Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,331
- 4,239
Mkuu kwa hao watu inawezekana kabisa Tena hata zaidi ya hapohivi unadhani bilion 500 ni kama laki tano?
Mkuu kwa hao watu inawezekana kabisa Tena hata zaidi ya hapohivi unadhani bilion 500 ni kama laki tano?
mtumba babu kikofia ndo nani? Mrema nini?
Mwana FA kapita?Safi sana
Huyo lazima Mwana FA ni rafiki sana Salah GSMMwana FA kapita?
Huyu naye asipite ,akaishi huko Dar.Mwana FA kapita?
Hamisi Mwinjuma kapita.Mwana FA kapita?
Nani Salome?Sema inaelekea aliiga pesa ndefu. Sista ake anaruka first class tu.
AmepitaNEpi je kapita?
Jimbo la ChalinzeMkuu kwa hao watu inawezekana kabisa Tena hata zaidi ya hapo
Kuna kitu labda alimkosea JK
Hii ni vita ya Urais 2030?Jina lake limekatwa huko Bumbuli.
Aanze kula pensheni yake aliyoichota akiwa Waziri wa Umeme
Kwa Salma Kikwete kaachwa peke yake. Kwa Dotto Biteko ameachwa peke yake piaJimbo la Chalinze
1) Ridhiwani Kikwete
Hakuna mwingine ni mmoja tu basi
JM hana tatizo la kujisimamia. Tatizo liko kwenye ambitions zake kubwa.JK anatabia ukiwa boya boya anakubwaga kiroho safi, yeye anakuwa innocent kwako.
Amemkuza, amemlea, amemuinstall, its his time to walk by his foot maana JK alijisimika mwenyewe na kujenga ufalme wake.
JM sio smart aliishi kwa mbeleko za watu wa mipango, ujue hata watu wa mipango wanape nda kufanya kazi na mtu smart mwenye uwezo wa kusimama mwenyewe bila kustukiwa kama ni mipangomipango.
Inawezekana pia kwenye pool yake JK he has a lot of smart dudes, sasa ni wakati wakudeal na wengine wenye uwezo labda wanaweza kumpa upper hand mwanaye Riz 1 ambaye kiakili na usmart yuko vizuri kuliko JM.
ndani ya khost-Afghanistan.