January Makamba na blog yake

Status
Not open for further replies.
Friday, November 28, 2008
Language in this Blog
Watu kadhaa wamenitumia email kuuliza kwanini natumia Kiingereza kuandika kwenye blog hii wakati "lugha ya taifa" ni Kiswahili. Concept ya "lugha ya taifa" tunaweza kuijadili hadi asubuhi. Kwa kifupi, hapa ni ruksa kutumia Kiswahili au Kiingereza. Binafsi napenda kutumia Kiingereza kwasababu nadhani Kiswahili nakifahamu chote ila Kiingereza ni lugha ngeni kwangu kwahiyo napenda kuifanyia mazoezi zaidi lugha hii ngeni. And the only way to acquire proficiency kwenye lugha ni kuitumia mara kwa mara.


And my sense ni kwamba mtu yoyote ambaye ameweza ku-navigate the web mpaka akafika kwenye blog hii certainly atakuwa anaelewe lugha ya Kiingereza.
Posted by January Makamba at 5:10 PM 2 comments


Hilo ndio jibu alolotoa katika swali kuhusu utumiaji wa Kiingereza....


Kama msomi hatakiwi kusema anadhani ,anatakiwa kusema takwimu inaonyesha kuwa asilimia fulani ya walengwa wake wanaweza kusoma kingereza anachoandika.
Kama watanzania ndio walengwa wake je ni watanzania wangapi licha ya kujua kingereza wako competent enough kujadilia point zao nzuri ktk lugha hii ya kigeni.
Mimi nilichogundua ni kuwa kuna muda unapunguza kasi na ukali wa michango unapotumia lugha za kigeni ijapokuwa kuna kipindi baadhi ya misamiati ya lugha hii ya kigeni inaweka mkazo mzuri kwa mtu aneyefahamu.

Madai yake ya kutumia lugha hii ktk kujifunza zaidi kingereza kwa hiyo anataka kusema mission yake ktk kuanzisha blog hiyo ni kukuza kingereza chake.

Halafu kuna kitu kinatakiwa kutoka kwa watu kuwa kingereza si ndio ubora point ,ni lugha kama lugha zingine hata machizi waliozaliwa kwenye nchi zinazozungumza kingereza wanazungumza hiyo lugha ,hata mambumbu walifika grade school wanaweza kuandiaka nakuchangua kwenye hiyo blog .
Lack of self-esteem and defensive mechanism inawezekana kufanya kutumia lugha hivyo.
 
Posted by January Makamba 2 comments

Friday, November 28, 2008

Language in this Blog
Watu kadhaa wamenitumia email kuuliza kwanini natumia Kiingereza kuandika kwenye blog hii wakati "lugha ya taifa" ni Kiswahili. Concept ya "lugha ya taifa" tunaweza kuijadili hadi asubuhi. Kwa kifupi, hapa ni ruksa kutumia Kiswahili au Kiingereza. Binafsi napenda kutumia Kiingereza kwasababu nadhani Kiswahili nakifahamu chote ila Kiingereza ni lugha ngeni kwangu kwahiyo napenda kuifanyia mazoezi zaidi lugha hii ngeni. And the only way to acquire proficiency kwenye lugha ni kuitumia mara kwa mara.

And my sense ni kwamba mtu yoyote ambaye ameweza ku-navigate the web mpaka akafika kwenye blog hii certainly atakuwa anaelewe lugha ya Kiingereza.

Mwangalieni msaidizi wa Rais (kama ni kweli ) anasema Kiswahili anakijua chote!

Wakati hawezi kuandika sentensi ya Kiswahili bila msaada wa lugha ya Malkia!

Eti Kiswahili anakijua chote. Duuuh! Hata Shaaban Robert na William Shakespeare wasingeweza kusema Kiswahili na Kiingereza wanavijua vyote mtawalia.

Mtu anaeandika Kiswa-nglish hajui lugha zote mbili, Kiswahili wala Kiingereza!

