Sina personal issues na January, hunijui personally, sikujui personally.
JF iko kutoa miongozo myepesi kama hii kwa nyie wanasiasa uchwara mliozoea kubebwa mkidhania ndio way to go kila sehemu. Uporoto wenu wa CCM ni the end justifies the means.hata angechinjwa mtu Dodoma ili kupata Mgombea, nyie mngepiga makofi tu na kushangilia fikra za mwenyekiti. You are prisoners in your own little world, where I*diots tells f*ols where to go.
Siasa zenu za hovyo CCM ndio zimefikisha taifa hapa, hivyo sihitaji kuzijua hizo siasa zenu za kipuuzi. Mabaya ya Kingunge yanafahamika,lakini huwezi kubishana naye akisema taratibu hazijafuatwa. Wewe makamba huna jeuri ya kumbishia JK, wakati amekubeba toka kukupa kazi ikulu. kukupigia chapuo ubunge wako wa viti maalum Bumbuli, hadi kukufanya Decoy kwenye top 5. You will forever be on his political debt. Hizi soundbite za sasa hivi ni pay back tu, hakuna jipya. Ulishauza soul yako kwa devil, now its time for repayment.
Sipendi aina ya siasa zinazofanywa na Januari na watu wa aina yake.kutwa kuhadaa watu kwa maneno mengi bila vitendo, uongozi sio PR peke yake, bali ni UWEZO wa kutekeleza yale unayoyaongea. Tungekuwa tunachagua PR, basi Wema Sepetu, Diamond Platnumz etc wote wangekuwa wabunge wetu na mawaziri, kwani wana PR nzuri tu.
Uwezo wako unafahamika, umepewa 10+ years kuprove watu wrong, and guess what you have confirmed everyones opinion of how incapable you are, you have under-performed at every damn point ukipewa majukumu, wewe nguvu zako za soda zinaishia kwenye kubwabwaja tu.
Give us a 10 bullet point of thing you have achieved, not shit you have started that went no where as a leader for the past 10 years.If that bullet point gets to 5, I will torn down my soundbites and give you a chance.
Usilete hadithi za nilichaguliwa kuwa flani, au niliteuliwa kuwa flani, those are not achievements, they are favours,sema umefanya nini kilichokamilika..,(sitegemei ujibu hili,kwani majibu hakuna)