Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,955
- 95,282
Unachekesha kweli!!! Wewe unayemtetea Lowasa sio CCM? Au kwa kuwa anataka kuhama kambi.
Hoja hapa ww unampinga Makamba kwa kumsema Kingunge....na unafanya hivyo kwa kusema hana sifa za kumzidi Lowasa.
Mimi nkakuambia weka facts kuthibitisha makamba hana sifa....badala ya kujibu unazunguka zunguka....
Lowasa alijiuzulu kwa kashfa ya ufisadi na hajawah kuthibitisha otherwise.
Unless you want to continue arguing by putting forward facts otherwise I'll describe you as i did previously, that ur too low
Narudia tena,kunihusiasha na kuitetea ccm basi nakushauri tafuta tochi uitumie wakati wa kucheza ngoma wakati wa usiku kwani utakuja kucheza ngoma ya vibwengo