Na hawezi kusema anachomeka Kiingereza kwenye Kiswahili ili kujifunza Kiingereza, maana huwezi kujifunza Kiswa-, wala -Nglishi, kwa kufanyia mazoezi Kiswa-nglish.

Huyu ni msaidizi wa Rais, mwandika hotuba za nchi ? Nilitegemea awe makini na anachoropoka!

Na wewe Pundit uliyesema unakubaliana kabisa na Makamba, tena unasema kaiga maneno yako, ina maana na wewe unajua Kiswahili chote, sio ? Basi kuanzia leo ukiamua kuandika Kiswahili sitegemei kuona unachomekea vimaneno vya Malkia.
 
Na nyie mbona mmembea bango sana huyu bwana mdogo, hebu chambueni yale anayoyaandika, ahaa! Mwishowe mtaonekana nyie ndio mnaboa kuliko yeye!
 
Na nyie mbona mmembea bango sana huyu bwana mdogo, hebu chambueni yale anayoyaandika, ahaa! Mwishowe mtaonekana nyie ndio mnaboa kuliko yeye!

Kitila,

Kama ninavyosema kila siku, linaloandikwa na linavyoandikwa ni pande mbili za shilingi moja hiyo hiyo. Ukiandika pointi nzuri fyongo unaweza kusababisha watu wasikuelewe au credibility yako kuwa chini.

Bwana Makamba anataka kwenda na wakati na kuonyesha initiative ya ku blog na ku data-mine katika nchi isiyo na polls, sawa.Afanye hivyo sawa sawa basi, apeleke hiyo drive Ikulu watu wa Ikulu watengeneze website yao, akitoka hapo a blog vitu vinavyoeleweka.

Sio kutuletea caricatures za "vipi kama tukiwa madikteta?" Haya ni maswali ambayo sisi hapa JF tunaweza kuuliza, yeye mtu wa serikali anatakiwa achukie hata harufu ya udikteta let alone ku discuss.Nakwambia ingekuwa Scott McClellan au any White House aide ameandika utumbo huu katika private blog yake ungeona furor ambayo ingetokea hapo, ungeona newspaper articles na TV coverage wiki nzima mpaka angeomba msamaha au hata kukosa kitumbua chake.

Lakini bongo anapeta, kwa sababu hatuna press.Hata sie tunaojua madhara ya udikteta tumekaa kimya.Hatujui kama ana muse tu kama anavyojidai au katumwa na mkulu kupima joto vipi kama anataka kuwa dikteta.

One does not need to know dictatorship firsthand, one has only to familiarize himself with the works of Solzhenitsyn to be horrified beyond words.

And this kid is making suggestions of dictatorship? Who does he think he is, Larry Summers?

With aides like these, no wonder Kikwete is in present sorry state.
 
Mwangalieni msaidizi wa Rais (kama ni kweli ) anatamka Kiswahili anakijua chote!

Wakati hawezi kuandika sentensi ya Kiswahili bila msaada wa lugha ya Malkia!

Eti Kiswahili anakijua chote. Mama yangu! Hata Shaaban Robert na William Shakespeare wasingeweza kusema Kiswahili na Kiingereza wanavijua vyote mtawalia.

Mtu anaeandika Kiswa-nglish hajui lugha zote mbili, Kiswahili wala Kiingereza!

Na hawezi kusema anachomeka Kiingereza kwenye Kiswahili ili kujifunza Kiingereza, maana huwezi kujifunza Kiswa-, wala -Nglishi, kwa kufanyia mazoezi Kiswa-nglish.

Huyu ni msaidizi wa Rais, mwandika hotuba za nchi ? Nilitegemea awe makini na anachoropoka!

