baada ya kuvuja kwa mawasiliano ya simu kati ya Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Mtama Ndg. Nape Nnauye wakipanga mipango ya namna ya kutekeleza mkakati wa sambaza barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu Ndg. Kinana na Ndg. Yusuf Makamba kwa Baraza la Viongozi Wastaafu linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.

Barua hiyo imezua gumzo katika siasa za Tanzania kwa kudai mwanaharakati Cyprian Musiba anatumwa na viongozi wenye mamlaka makubwa na wenye kinga ili kuwachafua. Bila kificho barua hii inaonekana waziwazi kuwa inamtuhumu Rais John Pombe Magufuli.

Kwa namna mjadala unavyokwenda haina mashaka kuwa Ndg. Kinana na Kijana wake Nape wameonesha wazi kufanya hujuma dhidi ya uongozi wa sasa wa Rais John Magufuli.

Ni hujuma kwa sababu jambo walilolifanya halikuzingatia utaratibu wa Chama na dhamira yao imeonesha wazi kuwa ilikuwa kuzimwaga shutuma hizo hadharani ili kuibua hasira za wananchi hasa wana CCM dhidi ya uongozi.

Kwamba hawakutaka kuwasiliana na viongozi wa chama kwa utamaduni wa Chama bali kwa uharamia. Kwa vyovyote vile barua hiyo waliyoimwaga kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari walivyovichagua na ambavyo vimekuwa vikitoa kipaumbele kwa habari hasi dhidi ya Chama na Serikali ya Rais Magufuli haikuwa na nia njema.

Imekuwa ni aibu ya wazi na watu wana kiu ya kujua watatoka vipi kuonesha nyuso zao mbele ya Watanzania wenye mapenzi na kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Rais Magufuli na CCM inayoongozwa na Dk. John Magufuli akiwa Mwenyekiti wake.

Imekuwa mbaya zaidi siku mbili baadaye baada ya kuvuja kwa sauti zingine za Nape Nnauye akiongea na Mbunge wa Sengerema Mhe. William Ngeleja katika muktadha huo huo wa kuulalamikia uongozi wa chama na Serikali chini ya Rais Magufuli. Ni aibu nyingine kubwa kwa mazungumzo yale kuvuja. Ngeleja nae akionesha kuuponda uongozi wa Rais Magufuli na kushabikia barua iliyoandikwa na Ndg. Kinana na Ndg. Makamba.

Kuvuja kwa mazungumzo haya kumezua gumzo kubwa sana, na imeonekana wazi kumbe wapo viongozi wakubwa wanaoendesha mapambano ya kumhujumu Rais Magufuli na imeleta watu kuamini kuwa maneno yanayosemwa na Cyprian Musiba yana ukweli.

Kwa wengi waliofuatilia sakata hili wamepata ujumbe mmoja mkubwa kuwa hawa viongozi waliohusika wanaonekana kuwa wazoefu wa mchezo huu. Na kama ndivyo basi hawajaanza leo, wameanza zamani.

Wengi imewakumbusha mvurugano wa viongozi na madhara makubwa ambayo yalikipata Chama na Serikali wakati wa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Dk. Jakaya Kikwete.

Ndg. Kinana, Ndg. Makamba, Ndg. Nape na Ndg. Ngeleja wote walikuwa viongozi wakubwa walioshika nafasi za Katibu Mkuu wa CCM, Waziri, Mkuu wa Mkoa na Wajumbe wa vikao vikuu vya Chama yaani Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu.

Hawa ndio walikuwa miongoni mwa washauri muhimu wa Rais Mstaafu Kikwete. Na hawa ndio waliokuwa na ushawishi mkubwa hadi Rais Kikwete alipokabidhi madaraka.

Kwa tabia hii waliyoionesha ndio maana Serikali ya Awamu ya Nne ilijikuta ikikumbwa na kashfa mbalimbali, halikadhalika kashfa ndani ya CCM.

Ni wakati wao ambapo kulizuka kashfa zilizosababisha kujiuzulu Waziri Mkuu Edward Lowassa, kujiuzulu Mawaziri kwa sababu mbalimbali ambazo wengi tunazifahamu, kutukuzwa kwa ufisadi mkubwa wa ndani na nje ya chama, matumizi mabaya ya mali na fedha za chama na mwisho mwa uongozi wa Rais Mstaafu Kikwete kukatokea funga kazi ya tukio la aibu la wajumbe NEC kuimba wimbo wa “Tuna imani na Lowassa” kwa lengo la kushinikiza kikao kimpitishe Edward Lowassa kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa 2015, tena wakiimba mbele ya Mwenyekiti wao na wajumbe wa Kamati Kuu.

Kwa hivyo, leo kwa sauti hizi zinazoonesha uhaini wa hali ya juu na mipango michafu dhidi ya Rais Magufuli ni mwendelezo wa tabia zilezile za kuwepo makundi ya wana CCM ambao kazi yao ni kupika mikakati ovu ya kutimiza matakwa yao, lakini sasa wamekutana na kisiki cha mpingo WAMEUMBUKA.

Kwa hali hii Rais Mstaafu Kikwete anastahili kupewa pole nyingi sana kwa kuongoza nchi akiwa na watu ambao wanamsaliti kwa muda wote wa miaka kumi ya uongozi wake.

Ni watu aliowaamini lakini kumbe walikuwa na maslahi yao tofauti yaliyofanya Chama na Serikali kuchukiwa na wananchi. Yaliyosababisha hatari ya CCM kung’olewa madarakani mwaka 2015.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliofanya ukawa unatukanwa kila mahali kwamba wewe ni kiongozi dhaifu.

Pole sana Baba Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliojifanya wasaidizi wako kumbe waliandaa mpango wa kukuzomea kule Dodoma mbele ya waandishi wa habari wakitaka Lowassa awe Rais baada yako, kinyume na utaratibu wa chama.

Pole sana Mzee wetu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliosababisha wana CCM kuogopa kuvaa sare za CCM kwa kuhofu kupopolewa mawe na watu waliodai chama hiki kimechoka na kinapaswa kuondoka madarakani.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa kukaa na watu ambao walijifanya wema kwako kumbe wapigaji wakubwa. Na sasa wanaumbuka baada ya Rais Magufuli kuchukua hatua bila kumuonea haya mtu yeyote. Kuziba mianya ya wizi na upiga dili.

Pumzika Rais wetu Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa Watanzania wamejua kosa halikuwa lako na wamewajua waliokuwa wanakuhujumu na kuharibu mipango na malengo yako makubwa kwa ajili ya Tanzania.

Nawapongeza watu waliofanikisha kufichua mipango hii miovu dhidi ya nchi yetu. Kwa hakika wamefanya kazi nzuri sana kwa sababu angalau sasa Watanzania wanajua nani Kondoo na nani Chui.

Nawasihi wenye uwezo wa kiteknolojia ya kuwafichua watu wanaojifanya wana heshima kubwa, ama wazito ama wana uchungu na nchi hii kumbe maharamia wakubwa, waendelee kufanya hivyo ili nchi ibaki kuwa safi na Rais Magufuli na Serikali yake waachwe waendelee kufanya kazi nzuri wanayoendelea nayo.

Tunataka kuona reli sio tu ya kati bali pia ya kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma. Tunataka kuona umeme ukiwaka kila mahali, barabara za lami, maji ya kutosha, huduma za afya, elimu bora na kilimo kikikua na mengine mengi.

Tunataka kuona nidhamu ya Serikali inakuwepo na Watanzania wanapata huduma muhimu na sio kuwatukuza watu wachache wanaojiona wao ndio vigogo wa nchi na wana uwezo wa kufanya chochote.

