January Makamba naamini amepata cha kujifunza

January Makamba naamini amepata cha kujifunza

Binadamu ndivyo tulivyo, mtu akifanya kazi yake eti kajipendekeza, January ana malengo yake na wala siyo uwaziri mkuu,,, acha kuanzisha mada za kiumbea na zisizo na msingi kwa nchi yetu

Wapi tayari kaukosa ndio mnajitetea wakati alishasema sasa leo nafikiri panadol zinamuhusu kiherere cio mtu
 
duh..
JANUARY TULIA JOB YA UWAZIRI MKUU NI MAAJALIWA YA MOLA ZANZIBAR KWANZA POMBE SI SULUHU
 
Kwenye Maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.

Nampa pole January Makamba, asubirie Uwaziri tu lakini sio Uwaziri Mkuu.

Wahenga wasema, kukaa karibu na Mahakama sio kujua sheria.

Acheni unafiki kwan aliwaambia kwa ajili ya chama chake ili awe waziri mkuu!! kwa hiyo kina msigwa, kingunge, mbatia, mbowe, sumaye walikuwa wanapigania chadema ili wapewe uwaziri mkuu
 
Ili iweje????

Kuandaliwa kwa mambo yajayo. Mumzoee kwenye uwanja wa mapambano ya kisiasa akija kutokea next time mseme "Huyu atakua mzoefu si alipiganiaga a, b, na c?" kama kawaida ta Mtanzania
 
Tunakunywa POMBE, tukigombana tunafanya SULUHU tunategemea MAJAALIWA ya Mola baada ya hapo tunaenda JOB

Ingependeza kama ingekaa hi I: tunapiga JOB, tukimaliza tunakunywa POMBE, tukizinguana huko tunatafuta SULUHU, kwa MAJAALIWA ya Mungu kila kitu kinaenda sawa Kisha tuna TULIA na kujipanga upya.
 
Kwenye Maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.

Nampa pole January Makamba, asubirie Uwaziri tu lakini sio Uwaziri Mkuu.

Wahenga wasema, kukaa karibu na Mahakama sio kujua sheria.

Dah! Uso wake unesomeka
 
Binadamu ndivyo tulivyo, mtu akifanya kazi yake eti kajipendekeza, January ana malengo yake na wala siyo uwaziri mkuu,,, acha kuanzisha mada za kiumbea na zisizo na msingi kwa nchi yetu

Eti nchi yetu! Nchi hii si ya kwako usiwe kana January
 
January Makamba Hakuwa Anajipendekeza Alikuwa Anatimiza Wajibu Ndani Ya Chama Na Ukizingatia Yeye Ni Kijana Ndani Ya Chama,mrithi Wa Nafasi Zitakazoachwa Ndani Ya Chama,he Must Prove He Is Worth To Be Given Those Positions.Hata Wakina Lowassa Walitumikia Hivohivo Ndani Ya Chama Enzi Za Ujana Wao...
 
Binadamu ndivyo tulivyo, mtu akifanya kazi yake eti kajipendekeza, January ana malengo yake na wala siyo uwaziri mkuu,,, acha kuanzisha mada za kiumbea na zisizo na msingi kwa nchi yetu

si kila lengo hutimia mkuu
 
Japo siipendi CCM ila ndio ukweli wenyewe, watu wepesi sana kusahau kuwa siasa ni mipango,Makamba hakuwa na uwezo wa kuwa PM kwa sasa hata kwenye mawazo yangu binafsi hakuwa kwenye list.

We Mgogo, nchii hii lolote linawezekana hata kuku akionyesha usanii wa kutosha anaweza kuwa mkuu wa pipote hapa
 
Back
Top Bottom