Na wewe Pundit uliyesema unakubaliana kabisa na Makamba, tena kaiga maneno yako unadai, ina maana na wewe unadai unajua Kiswahili chote, sio ? Basi kuanzia leo ukiamua kuandika Kiswahili sitegemei kuona unachomekea vimaneno vya Malkia.

Usimchokoze Pundit wewe. Huyu jamaa usikute anakijua Kiswahili kuliko hata wewe na akianza manjonjo na mahunjamati yake ya lugha msije kuanza kumwomba tafsiri
 
wierd

sasa I'm more keen kuisom hiyo blog kuliko mwanzo

maana Modus Operandi ya wanaompinga JM ni wale wale

wapenzi wa Mwanakijiji

wapendi wa Mbowe

wapenzi wa CHADEMA

mbaya zaidi couple earlier posts za kumpinga JM zilikaa ki inferiority complex tuuu maana sikuona wapi mtu kaja na cha maana zaidi ya kulalama eti ohh ni mtoto wa Makaba ohhh sijui nini

acheni hizo

mnataka alternative views halafu mnaanza kuogopa sijui woga wenu ni nini hasa. Kama hamuwezi kusoma blog ya JM nendeni mkasome yale magazeti anayooandika kijana wenu JJ MNYIKA

By the way hivi huyu mnyika mmemlipia shule au?
 
Hilo la Michuzi kufoji cheti cha FORM 4 nilikuwa silijui hivyo nashukuru mdau uliyelihighlight humu

safi sana
jino kwa jino
 
wierd

sasa I'm more keen kuisom hiyo blog kuliko mwanzo

maana Modus Operandi ya wanaompinga JM ni wale wale

wapenzi wa Mwanakijiji

wapendi wa Mbowe

wapenzi wa CHADEMA

mbaya zaidi couple earlier posts za kumpinga JM zilikaa ki inferiority complex tuuu maana sikuona wapi mtu kaja na cha maana zaidi ya kulalama eti ohh ni mtoto wa Makaba ohhh sijui nini

acheni hizo

mnataka alternative views halafu mnaanza kuogopa sijui woga wenu ni nini hasa. Kama hamuwezi kusoma blog ya JM nendeni mkasome yale magazeti anayooandika kijana wenu JJ MNYIKA

By the way hivi huyu mnyika mmemlipia shule au?

GT,

You are not being objective.Mimi nimemlima kuanzia lugha mpaka musings zake za ki communist.Soma juu hapo.
 
Usimchokoze Pundit wewe. Huyu jamaa usikute anakijua Kiswahili kuliko hata wewe na akianza manjonjo na mahunjamati yake ya lugha msije kuanza kumwomba tafsiri

We muache awashe tashwishi kuhusu mustakabali wa tafsida ya tafakuri na kanwa zakwe.
 
Last edited:
We muache awashe tashwishi kuhusu mustakabali wa tafsida ya tafakuri na kanwa zakwe.
hihihihihihi kumbe na huku umo?

Mimi napenda kuuliza hizi hotuba anazoandika JM wanashauriana na Muungwana au ni yeye akitoka kwenye kitimoto sinza anaandika kisa muungwana yeye ni kusoma tu?
 

Kama sikosei
conflict of interests ndizo zilizopelekea hata Said Yaakub kuacha kublog. Inasemekana BBC walimjia juu (just a hear say I am sorry). Sasa huyu sijui atakuwa anabreak news za Ikulu!?

Mama taratibu una uhakika na unachokisema au ndo redio mbao....?

Mwazange,

Ni wapi aliposema ana uhakika ?

Huoni kaweka disclaimer tatu ( kama sikosei...inasemekana...just a hear say ) kutuonyesha wazi kwamba hana uhakika ?

Unajua unachokisema lakini ?
 
hihihihihihi kumbe na huku umo?

Mimi napenda kuuliza hizi hotuba anazoandika JM wanashauriana na Muungwana au ni yeye akitoka kwenye kitimoto sinza anaandika kisa muungwana yeye ni kusoma tu?

