January Makamba na blog yake

Status
Not open for further replies.
Haka kajamaa kajinga sana......hapa kanasema
"...It looks like everyone has a blog these days. I have one too - a serious one! I intend to tap the best brains as contributors...."

....yaani kalitegemea nini.......it looks like......soo what!.......hiyo statement yake tells alot of nonsenses from this young man.............
 
Leo atakuwa kapata visitors wengi... Mzee Diallo naye naona kaamua kuingia katika Blogs. Sasa vipi mzee Makamba?

Gembe, I will be back to you :)

Hivi Diallo ni ana PhD.?My foot!

Huyu jamaaa namkumbuka kipindi flani Marekani alikuwa akitafuta diploma sijui..aisee?

he he he..Mkuu invisble na mie nikifikisha post 2000 niwe DR.
 
Hivi Diallo ni ana PhD.?My foot!

Huyu jamaaa namkumbuka kipindi flani Marekani alikuwa akitafuta diploma sijui..aisee?

he he he..Mkuu invisble na mie nikifikisha post 2000 niwe DR.
Mkuu wangu wa Kamnyonge,

Mi wa Utegi, lakini najua kuwa Diallo majuzi kapata PhD. Ngoja nitafute undani wake kisha nitakupa kapata PhD ya nini. Haijapita hata miezi 6 kaipata.

Mkuu wangu wa Kamnyonge, kumbe pamoja na kuwa mjini nakuzidi idadi ya Posts? Basi itabidi upate hiyo Dr. Gembe ukifikia, kaza buti mkulu.

BTW: Hizi blogging za kina January kwanini wasije hapa hata wakaingia na majina yao wakajibu hoja kwa hoja? Au wanataka waandike na kusomwa tuuuu?
 
BTW: Hizi blogging za kina January kwanini wasije hapa hata wakaingia na majina yao wakajibu hoja kwa hoja? Au wanataka waandike na kusomwa tuuuu?

Wamesema hawaamini katika kujibizana na watu invisible!
 
Mkuu wangu wa Kamnyonge,

Mi wa Utegi, lakini najua kuwa Diallo majuzi kapata PhD. Ngoja nitafute undani wake kisha nitakupa kapata PhD ya nini. Haijapita hata miezi 6 kaipata.

Mkuu wangu wa Kamnyonge, kumbe pamoja na kuwa mjini nakuzidi idadi ya Posts? Basi itabidi upate hiyo Dr. Gembe ukifikia, kaza buti mkulu.

BTW: Hizi blogging za kina January kwanini wasije hapa hata wakaingia na majina yao wakajibu hoja kwa hoja? Au wanataka waandike na kusomwa tuuuu?

"Hizi blogging za kina January kwanini wasije hapa hata wakaingia na majina yao wakajibu hoja kwa hoja"..Invisible

Mkuu hilo sidhani kama wanaweza kulifanya,wanaofia vivuli vyao sababu wanaoa wao ndiyo wa kusikilizwa tu na wanaioa Jamiiforums kama Genge la wanamapinduzi.

Mkuu January tunakukaribisha JamiiForums tena itakuwsaidia kujibu Hotuba za Rais.Mie nina uhakika wapambe watakuw ameshampelekeza habari kuwa tunamjadili vyema hapa..

January karibu uungane na wenzie kina Nape.post 2000 nitafika,sema siku hizi mambo yamekuwa mengi..ila Nashukuru sana M.M.M na Mzee FMES kwa kuendeleza Libeneke..hivi kada yuko wapi?na yeye umemfungulia?
 
Mkuu wangu wa Kamnyonge,

Mi wa Utegi, lakini najua kuwa Diallo majuzi kapata PhD. Ngoja nitafute undani wake kisha nitakupa kapata PhD ya nini. Haijapita hata miezi 6 kaipata.

Mkuu wangu wa Kamnyonge, kumbe pamoja na kuwa mjini nakuzidi idadi ya Posts? Basi itabidi upate hiyo Dr. Gembe ukifikia, kaza buti mkulu.

BTW: Hizi blogging za kina January kwanini wasije hapa hata wakaingia na majina yao wakajibu hoja kwa hoja? Au wanataka waandike na kusomwa tuuuu?

Si unajua tena Mkuu wa kamunyonge, Utegi na kule Kinesi,

Kwamba Bwana January baada ya vikao vya kahawa ndani ya jumba jeupe la Tanzania kaambiwa amsadie Rweyemamu kukusanya data na mambo flani hivi.

Hivi Invisible hile website ya ikulu inafanya kazi? make mara ya mwishi nilipata meseji hiko under construction.
 
Wazee mbona mnamuandama mzee wa St John University? Nafikiri with Msc In Conflict Analysis ingekua vyema akaja hapa kutusaidia kutatua baadhi ya migogoro ya members humu ndani!! tehe tehe ....just kidding
 
Makamba who??

Some chap nasikia ni speech writer wa Ikulu, mtoto wa lame duck secretary wa CCM. Presidential aid ana muda wa kuanzisha blogu!

Sijasikia high ranking presidential aid anaenda kuanzisha ki blog kutoa senti mbili zake. Sasa hayo yatakuwa mawazo yake, ya Ikulu ?

What lightweights!
 
Some chap nasikia ni speech writer wa Ikulu, mtoto wa lame duck secretary wa CCM. Presidential aid ana muda wa kuanzisha blogu!

Sijasikia high ranking presidential aid anaenda kwenye vi blog kutoa senti mbili zake. Sasa hayo yatakuwa mawazo yake ya Ikulu ?

