January Makamba acha mchezo huu mara moja

January Makamba acha mchezo huu mara moja

Yaaaaani tatizo letu ni ushabiki usiokuwa na tija sababu kupata taarifa sio kosa hata kidogo sasa mara ngapi unatumiwa sms za nyamachoma festival na mambo mengine kama hayo...nauliza kama umeona taarfa haikuhusu wala huna habari nayo achananayo ipuuze na huu ndouungwana sio kutuletea uzi usiokuwa na maana hapa.....

Wewe ndio unaona hauna maana,kwa wengine una maana sana tu,usiwapangie watu nini cha kuongea,na wewe ungekuwa wa maana zaidi kama ungeupuuza hii mada!
 
Andaa pesa njoo tumshtaki, nitasimamia kesi yako ila uwe na dau la kutosha kushindana nae kisheria, uawezaa????????????
lakini pia you will have to fight him in court the old local way,je mna waganga wa kienyeji wa kutosha?!.inazungumzwa kwamba yule dogo ni noma sana kwenye secta hiyo.anao waganga mpaka wa kisauzi afrika.
 
Muheshimiwa kavunja sheria ya makosa ya mtandao kwa usumbufu wake kwa mamilioni ya watu ashitakiwe sasa iwe fundisho
 
lakini pia you will have to fight him in court the old local way,je mna waganga wa kienyeji wa kutosha?!.inazungumzwa kwamba yule dogo ni noma sana kwenye secta hiyo.anao waganga mpaka wa kisauzi afrika.


Aisee!!!!!! kadoda11 nimemwachia mwenye kesi sitaki kuwa mbuzi wa kafara na uchaguzi huu mie.
 
Last edited by a moderator:
Kufwa for January you know ( in Le mutuz voice)
 
Kweli kuwa na degree au hata Masters wakati mwingine hakumsaidii mtu katika kufikiria na kufanya maamuzi ya nini cha kuandika na wakati mwingine hata upeo wa uelewa wa mambo unakuwa mdogo sana no matter unalevel gani ya elimu.Sasa mahusiano yako wewe na January yanatuhusu nini sisi?kwani amekutukana?nimejaribu kuzisoma sms zote mbili sioni kama zinaubaya wowote kwa mtazamo wangu,
 
Kweli kuwa na degree au hata Masters wakati mwingine hakumsaidii mtu katika kufikiria na kufanya maamuzi ya nini cha kuandika na wakati mwingine hata upeo wa uelewa wa mambo unakuwa mdogo sana no matter unalevel gani ya elimu.Sasa mahusiano yako wewe na January yanatuhusu nini sisi?kwani amekutukana?nimejaribu kuzisoma sms zote mbili sioni kama zinaubaya wowote kwa mtazamo wangu,

Haya sio mawasiliano private fikiri kabla ya kuandika. Pia soma cybercrime act usitoke povu bila sababu ya msingi
 
Sikum PM namba yeye ametuma tu. So na wewe nategemea utume the same way

Hata mimi nilielewa hivyo hivyo kumbe mpaka um pm mtu ndo anaweza kukutumia sms ya hivyo.Sasa ni vipi muathirika asishinde kesi na kwa nini akuandalie fungu kwa jambo lililo wazi kabisa?
 
Hii mbinu angeitumia mgombea mmoja hivi lingeletwa lijibajeti kubwaaa la malipo ya hiyo SMS
 
Mleta mada unasukumwa sana na ushabiki kuliko uelewa wa kisheria na ukitaka kuamini hilo peleka shauri lako mahakamani wakufuraishe mchana kweupee
 
Hiyo msg inasemaje? Screenshot ndogo sana nkizoom inakua haipo clear
 
Huyu January nitatizo kubwa kufanya mambo yake kwa lazima kwenye simzetu


Hii inaudhi na aache maramoja.
 
Back
Top Bottom