Mkuu Yo Yo
Hotuba ya mwisho ambayo JK aliweweseka sana hakuwa ameisoma kabla. Muungwana mara nyingine huwaambia wasaidizi wake wanapoomba ushauri, "kwani mnaonaje? Andikeni mnavyoona sawa"
 
Mkuu Yo Yo
Hotuba ya mwisho ambayo JK aliweweseka sana hakuwa ameisoma kabla. Muungwana mara nyingine huwaambia wasaidizi wake wanapoomba ushauri, "kwani mnaonaje? Andikeni mnavyoona sawa"
Alaa kumbe?
 
Mwazange,

Ni wapi aliposema ana uhakika ?

Huoni kaweka disclaimer tatu ( kama sikosei...inasemekana...just a hear say ) kutuonyesha wazi kwamba hana uhakika ?

Unajua unachokisema lakini ?

Mkuu nilichojaribu ni kukiombea ushahidi..kama hakina ushahidi basi mimi mada nitaidondoshea hapo....
 
Duh, Safari bado ndefu Watanzania:

Tuanzie hapa

Utueleze sisi tuliopo hapa, maana umeamua kuileta hapa ili isomwe, au kuna jingine??
wewe na nani? nani amekuambia nimeleta hapo ili isomwe na wewe? acha ndoto za mchana!

Twende hapa

Nilitegemea na umama ulionao kama kweli ni mama ungeweza kuielezea ilikuwaje jamaa kajiwa juu na BBC.
Umama nilionao haunilazimishi kuelezea chochote unachotaka wewe nieleze. Kwa hiyo basi, sijisikii kusema chochote juu ya hilo zaidi ya post niliitoa awali. Okay? HUNIJUI SIKUJUI NA IBAKI HIVYO.

Then kuna hili

I'm buffled by this....kumbe ilikuwa ni kuchokonoa jambo ili uone watu watareact vipi?? Funny!!
Kama una tabia ya kuchokonoa watu sio mimi, usinilazimishe nifulfill matakwa yako while am not ready, its good to be buffled any way!

Hii hapa

Kona ile ya utani kuna kila aina ya vituko...kama ningekumbana nayo kule, then ningecheka nikakenua meno then nikaendelea kuscroll down kupata vichekesho vingine.
Sipo hapa kukutekenya ili ucheke. Wherever you see my sentences, skip them! You have a lot of senses to read non-senses.

Hapa napo

Mwelekeo wangu mimi nimeomba evidence....pindi ukileta evidence...nitakupa thank you then I will move on kwenye ishu nyingine/ I mean thread nyingine.
Mwelekeo wako haunihusu kwa sababu nina right ya kutokukupa evidence. Worse come worse mie sio mama wa dataz na nilivyoregister sikuregister kwa ajili ya thank you. Kuonyesha kuwa wewe sio upupu, onyesha senses an jinsi ya kuzianalyse boss of the bosses.

Hii Kali

Hapa nimechoka...yaani useme kitu kuhusu mtu then ukitakwa ushahidi unasema huna haja ya kuback up your point...Ndio maana nilishauri iende kwenye jokes....kule nisingekuomba ushahidi asilani...
Tafadhali nisikuchoshe ukapata kesi toka kwa mwenzi wako. Kwa mantiki hiyo usisome post yangu utachoka bure bwereree. Wewe kama nani hapa unashauri hiyo iende kwenye jokes????!!!!. That is my post, i have put there for a purpose, unless uniambie wewe siku hizi ndio mwenye mamlaka ya kuamua niandike nini na wapi. Kama kiswahili kinakushinda nenda shule. Hizo senses zako zinaonyesha kuwa more than non-sense kama ulishindwa kuielewa hiyo post intellectually.
???

Huh?!?!?