Tunataka kuona chama kilichoachwa na Hayati Mwl. Nyerere, chama cha Watanzania wote, chama cha wafanyakazi na wakulima kinatekeleza hasa malengo yaliyokusudiwa na sio kuwa chama cha wapiga dili na kuwaomumiza wanyonge.

Mwisho niwatakie jioni njema.

Ni mimi Mzee Yusuf Makali Jumbe,
Naishi Kinondoni Dar es salaam
Leo tarehe 19.07.2019
Story ndefu imejaaa ujïnga mtupu
 
Ujinga huu, jpm amehujumiwa kwa lipi? Nani anaemkataza asitekeleze ilani?
 
Mzee
*Pole sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete*

Kwa siku nne sasa kumekuwa na sintofahamu katika siasa za chama tawala Tanzania (CCM) baada ya kuvuja kwa mawasiliano ya simu kati ya Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Mtama Ndg. Nape Nnauye wakipanga mipango ya namna ya kutekeleza mkakati wa sambaza barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu Ndg. Kinana na Ndg. Yusuf Makamba kwa Baraza la Viongozi Wastaafu linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.

Barua hiyo imezua gumzo katika siasa za Tanzania kwa kudai mwanaharakati Cyprian Musiba anatumwa na viongozi wenye mamlaka makubwa na wenye kinga ili kuwachafua. Bila kificho barua hii inaonekana waziwazi kuwa inamtuhumu Rais John Pombe Magufuli.

Kwa namna mjadala unavyokwenda haina mashaka kuwa Ndg. Kinana na Kijana wake Nape wameonesha wazi kufanya hujuma dhidi ya uongozi wa sasa wa Rais John Magufuli.

Ni hujuma kwa sababu jambo walilolifanya halikuzingatia utaratibu wa Chama na dhamira yao imeonesha wazi kuwa ilikuwa kuzimwaga shutuma hizo hadharani ili kuibua hasira za wananchi hasa wana CCM dhidi ya uongozi.

Kwamba hawakutaka kuwasiliana na viongozi wa chama kwa utamaduni wa Chama bali kwa uharamia. Kwa vyovyote vile barua hiyo waliyoimwaga kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari walivyovichagua na ambavyo vimekuwa vikitoa kipaumbele kwa habari hasi dhidi ya Chama na Serikali ya Rais Magufuli haikuwa na nia njema.

Imekuwa ni aibu ya wazi na watu wana kiu ya kujua watatoka vipi kuonesha nyuso zao mbele ya Watanzania wenye mapenzi na kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Rais Magufuli na CCM inayoongozwa na Dk. John Magufuli akiwa Mwenyekiti wake.

Imekuwa mbaya zaidi siku mbili baadaye baada ya kuvuja kwa sauti zingine za Nape Nnauye akiongea na Mbunge wa Sengerema Mhe. William Ngeleja katika muktadha huo huo wa kuulalamikia uongozi wa chama na Serikali chini ya Rais Magufuli. Ni aibu nyingine kubwa kwa mazungumzo yale kuvuja. Ngeleja nae akionesha kuuponda uongozi wa Rais Magufuli na kushabikia barua iliyoandikwa na Ndg. Kinana na Ndg. Makamba.

Kuvuja kwa mazungumzo haya kumezua gumzo kubwa sana, na imeonekana wazi kumbe wapo viongozi wakubwa wanaoendesha mapambano ya kumhujumu Rais Magufuli na imeleta watu kuamini kuwa maneno yanayosemwa na Cyprian Musiba yana ukweli.

Kwa wengi waliofuatilia sakata hili wamepata ujumbe mmoja mkubwa kuwa hawa viongozi waliohusika wanaonekana kuwa wazoefu wa mchezo huu. Na kama ndivyo basi hawajaanza leo, wameanza zamani.

Wengi imewakumbusha mvurugano wa viongozi na madhara makubwa ambayo yalikipata Chama na Serikali wakati wa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Dk. Jakaya Kikwete.

Ndg. Kinana, Ndg. Makamba, Ndg. Nape na Ndg. Ngeleja wote walikuwa viongozi wakubwa walioshika nafasi za Katibu Mkuu wa CCM, Waziri, Mkuu wa Mkoa na Wajumbe wa vikao vikuu vya Chama yaani Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu.

Hawa ndio walikuwa miongoni mwa washauri muhimu wa Rais Mstaafu Kikwete. Na hawa ndio waliokuwa na ushawishi mkubwa hadi Rais Kikwete alipokabidhi madaraka.

Kwa tabia hii waliyoionesha ndio maana Serikali ya Awamu ya Nne ilijikuta ikikumbwa na kashfa mbalimbali, halikadhalika kashfa ndani ya CCM.

Ni wakati wao ambapo kulizuka kashfa zilizosababisha kujiuzulu Waziri Mkuu Edward Lowassa, kujiuzulu Mawaziri kwa sababu mbalimbali ambazo wengi tunazifahamu, kutukuzwa kwa ufisadi mkubwa wa ndani na nje ya chama, matumizi mabaya ya mali na fedha za chama na mwisho mwa uongozi wa Rais Mstaafu Kikwete kukatokea funga kazi ya tukio la aibu la wajumbe NEC kuimba wimbo wa “Tuna imani na Lowassa” kwa lengo la kushinikiza kikao kimpitishe Edward Lowassa kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa 2015, tena wakiimba mbele ya Mwenyekiti wao na wajumbe wa Kamati Kuu.

Kwa hivyo, leo kwa sauti hizi zinazoonesha uhaini wa hali ya juu na mipango michafu dhidi ya Rais Magufuli ni mwendelezo wa tabia zilezile za kuwepo makundi ya wana CCM ambao kazi yao ni kupika mikakati ovu ya kutimiza matakwa yao, lakini sasa wamekutana na kisiki cha mpingo WAMEUMBUKA.

Kwa hali hii Rais Mstaafu Kikwete anastahili kupewa pole nyingi sana kwa kuongoza nchi akiwa na watu ambao wanamsaliti kwa muda wote wa miaka kumi ya uongozi wake.

Ni watu aliowaamini lakini kumbe walikuwa na maslahi yao tofauti yaliyofanya Chama na Serikali kuchukiwa na wananchi. Yaliyosababisha hatari ya CCM kung’olewa madarakani mwaka 2015.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliofanya ukawa unatukanwa kila mahali kwamba wewe ni kiongozi dhaifu.

Pole sana Baba Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliojifanya wasaidizi wako kumbe waliandaa mpango wa kukuzomea kule Dodoma mbele ya waandishi wa habari wakitaka Lowassa awe Rais baada yako, kinyume na utaratibu wa chama.

Pole sana Mzee wetu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliosababisha wana CCM kuogopa kuvaa sare za CCM kwa kuhofu kupopolewa mawe na watu waliodai chama hiki kimechoka na kinapaswa kuondoka madarakani.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa kukaa na watu ambao walijifanya wema kwako kumbe wapigaji wakubwa. Na sasa wanaumbuka baada ya Rais Magufuli kuchukua hatua bila kumuonea haya mtu yeyote. Kuziba mianya ya wizi na upiga dili.

Pumzika Rais wetu Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa Watanzania wamejua kosa halikuwa lako na wamewajua waliokuwa wanakuhujumu na kuharibu mipango na malengo yako makubwa kwa ajili ya Tanzania.

Nawapongeza watu waliofanikisha kufichua mipango hii miovu dhidi ya nchi yetu. Kwa hakika wamefanya kazi nzuri sana kwa sababu angalau sasa Watanzania wanajua nani Kondoo na nani Chui.

