GE2025 January Makamba aliwa kichwa Bumbuli

GE2025 January Makamba aliwa kichwa Bumbuli

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
JK anatabia ukiwa boya boya anakubwaga kiroho safi, yeye anakuwa innocent kwako.
Amemkuza, amemlea, amemuinstall, its his time to walk by his foot maana JK alijisimika mwenyewe na kujenga ufalme wake.

JM sio smart aliishi kwa mbeleko za watu wa mipango, ujue hata watu wa mipango wanape nda kufanya kazi na mtu smart mwenye uwezo wa kusimama mwenyewe bila kustukiwa kama ni mipangomipango.

Inawezekana pia kwenye pool yake JK he has a lot of smart dudes, sasa ni wakati wakudeal na wengine wenye uwezo labda wanaweza kumpa upper hand mwanaye Riz 1 ambaye kiakili na usmart yuko vizuri kuliko JM.

ndani ya khost-Afghanistan.
Yaani Ridhwan awe Smart kuliko January!😂
 
Kikubwa pesa anayo ya kutosha
Hawa,watarudi huko badaye
Nchii ndiyo ilivyo

Ova
 
Jamaa atakuwa na bifu kali sana na mama.Mama alipokuwa Tanga alisema amemsamehe lakini inaonekana ilikuwa kauli ya mdomoni tu.January hakuwa wakukatwa jina lake mapema hivi.tujifunze kuna leo na kesho Baba alisema wapinzani watabatizwa kwa moto .sasa naona mwanawe ndio labatizwa kwa moto na chama chake.haha haha.
 
Jamaa atakuwa na bifu kali sana na mama.Mama alipokuwa Tanga alisema amemsamehe lakini inaonekana ilikuwa kauli ya mdomoni tu.January hakuwa wakukatwa jina lake mapema hivi.tujifunze kuna leo na kesho Baba alisema wapinzani watabatizwa kwa moto .sasa naona mwanawe ndio labatizwa kwa moto na chama chake.haha haha.
Wazuri hawafi
 
Kwani ni kwa dili moja? Huyu jamaa alinunua nyumba palm island dubai na bei ya sokoni kwa wakati huo ilikuwa zaidi ya billion25
ata ufanye kwa miaka yote ya uongozi huezi kukaa na bil 500 mtu mmoja bila kuleta hitilafu za uchumi, sometimes acheni siasa za hovyo
 
Acha masihara mzee watu walikuwa wanachelewesha kuwalipa Arab contractor ili wadefault riba badae wanaende kuvuta mpunga mwingine bado mwigulu
unapenda ubishi sana we mfuasi wa lissu lini, ukichukua all money iliopo kwenye circulation in terms ya cash haifiki ata bil 100
 
unapenda ubishi sana we mfuasi wa lissu lini, ukichukua all money iliopo kwenye circulation in terms ya cash haifiki ata bil 100
Mimi sijawahi kuwq mfausi hata wa chadema achana na huyo lisu ila jamaa kafanya ufisadi wa kutisha sana pale tanesco acha lile dili alilotaka kulicheza kipindi akiwa waziri wa mambo ya nje ataka wizara ijenge majengo ya bishara Nairobi Kinshasa na kampala
 
Kwamba Makonda ana plan ama ni asset, hivi hiyo Makonda kuna Muarusha timamu anaweza mchagua? Ni sababu tu CCM itashinda ila ingekua miaka ile ya JK ambapo ubunge ulikua unaamuliwa na wananchi huyo Makonda angepotezwa na Lema mbali sana.

Sema tu January labda alionyesha nia mapema akawaudhi wenye kiti chao ila siasa za Tanzania hazihitaji plan ni kujikomba tu kwa viongozi fulani watakuachia madaraka. Samia alikua na plan gani? Is she an asset to CCM? ila mbona amekua Rais?

Yes,Makonda ni asset kwenye siasa za oyaoya.
Huku mitaani anaaminika sana kama kijana wa JPM na kuonekana kama anafuata nyayo za JPM ambazo wengi wanaamini ndio muarobaini.

Hili hata CCM walilijua ndio maana hata baada ya kukaa benchi hakusumbuliwa na akawa anaishi lavish life hapo masaki/Oysterbay ukisubiliwa wakati sahihi wakumtumia.

JM hana mvuto wa kisiasa na ni ngumu kuuzika maana tayari yuko kwenye kundi ambalo tayari linaonekana ndio linaloitafuna Tanzania.

Ndani ya mitaa ya Khost - Afghanistan.
 
Back
Top Bottom