January Makamba acha mchezo huu mara moja

January Makamba acha mchezo huu mara moja

Anamatatizo huyu eti kwenye hotuba yake mlimani city alisema atatumia technology ya hali yajuu na yakisasa kufanya mikutano na wananchi nikashanga tecno yenyewe ni Skype huyu sijui anaona watu wote ni wanakijiji???
 
Anamatatizo huyu eti kwenye hotuba yake mlimani city alisema atatumia technology ya hali yajuu na yakisasa kufanya mikutano na wananchi nikashanga tecno yenyewe ni Skype huyu sijui anaona watu wote ni wanakijiji???

Sasa skype ndo technolojia ya hali ya juu??? Hafai kabisa kwa lolote.
 
Hizo msg zake zinasemaje. Mwambie anitumie na mimi
 
Kwanza umenitumia kupost kitu kama hiki, mara ngapi umepata sms kutoka matanagazo ya biashara, kama sheria ya cyber crime, inakataza kumtumia ujumbe mtu usiemjua ni kosa basi tutafungwa wengi, wewe ni team wa mgombea mwingine, Janauary amekuomba hajakulazimisha, hajakutukana, kama hutaki achana nazo, kuandika huku, unaonesha uwezo Wako mdogo wa kufikiri, unaudhika na vitu vidogo, nenda kwa mwana sheria yoyote, ale hela zako kama unazo coz unaonekana choka mbaya, kupata ujumbe kwa simu au mtu kuomba akina jukwaani ni sawa. Acha kule ta thread za kitoto.

Hapa umeandika nn sasa!!
 
Kama vipi ashtakiwe maana ndo alikomalia kupitishwa sheria mbovu ya makosa ya mtandao
 
Mbona hiyo sms haina shida mkuu...mbona unapokeaga sms za kutorithika nazo nyingi tu ..lakin umeiona ya makamba? if ur not interested achana nayo hivyo....
 
Acha uhuni wewe,aku pm vp namba yake? Kwani makamba alim pm namba? Wewe tuma na siyo kumtetea huyo mjinga anayetaka kuvaa viatu visivyoweza kumfaa.

Umeona eeh eti PM namba wtf...
 
Mbona hiyo sms haina shida mkuu...mbona unapokeaga sms za kutorithika nazo nyingi tu ..lakin umeiona ya makamba? if ur not interested achana nayo hivyo....

Wakati wanapitisha sheria hawakujua haya? Wewe ukimtumia akaku sue utasemaje? Sitaki sms za usumbufu
 
Kwanza umenitumia kupost kitu kama hiki, mara ngapi umepata sms kutoka matanagazo ya biashara, kama sheria ya cyber crime, inakataza kumtumia ujumbe mtu usiemjua ni kosa basi tutafungwa wengi, wewe ni team wa mgombea mwingine, Janauary amekuomba hajakulazimisha, hajakutukana, kama hutaki achana nazo, kuandika huku, unaonesha uwezo Wako mdogo wa kufikiri, unaudhika na vitu vidogo, nenda kwa mwana sheria yoyote, ale hela zako kama unazo coz unaonekana choka mbaya, kupata ujumbe kwa simu au mtu kuomba akina jukwaani ni sawa. Acha kule ta thread za kitoto.

Soma tena ulichoandika kisha jipime uwezo wako wa kufikiri.
 
January Makamba mtia nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM leo amesababisha wanachi kutoa machozi katika Wilayani ya Misenye mkoani Kagera, January yuko kwenye harakati ya kutafuta wadhamini.
January ambaye amevunja record ya kupata wadhamini wengi kuliko mgombea yeyote aliyefika katika ardhi ya Kagera, aliufanya umati kububujikwa na machozi pale alipomkumbuka Bibi yake kipenzi aliyefariki mwaka 2010, Machi
Akiongea kwa kuwakumbusha mambo aliyoyafanya akiwa na umri wea miaka tisa akiwa analelewa na Bibi yake kijijini pale, alisema “Tulikuwa tunaishi wawili tu, Bibi amefariki hakuniacha Mbunge wala Waziri…..(akanyamaza kidogo) , amenifundisha mengi jinsi ya kula, nidhamu, heshima na mambo mengi, nafikiri huko aliko anafurahi”
Aidha katika hotuba yake ambayo wanachi walikuwa makini kuisikiliza alibainisha mambo kadhaa lakini kubwa ikiwa kero ya fedha kiduchu wanayopata wakulima wa miwa wa Wilaya ya Misenye na ukosefu wa maji safi na salama
jina unalotumia limeakisi maneno uliyoandika "kishombo"zaidi
 
January Makamba mtia nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM leo amesababisha wanachi kutoa machozi katika Wilayani ya Misenye mkoani Kagera, January yuko kwenye harakati ya kutafuta wadhamini.
January ambaye amevunja record ya kupata wadhamini wengi kuliko mgombea yeyote aliyefika katika ardhi ya Kagera, aliufanya umati kububujikwa na machozi pale alipomkumbuka Bibi yake kipenzi aliyefariki mwaka 2010, Machi
Akiongea kwa kuwakumbusha mambo aliyoyafanya akiwa na umri wea miaka tisa akiwa analelewa na Bibi yake kijijini pale, alisema Tulikuwa tunaishi wawili tu, Bibi amefariki hakuniacha Mbunge wala Waziri..(akanyamaza kidogo) , amenifundisha mengi jinsi ya kula, nidhamu, heshima na mambo mengi, nafikiri huko aliko anafurahi
Aidha katika hotuba yake ambayo wanachi walikuwa makini kuisikiliza alibainisha mambo kadhaa lakini kubwa ikiwa kero ya fedha kiduchu wanayopata wakulima wa miwa wa Wilaya ya Misenye na ukosefu wa maji safi na salama

Mbona hayo wengi tumepitia...anafuta huruma..
 
Back
Top Bottom