Nawasihi wenye uwezo wa kiteknolojia ya kuwafichua watu wanaojifanya wana heshima kubwa, ama wazito ama wana uchungu na nchi hii kumbe maharamia wakubwa, waendelee kufanya hivyo ili nchi ibaki kuwa safi na Rais Magufuli na Serikali yake waachwe waendelee kufanya kazi nzuri wanayoendelea nayo.

Tunataka kuona reli sio tu ya kati bali pia ya kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma. Tunataka kuona umeme ukiwaka kila mahali, barabara za lami, maji ya kutosha, huduma za afya, elimu bora na kilimo kikikua na mengine mengi.

Tunataka kuona nidhamu ya Serikali inakuwepo na Watanzania wanapata huduma muhimu na sio kuwatukuza watu wachache wanaojiona wao ndio vigogo wa nchi na wana uwezo wa kufanya chochote.

Tunataka kuona chama kilichoachwa na Hayati Mwl. Nyerere, chama cha Watanzania wote, chama cha wafanyakazi na wakulima kinatekeleza hasa malengo yaliyokusudiwa na sio kuwa chama cha wapiga dili na kuwaomumiza wanyonge.

Mwisho niwatakie jioni njema.

Ni mimi Mzee Yusuf Makali Jumbe,
Naishi Kinondoni Dar es salaam
Leo tarehe 19.07.2019

Mzee utakua umeishiwa sana aisee!! Umeamua kutoa pole yenye kurasa zote hizo!! We ni njaa itakuua siku ccm ikitoka madarakani
 
Mwam
*Pole sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete*

Kwa siku nne sasa kumekuwa na sintofahamu katika siasa za chama tawala Tanzania (CCM) baada ya kuvuja kwa mawasiliano ya simu kati ya Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Mtama Ndg. Nape Nnauye wakipanga mipango ya namna ya kutekeleza mkakati wa sambaza barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu Ndg. Kinana na Ndg. Yusuf Makamba kwa Baraza la Viongozi Wastaafu linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.

Barua hiyo imezua gumzo katika siasa za Tanzania kwa kudai mwanaharakati Cyprian Musiba anatumwa na viongozi wenye mamlaka makubwa na wenye kinga ili kuwachafua. Bila kificho barua hii inaonekana waziwazi kuwa inamtuhumu Rais John Pombe Magufuli.

Kwa namna mjadala unavyokwenda haina mashaka kuwa Ndg. Kinana na Kijana wake Nape wameonesha wazi kufanya hujuma dhidi ya uongozi wa sasa wa Rais John Magufuli.

Ni hujuma kwa sababu jambo walilolifanya halikuzingatia utaratibu wa Chama na dhamira yao imeonesha wazi kuwa ilikuwa kuzimwaga shutuma hizo hadharani ili kuibua hasira za wananchi hasa wana CCM dhidi ya uongozi.

Kwamba hawakutaka kuwasiliana na viongozi wa chama kwa utamaduni wa Chama bali kwa uharamia. Kwa vyovyote vile barua hiyo waliyoimwaga kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari walivyovichagua na ambavyo vimekuwa vikitoa kipaumbele kwa habari hasi dhidi ya Chama na Serikali ya Rais Magufuli haikuwa na nia njema.

Imekuwa ni aibu ya wazi na watu wana kiu ya kujua watatoka vipi kuonesha nyuso zao mbele ya Watanzania wenye mapenzi na kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Rais Magufuli na CCM inayoongozwa na Dk. John Magufuli akiwa Mwenyekiti wake.

Imekuwa mbaya zaidi siku mbili baadaye baada ya kuvuja kwa sauti zingine za Nape Nnauye akiongea na Mbunge wa Sengerema Mhe. William Ngeleja katika muktadha huo huo wa kuulalamikia uongozi wa chama na Serikali chini ya Rais Magufuli. Ni aibu nyingine kubwa kwa mazungumzo yale kuvuja. Ngeleja nae akionesha kuuponda uongozi wa Rais Magufuli na kushabikia barua iliyoandikwa na Ndg. Kinana na Ndg. Makamba.

Kuvuja kwa mazungumzo haya kumezua gumzo kubwa sana, na imeonekana wazi kumbe wapo viongozi wakubwa wanaoendesha mapambano ya kumhujumu Rais Magufuli na imeleta watu kuamini kuwa maneno yanayosemwa na Cyprian Musiba yana ukweli.

Kwa wengi waliofuatilia sakata hili wamepata ujumbe mmoja mkubwa kuwa hawa viongozi waliohusika wanaonekana kuwa wazoefu wa mchezo huu. Na kama ndivyo basi hawajaanza leo, wameanza zamani.

Wengi imewakumbusha mvurugano wa viongozi na madhara makubwa ambayo yalikipata Chama na Serikali wakati wa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Dk. Jakaya Kikwete.

Ndg. Kinana, Ndg. Makamba, Ndg. Nape na Ndg. Ngeleja wote walikuwa viongozi wakubwa walioshika nafasi za Katibu Mkuu wa CCM, Waziri, Mkuu wa Mkoa na Wajumbe wa vikao vikuu vya Chama yaani Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu.

Hawa ndio walikuwa miongoni mwa washauri muhimu wa Rais Mstaafu Kikwete. Na hawa ndio waliokuwa na ushawishi mkubwa hadi Rais Kikwete alipokabidhi madaraka.

Kwa tabia hii waliyoionesha ndio maana Serikali ya Awamu ya Nne ilijikuta ikikumbwa na kashfa mbalimbali, halikadhalika kashfa ndani ya CCM.

Ni wakati wao ambapo kulizuka kashfa zilizosababisha kujiuzulu Waziri Mkuu Edward Lowassa, kujiuzulu Mawaziri kwa sababu mbalimbali ambazo wengi tunazifahamu, kutukuzwa kwa ufisadi mkubwa wa ndani na nje ya chama, matumizi mabaya ya mali na fedha za chama na mwisho mwa uongozi wa Rais Mstaafu Kikwete kukatokea funga kazi ya tukio la aibu la wajumbe NEC kuimba wimbo wa “Tuna imani na Lowassa” kwa lengo la kushinikiza kikao kimpitishe Edward Lowassa kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa 2015, tena wakiimba mbele ya Mwenyekiti wao na wajumbe wa Kamati Kuu.

Kwa hivyo, leo kwa sauti hizi zinazoonesha uhaini wa hali ya juu na mipango michafu dhidi ya Rais Magufuli ni mwendelezo wa tabia zilezile za kuwepo makundi ya wana CCM ambao kazi yao ni kupika mikakati ovu ya kutimiza matakwa yao, lakini sasa wamekutana na kisiki cha mpingo WAMEUMBUKA.

Kwa hali hii Rais Mstaafu Kikwete anastahili kupewa pole nyingi sana kwa kuongoza nchi akiwa na watu ambao wanamsaliti kwa muda wote wa miaka kumi ya uongozi wake.

Ni watu aliowaamini lakini kumbe walikuwa na maslahi yao tofauti yaliyofanya Chama na Serikali kuchukiwa na wananchi. Yaliyosababisha hatari ya CCM kung’olewa madarakani mwaka 2015.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliofanya ukawa unatukanwa kila mahali kwamba wewe ni kiongozi dhaifu.

Pole sana Baba Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliojifanya wasaidizi wako kumbe waliandaa mpango wa kukuzomea kule Dodoma mbele ya waandishi wa habari wakitaka Lowassa awe Rais baada yako, kinyume na utaratibu wa chama.

