This is an investment remember....You must do that for me baby Remember you are investing in your future MINISTER for Minerals and your Brother in Law
where is selemani when you need him
Kwani kuna tatizo kwa mtu kuchangiwa fedha za kampeni mbona wengine mlichangia kwa sms na njia nyingine kibao
sheria ya uchaguzi inasemaje wewe mzandiki??Kwani kuna tatizo kwa mtu kuchangiwa fedha za kampeni mbona wengine mlichangia kwa sms na njia nyingine kibao
Sasa uwaziri uliyeyukia wapi?
we humjui huyo bado ana-hope ??Mkuu kama huoni tatizo kwenye Huo Waraka Basi Gamba litakuwa Magotini ha ha ha
Tatizo ni investment kwenye hiyo michango kwa mtu aliyetazamiwa kuwa waziri wa madini. Sio vibaya ukimtumia dada yako kupata michangoKwani kuna tatizo kwa mtu kuchangiwa fedha za kampeni mbona wengine mlichangia kwa sms na njia nyingine kibao
Kwani kuna tatizo kwa mtu kuchangiwa fedha za kampeni mbona wengine mlichangia kwa sms na njia nyingine kibao
Nadhani in this day and age email peke yake inaweza ikawa hacked au kuchakachuliwa (hata kama ni ukweli) hii sio evidence labda iwe attached na funds zilizoingia na zilipotoka.., otherwise ni vigumu hii kitu ku-hold water...