Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,769
- 26,053
Hili lina-confirm kauli zangu za nyuma kuhusu January. Amezoea Kubwebwa!hivyo lazima atetee mchakato uliotumika kumbeba magufuli. NI kipofu tu ndio anaweza sema Magufuli hajabebwa. Binafsi Sina tatizo kubwa sana na Magufuli, lakini kutamka kuwa mchakato wa kumfikisha pale alipo ulikuwa sahihi, basi huyu Makamba amedhihirisha kuwa Uamuzi wa watu wa Bumbuli kumuweka pembeni 2015 ni wasahihi kabisa(YES, i said it here, huyu bwana mdogo, kupenya ubunge 2015 ni hadithi nzito, kwani, fitna alizotumia kupita bila kupingwa 2010,haziwezi fanya kazi 2015. Asiposhindwa ndani ya CCM, basi UKAWA watachukua jimbo mapema sana, kwani wagosi wamemchoka). Naona Plan B yake, imekuwa Makonda, Nape style, ya kupayuka na kuwa lapdog wa wakubwa, huku akijipendekeza kwa Magufuli, ili afikiriwe hata ubunge wa viti maalum, baada ya kutolewa mbio Bumbuli.
Makamba, najua timu yako inasoma hapa,It's now hightime for once in your life to stand by yourself, It's a shame a 40+ chap, still has to depend of favours and backup from his parent just as you have for your entire life.
Your father can't push for you forever, and your godfather (JK) is fast approaching retirement..,Stand on your own and actually EARN something. This spoonfeeding has to stop. You know you did not deserve to be Bumbuli MP, you know you did not deserve to be in the top 5 ahead of the likes of Mwandosya, Mahiga or even Mwigulu(who despite receiving absolutely minimum political help,has achieved way more than you).
STAND ON YOUR OWN, LIKE A REAL MAN.
Mgosi taatibu taatibu, mbwanga ana watumba wengi.
Anapenda kudeka huyo akidhani yeye ni mtu mtanashati saana.