Hilarious

Samahani sana Mama nimerefuse kujump kwenye bandwagon yako....sababu haileti sense kwenye idara ya fikra zangu. Haoo uliowaona nimejump kwenye bandwagon zao hadi ukanipa heshima tata ya 'mr kiongozi wa bandwagon' pengine walikuwa wanaongea pointi...na usione kama sijawauliza hapa hadharani kwamba sijafuatilia mwenyewe binafsi, huwa nafanya hivyo Mama...just FYI!!!
Umeshajump kwenye bandwagon yangu, halafu unataka jifanya kiongozi wangu... wanielekeza cha kufanya!!!!! Kama hujajump kwenye bandwagon yangu haya yote usingeyaleta. Sorry dude, I am not of your type, out of the window!!



Wheeew Finally umeuliza la Maana
Kumbe wajua maana????

Tumewekewa sehemu za kujadili mambo na hususan mambo yetu sisi kama watanzania; nchi iko mrama, nchi inaendeshwa kama banda uani, nchi inaendeshwa kama mtoto wa kambo kwenye familia isiyojali, nchi inaendeshwa kama part time job, na sisi humu ndio tunayoitegemea kuegemeza identity zetu. Sasa tukiiona inakwenda ovyo tuseme, tuelekeze nguvu zetu katika kuirudisha barabarani na sio Sio Said Yakub kajiwa juu na nani BBC.
wewe na nani? Painkiller au Invisible. Naona wajikweza kwenye minazi ya wenyewe.Wewe kama Said Yaakub unalolote nae, basi mfate. Isijekuwa kutaja jina lake hapa basi roho yakupwita. Acha chuki binafsi. By the way umempandisha chat kinoma kwa kujifanya wajua kuanalyse visentensi uchwara vya Mama wa non-sense. Ukiwa mtu mwenye sense na mwenye kujua kuongea la maana huwezi kujishusha hadhi yako kupangua visentensi vitano visivyomake sense. You are non-sense than Mama is.

Ps: Hoja hujibiwa kwa hoja.....Hupandishi mtu mzuka hapa so Silencer akatokea kwa kutokea na kufungia watu hapa....

Kama hizi ndio hoja, basi Silencer unakazi, mbona utafungia sana watu wanaomake sense! Inabidi ufungiwe kwa kumake sense kama hizi..you know what I am saying. Even my first grade daughter can do better than you have done here. FYI, you are the worst person who wrote non-sense today.

Senses zako zingeonekana kama ungechambua the so called immunity ya Mkapa.
 
hihihihihihi kumbe na huku umo?

Mimi napenda kuuliza hizi hotuba anazoandika JM wanashauriana na Muungwana au ni yeye akitoka kwenye kitimoto sinza anaandika kisa muungwana yeye ni kusoma tu?

Swali zuri sana hilo...mimi pia lilikrosi kwenye kichwa yangu nikalikosea jibu.. pengine labda tukamuulize kule.
 
Kama hizi ndio hoja, basi Silencer unakazi, mbona utafungia sana watu wanaomake sense! Inabidi ufungiwe kwa kumake sense kama hizi..you know what I am saying. Even my first grade daughter can do more than you have done here. FYI, you are the worst person who wrote non-sense today.

Senses zako zingeonekana kama ungechambua the so called immunity ya Mkapa.

Hooo... Thats so Cute....
 
Mara nyingi wanauwe fulani dhaifu dhaifu wakielemewa na mwanamke kama huyo Mama kwenye hoja huwa wanarukia huku!

Well kama ulihakikishiwa hivyo then nitashangaa kulikuwa na maongezi gani yaliyokuwa yakiendelea hadi ikafikia udhaifu wa kiume wa Mwazange kuwa subject of conversation...
Mada ilikuwa President's speech writer...mkaipeleka kwa BBC journalist...sasa mnaileta huku tena...? ndio maana tanzania tupo mahali tulipo.
 
I AM OUT MWAZANGE, I don't qualify for more of your non-senses. Keep on making them. Goodluck.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom