BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
Dude please.....yaani hiko kijamaa ni nazina kwa taifa? Ndio maana tumelosti sisi....khaaaaaaa
Kweli kabisa hata nafasi aliyopewa pale Ikulu amepewa kishikaji lakini anapwaya sana na kamwe hawezi kuwa hazina ya Taifa. Yaani Watanzania ni mbumbumbu kiasi hicho hadi JM apandishwe chart na kuwa hazina ya Taifa!!!!?
Labda Makamba aseme ni hazina ya familia ya makamba.