What lightweights.


Kama sikosei conflict of interests ndizo zilizopelekea hata Said Yaakub kuacha kublog. Inasemekana BBC walimjia juu (just a hear say I am sorry). Sasa huyu sijui atakuwa anabreak news za Ikulu!?
 
Ze thing iz sho dauni.

mi livu in marekan, weki with latino spiki lesi inlglishi and nolatino neva.

so hou i wili inta the makamba blogu endi right inglishi??

weni iwent to skull in primary ticha tichi mi inglishi bati himslufu donnti noo.

so hou do yu wanti mi tu noo?

pipo sei it is mai misiteki, bati hou mai misteki ididinti du enesing iwaz a pyupyulu tu.

senki yuu januali makamba

mi madela
 
Some chap nasikia ni speech writer wa Ikulu, mtoto wa lame duck secretary wa CCM. Presidential aid ana muda wa kuanzisha blogu!

Sijasikia high ranking presidential aid anaenda kwenye vi blog kutoa senti mbili zake. Sasa hayo yatakuwa mawazo yake, ya Ikulu ?

What lightweights!

LOL! Kuhani! Hata mimi nilishangaa sana kuona huyu jamaa ameanzisha blogu yake. Hawana kazi huko Ikulu mpaka wanapata muda wa kuanzisha blogu. Naona kuna haja ya kuwaajiri wafanyakazi wa Ikulu wasiokuwa na kazi za kutosha kama huyu January wa Makamba part time ili kupunguza gharama za serikali. Akishapiga masaa yake matatu kwa siku basi kazi imekwisha anaenda kushughulikia blogu yake ;) Ndiyo matatizo ya kuwa na Ikulu ambayo haina taratibu zozote zile!!! Kila mtu anaamua mambo kivyake vyake na hakuna wa kutia neno.
 
LOL! Kuhani! Hata mimi nilishangaa sana kuona huyu jamaa ameanzisha blogu yake. Hawana kazi huko Ikulu mpaka wanapata muda wa kuanzisha blogu. Naona kuna haja ya kuwaajiri part time ili kupunguza gharama za serikali. Akishapiga masaa yake matatu kwa siku basi kazi imekwisha anaenda kushughulikia blogu yake. Ndiyo matatizo ya kuwa na Ikulu ambayo haina taratibu zozote zile!!! Kila mtu anaamua mambo kivyake vyake na hakuna wa kutia neno.

Tatizo unadhani hata ni muda basi, huo anaweza kujipangia well and good. Inakuwaje hasa pale mambo ya conflict of interest na news za huko Ikulu? Mind you Ikulu sio dailynews! Labda angeanzisha blog ya ikulu na si ya January mfanyakazi wa Ikulu. Hivi hawa watoto huwa wanakuwa coached na kuwa oriented na ethics za kazi zao kweli?
 
Tatizo unadhani hata ni muda basi, huo anaweza kujipangia well and good. Inakuwaje hasa pale mambo ya conflict of interest na news za huko Ikulu? Mind you Ikulu sio dailynews! Labda angeanzisha blog ya ikulu na si ya January mfanyakazi wa Ikulu. Hivi hawa watoto huwa wanakuwa coached na kuwa oriented na ethics za kazi zao kweli?

Tuna ethics bongo mama? Siyo watoto tu hata watu wazima. Matatizo makubwa yanayoikabili nchi yetu yanasababishwa na kukosa ethics. Angalia Lowassa, Karamagi, Msabaha ambao waliujuzulu uwaziri kwa kashfa nzito mpaka leo bado ni Wabunge na mkuu wa chama chao haoni tatizo lolote la wao kuendelea kuwa Wabunge. Angalia Mramba pamoja na kushtakiwa kwa kesi nzito ya kuliingizia hasara Taifa ya shilingi bilioni 11 hakuna yeyote ndani ya CCM aliyemtaka ajiuzulu ubunge na mengi mengineyo. Mwanyika na Edward Hoseah pamoja na recommendation toka kwa kamati ya Mwakyembe iliyoundwa na Rais mwenyewe kwamba hawa waondolewe madarakani lakini bado wanapeta tu!! na kuendelea kulipwa mishahara na marupurupu ambayo hawastahili kulipwa.
 
Wazee mbona mnamuandama mzee wa St John University? Nafikiri with Msc In Conflict Analysis ingekua vyema akaja hapa kutusaidia kutatua baadhi ya migogoro ya members humu ndani!! tehe tehe ....just kidding
This is a news to me.
 
BAK,Mama na Kuhani January hana tatizo katika kwa kuanzisha blog.Blog ni uwanja wa mawazo mbadala,fikra chanya,migongano ya kimawazo.Nafiri mnajua siku hizi blogs ndio zimekuwa source za maendeleo.Hakuna editor wa kuchuja news it comes as it is.

Wapo maraisi wengi wana blog mfano ni rais wa Iran bwana Ahmadinejad(Mahmoud Ahmadinejad - The Official Blog - Tehran, Islamic Republic of Iran) nimemsahau rais mmoja wa Afrika nae ana blog.

The guy is right kitendo cha kuwa na blog makes me happy lakini dhumuni la lake ndio limenichosha kwa kusema kwa kuwa watu wengi wana blogu basi na yeye kafungua yake.Kuwa ikulu sio tija ya kutoblog kutoa mawazo yake yeye kama january.

Namuomba na Kikwete amuige Ahmadinejad ajadiliane na wapiga kura wake tembeleeni blog ya raisi Ahmadinejad mpate picha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom