Kaanzishe topic ya ufisadi wao hapa ni out of topicCcm ni kweli hakuna msafi,vipi huko kwenu msafi si Mbowe,Sumaye,Lowasa au nmekosea.
Mada ni ufisadi,tusiwe na double stand tuwe wakweli na dhamira zetu zionekane kupitia maandishi yetu.Kuanzia ccm mpaka CDM wote hao ni sawa na vigango vya kulea mafisadi na kuwasafisha.Kaanzishe topic ya ufisadi wao hapa ni out of topic
Kabla hujaanza kutembea hakikisha umeoga maana yawezekana unataka watu watapike kwa jinsi ulivyo mchafu. Hatuko tayariMakamba amejichomeka katikati ya kiini cha CCM wakati wa kampeni.
Makamba anajua mbinu zote chafu za CCM dhidi ya UKAWA.
Makamba ana jasho jingi tu katika "ushindi" wa Magufuli.
Makamba ali-engineer mambo mengi hadi kile kitengo IT Masaki.
Makamba anajua kabisa Magufuli alishinda au hakushinda. Anajua kabisa mafuko ya hela za kampeni zilitoka wapi.
Nakwambieni Makamba, Kigwangala, Mwigulu, Nape hawa vijana hawa wanaujua vizuri "ushindi" wa Magufuli...
Na Makamba akitemeshwa mzigo nitatembea Dar nzima nikiwa uchi. Hawezi fukuzwa yule.Tuliaambia tatizo ni mfumo corrupt sasa mnashuhudia.
Sasa we we mambo ya chadema na udalali wa Makamba wahusikaje kuhalalisha kosa. Yani uchafu wa mwingine ufanyie comparison isiyolinhana. Does it real make sense? Ka unaushahidi unaenda mahakamani mange mbona katoa ushahidi sasa nyie watetezi wake mnaingiza ya Chadema hyo si nonsense ingekuwa mtihani ungepata division five weweMada ni ufisadi,tusiwe na double stand tuwe wakweli na dhamira zetu zionekane kupitia maandishi yetu.Kuanzia ccm mpaka CDM wote hao ni sawa na vigango vya kulea mafisadi na kuwasafisha.
Hakuna koongoz wa CDM kwa sasa mwenye uwezo wa kukemea ufisadi kama yupo ajitokezo aonyeshe dhamira tumuunge mkono.
Akiiba wakwao ni mwizi lakini akiiba wakwetu mwenye ushahidi aende mahakamani.
Tanzania yetu hakika imebaki na wazalendo wachache tena ambao sio wanasiasa.
Tujifunze kuweka akiba ya maneno mkuu. Ni hayo tu.Makamba amejichomeka katikati ya kiini cha CCM wakati wa kampeni.
Makamba anajua mbinu zote chafu za CCM dhidi ya UKAWA.
Makamba ana jasho jingi tu katika "ushindi" wa Magufuli.
Makamba ali-engineer mambo mengi hadi kile kitengo IT Masaki.
Makamba anajua kabisa Magufuli alishinda au hakushinda. Anajua kabisa mafuko ya hela za kampeni zilitoka wapi.
Nakwambieni Makamba, Kigwangala, Mwigulu, Nape hawa vijana hawa wanaujua vizuri "ushindi" wa Magufuli...
Na Makamba akitemeshwa mzigo nitatembea Dar nzima nikiwa uchi. Hawezi fukuzwa yule.Tuliaambia tatizo ni mfumo corrupt sasa mnashuhudia.
Mi nitakuwa nazoaMimi nitakunya kuanzia dar mpaka kibaha
Mkuu, hayo yote ni sawa. Wanaweza kumtimua na hawezi kusema lolote. Lowassa walimkata akaenda ukawa mpaka leo hajasema lolote la maana. Aliishia kuaema ccm haifanya lolote miaka 50. Ndiyo siasa ilivyo.Makamba amejichomeka katikati ya kiini cha CCM wakati wa kampeni.
Makamba anajua mbinu zote chafu za CCM dhidi ya UKAWA.
Makamba ana jasho jingi tu katika "ushindi" wa Magufuli.
Makamba ali-engineer mambo mengi hadi kile kitengo IT Masaki.
Makamba anajua kabisa Magufuli alishinda au hakushinda. Anajua kabisa mafuko ya hela za kampeni zilitoka wapi.
Nakwambieni Makamba, Kigwangala, Mwigulu, Nape hawa vijana hawa wanaujua vizuri "ushindi" wa Magufuli...
Na Makamba akitemeshwa mzigo nitatembea Dar nzima nikiwa uchi. Hawezi fukuzwa yule.Tuliaambia tatizo ni mfumo corrupt sasa mnashuhudia.
Lol....na kujiua tena!jamaa atatembea uchi Dar nzima wewe utatembea uchi wapi....Mimi nitatembea uchi siku tatu mfulululizo na kujiua