Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 6,394
- 17,522
Yaani Ridhwan awe Smart kuliko January!😂
Yes, Riz1 he is far way smart kuliko JM.
Nawajua wote vizuri na wananijua pia.
ndani ya mitaa ya Khost - Afghanistan.
Yaani Ridhwan awe Smart kuliko January!😂
kupiga wanapiga ila sio b500Mimi sijawahi kuwq mfausi hata wa chadema achana na huyo lisu ila jamaa kafanya ufisadi wa kutisha sana pale tanesco acha lile dili alilotaka kulicheza kipindi akiwa waziri wa mambo ya nje ataka wizara ijenge majengo ya bishara Nairobi Kinshasa na kampala
Huyo January ni upepo mbaya tu umempitia, ila haitashangaza akirejeshwa meza kuuSema tu January labda alionyesha nia mapema akawaudhi wenye kiti chao ila siasa za Tanzania hazihitaji plan ni kujikomba tu kwa viongozi fulani watakuachia madaraka. Samia alikua na plan gani? Is she an asset to CCM? ila mbona amekua Rais?
Kwa cv ipi aliyonayo ukitoa kuwa ni mtoto wa makamba kwana wasaka urais 2030 ndo watampoteza zaidi maana kwenye siasa ukiacha upendeleo aliokuwa akipendelewa na kikwete kama fadhila kwa babake hakuna anachowezaHuyo January ni upepo mbaya tu umempitia, ila haitashangaza akirejeshwa meza kuu
🤣🤣🤣 Mengine umenilisha mkuu siwezi tuhumu watu kwa wizi wa kura.Ulisema na kuapia kuwa hawezi kukatwa. Mara ukasema sijui hao ndio wana kazi maalum ya kuiba kura ,Mara sijui nini.
Vipi imekuwaje?
Mmmh! Kweli!??Kachota zaidi ya billion 500 kanunua nyumba za kutosha dubai huku nyumba moja ikiwa na thamani ya billion 25
Alitaka kuinunua hotel ya Leodger plaza Bahari beach hotel kwa bilioni 25, sema ilishindikana kwa sababu hotel ile inamilikiwa kwa kiasi fulani na serikali ya Libya.Jina lake limekatwa huko Bumbuli.
Aanze kula pensheni yake aliyoichota akiwa Waziri wa Umeme
Pia soma
1. > Pre GE2025 - Kutoka Jimboni Bumbuli tunasema Rais Samia mitano tena, Januari Makamba hatumtaki
2. > Pre GE2025 - Wanaodai kuwa Wananchi wa Bumbuli wamtaka Makamba ajiuzulu Ubunge, wadai amekuwa mtalii Jimboni
3. > Pre GE2025 - Wazee Bumbuli: Tutamchukulia Fomu January Makamba kwa Fedha Zetu!
4. > Pre GE2025 - Wananchi Bumbuli wamtaka Makamba aendelee kuwa mbunge hadi Mungu atakapomchukua
hivi unadhani bilion 500 ni kama laki tano?
Sawa Mkuu,kama unawajua Mimi nisemaje sasa....hata wajingq 10 wakikusanywa lazima awepo smarter' miongoni mwao!Yes, Riz1 he is far way smart kuliko JM.
Nawajua wote vizuri na wananijua pia.
ndani ya mitaa ya Khost - Afghanistan.
Dogo ni mnafiki kama baba yake tu, hafai kwa lolote lileJina lake limekatwa huko Bumbuli.
Aanze kula pensheni yake aliyoichota akiwa Waziri wa Umeme
Pia soma
1. > Pre GE2025 - Kutoka Jimboni Bumbuli tunasema Rais Samia mitano tena, Januari Makamba hatumtaki
2. > Pre GE2025 - Wanaodai kuwa Wananchi wa Bumbuli wamtaka Makamba ajiuzulu Ubunge, wadai amekuwa mtalii Jimboni
3. > Pre GE2025 - Wazee Bumbuli: Tutamchukulia Fomu January Makamba kwa Fedha Zetu!
4. > Pre GE2025 - Wananchi Bumbuli wamtaka Makamba aendelee kuwa mbunge hadi Mungu atakapomchukua
huko watu hawakujitokeza ulitaka wafanyaje wakati jina ni moja lililochukua fomuKwa Salma Kikwete kaachwa peke yake. Kwa Dotto Biteko ameachwa peke yake pia
Tanzania ya sasa chini ya uongozi wa huyu bibi ni ya kimafia sana na kuna watu wengine wamepewa status above haki za Watanzania wengine
Hajui huyo mkuu,, wata wana pesa zaidi ya hiyoAcha masihara mzee watu walikuwa wanachelewesha kuwalipa Arab contractor ili wadefault riba badae wanaende kuvuta mpunga mwingine bado mwigulu
Hana cha kupoteza in terms of cash but prestige yesKachota zaidi ya billion 500 kanunua nyumba za kutosha dubai huku nyumba moja ikiwa na thamani ya billion 25
Yaani pamoja na Mama kumkumbatia siku ile,hakumjali tena?
Huenda akapewa ubarozi kumrithi Polepole.