Pole sana Mzee wetu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliosababisha wana CCM kuogopa kuvaa sare za CCM kwa kuhofu kupopolewa mawe na watu waliodai chama hiki kimechoka na kinapaswa kuondoka madarakani.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa kukaa na watu ambao walijifanya wema kwako kumbe wapigaji wakubwa. Na sasa wanaumbuka baada ya Rais Magufuli kuchukua hatua bila kumuonea haya mtu yeyote. Kuziba mianya ya wizi na upiga dili.

Pumzika Rais wetu Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa Watanzania wamejua kosa halikuwa lako na wamewajua waliokuwa wanakuhujumu na kuharibu mipango na malengo yako makubwa kwa ajili ya Tanzania.

Nawapongeza watu waliofanikisha kufichua mipango hii miovu dhidi ya nchi yetu. Kwa hakika wamefanya kazi nzuri sana kwa sababu angalau sasa Watanzania wanajua nani Kondoo na nani Chui.

Nawasihi wenye uwezo wa kiteknolojia ya kuwafichua watu wanaojifanya wana heshima kubwa, ama wazito ama wana uchungu na nchi hii kumbe maharamia wakubwa, waendelee kufanya hivyo ili nchi ibaki kuwa safi na Rais Magufuli na Serikali yake waachwe waendelee kufanya kazi nzuri wanayoendelea nayo.

Tunataka kuona reli sio tu ya kati bali pia ya kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma. Tunataka kuona umeme ukiwaka kila mahali, barabara za lami, maji ya kutosha, huduma za afya, elimu bora na kilimo kikikua na mengine mengi.

Tunataka kuona nidhamu ya Serikali inakuwepo na Watanzania wanapata huduma muhimu na sio kuwatukuza watu wachache wanaojiona wao ndio vigogo wa nchi na wana uwezo wa kufanya chochote.

Tunataka kuona chama kilichoachwa na Hayati Mwl. Nyerere, chama cha Watanzania wote, chama cha wafanyakazi na wakulima kinatekeleza hasa malengo yaliyokusudiwa na sio kuwa chama cha wapiga dili na kuwaomumiza wanyonge.

Mwisho niwatakie jioni njema.

Ni mimi Mzee Yusuf Makali Jumbe,
Naishi Kinondoni Dar es salaam
Leo tarehe 19.07.2019

Mwambieni pombe afuate katiba, uone kama kutakuwa na haya mambo! Afu aaxhe unafiki wake
 
*Pole sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete*

Kwa siku nne sasa kumekuwa na sintofahamu katika siasa za chama tawala Tanzania (CCM) baada ya kuvuja kwa mawasiliano ya simu kati ya Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Mtama Ndg. Nape Nnauye wakipanga mipango ya namna ya kutekeleza mkakati wa sambaza barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu Ndg. Kinana na Ndg. Yusuf Makamba kwa Baraza la Viongozi Wastaafu linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.

Barua hiyo imezua gumzo katika siasa za Tanzania kwa kudai mwanaharakati Cyprian Musiba anatumwa na viongozi wenye mamlaka makubwa na wenye kinga ili kuwachafua. Bila kificho barua hii inaonekana waziwazi kuwa inamtuhumu Rais John Pombe Magufuli.

Kwa namna mjadala unavyokwenda haina mashaka kuwa Ndg. Kinana na Kijana wake Nape wameonesha wazi kufanya hujuma dhidi ya uongozi wa sasa wa Rais John Magufuli.

Ni hujuma kwa sababu jambo walilolifanya halikuzingatia utaratibu wa Chama na dhamira yao imeonesha wazi kuwa ilikuwa kuzimwaga shutuma hizo hadharani ili kuibua hasira za wananchi hasa wana CCM dhidi ya uongozi.

Kwamba hawakutaka kuwasiliana na viongozi wa chama kwa utamaduni wa Chama bali kwa uharamia. Kwa vyovyote vile barua hiyo waliyoimwaga kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari walivyovichagua na ambavyo vimekuwa vikitoa kipaumbele kwa habari hasi dhidi ya Chama na Serikali ya Rais Magufuli haikuwa na nia njema.

Imekuwa ni aibu ya wazi na watu wana kiu ya kujua watatoka vipi kuonesha nyuso zao mbele ya Watanzania wenye mapenzi na kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Rais Magufuli na CCM inayoongozwa na Dk. John Magufuli akiwa Mwenyekiti wake.

Imekuwa mbaya zaidi siku mbili baadaye baada ya kuvuja kwa sauti zingine za Nape Nnauye akiongea na Mbunge wa Sengerema Mhe. William Ngeleja katika muktadha huo huo wa kuulalamikia uongozi wa chama na Serikali chini ya Rais Magufuli. Ni aibu nyingine kubwa kwa mazungumzo yale kuvuja. Ngeleja nae akionesha kuuponda uongozi wa Rais Magufuli na kushabikia barua iliyoandikwa na Ndg. Kinana na Ndg. Makamba.

Kuvuja kwa mazungumzo haya kumezua gumzo kubwa sana, na imeonekana wazi kumbe wapo viongozi wakubwa wanaoendesha mapambano ya kumhujumu Rais Magufuli na imeleta watu kuamini kuwa maneno yanayosemwa na Cyprian Musiba yana ukweli.

Kwa wengi waliofuatilia sakata hili wamepata ujumbe mmoja mkubwa kuwa hawa viongozi waliohusika wanaonekana kuwa wazoefu wa mchezo huu. Na kama ndivyo basi hawajaanza leo, wameanza zamani.

Wengi imewakumbusha mvurugano wa viongozi na madhara makubwa ambayo yalikipata Chama na Serikali wakati wa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Dk. Jakaya Kikwete.

Ndg. Kinana, Ndg. Makamba, Ndg. Nape na Ndg. Ngeleja wote walikuwa viongozi wakubwa walioshika nafasi za Katibu Mkuu wa CCM, Waziri, Mkuu wa Mkoa na Wajumbe wa vikao vikuu vya Chama yaani Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu.

Hawa ndio walikuwa miongoni mwa washauri muhimu wa Rais Mstaafu Kikwete. Na hawa ndio waliokuwa na ushawishi mkubwa hadi Rais Kikwete alipokabidhi madaraka.

Kwa tabia hii waliyoionesha ndio maana Serikali ya Awamu ya Nne ilijikuta ikikumbwa na kashfa mbalimbali, halikadhalika kashfa ndani ya CCM.

Ni wakati wao ambapo kulizuka kashfa zilizosababisha kujiuzulu Waziri Mkuu Edward Lowassa, kujiuzulu Mawaziri kwa sababu mbalimbali ambazo wengi tunazifahamu, kutukuzwa kwa ufisadi mkubwa wa ndani na nje ya chama, matumizi mabaya ya mali na fedha za chama na mwisho mwa uongozi wa Rais Mstaafu Kikwete kukatokea funga kazi ya tukio la aibu la wajumbe NEC kuimba wimbo wa “Tuna imani na Lowassa” kwa lengo la kushinikiza kikao kimpitishe Edward Lowassa kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa 2015, tena wakiimba mbele ya Mwenyekiti wao na wajumbe wa Kamati Kuu.

Kwa hivyo, leo kwa sauti hizi zinazoonesha uhaini wa hali ya juu na mipango michafu dhidi ya Rais Magufuli ni mwendelezo wa tabia zilezile za kuwepo makundi ya wana CCM ambao kazi yao ni kupika mikakati ovu ya kutimiza matakwa yao, lakini sasa wamekutana na kisiki cha mpingo WAMEUMBUKA.

Kwa hali hii Rais Mstaafu Kikwete anastahili kupewa pole nyingi sana kwa kuongoza nchi akiwa na watu ambao wanamsaliti kwa muda wote wa miaka kumi ya uongozi wake.

Ni watu aliowaamini lakini kumbe walikuwa na maslahi yao tofauti yaliyofanya Chama na Serikali kuchukiwa na wananchi. Yaliyosababisha hatari ya CCM kung’olewa madarakani mwaka 2015.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliofanya ukawa unatukanwa kila mahali kwamba wewe ni kiongozi dhaifu.

Pole sana Baba Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliojifanya wasaidizi wako kumbe waliandaa mpango wa kukuzomea kule Dodoma mbele ya waandishi wa habari wakitaka Lowassa awe Rais baada yako, kinyume na utaratibu wa chama.

Pole sana Mzee wetu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliosababisha wana CCM kuogopa kuvaa sare za CCM kwa kuhofu kupopolewa mawe na watu waliodai chama hiki kimechoka na kinapaswa kuondoka madarakani.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa kukaa na watu ambao walijifanya wema kwako kumbe wapigaji wakubwa. Na sasa wanaumbuka baada ya Rais Magufuli kuchukua hatua bila kumuonea haya mtu yeyote. Kuziba mianya ya wizi na upiga dili.

Pumzika Rais wetu Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa Watanzania wamejua kosa halikuwa lako na wamewajua waliokuwa wanakuhujumu na kuharibu mipango na malengo yako makubwa kwa ajili ya Tanzania.

Nawapongeza watu waliofanikisha kufichua mipango hii miovu dhidi ya nchi yetu. Kwa hakika wamefanya kazi nzuri sana kwa sababu angalau sasa Watanzania wanajua nani Kondoo na nani Chui.

Nawasihi wenye uwezo wa kiteknolojia ya kuwafichua watu wanaojifanya wana heshima kubwa, ama wazito ama wana uchungu na nchi hii kumbe maharamia wakubwa, waendelee kufanya hivyo ili nchi ibaki kuwa safi na Rais Magufuli na Serikali yake waachwe waendelee kufanya kazi nzuri wanayoendelea nayo.

Tunataka kuona reli sio tu ya kati bali pia ya kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma. Tunataka kuona umeme ukiwaka kila mahali, barabara za lami, maji ya kutosha, huduma za afya, elimu bora na kilimo kikikua na mengine mengi.

Tunataka kuona nidhamu ya Serikali inakuwepo na Watanzania wanapata huduma muhimu na sio kuwatukuza watu wachache wanaojiona wao ndio vigogo wa nchi na wana uwezo wa kufanya chochote.

Tunataka kuona chama kilichoachwa na Hayati Mwl. Nyerere, chama cha Watanzania wote, chama cha wafanyakazi na wakulima kinatekeleza hasa malengo yaliyokusudiwa na sio kuwa chama cha wapiga dili na kuwaomumiza wanyonge.

Mwisho niwatakie jioni njema.

Ni mimi Mzee Yusuf Makali Jumbe,
Naishi Kinondoni Dar es salaam
Leo tarehe 19.07.2019
Mm,siamini kwamba hawa watu walimsaliti Kikwete.Nasema hivyo kwa sababu watu hawa wanaendana na tabia ya Kikwete ya upigaji.Tofauti inayo onekana kati ya hawa watu na Magufuli,yaani akina Nape et al.ni kwa sababu hawaendani na tabia ya Magufuli ya uaminifu na kulipenda taifa lake,so they feel insecure.Hii inawalazimu kutumia kila mbinu chafu ili Magufuli either apunguze kasi,au aondoshwe madarakani.Kwa mantiki hiyo kumpa Kikwete pole is uncalled for,sana sana pole angepewa Magufuli.
 
*Pole sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete*

Kwa siku nne sasa kumekuwa na sintofahamu katika siasa za chama tawala Tanzania (CCM) baada ya kuvuja kwa mawasiliano ya simu kati ya Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Mtama Ndg. Nape Nnauye wakipanga mipango ya namna ya kutekeleza mkakati wa sambaza barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu Ndg. Kinana na Ndg. Yusuf Makamba kwa Baraza la Viongozi Wastaafu linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.

Barua hiyo imezua gumzo katika siasa za Tanzania kwa kudai mwanaharakati Cyprian Musiba anatumwa na viongozi wenye mamlaka makubwa na wenye kinga ili kuwachafua. Bila kificho barua hii inaonekana waziwazi kuwa inamtuhumu Rais John Pombe Magufuli.

Kwa namna mjadala unavyokwenda haina mashaka kuwa Ndg. Kinana na Kijana wake Nape wameonesha wazi kufanya hujuma dhidi ya uongozi wa sasa wa Rais John Magufuli.

Ni hujuma kwa sababu jambo walilolifanya halikuzingatia utaratibu wa Chama na dhamira yao imeonesha wazi kuwa ilikuwa kuzimwaga shutuma hizo hadharani ili kuibua hasira za wananchi hasa wana CCM dhidi ya uongozi.

Kwamba hawakutaka kuwasiliana na viongozi wa chama kwa utamaduni wa Chama bali kwa uharamia. Kwa vyovyote vile barua hiyo waliyoimwaga kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari walivyovichagua na ambavyo vimekuwa vikitoa kipaumbele kwa habari hasi dhidi ya Chama na Serikali ya Rais Magufuli haikuwa na nia njema.

Imekuwa ni aibu ya wazi na watu wana kiu ya kujua watatoka vipi kuonesha nyuso zao mbele ya Watanzania wenye mapenzi na kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Rais Magufuli na CCM inayoongozwa na Dk. John Magufuli akiwa Mwenyekiti wake.

Imekuwa mbaya zaidi siku mbili baadaye baada ya kuvuja kwa sauti zingine za Nape Nnauye akiongea na Mbunge wa Sengerema Mhe. William Ngeleja katika muktadha huo huo wa kuulalamikia uongozi wa chama na Serikali chini ya Rais Magufuli. Ni aibu nyingine kubwa kwa mazungumzo yale kuvuja. Ngeleja nae akionesha kuuponda uongozi wa Rais Magufuli na kushabikia barua iliyoandikwa na Ndg. Kinana na Ndg. Makamba.

Kuvuja kwa mazungumzo haya kumezua gumzo kubwa sana, na imeonekana wazi kumbe wapo viongozi wakubwa wanaoendesha mapambano ya kumhujumu Rais Magufuli na imeleta watu kuamini kuwa maneno yanayosemwa na Cyprian Musiba yana ukweli.

Kwa wengi waliofuatilia sakata hili wamepata ujumbe mmoja mkubwa kuwa hawa viongozi waliohusika wanaonekana kuwa wazoefu wa mchezo huu. Na kama ndivyo basi hawajaanza leo, wameanza zamani.

Wengi imewakumbusha mvurugano wa viongozi na madhara makubwa ambayo yalikipata Chama na Serikali wakati wa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Dk. Jakaya Kikwete.

Ndg. Kinana, Ndg. Makamba, Ndg. Nape na Ndg. Ngeleja wote walikuwa viongozi wakubwa walioshika nafasi za Katibu Mkuu wa CCM, Waziri, Mkuu wa Mkoa na Wajumbe wa vikao vikuu vya Chama yaani Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu.

Hawa ndio walikuwa miongoni mwa washauri muhimu wa Rais Mstaafu Kikwete. Na hawa ndio waliokuwa na ushawishi mkubwa hadi Rais Kikwete alipokabidhi madaraka.

Kwa tabia hii waliyoionesha ndio maana Serikali ya Awamu ya Nne ilijikuta ikikumbwa na kashfa mbalimbali, halikadhalika kashfa ndani ya CCM.

Ni wakati wao ambapo kulizuka kashfa zilizosababisha kujiuzulu Waziri Mkuu Edward Lowassa, kujiuzulu Mawaziri kwa sababu mbalimbali ambazo wengi tunazifahamu, kutukuzwa kwa ufisadi mkubwa wa ndani na nje ya chama, matumizi mabaya ya mali na fedha za chama na mwisho mwa uongozi wa Rais Mstaafu Kikwete kukatokea funga kazi ya tukio la aibu la wajumbe NEC kuimba wimbo wa “Tuna imani na Lowassa” kwa lengo la kushinikiza kikao kimpitishe Edward Lowassa kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa 2015, tena wakiimba mbele ya Mwenyekiti wao na wajumbe wa Kamati Kuu.

Kwa hivyo, leo kwa sauti hizi zinazoonesha uhaini wa hali ya juu na mipango michafu dhidi ya Rais Magufuli ni mwendelezo wa tabia zilezile za kuwepo makundi ya wana CCM ambao kazi yao ni kupika mikakati ovu ya kutimiza matakwa yao, lakini sasa wamekutana na kisiki cha mpingo WAMEUMBUKA.

Kwa hali hii Rais Mstaafu Kikwete anastahili kupewa pole nyingi sana kwa kuongoza nchi akiwa na watu ambao wanamsaliti kwa muda wote wa miaka kumi ya uongozi wake.

Ni watu aliowaamini lakini kumbe walikuwa na maslahi yao tofauti yaliyofanya Chama na Serikali kuchukiwa na wananchi. Yaliyosababisha hatari ya CCM kung’olewa madarakani mwaka 2015.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliofanya ukawa unatukanwa kila mahali kwamba wewe ni kiongozi dhaifu.

Pole sana Baba Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliojifanya wasaidizi wako kumbe waliandaa mpango wa kukuzomea kule Dodoma mbele ya waandishi wa habari wakitaka Lowassa awe Rais baada yako, kinyume na utaratibu wa chama.

Pole sana Mzee wetu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliosababisha wana CCM kuogopa kuvaa sare za CCM kwa kuhofu kupopolewa mawe na watu waliodai chama hiki kimechoka na kinapaswa kuondoka madarakani.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa kukaa na watu ambao walijifanya wema kwako kumbe wapigaji wakubwa. Na sasa wanaumbuka baada ya Rais Magufuli kuchukua hatua bila kumuonea haya mtu yeyote. Kuziba mianya ya wizi na upiga dili.

Pumzika Rais wetu Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa Watanzania wamejua kosa halikuwa lako na wamewajua waliokuwa wanakuhujumu na kuharibu mipango na malengo yako makubwa kwa ajili ya Tanzania.

Nawapongeza watu waliofanikisha kufichua mipango hii miovu dhidi ya nchi yetu. Kwa hakika wamefanya kazi nzuri sana kwa sababu angalau sasa Watanzania wanajua nani Kondoo na nani Chui.

Nawasihi wenye uwezo wa kiteknolojia ya kuwafichua watu wanaojifanya wana heshima kubwa, ama wazito ama wana uchungu na nchi hii kumbe maharamia wakubwa, waendelee kufanya hivyo ili nchi ibaki kuwa safi na Rais Magufuli na Serikali yake waachwe waendelee kufanya kazi nzuri wanayoendelea nayo.

Tunataka kuona reli sio tu ya kati bali pia ya kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma. Tunataka kuona umeme ukiwaka kila mahali, barabara za lami, maji ya kutosha, huduma za afya, elimu bora na kilimo kikikua na mengine mengi.

Tunataka kuona nidhamu ya Serikali inakuwepo na Watanzania wanapata huduma muhimu na sio kuwatukuza watu wachache wanaojiona wao ndio vigogo wa nchi na wana uwezo wa kufanya chochote.

Tunataka kuona chama kilichoachwa na Hayati Mwl. Nyerere, chama cha Watanzania wote, chama cha wafanyakazi na wakulima kinatekeleza hasa malengo yaliyokusudiwa na sio kuwa chama cha wapiga dili na kuwaomumiza wanyonge.

Mwisho niwatakie jioni njema.

Ni mimi Mzee Yusuf Makali Jumbe,
Naishi Kinondoni Dar es salaam
Leo tarehe 19.07.2019
Mkuu hii ni ndoo za crap au ulitokea mahali.
 
*Pole sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete*

Kwa siku nne sasa kumekuwa na sintofahamu katika siasa za chama tawala Tanzania (CCM) baada ya kuvuja kwa mawasiliano ya simu kati ya Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Mtama Ndg. Nape Nnauye wakipanga mipango ya namna ya kutekeleza mkakati wa sambaza barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu Ndg. Kinana na Ndg. Yusuf Makamba kwa Baraza la Viongozi Wastaafu linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.

Barua hiyo imezua gumzo katika siasa za Tanzania kwa kudai mwanaharakati Cyprian Musiba anatumwa na viongozi wenye mamlaka makubwa na wenye kinga ili kuwachafua. Bila kificho barua hii inaonekana waziwazi kuwa inamtuhumu Rais John Pombe Magufuli.

Kwa namna mjadala unavyokwenda haina mashaka kuwa Ndg. Kinana na Kijana wake Nape wameonesha wazi kufanya hujuma dhidi ya uongozi wa sasa wa Rais John Magufuli.

Ni hujuma kwa sababu jambo walilolifanya halikuzingatia utaratibu wa Chama na dhamira yao imeonesha wazi kuwa ilikuwa kuzimwaga shutuma hizo hadharani ili kuibua hasira za wananchi hasa wana CCM dhidi ya uongozi.

Kwamba hawakutaka kuwasiliana na viongozi wa chama kwa utamaduni wa Chama bali kwa uharamia. Kwa vyovyote vile barua hiyo waliyoimwaga kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari walivyovichagua na ambavyo vimekuwa vikitoa kipaumbele kwa habari hasi dhidi ya Chama na Serikali ya Rais Magufuli haikuwa na nia njema.

Imekuwa ni aibu ya wazi na watu wana kiu ya kujua watatoka vipi kuonesha nyuso zao mbele ya Watanzania wenye mapenzi na kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Rais Magufuli na CCM inayoongozwa na Dk. John Magufuli akiwa Mwenyekiti wake.

Imekuwa mbaya zaidi siku mbili baadaye baada ya kuvuja kwa sauti zingine za Nape Nnauye akiongea na Mbunge wa Sengerema Mhe. William Ngeleja katika muktadha huo huo wa kuulalamikia uongozi wa chama na Serikali chini ya Rais Magufuli. Ni aibu nyingine kubwa kwa mazungumzo yale kuvuja. Ngeleja nae akionesha kuuponda uongozi wa Rais Magufuli na kushabikia barua iliyoandikwa na Ndg. Kinana na Ndg. Makamba.

Kuvuja kwa mazungumzo haya kumezua gumzo kubwa sana, na imeonekana wazi kumbe wapo viongozi wakubwa wanaoendesha mapambano ya kumhujumu Rais Magufuli na imeleta watu kuamini kuwa maneno yanayosemwa na Cyprian Musiba yana ukweli.

Kwa wengi waliofuatilia sakata hili wamepata ujumbe mmoja mkubwa kuwa hawa viongozi waliohusika wanaonekana kuwa wazoefu wa mchezo huu. Na kama ndivyo basi hawajaanza leo, wameanza zamani.

Wengi imewakumbusha mvurugano wa viongozi na madhara makubwa ambayo yalikipata Chama na Serikali wakati wa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Dk. Jakaya Kikwete.

Ndg. Kinana, Ndg. Makamba, Ndg. Nape na Ndg. Ngeleja wote walikuwa viongozi wakubwa walioshika nafasi za Katibu Mkuu wa CCM, Waziri, Mkuu wa Mkoa na Wajumbe wa vikao vikuu vya Chama yaani Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu.

Hawa ndio walikuwa miongoni mwa washauri muhimu wa Rais Mstaafu Kikwete. Na hawa ndio waliokuwa na ushawishi mkubwa hadi Rais Kikwete alipokabidhi madaraka.

Kwa tabia hii waliyoionesha ndio maana Serikali ya Awamu ya Nne ilijikuta ikikumbwa na kashfa mbalimbali, halikadhalika kashfa ndani ya CCM.

Ni wakati wao ambapo kulizuka kashfa zilizosababisha kujiuzulu Waziri Mkuu Edward Lowassa, kujiuzulu Mawaziri kwa sababu mbalimbali ambazo wengi tunazifahamu, kutukuzwa kwa ufisadi mkubwa wa ndani na nje ya chama, matumizi mabaya ya mali na fedha za chama na mwisho mwa uongozi wa Rais Mstaafu Kikwete kukatokea funga kazi ya tukio la aibu la wajumbe NEC kuimba wimbo wa “Tuna imani na Lowassa” kwa lengo la kushinikiza kikao kimpitishe Edward Lowassa kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa 2015, tena wakiimba mbele ya Mwenyekiti wao na wajumbe wa Kamati Kuu.

Kwa hivyo, leo kwa sauti hizi zinazoonesha uhaini wa hali ya juu na mipango michafu dhidi ya Rais Magufuli ni mwendelezo wa tabia zilezile za kuwepo makundi ya wana CCM ambao kazi yao ni kupika mikakati ovu ya kutimiza matakwa yao, lakini sasa wamekutana na kisiki cha mpingo WAMEUMBUKA.

Kwa hali hii Rais Mstaafu Kikwete anastahili kupewa pole nyingi sana kwa kuongoza nchi akiwa na watu ambao wanamsaliti kwa muda wote wa miaka kumi ya uongozi wake.

Ni watu aliowaamini lakini kumbe walikuwa na maslahi yao tofauti yaliyofanya Chama na Serikali kuchukiwa na wananchi. Yaliyosababisha hatari ya CCM kung’olewa madarakani mwaka 2015.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliofanya ukawa unatukanwa kila mahali kwamba wewe ni kiongozi dhaifu.

Pole sana Baba Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliojifanya wasaidizi wako kumbe waliandaa mpango wa kukuzomea kule Dodoma mbele ya waandishi wa habari wakitaka Lowassa awe Rais baada yako, kinyume na utaratibu wa chama.

Pole sana Mzee wetu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliosababisha wana CCM kuogopa kuvaa sare za CCM kwa kuhofu kupopolewa mawe na watu waliodai chama hiki kimechoka na kinapaswa kuondoka madarakani.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa kukaa na watu ambao walijifanya wema kwako kumbe wapigaji wakubwa. Na sasa wanaumbuka baada ya Rais Magufuli kuchukua hatua bila kumuonea haya mtu yeyote. Kuziba mianya ya wizi na upiga dili.

Pumzika Rais wetu Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa Watanzania wamejua kosa halikuwa lako na wamewajua waliokuwa wanakuhujumu na kuharibu mipango na malengo yako makubwa kwa ajili ya Tanzania.

Nawapongeza watu waliofanikisha kufichua mipango hii miovu dhidi ya nchi yetu. Kwa hakika wamefanya kazi nzuri sana kwa sababu angalau sasa Watanzania wanajua nani Kondoo na nani Chui.

Nawasihi wenye uwezo wa kiteknolojia ya kuwafichua watu wanaojifanya wana heshima kubwa, ama wazito ama wana uchungu na nchi hii kumbe maharamia wakubwa, waendelee kufanya hivyo ili nchi ibaki kuwa safi na Rais Magufuli na Serikali yake waachwe waendelee kufanya kazi nzuri wanayoendelea nayo.

Tunataka kuona reli sio tu ya kati bali pia ya kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma. Tunataka kuona umeme ukiwaka kila mahali, barabara za lami, maji ya kutosha, huduma za afya, elimu bora na kilimo kikikua na mengine mengi.

Tunataka kuona nidhamu ya Serikali inakuwepo na Watanzania wanapata huduma muhimu na sio kuwatukuza watu wachache wanaojiona wao ndio vigogo wa nchi na wana uwezo wa kufanya chochote.

Tunataka kuona chama kilichoachwa na Hayati Mwl. Nyerere, chama cha Watanzania wote, chama cha wafanyakazi na wakulima kinatekeleza hasa malengo yaliyokusudiwa na sio kuwa chama cha wapiga dili na kuwaomumiza wanyonge.

Mwisho niwatakie jioni njema.

Ni mimi Mzee Yusuf Makali Jumbe,
Naishi Kinondoni Dar es salaam
Leo tarehe 19.07.2019

Ndefu sana, siwezi soma ujinga hasa baada ya kuona maneno “serikali ya jiwe inafanya vizuri”
 
*Pole sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete*

Kwa siku nne sasa kumekuwa na sintofahamu katika siasa za chama tawala Tanzania (CCM) baada ya kuvuja kwa mawasiliano ya simu kati ya Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana na Mbunge wa Mtama Ndg. Nape Nnauye wakipanga mipango ya namna ya kutekeleza mkakati wa sambaza barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu Ndg. Kinana na Ndg. Yusuf Makamba kwa Baraza la Viongozi Wastaafu linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.

Barua hiyo imezua gumzo katika siasa za Tanzania kwa kudai mwanaharakati Cyprian Musiba anatumwa na viongozi wenye mamlaka makubwa na wenye kinga ili kuwachafua. Bila kificho barua hii inaonekana waziwazi kuwa inamtuhumu Rais John Pombe Magufuli.

Kwa namna mjadala unavyokwenda haina mashaka kuwa Ndg. Kinana na Kijana wake Nape wameonesha wazi kufanya hujuma dhidi ya uongozi wa sasa wa Rais John Magufuli.

Ni hujuma kwa sababu jambo walilolifanya halikuzingatia utaratibu wa Chama na dhamira yao imeonesha wazi kuwa ilikuwa kuzimwaga shutuma hizo hadharani ili kuibua hasira za wananchi hasa wana CCM dhidi ya uongozi.

Kwamba hawakutaka kuwasiliana na viongozi wa chama kwa utamaduni wa Chama bali kwa uharamia. Kwa vyovyote vile barua hiyo waliyoimwaga kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari walivyovichagua na ambavyo vimekuwa vikitoa kipaumbele kwa habari hasi dhidi ya Chama na Serikali ya Rais Magufuli haikuwa na nia njema.

Imekuwa ni aibu ya wazi na watu wana kiu ya kujua watatoka vipi kuonesha nyuso zao mbele ya Watanzania wenye mapenzi na kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Rais Magufuli na CCM inayoongozwa na Dk. John Magufuli akiwa Mwenyekiti wake.

Imekuwa mbaya zaidi siku mbili baadaye baada ya kuvuja kwa sauti zingine za Nape Nnauye akiongea na Mbunge wa Sengerema Mhe. William Ngeleja katika muktadha huo huo wa kuulalamikia uongozi wa chama na Serikali chini ya Rais Magufuli. Ni aibu nyingine kubwa kwa mazungumzo yale kuvuja. Ngeleja nae akionesha kuuponda uongozi wa Rais Magufuli na kushabikia barua iliyoandikwa na Ndg. Kinana na Ndg. Makamba.

Kuvuja kwa mazungumzo haya kumezua gumzo kubwa sana, na imeonekana wazi kumbe wapo viongozi wakubwa wanaoendesha mapambano ya kumhujumu Rais Magufuli na imeleta watu kuamini kuwa maneno yanayosemwa na Cyprian Musiba yana ukweli.

Kwa wengi waliofuatilia sakata hili wamepata ujumbe mmoja mkubwa kuwa hawa viongozi waliohusika wanaonekana kuwa wazoefu wa mchezo huu. Na kama ndivyo basi hawajaanza leo, wameanza zamani.

Wengi imewakumbusha mvurugano wa viongozi na madhara makubwa ambayo yalikipata Chama na Serikali wakati wa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Dk. Jakaya Kikwete.

Ndg. Kinana, Ndg. Makamba, Ndg. Nape na Ndg. Ngeleja wote walikuwa viongozi wakubwa walioshika nafasi za Katibu Mkuu wa CCM, Waziri, Mkuu wa Mkoa na Wajumbe wa vikao vikuu vya Chama yaani Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu.

Hawa ndio walikuwa miongoni mwa washauri muhimu wa Rais Mstaafu Kikwete. Na hawa ndio waliokuwa na ushawishi mkubwa hadi Rais Kikwete alipokabidhi madaraka.

Kwa tabia hii waliyoionesha ndio maana Serikali ya Awamu ya Nne ilijikuta ikikumbwa na kashfa mbalimbali, halikadhalika kashfa ndani ya CCM.

Ni wakati wao ambapo kulizuka kashfa zilizosababisha kujiuzulu Waziri Mkuu Edward Lowassa, kujiuzulu Mawaziri kwa sababu mbalimbali ambazo wengi tunazifahamu, kutukuzwa kwa ufisadi mkubwa wa ndani na nje ya chama, matumizi mabaya ya mali na fedha za chama na mwisho mwa uongozi wa Rais Mstaafu Kikwete kukatokea funga kazi ya tukio la aibu la wajumbe NEC kuimba wimbo wa “Tuna imani na Lowassa” kwa lengo la kushinikiza kikao kimpitishe Edward Lowassa kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa 2015, tena wakiimba mbele ya Mwenyekiti wao na wajumbe wa Kamati Kuu.

Kwa hivyo, leo kwa sauti hizi zinazoonesha uhaini wa hali ya juu na mipango michafu dhidi ya Rais Magufuli ni mwendelezo wa tabia zilezile za kuwepo makundi ya wana CCM ambao kazi yao ni kupika mikakati ovu ya kutimiza matakwa yao, lakini sasa wamekutana na kisiki cha mpingo WAMEUMBUKA.

Kwa hali hii Rais Mstaafu Kikwete anastahili kupewa pole nyingi sana kwa kuongoza nchi akiwa na watu ambao wanamsaliti kwa muda wote wa miaka kumi ya uongozi wake.

Ni watu aliowaamini lakini kumbe walikuwa na maslahi yao tofauti yaliyofanya Chama na Serikali kuchukiwa na wananchi. Yaliyosababisha hatari ya CCM kung’olewa madarakani mwaka 2015.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliofanya ukawa unatukanwa kila mahali kwamba wewe ni kiongozi dhaifu.

Pole sana Baba Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliojifanya wasaidizi wako kumbe waliandaa mpango wa kukuzomea kule Dodoma mbele ya waandishi wa habari wakitaka Lowassa awe Rais baada yako, kinyume na utaratibu wa chama.

Pole sana Mzee wetu Kikwete kwa sababu sasa tumewajua waliosababisha wana CCM kuogopa kuvaa sare za CCM kwa kuhofu kupopolewa mawe na watu waliodai chama hiki kimechoka na kinapaswa kuondoka madarakani.

Pole sana Rais Mstaafu Kikwete kwa kukaa na watu ambao walijifanya wema kwako kumbe wapigaji wakubwa. Na sasa wanaumbuka baada ya Rais Magufuli kuchukua hatua bila kumuonea haya mtu yeyote. Kuziba mianya ya wizi na upiga dili.

Pumzika Rais wetu Mstaafu Kikwete kwa sababu sasa Watanzania wamejua kosa halikuwa lako na wamewajua waliokuwa wanakuhujumu na kuharibu mipango na malengo yako makubwa kwa ajili ya Tanzania.

Nawapongeza watu waliofanikisha kufichua mipango hii miovu dhidi ya nchi yetu. Kwa hakika wamefanya kazi nzuri sana kwa sababu angalau sasa Watanzania wanajua nani Kondoo na nani Chui.

Nawasihi wenye uwezo wa kiteknolojia ya kuwafichua watu wanaojifanya wana heshima kubwa, ama wazito ama wana uchungu na nchi hii kumbe maharamia wakubwa, waendelee kufanya hivyo ili nchi ibaki kuwa safi na Rais Magufuli na Serikali yake waachwe waendelee kufanya kazi nzuri wanayoendelea nayo.

Tunataka kuona reli sio tu ya kati bali pia ya kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma. Tunataka kuona umeme ukiwaka kila mahali, barabara za lami, maji ya kutosha, huduma za afya, elimu bora na kilimo kikikua na mengine mengi.

Tunataka kuona nidhamu ya Serikali inakuwepo na Watanzania wanapata huduma muhimu na sio kuwatukuza watu wachache wanaojiona wao ndio vigogo wa nchi na wana uwezo wa kufanya chochote.

Tunataka kuona chama kilichoachwa na Hayati Mwl. Nyerere, chama cha Watanzania wote, chama cha wafanyakazi na wakulima kinatekeleza hasa malengo yaliyokusudiwa na sio kuwa chama cha wapiga dili na kuwaomumiza wanyonge.

Mwisho niwatakie jioni njema.

Ni mimi Mzee Yusuf Makali Jumbe,
Naishi Kinondoni Dar es salaam
Leo tarehe 19.07.2019
Sijaona namba ya simu mkuu vp
 
Mm,siamini kwamba hawa watu walimsaliti Kikwete.Nasema hivyo kwa sababu watu hawa wanaendana na tabia ya Kikwete ya upigaji.Tofauti inayo onekana kati ya hawa watu na Magufuli,yaani akina Nape et al.ni kwa sababu hawaendani na tabia ya Magufuli ya uaminifu na kulipenda taifa lake,so they feel insecure.Hii inawalazimu kutumia kila mbinu chafu ili Magufuli either apunguze kasi,au aondoshwe madarakani.Kwa mantiki hiyo kumpa Kikwete pole is uncalled for,sana sana pole angepewa Magufuli.

Unakosea unaposema jiwe analipenda taifa lake, huyu ndiye anayeleta umasikiji na mgawanyiko wa taifa hili. Inaweza kuwa wewe bado hayajakukuta lakini siku yakikukuta utamjua mchawi wa taifa hili ni nani. Kawaulize wale wa korosho na huu ni mfano mdogo tu
 
Unakosea unaposema jiwe analipenda taifa lake, huyu ndiye anayeleta umasikiji na mgawanyiko wa taifa hili. Inaweza kuwa wewe bado hayajakukuta lakini siku yakikukuta utamjua mchawi wa taifa hili ni nani. Kawaulize wale wa korosho na huu ni mfano mdogo tu
Akina Kinana,Nape na Membe tuwaiteje sasa mkuu.
 
Back
Top Bottom